Draxler kujiunga Al-Ahli

KIUNGO mshambuliaji wa PSG, Julian Draxler huenda akajiunga na Al-Ahli.

Kwa mujibu wa taarifa ya Fabrizio Romano, klabu hiyo imewasilisha ombi PSG kwa ajili ya vipimo vya afya kwa mchezaji huyo.

Nakubaliano yapo katika hatua za mwisho ya kujiunga ba timu hiyo.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button