Josko kutua City

BEKI wa RB Leipzig, Joško Gvardiol leo atafanyiwa vipimo vya afya jijini Manchester tayari kwa ajili ya kujiunga na City.
Taarifa ya Fabrizio Romano imeeleza kuwa nyaraka zote za mkataba baina ya City na mchezaji huyo, City na Leipzig zimesainiwa tayari.
Ameeleza zoezi la vipimo vya afya lilipaswa kufanyika asubuhi ya leo, hivyo huenda zoezi hilo limekamilika na kichosubiriwa ni taarifa rasmi.
Mpaka sasa City imekamilisha usajili wa Matteo Kovacic kutoka Chelsea, Josko atakuwa mchezaji wa pili.
𝐌𝐚𝐤𝐞 $𝟖,𝟎𝟎𝟎-$𝟏𝟐,𝟎𝟎𝟎 𝐀 𝐌𝐨𝐧𝐭𝐡 𝐎𝐧𝐥𝐢𝐧𝐞 𝐖𝐢𝐭𝐡 𝐍𝐨 𝐏𝐫𝐢𝐨𝐫 𝐄𝐱𝐩𝐞𝐫𝐢𝐞𝐧𝐜𝐞 𝐎𝐫 𝐒𝐤𝐢𝐥𝐥𝐬 𝐑𝐞𝐪𝐮𝐢𝐫𝐞𝐝. 𝐁𝐞 𝐘𝐨𝐮𝐫 𝐎𝐰𝐧 𝐁𝐨𝐬𝐬 𝐀𝐧𝐝 𝐂𝐡𝐨𝐨𝐬𝐞 𝐘𝐨𝐮𝐫 𝐎𝐰𝐧 𝐖𝐨𝐫𝐤 𝐇𝐨𝐮𝐫𝐬 .
.
.
.
𝐒𝐢𝐦𝐩𝐥𝐲 𝐑𝐞𝐠𝐢𝐬𝐭𝐞𝐫𝐝 𝐨𝐧 𝐠𝐢𝐯𝐞𝐧 𝐖𝐞𝐛…………. http://www.join.salary49.com