Kagame autaka tena urais

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa nne katika uchaguzi wa rais mwaka ujao.

“Ndiyo, hakika mimi ni mgombea,” Kagame aliambia jarida la Kifaransa Jeune Afrique Jana.

Alipoulizwa kuhusu mataifa ya Magharibi yangefikiria nini kuhusu uamuzi wake wa kugombea tena, Kagame alisema, “Pole kwa nchi za Magharibi, lakini kile ambacho nchi za Magharibi hufikiri sio tatizo langu.

“Nimefurahishwa na imani ambayo Wanyarwanda wanayo kwangu. Nitawatumikia daima, kadri niwezavyo.”aliongeza.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
UMASIKINI
UMASIKINI
2 months ago

Balozi wa Canada anatafuta vijana 6,500,000 kwa ajili ya kuandaa KIJIJI cha UJAMAA nchini Canada (KYLE XY).. Kama umesoma kuanzia level ya form six HADI PHD

Capture-1695199354.9581-221x300-1695204960.2433.jpg
Sarah
Sarah
2 months ago

finish some internet providers from home. I absolutely never thought it would try and be reachable anyway. My comrade mate got $13k just in about a month effectively doing this best task and furthermore she persuaded me to profit. Look at additional subtleties going to
this article..__________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by Sarah
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x