MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ambae pia ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 22, 2022 ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Taifa.
Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ambae pia ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 22, 2022 ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Taifa.
Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
MKURUNGENZI wa Kampuni ya Prosperity ...