Hazard astaafu soka

MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Eden Hazard ametanga kustaafu soka la kulipwa.

Taarifa ya Hazard imeeleza “baada ya miaka 16 na zaidi ya mechi 700 kucheza, nimeamua kusitisha maisha yangu kama mchezaji wa kulipwa,”

“Wakati wa kazi yangu nilibahatika kukutana na wasimamizi wakuu, makocha na wachezaji wenzangu – asante kwa kila mtu kwa nyakati hizi nzuri.”

“Pia nataka kushukuru vilabu ambavyo nimechezea: LOSC, Chelsea na Real Madrid; na shukrani kwa RBFA kwa uteuzi wangu wa Ubelgiji.”

“Shukrani za pekee kwa familia yangu, marafiki zangu, washauri wangu na watu ambao wamekuwa karibu nami katika nyakati nzuri na mbaya.”

“Mwisho, asante kubwa kwako, mashabiki wangu, ambao mmenifuata kwa miaka hii yote na kwa kunitia moyo kila mahali nilipocheza.”

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using

this site link… http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x