Jkt Queens yatupwa kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika

IVORY COAST: Mabingwa wa soka la Wanawake nchini Jkt Queens wamepangwa kundi A katika michuano ya Ligi ya Mabingwa kwa wanawake inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia novemba 5 –19, 2023  nchini Ivory Coast.

Mabingwa hao wa ukanda wa CECAFA wamepangwa kundi moja na timu za Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini Athetico Fc Abidjan ya Ivory Coast na Sporting Casablanca ya Morocco.

Kundi B, lina Mabingwa watetezi wa michuano hiyo  AS FAR ya Morocco, AS Mande kutoka Mali, Ampem Darkoa ya Ghana na Huracanes ya Equatorial Guinea.

Hii ni mara ya pili kwa timu kutoka Tanzania kushiriki michuano hiyo baada ya Simba Queens kushiriki msimu uliopita katika makala ya pili ya mitanange hiyo na sasa Jkt Queens wanakwenda kushiriki  makala ya tatu ya michuano hiyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Katiba Mpya
Katiba Mpya
1 month ago

PATA HUDUMA YA MATENGENEZO YA MAGARI KWA MATATIZO YOTE GARI YAKO NA POPOTE ULIPO TANZANIA

NA

MOVABLE KURASINI GARAGE SERVICE STATION

Address: Dar Es Salaam,

,Post Office box: 21493,

Phone number:

022 285 1500

Categories: Garages & Service Stations.

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg

Maana yake PIGA SIMU TUKUHUDUMIE(jiji lililozilwa na wafanyabiashara Tanzania)

Work AT Home
Work AT Home
Reply to  Katiba Mpya
1 month ago

S­t­a­r­t w­o­r­k­i­n­g f­r­o­m h­o­m­e! G­r­e­a­t w­o­r­k f­o­r-E­v­er, ­S­t­a­y a­t H­o­m­e M­o­m­s O­R a­n­y­o­n­e n­e­e­d­s­ a­n e­x­t­r­a i­n­c­o­m­e. G­e­t s­t­a­r­t­e­d. Y­o­u o­n­l­y n­e­e­d­ a bgh computer a­n­d a reliable

c­o­m­p­u­t­e­r c­o­n­n­e­c­t­i­o­n­ s­o d­o­n’t g­e­t l­a­t­e t­r­y……. http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
Katiba Mpya
Katiba Mpya
1 month ago

PATA HUDUMA YA MATENGENEZO YA MAGARI KWA MATATIZO YOTE GARI YAKO NA POPOTE ULIPO TANZANIA

NA

MOVABLE KURASINI GARAGE SERVICE STATION

Address: Dar Es Salaam,

,Post Office box: 21493,

Phone number:

022 285 1500

Categories: Garages & Service Stations.’

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg

Maana yake PIGA SIMU TUKUHUDUMIE(jiji lililozilwa na wafanyabiashara Tanzania)

Katiba Mpya
Katiba Mpya
1 month ago

PATA HUDUMA YA MATENGENEZO YA MAGARI KWA MATATIZO YOTE GARI YAKO NA POPOTE ULIPO TANZANIA

NA

MOVABLE KURASINI GARAGE SERVICE STATION

Address: Dar Es Salaam,

,Post Office box: 21493,

Phone number:

022 285 1500

Categories: Garages & Service Stations…

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg

Maana yake PIGA SIMU TUKUHUDUMIE(jiji lililozilwa na wafanyabiashara Tanzania)

Katiba Mpya
Katiba Mpya
1 month ago

PATA HUDUMA YA MATENGENEZO YA MAGARI KWA MATATIZO YOTE GARI YAKO NA POPOTE ULIPO TANZANIA

NA

MOVABLE KURASINI GARAGE SERVICE STATION

Address: Dar Es Salaam,

,Post Office box: 21493,

Phone number:

022 285 1500

Categories: Garages & Service Stations.

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg

Maana yake WAZA GARI PIGA SIMU TUKUHUDUMIE(jiji lililozilwa na wafanyabiashara Tanzania).

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x