Dk Phumzile kushiriki tamasha la jinsia TGNP

ALIYEKUWA  Makamu wa Rais wa Afika Kusini, Dk Phumzile Mlambo Ngcuka anatarajiwa kushiriki katika  tamasha la jinsia  pamoja na  kufikia miaka 30 na Tapo la Kifeminia la mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP).

Mkurugenzi Mtendaji wa TNGP  Lilian Liundi  amesema hayo Dar es Salaam  na kuongeza kuwa  tamasha hilo linalotarajiwa kuwa  na washiriki zaidi ya 1500  litafanyika Novemba  7 hadi 10 mwaka huu.

Amesema tamasha hilo huwashirikisha watu mbalimbali walio mashuhuri na hata viongozi kadha wa kadha, lengo kubwa kujadili  mada mbalimbali zenye kujenga na kuimarisha mfumo mzima wa usawa wa jinsia nchini.

Amesema Dk Mlambo ni  miongoni mwa washiriki, katika tamasha hilo na ni mtetezi wa kimataifa wa uwezeshaji wa wanawake na wasichana.

Aidha amesema alikuwa Naibu Rais wa zamani wa Afrika Kusini na Mkurugenzi Mtendaji wa UN Women global akiwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo, kiongozi wa juu kabisa wa kisiasa  mwanamke katika historia ya Afrika Kusini

Kuhusu tamasha la jinsia amesema ni moja ya jukwaa kubwa la ujenzi wa nguvu na harakati za pamoja.Lengo  lake likiwa ni kubadilishana ujuzi, udhoefu na kusherekea maendeleo mbalimbali  waliofanya TNGP.

Amesema  TNGP  imeanzishwa mwaka 1993 hivyo wanatomiza miaka 30 na wamekuwa wakiendesha matamasha tangu mwaka 1996 hadi sasa  wamefanya matamasha 14 hivyo la  mwaka  huu ni la 15 wakitetea mambo mbalimbali.

Amesema  katika  miaka  30 ya TNGP wanatarajia  kuwa na mada mbalimbali za  kujadili zenye kushirikisha  watu mashuhuri  ikiwemo mada ya tapo la ukombozi wa wanawake.

“TNGP imefanya maendeleo  mbalimbali  kuendeleza usawa wa jinsia  nchini, tunaendelea  kupambana zaidi mifumo dume  tumeona madhara mengi,” amesema na kuongeza kuwa  tamasha hilo linatarajiwa kuwa na washiriki zaidi ya 1500 .

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Monique
Monique
1 month ago

Online, Google paid $45 per hour. Nine months have passed since my close relative last had a job, but in the previous month she earned $10500 by working 8 hours a day from home. Now is the time for everyone to try this job by using this website…

Click the link—↠ http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Monique
VirginiacGehee
VirginiacGehee
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by VirginiacGehee
money
money
1 month ago

List of cancer types
List of cancer types – Wikipedia

money
money
1 month ago

WAZEE WA KULA JICHO HUWA MNATUMIA MBOOO SIZE GANI KUINGIZA KWENYE JICHO

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

Capture.JPG
Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x