Jkt Queens nusu fainali CAFWCL ile pale

IVORY COAST: Timu ya Jkt Queens leo itacheza mchezo wake wa mwisho hatua ya makundi michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFWCL) dhidi ya Sporting Club Casablanca ya Morroco.
Mpaka sasa mabingwa hao wa ukanda wa CECAFA wana alama tatu katika michezo miwili waliyocheza huko nchini Ivory Coast hivyo wanahitaji ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kucheza hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo.
Kocha wa timu hiyo, Esta Chaburuma amesema wanazihitaji mno alama tatu za mchezo huo licha ya kwamba anafahamu wazi atakutana na mchezo mgumu na wenye ushindani mkubwa.
Kwa upande wake nahodha wa timu hiyo ,Anastazia Katunzi amesema morali ya wachezaji ipo juu na wanaufahamu umuhimu wa mchezo huo.
Katika kundi A, Mamelodi Sondowns Ladies wanaongoza wakiwa na alama sita, Jkt Queens ni ya pili na alama tatu huku Athletico Abidjan ikiwa na alama moja sawia na Sporting Casablanca.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I get paid more than 90$ to 400$ per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this I (Qd)have earned easily $10k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…
.
.
.
Here is I started.…………>> http://remarkableincome09.blogspot.com
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month I have earned and received $18,539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com