‘Hamasisheni umuhimu wa kuchukua hatimiliki za ardhi’

NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete, amewataka Makamishna wasaidizi wa ardhi nchini kufanya uhamasishaji kwa wananchi, ili wajue umuhimu wa kuchukua hatimiliki za ardhi.
Ridhiwani amesema hayo Desemba 22, 2022 mkoani Dar es Salaam wakati akifungua mkutano baina ya ofisi ya Kamishna Msaidizi wa ardhi mkoa wa Dar es Salaam na kampuni zinazofanya kazi katika miradi ya urasimishaji makazi holela kwa lengo la kutatua changamoto za urasimishaji katika mkoa huo.
“Kama ninyi mtaona kazi yenu inaishia kufanya usajili wa michoro ya mipango miji na kuwawekea mawe wananchi mkaamini mmemaliza kazi hii haitoshi, mnachotakiwa ni kuwa na kazi ya kufanya ya kuhamasisha wananchi kuchukua hati,” alisema Ridhiwani.
Pia ameelezea tofauti kubwa kati ya idadi ya viwanja vilivyowekwa mawe katika mkoa wa Dar es Salaam na vile vilivyotolewa hati na kuielezea hali hiyo kuwa hesabu zake zinakataa kabisa.
I just read this article on purse colors but it was for 2013.What is the best color for 2014?i have problems in financial….i have 1 bronze money frog that i put nearby enterance of my front door facing into my living room i put it on a box that coverd with red tape…but my money frog were built with i-ching money that have no symbol of chinese caractor on bothside of the money that stuck on the money frog….my house sit on south facing north and my kua number is 3 and i’m a matel dog animal sign this year of wood horse…can u please help me how to place this money frog and what can i do so i have no worried about my finances and money problems…thanksLeather sofas are ideal for aesthetically pleasing and decorative homes, but with proper care, they don’t even require maintenance. By the way, thanks for sharing this interesting blog with us.