Gwaride la heshima Msumbiji
Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Nyusi, wakati akikagua gwaride la heshima mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Maputo leo Septemba 21, 2022.
–
Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Nyusi, wakati akikagua gwaride la heshima mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Maputo leo Septemba 21, 2022.
–