Infantino kushuhudia Simba, Al Ahly

DSM: RAIS wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA), Gianni Infantino atakuwa uwanja wa Benjamini Mkapa kushuhudia mchezo wa mashindano ya African Football League Simba SC dhidi ya Al Alhy utakaochezwa Oktoba 20 uwanjani hapo.
Taarifa ya ujio wa kiongozi huyo imetolewa leo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Iman Kajula, ambapo ameongeza kuwa Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe pia atakuwepo na marais wa vyama vya soka vya maeneo mengine.
Kajula amezungumzia ukarabati wa uwanja wa Mkapa kwa kuishukuru serikali kwa ukarabati huo ambao kufikia Oktoba 9, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro alisema ukarabati umefikia asilimia 95.
“Tunaishukuru serikali kwa matengezo makubwa ambayo imefanya kwenye uwanja wa Mkapa. Simba pia imetoa mchango kiasi kufanikisha hili.”amesema Imani Kajula.
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?.
I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it,
Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com