Kamati Kuu CCM yakutana Dodoma

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa wa Tanzania,   Dk Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo  Desemba 5, 2022.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button