Havertz anaitaka Arsenal

LONDON, ENGLAND - APRIL 01: Kai Havertz of Chelsea shoots during the Premier League match between Chelsea FC and Aston Villa at Stamford Bridge on April 01, 2023 in London, England. (Photo by Darren Walsh/Chelsea FC via Getty Images)

KUNA dalili kuwa huenda Kai Havertz akasepa Chelsea, baada ya Arsenal kuwasilisha ombi lingine la kumsajili Mjerumani huyo.

Imeelezwa Arsenal imerudi tena kwa Havertz wakiwa na dau la £65m.

Mazungumzo yatafuata baina ya timu hizo kuhusu dau hilo jipya.

Advertisement

Havertz amekuwa muazi kwamba anataka kuondoka Stanford Bridge kwenda Arsenal, kwa mujibu wa mwandishi wa habari za michezo, Fabrizio Romano.

Awali Chelsea walitaka £75m Arsenal iligoma kutoa pesa hiyo.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *