Hatma ya Mnyama leo

HATMA ya Simba SC itajulikana leo ambapo timu hiyo itacheza na Al-Ahly mchezo wa marudiano wa African Football League nchini Misri majira ya saa 11:00 jioni.

Mnyama anaingia kwenye mchezo huo akiwa na kumbukumbu ya mchezo wa kwanza uliosha sare ya mabao 2-2 uwanja wa Mkapa.

Shirikisho la soka Afrika (CAF) wameeleza kanuni za mashindano hayo hakuna goli la ugenini, hivyo timu itakayofunga idadi itakayomzidi mpinzani itasonga hatua nyingine.

CAF wamesema kwa hatua ya robo na nusu, mchezo ukiisha sare baada ya michezo yote miwili, hakutakuwa na dakika za nyongeza ‘extra time’ mchezo utaenda kwenye penalty.

Mchezo mmoja tu wa fainali ndiyo utakuwa na muda wa nyongeza wa dakika 15 endapo mchezo huo utaenda sare baada ya dakika 90. Matokeo yakibaki sare mchezo utaenda penalty.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
haunameno
haunameno
1 month ago

Wahi Viwanja Vya Bure Ulichopewa na Nyerere wakati wa Uhuru… Kina sifa ya kuwa kidogo na STORY ZA R.I.P NA “INA ILAH LAJUUN”. – HAKIKA ALIKUDHAMINI SANA

Capture.JPG
haunameno
haunameno
1 month ago

Wahi Viwanja Vya Bure Ulichopewa na Nyerere wakati wa Uhuru… Kina sifa ya kuwa kidogo na STORY ZA R.I.P NA “INA ILAH LAJUUN”. – HAKIKA ALIKUDHAMINI SANA..

Capture.JPG
LynseyHarris
LynseyHarris
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by LynseyHarris
Marry
Marry
1 month ago

I’m currently generating over $35,100 a month thanks to one small internet job, therefore I really like your work! I am aware that with a beginning capital of $28,800, you are presently making a sizeable quantity of money online.
.
.
Just open the link——->> http://Www.Smartcareer1.com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x