Jokate ajifungua mtoto wa kike

Jokate ajifungua mtoto wa kike

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, ameweka bayana kujifungua mtoto wa kike na kutangaza rasmi jina la mtoto wake, huku akionekana kwa mara ya kwanza akiwa amembeba.

Kwenye mtandao wake wa kijamii Jokate ameandika: ”Her name is Totoo. Call me Mama Totoo.  Glory to God.”

Advertisement

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *