Gamondi aita mashabiki kuiua Azam

DAR ES SALAAM: KOCHA Mkuu wa YANGA SC, Miguel Gamondi amesema kikosi chake kipo imara kuvaana na matajiri wa Chamazi, Azam FC hapo kesho katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Gamondi amesema hayo leo Oktoba 22, 2023 jijini Dar es Salaam, katika mkutano na waandishi wa habari kuelekea mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ambapo amesema wamejipanga kuibuka na ushindi katika mchezo huo, huku akiomba mashabiki wa Yanga kuja kwa wingi uwanjani.
“Sisemi kuwa mashabiki wa Yanga watajaza uwanja ila nina uhakika watakuja kwa idadi kubwa kuipa nguvu klabu yao. Kwetu Amerika ya Kusini, mashabiki uwanjani ni mchezaji wa 12.” Ametamatisha hivyo Gamondi.
[Be Your Own Boss] Work online from home and earn over $15,000 just by doing an easy job. Last month I earned and received (nN)$20,000 from this job doing an easy part time job. j In fact, this job is so easy to do and regular income is much better than other normal office jobs where you have to deal with your boss….
HERE →→→→→→ http://www.smartcareer1.com