Huduma zote kidigitali

WATANZANIA wametakiwa kujiandaa na uchumi wa kidigitali kwa kuwa malipo  ya huduma zote yatafanywa kwa kutumia mfumo huo.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na  Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema kwa sasa serikali ipo kwenye mapitio ya sera, kanuni na sheria ili kuwa na mfumo bora wa kidigitali ambao utaondoa utapeli, rushwa na kuvutia wawekezaji.

Akizungumza katika Kongamano la TEHAMA lililkofanyika leo Julai 8, 2023 katika ukumbi wa Sabasaba Expo Village, Nape amesema mifumo ya kisera, sheria, kanuni na mikakati ya kuijenga uchumi wa kidigiali itawezekana na tayari Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kutungwa sera nyingi na kufanya mapitio ya sera zilizopo  kadri inavyowezekana ili uchumi wa kidigitali ujengwe.

“Tumepitia sheria nyingi  ikiwemo sheria ya taarifa binafsi, na tunaendelea  kupitia sheria nyinginezo, na mimi nataka kuwaomba, kwenye mjadala huu mzungumze wapi mnakwama alafu nileteeni.

“Kwenye kazi yetu tunakumbushana kazi ya bunge isiwe tu kutunga sheria, hata kufuta zile za hovyo, unajua ukitunga ukaona  zinakwamisha futa, sheria hazitungwi ili kusumbua watu, zinatungwa ili kufacilitate.; …. “Kwa hiyo tutaendelea kupitia, tupo hatua za mwisho kukamilisha mkakati wa uchumi wa kidigitali na tutamuingiza kila mmoja kuchangia uchumi huu.”Amesisitiza na kuongeza

“Uchumi wa kidigitali haukwepeki maana dunia ndio inaenda huko, nilikua naenda Marekani, nikiwa airport nilikuwa naunganisha ndege nyingine sasa mzigo wangu ukazidi kidogo natakiwa kulipa dola 25  zaidi, nina dola mfukoni  naenda kulipa wakakataa hatuchukui keshi, nikawauliza kwa hiyo nafanyaje? wakaniambia unaona mashine ile pale, kadumbukize  hela yako pale utapata kadi, nikadumbukiza dola mia, nikapata kadi,  Tanzania hatuwezi kubaki nyuma kama dunia imeenda huko na sisi lazima twende huko..

“Lazima sheria zetu, kanuni zetu, sera zetu, mikakati yetu ifanane sawa sawa na dunia  ilipo. Ipo mifumo mbali mbali ya kidigiali tutanzianzisha ili watanzania waweze kushiriki huo uchumi wa kidigiali ndani ya nchi lakini na duniani.

Aidha,  amesema, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa hela kuhakikisha Wizara ya Habari inapeleka  minara kila pembe ya nchi  na kwamba tayari minara  700 na zaidi imeshafungwa katika wilaya tofauti tofauti na mingine 600 inatarajiwa kusambazwa.

“TTCL mikongo  inapelekwa kila wilaya, tuondokane na wakuu wa wilaya na wakurugenzi kwenda Dodoma kwenye vikao, watakaa kwenye wilaya zao wanaconnect tu wanafanya vikao kwa online, tutakoa muda, wataepuka na ajali za barabarani.”Amesema na kuongeza

“Natamani nione madaktari wanamtibu mgonjwa kwa mfumo wa kidigitali, wapo Muhimbili wanamtibu mgonjwa Mtama.

“Wanasiasa tunataka tuweze kuhutubia wananchi nchi nzima  ukiwa katika uwanja mmoja tunafunga kampeni.”

Aidha, Nape ameshangazwa na Mahakama inayotembea, na kuhoji kuwa kwa nini mahakama itembee?

“Kwa kesi nyingi zinachukua muda mrefu kwa sababu wakati mwingine hakuna ‘facility’ ya kumtoa mahabusu  kumpeleka mahakamani, ifike mahali mashauri yasikilizwe kidigitali yamalizike inawezekana kama dunia nyingine inawezekana kwa nini sisi tusiweze.?” Alihoji

“Uchumi wa kidigitali ukiwezekana tutaondokana na watu kuomba rushwa, itapunguza ajira lakini ndio dunia inakoenda, dhamira ya serikali ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na uchumi wa kigitali, tumepiga hatua katika bara la Afrika tupo namba mbili kwa dunia tupo namba 24.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
7 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
BerniceNickell
BerniceNickell
2 months ago

This year do not worry about money you can start a new Business and do an online job I have started a new Business and I am making over $84, 8254 per month I was started with 25 persons company now I have make a company of 200 peoples you can start a Business with a company of 10 to 50 peoples or join an online job.

For more info visit on this web Site………..>>> http://www.Richcash1.com

Last edited 2 months ago by BerniceNickell
neknoyirze
neknoyirze
Reply to  BerniceNickell
2 months ago

Working part-time, I bring home almost $13,000 per month. I was keen to find out after hearing several others describe how much money they were able to make online. Well, it all came to pass and completely altered my ba-07 life. Now, everyone needs to try this work by using this website.
.
.
Detail Are Here——————————————————>>> http://WWW.JOIN.HIRING9.COM

Last edited 2 months ago by neknoyirze
corkiyigno
corkiyigno
Reply to  BerniceNickell
2 months ago

I work an online job from home and earn 185 dollars per hour. I never imagined I could do it, but my best friend, who makes $15,000 a month at the job, encouraged me to find out more about it. This has limitless possibilities.
.
.
Details Are Here—————->>> https://fastinccome.blogspot.com/

Hardeven
Hardeven
2 months ago

super fast money earning online job to flood the cash in your bank acc every week. from this only by working for 2 hrs a day after my college i made $17529 in my last month. i have zero experience when i joined this and in my first month i easily made $11854. so easy to do this job and regular income from this are just superb. want to join this right now? just go to this web page for more info————–>>> http://www.dailypro7.com

Marcia Durr
Marcia Durr
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ https://onlinesite76.blogspot.com

Last edited 2 months ago by Marcia Durr
Work-AT-Home
2 months ago

l get paid over $190 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my best friend earns over $17606 a month doing this and she convinced me to try.

The possibility with this is endless…… http://www.SmartCash1.com

Julia
Julia
2 months ago

I’m making over $14,000 a month working part time. I kept hearing other people tell me how much money they can make online so I decided to look into it. Well, it was all true and has totally changed my life.
.
.
Detail Here—————————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Back to top button
7
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x