Hazard astaafu soka

MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Eden Hazard ametanga kustaafu soka la kulipwa.
–
Taarifa ya Hazard imeeleza “baada ya miaka 16 na zaidi ya mechi 700 kucheza, nimeamua kusitisha maisha yangu kama mchezaji wa kulipwa,”
–
“Wakati wa kazi yangu nilibahatika kukutana na wasimamizi wakuu, makocha na wachezaji wenzangu – asante kwa kila mtu kwa nyakati hizi nzuri.”
–
“Pia nataka kushukuru vilabu ambavyo nimechezea: LOSC, Chelsea na Real Madrid; na shukrani kwa RBFA kwa uteuzi wangu wa Ubelgiji.”
–
“Shukrani za pekee kwa familia yangu, marafiki zangu, washauri wangu na watu ambao wamekuwa karibu nami katika nyakati nzuri na mbaya.”
–
“Mwisho, asante kubwa kwako, mashabiki wangu, ambao mmenifuata kwa miaka hii yote na kwa kunitia moyo kila mahali nilipocheza.”
I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com