Kamwe apigwa faini Sh milioni 1

OFISA Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe amepigwa faini ya Sh milioni 1 na Bodi ya Ligi kwa kosa la kumkejeli mwamuzi Tatu Malogo kupitia mitandao ya kijamii.

Imeelezwa Kamwe alichapisha picha ya mwamuzi huyo katika ukurasa wake wa Instagram akiunganisha na wimbo wa Billnas uitwao ‘Maokoto.

Kitendo hicho kimetafsiriwa kumhusisha mwamuzi huyo na masuala ya rushwa.

3 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *