Hali ni tete sekta ya Uvuvi
Wavuvi walia na uharibifu wa Mazingira

DAR ES SALAAM: Wadau wa Uvuvi nchini wamesema tatizo la uchafuzi wa mazingira ya bahari bado ni changamoto kubwa ya uharibifu wa mazalia ya samaki baharini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na HabariLeo jijini Dar es Salaam, baadhi ya wadau wa uvuvi wamesema kumekuwepo na upungufu wa upatikanaji wa samaki baharini kutokana na changamoto za uharibifu wa mazingira ya bahari.
“Wanapotumia uvuvi wa makokoro wanafanya uharibifu wa sakafu ya bahari kwa sababu wanakwangua majani lakini pia samaki wachanga wengi wanazaliwa katika maji machache au madogo kwahiyo uvuvi wa makokoro unafanyika katika maji madogo kwahiyo unaua samaki wachanga na viumbe wengine wa bahari “ alisema Asha
Chande Dadi Ally ambaye ni mvuvi na mfanyabiashara wa samaki katika soko la samaki la kimataifa Feri ameeleza kuna haja ya kujizatiti zaidi katika mchakato wa utunzaji bora wa mazingira.
“Tunachotakiwa tuwe na uwelewa na kuwezesha kuheshim bahari kufanya yale tunayoyafanya kwenye matumizi yetu yaki kibinaadam tufanye nje ya fukwe za bahari, waweke sehemu salama zile takataka, tusitupe kwenye bahari” alisema Dadi
Kwa upande wake Mtoka Musa ambaye ni mvuvi katika soko hilo la samaki la Feri ameelezea changamoto wanazopitia kuhusu upatikanaji wa samaki na kushauri serikali kuendelea kushirikiana katika kuelimisha wavuvi ili kupunguza adha na changamoto inayoikumba sekta hiyo.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
My last salary was $8,750 only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt he was when I looked up his information.
.
.
Detail Here——————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions……
.
.
.
On This Website……………..> > Www.Smartcareer1.com