Gamondi kocha mpya Yanga

KLABU ya Yanga imemtangaza Miguel Gamondi kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo akichukua nafasi ya Nasreddine Nabi.

Yanga imetangaza kocha huyo raia wa Argentina kwenye mkutano mkuu unaendelea muda huu.

Timu alizowahi kufundisha Gamondi ni Wydad, CR Belouizdad, Mamelodi Sundowns, CR Belouizdad, USM Alger, Espérance, Al-Ahly kama kocha msaidizina nyinginezo.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button