Gabon kufanya uchaguzi 2025

SERIKALI ya kijeshi nchini Gabon imetangaza uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika mwezi Agosti 2025, kulingana na ratiba itakayoidhinishwa na mkutano wa kitaifa mwezi Aprili 2024.

“Agosti 2025: uchaguzi na mwisho wa kipindi cha mpito”, alitangaza msemaji wa nguvu za kijeshi moja kwa moja kwenye televisheni ya serikali Gabon Première, akiorodhesha ratiba rasmi ya mpito iliyopitishwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri.

“Ratiba lazima iwasilishwe kwa kongamano la kitaifa ikiwa ni pamoja na wahusika muhimu wa taifa lote lililopangwa kufanyika Aprili 2024.” Aliongeza.

Ali Bongo, 64, ambaye alitawala nchi hiyo tangu 2009, alipinduliwa na viongozi wa kijeshi mnamo Agosti 30, muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa rais, ambao jeshi na upinzani walitangaza kuwa ni udanganyifu.

Waziri mkuu mpya wa Gabon, Raymond Ndong Sima amesema kuwa kipindi cha mpito cha miaka miwili kabla ya uchaguzi huru kilichoahidiwa na watawala wapya wa kijeshi nchini humo kilikuwa na malengo thabiti.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MONEY OUT (UCHUMI WA MAMBO MACHAFU)
MONEY OUT (UCHUMI WA MAMBO MACHAFU)
19 days ago

BARUA YA WAZI KWA MWANAMZIKI MASHUHURI ZUCHU au UCHU

TUPO DARASANI TUNAMSUBIRI MWALIMU… HAYA MAMBO HAYATAKIWI KWA NINI YAPO KAMA NA KWA NINI YANAZUNGUMZIWA KWENYE JAMII AU WATU

1. UVAMIZI WA VIWANJA,
2. HATUNA KAZI,
3. MADAWA YA KULEVYA,
4. BANGI,
5. UMALAYA,
6. MAPENZI YA JINSIA MOJA
7. KUACHANA
8. UFISADI
9. VITA
10. ULEVI
11. MAUAJI
12. KUELEWA KAZI/MASOMO
13. KUSOMA SANA N.K
14. ubakaji
15. ulawiti
16. KUROGWA NA WAZUNGU KUPITIA MOVIE ZA PONOGRAFIA – kuwa unatakiwa ufanye

POTEKEA HIZI NDIO TAKWIMU ZA WATU WANAOJIUA KILA SIKU/WIKI/MWEZI/MWAKA/SAA/DAKIKA/SEKUNDE.. TUTAENDELEA KUHESABU

Suicide – WHO response​
Key facts​

  • More than 700 000 people die due to suicide every year.
  • For every suicide there are many more people who attempt suicide. A prior suicide attempt is an important risk factor for suicide in the general population.
  • Suicide is the fourth leading cause of death among 15–29-year-olds.
  • Seventy-seven per cent of global suicides occur in low- and middle-income countries.
  • Ingestion of pesticide, hanging and firearms are among the most common methods of suicide globally.
Capture1.JPG
Thelmairanda
Thelmairanda
19 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 19 days ago by Thelmairanda
Angila
Angila
18 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions
.
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x