Kapinga azionya Kampuni za uuzaji mafuta

DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amezionya kampuni za uuzaji wa mafuta dhidi ya kuhodhi mafuta, kitendo ambacho kinasababisha uhaba na kusababisha ongezeko la bei.
“Hatutasita kuwachukulia hatua za kisheria,” Kapinga alisisitiza mwishoni mwa juma aliposhinda tuzo ya mfanyabiashara wa Puma Energy Tanzania iliyofanyika jijini ar es Salaam.
Hafla hiyo mwaka huu imelenga katika kutambua mchango wa wafanyabiashara wa Puma Energy katika hafla hiyo, Naibu Waziri ameitaka Kampuni ya Puma Energy Tanzania kupeleka maeneo ya vijijini ambako upatikanaji wa mafuta umekuwa changamoto.

Amesema mapaka sasa, kampuni hiyo ina vituo 74 vya mafuta, lakini idadi hiyo bado ni ndogo kwa kuzingatia ukubwa wa kampuni na changamoto za usambazaji wa mafuta hususani maeneo ya vijijini.
Akizungumzia tuzo hiyo, Kapinga ameiomba kampuni hiyo kuifanya iwe endelevu na kuhakikisha inawekeza kwa kiwango kikubwa katika Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), hususan katika elimu ili kusaidia nchi kuzalisha wataalam zaidi wa sekta ya mafuta na gesi.
Awali, akimkaribisha Naibu Waziri, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Puma, Selemani Majige, alimshukuru Rais, Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake, na kuahidi kuwa kampuni hiyo itahakikisha upatikanaji wa mafuta zaiidi, aidha kujenga vituo vingi vya mafuta hususani maeneo ya vijijini.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I’m making a good salary from home 16,580-47,065/ Dollars week, which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with everyone.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
★I am making a real GOOD MONEY (123$ / hr ) online from my laptop. Last month I GOT check of nearly $30k, this online work is simple and straight forward, don’t have to go OFFICE, Its home online job.(nsa) You become independent after joining this JOB. I really thanks to my FRIEND who refer me this SITE. I hope you also got what I…go to home media tech tab for more detail reinforce your heart…
══════HERE► http://Www.Smartcareer1.com