Idadi ya watahiniwa kidato cha 4 yaongezeka

WANAFUNZI 572, 338 wa kidato cha nne kutoka shule 5,371 kote nchini wameanza mtihani wa taifa leo.
Taarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), imeeleza kuwa mwaka huu kuna ongezeko la watahiniwa 8, 633 sawa na asilimia 1.6 kulinganisha na idadi ya waliofanya mtihani mwaka jana.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Said Mohamed ameeleza kuwa kati ya hao watahiniwa 28, 952 ni wa kujitegemea ambao watafanya mtihani kwenye vituo 1,798 vilivyosajiliwa.
Amesema asilimia 46.05 ya watahiniwa wa shule ni wavulana na asilimia 53.95 ni wasichana huku kwa upande wa watahiniwa wa kujitegemea asilimia 40.99 ni wavulana na asilimia 59.01 ni wasichana.
I’am making over $15k a month working online. I kept seeing how some people are able to earn a lot of money online, so I decided to look into it. I had luck to stumble upon something that totally changed my life. After 2 months of searching, last month I received a paycheck for $15376 for just working on the laptop for a few hours weekly. I was amazed how easy it was after I tried it copy below web…www.work.profitguru7.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions……
.
.
.
On This Website……………..> > Www.Smartcareer1.com