Kamati Kuu CCM yakutana Dodoma

Kamati Kuu CCM yakutana Ddodoma

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa wa Tanzania,   Dk Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo  Desemba 5, 2022.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *