Hospitali zatakiwa kuwapima Selimundu watoto wanaozaliwa

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amezitaka hospitali zote za halmashauri nchini kuwapima Ugonjwa wa Selimundu watoto wote wanaozaliwa katika hospitali hizo ili kujua hali zao mapema na kuanza matibabu.
Kiongozi huyo, ameeleza hayo leo wakati akizindua kampeni ya kuelimisha jamii juu ya magonjwa yasiyoambukiza, jijini Dar es Salaam.
“Waganga Wakuu wa Mikoa mkalisimamie hili, nataka Hospitali zote za Halmashauri nchini ndani ya miezi sita zipime ugonjwa wa Selimundu kwa watoto wanaozaliwa katika Hospitali hizo kabla sijashuka vituo vya Afya,” amesema Waziri Ummy
Waziri Ummy amebainisha kuwa zaidi ya asilimia 70 hadi 90 ya watoto wanaozaliwa na Selimundu hupoteza maisha ndani ya kipindi cha miaka mitano ya mwanzo wa maisha yao kutokana na kutotambulika au kwa sababu ya unyanyapaa na kukosa elimu.
“Hali hii haikubaliki ni lazima tuchukue hatua za haraka ili kuokoa maisha ya watoto wachanga wenye ugonjwa wa Selimundu kwa kuwatambua mapema ili kuhakikisha wanapata matibabu kwa wakati,” amesema Kiongozi huyo.
Aidha, ametanabahisha kuwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatoa fedha za dawa kwa asilimia 100 kila mwezi, fedha hizo wanaruhusiwa kuzitumia kwa ajili ya kununua mashine za kupima ugonjwa wa Selimundu.
Google paid 99 dollars an hour on the internet. ( w44q) Everything I did was basic Οnline work from comfort at home for 5-7 hours per day that I got from this office I found over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://Www.SmartCareer1.com
I get over 25k usd a month working part time. I kept hearing other people tell me how much money they can make online so I decided to look into it. Well, it was all true and has totally changed my life…This is what I do,Copy Bellow Website
Just open the link———————->> http://Www.Smartcash1.com
HE/SHE DIED WITH CARDINAL RUGAMBWA HOSPITAL DISEASE… THE HISTORY OF THIS DISEASE WAS KILLED MORE THAN 5 MILION PEOPLE AROUND THE WORLD MANY WAS CHINESE, EROPEAN, KOREAN AND INDIANS… ALL WHERE WHITE SKIN PEOPLE
HE/SHE DIED WITH CARDINAL RUGAMBWA HOSPITAL “CONFERENCE” DISEASE… THE HISTORY OF THIS DISEASE WAS KILLED MORE THAN 5 MILION PEOPLE AROUND THE WORLD MANY WAS CHINESE, EROPEAN, KOREAN AND INDIANS… ALL WHERE WHITE SKIN PEOPLE…. KILICHOBAKI BABA/BWANA YESU ASIFIWE DISEASE
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana