GGR kuleta mabadiliko katika uongezaji thamani madini

GEITA: KIWANDA cha Kusafisha dhahabu cha Geita Gold Refinery (GGR) kinachomilikiwa na Mwekezaji Mtanzania Sarah Masasi kimeiweka Tanzania katika Soko la Kimataifa katika usafishaji wa dhahabu duniani.
–
Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini Anthony Mavunde leo Septemba 25, 2023 mkoani Geita baada ya kutembelea na kuzungumza na mwekezaji na wafanyakazi wa kiwanda cha kisasa cha kusafisha madini ya dhahabu cha GGR.

–
Mavunde amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya kiwanda hicho kupata Ithibati
(ISO Certification) za aina tano ikilinganishwa na kiwanda kikubwa cha kusafisha madini ambacho hakina ISO zote hizo.
–

Aidha, Mavunde ameiagiza timu ya wataalam iliyoundwa ikihusisha wataalam kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Wizara ya Madini, wawakilishi wa wachimbaji wadogo na wamiliki wa viwanda vya usafishaji wa madini kuandaa taarifa itakayoelezea namna bora ya upatikanaji wa malighafi na ushiriki wa BoT kwenye kuwasaidia wachimbaji wadogo kuzalisha dhahabu itakayopelekwa kwenye viwanda hivyo.
Earn income while simply working online. work from home whenever you want. just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here———————————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
I even have made $17,180 only in 30 days straightforwardly working a few easy tasks through my PC. Just when I have lost my office position, I was so perturbed but at last I’ve found this simple on-line employment & this way I could collect thousands simply from home. Any individual can try this best job and get more money online going this article…..
>>>>> http://Www.Careers12.com
Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?
MJERUMANI
MHINDI
MTANZANIA
MKENYA
MNIGERIA
MHISPANIA
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?