Kampuni150 kushiriki maonesho ya ubunifu Dar es Salaam

ZAIDI ya kampuni 150 za wabunifu zitashiriki katika maonesho ya ubunifu yatakayofanyika tarehe 13 na 14 Oktoba mwaka huu katika Makubusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Sahara Venture,Musa Kamata aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Amesema maonesho hayo yenye jina la Sahara Spacks ni tukio linalojihusisha na masuala ya ubunifu, ujasiliamali,uwekezaji na teknolojia ambapo tangu mwaka 2016 wamekuwa wakiandaa tamasha hilo.

“Na mwaka huu tumejipanga vizuri na tuna mikakati tofauti lengo kubwa tunataka kuonesha nini vijana wa kitanzania wanataka kufanya,tutakuwa na maonesho ambayo yataanza ijumaa ya wiki hii na jumamosi Makumbusho ya Taifa lakini tunashukuru kwa sapoti kutoa serikali na kutoka tume ya taifa ya sayansi na teknolojia wamekuwa chachu kubwa kwenye masuala ya ubunifu,”ameeleza,

Amebainisha kuwa lengo la maonesho hayo ni kuhakikisha wanawashirikisha wadau mbalimbali kwani kuna mabadiliko mengi na teknolojia inakua na vitu vimebadilika hivyo wanahakikisha watanzania wanaenda nayo.
Kwa upande wake Mwakilishi wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknoloji (COSTECH) Samson Mwela amesema wamekuwa mstari wa mbele katika kukuza ubunifu ambapo hadi sasa wamesaidia wabunifu 83 na baadhi yao watakwenda katika hilo tukio.

“Tunaendeleza bunifu za ndani zile bidhaa ziweze kuwafikia wananchi na kuleta mabadiliko hili tukio COSTECH imekuwa ikishiriki kama mdau muhimu na kutakuwa na mada kadhaa ambazo zitajadiliwa.

Naye Meneja wa Sahara Spacks,Rose Urassa amesema wanafanya maonesho kila mwaka kwaajili ya kuweka na kuwaunganisha wadau mbalimbali katika kuwekeza mabadiliko yanayokuja na teknolojia.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

From Home Jobs Available Here We offer fair market per-page pay rates as well as access to an abundance of work qu with the expectation of significant growth for the foreseeable future.

We also offer Here:………. http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
money
money
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS

money
money
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS..

money
money
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?

Nancynglin
Nancynglin
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Nancynglin
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x