JKCI yaokoa zaidi ya sh bilioni 3 za matibabu nje ya nchi

DAR ES SALAAM Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imesema imeokoa zaidi ya sh.bilion tatu baada ya kambi ya  wataalamu wa moyo kutoka Saudi Arabia kufika katika Taasisi hiyo na  kutibu magonjwa ya moyo .

Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dk.Peter Kisenge  amesema hayo leo Dar es Salaam wakati wa kuaga wataalamu hao wa Saud Arabia ambao wamekuwa nchini kwa siku saba kuanzia Septemba 9 hadi 15.

Amesema timu  kutoka Saudi Arabia wamekuwa wakifika nchini kuanzia mwaka 2015 na kutoa huduma mbalimbali za upasuaji wa moyo lakini pia kufundisha wataalamu wa moyo katika Taasisi hiyo ambapo fedha ambazo wamekuwa wakizitoa tangu walipoanza kufika Tanzania ni sawa na sh bilioni 3.5 na ambazo zimekuwa zikitumika kwa kutoalea huduma mbalimbali.

Amesema kwa kipindi chote ambacho wamekuwa wakifika nchini kupitia taasisi ya  kujitolea ya King Salman Humantarian , wamekuwa  msaada mkubwa  nchini  kwani kwa kipindi chote wamesaidia kutibu wagonjwa wa moyo zaidi ya 439.

Akielezea hali ya magonjwa ya moyo kwa watoto nchini, Dk.Kisenge amesema tatizo hilo ni kubwa duniani kwani Takwimu zinaeleza kuwa, kwa kila watoto 1000 wanaozaliwa mmoja anatatizo la moyo, hivyo jitihada zaidi za matibabu zinahitajika Kwa ugonjwa huo unaosababisha vifo vingi.

Kwa upande wake  Balozi wa Saud Arabia Nchini, Yahya Ahmed Okeish amesema  program ya kuhuduma watu imekuwa ikifanyika duniani kote kwa kuwa ni jambo la faraja kuona watu wakifurahi baada ya kupata huduma.

 

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Sabasaba wilayani Ilemela.
Sabasaba wilayani Ilemela.
13 days ago

 Julian Draxler huenda akajiunga na Al-Ahli

Capture.JPG
Ulikuwa (WAS) I MISS YOU hivi BY Diamond Platnumz
Ulikuwa (WAS) I MISS YOU hivi BY Diamond Platnumz
13 days ago

“JENGA UKIFA UTAZIACHA NA WATOTO WENU WATAUZIUZA” BY SAMIA SULUHU HASANI

HIVI MWANADAMU AKIFA HUWA AACHA NINI KULE BY TULIA AKSON

AKUTA NYOKA KWENYE VIATU VYAKE, AUMWA NA KUFA HAPO HAPO

HATA UTARATIBU TULIOUJENGA INABIDI TUFE TUUACHE WAKITAKA WAKUUZE ULAYA…

Capture.JPG
Ulikuwa (WAS) I MISS YOU hivi BY Diamond Platnumz
Ulikuwa (WAS) I MISS YOU hivi BY Diamond Platnumz
13 days ago

Pata $200,0000 kwa kufanya kazi nyumbani “work at home” bila kutoka NYUMBANI KWAKO KABISA>

Tunatafuta KILICHO POTEA KAMPUNI YA KAKA, MAMA, RAFIKI, SHEMEJI, MJOMBA, SHAMBAZI, MWANDANGU, BABA MDOGO, NILISOMA NAYE INAKULETEA MRADI MKUBWA WA SIMU ZA MTAANI KILA MTAA SIMU MOJA… Mahusiano Tajirika Sasa Kitaa Kinamsaada

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

Raha za I MISS YOU BY Diamond Platnumz

Capture1-1694767810.4972-231x300.jpg
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x