Kagame autaka tena urais

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa nne katika uchaguzi wa rais mwaka ujao.

“Ndiyo, hakika mimi ni mgombea,” Kagame aliambia jarida la Kifaransa Jeune Afrique Jana.

Alipoulizwa kuhusu mataifa ya Magharibi yangefikiria nini kuhusu uamuzi wake wa kugombea tena, Kagame alisema, “Pole kwa nchi za Magharibi, lakini kile ambacho nchi za Magharibi hufikiri sio tatizo langu.

“Nimefurahishwa na imani ambayo Wanyarwanda wanayo kwangu. Nitawatumikia daima, kadri niwezavyo.”aliongeza.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button