EALA wapitisha muswada Kamisheni Huduma za Fedha

BUNGE la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limepitisha muswada wa Kamisheni ya Huduma za Fedha ya Afrika Mashariki (EAC).

Muswada huo wa mwaka 2022 unalenga kuanzishwa kwa kamisheni kama taasisi huru yenye majukumu, mamlaka, vyanzo vya fedha na makao yake makuu.

Kupitishwa kwa muswada huo muhimu jana ni kuelekea utekelezaji wa Itifaki ya kuanzishwa kwa Umoja wa Fedha Afrika Mashariki.

Akiwasilisha maoni ya kamati hiyo  katika kikao cha nne  cha Bunge  kinachoendelea jijini Arusha, Mjumbe wa kamati ya Bunge ya  Bajeti, Denis Namala, alisema muswada huo umechelewa kwa zaidi ya miaka minne licha ya umuhimu wake tangu kukubaliwa kwa itifaki ya Umoja wa Fedha

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
gate.io
3 months ago

The point of view of your article has taught me a lot, and I already know how to improve the paper on gate.oi, thank you.

Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x