Kata ya Uhambingeto yapatiwa maji

WAKALA wa Maji na usafi wa Mazingira Vijiji (RUWASA) Mkoa wa Iringa imetekeleza agizo la Waziri wa Maji, Juma Aweso lililowataka kuhakikisha mradi wa maji wa Uhambingeto wilayani Kilolo mkoani Iringa unakamilika na kuanza kutoa huduma kwa Wananchi.

Kukamilika kwa mradi huo kumekuja baada ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa,  Daniel Chongolo katika ziara yake aliyofanya Mei mwaka huu kata ya Uhambingeto kupokelewa na vilio vya wananchi kuhusu kero ya maji na kusuasua kwa mradi huo.

Katika kuipatia ufumbuzi kero hiyo Chongolo alimpa siku 10 Waziri wa Maji Juma Aweso kuhakikisha suluhu ya changamoto hiyo inapatikana.

Akijibu kilio cha Wananchi wa kata hiyo, Aweso aliomba radhi na akaahidi kutumia miezi mitatu toka Juni mwaka huu ili wizara yake izifanyie kazi dosari zilizojitokeza na kuukamilisha mradi huo ili wananchi waanze kupata maji.

Kukamilika kwa sehemu kubwa ya mradi huo kumepeleka shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hassan na furaha kwa wananchi zaidi ya 8,989 wa kata na kijiji cha Uhambingeto kwa kuondokana na adha ya ukosefu wa maji safi na salama kwa zaidi ya miaka 60.

Zaidi ya Sh bilioni 1.7 kati ya Sh bilioni 2.1 zilizokuwa zimetengwa zimetumiwa na Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijiji (RUWASA) kufikishia huduma ya maji katika eneo hilo kupitia chanzo cha milima ya Selebu.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi RUWASA Mhandisi Ruth Koya ametembelea eneo hilo na kuipongeza RUWASA Mkoa wa Iringa kwa hakikisha mradi huo uliokwama kakamilika Januari mwaka huu kama ilivyokuwa imepangwa, umekamilika na umeanza kutoa huduma hiyo kwa wananchi.

Mmoja wa wananchi wa kijiji hicho, Rehema Kikoti alisema historia imeandikwa katika kijiji hicho baada ya kuanza kupata huduma ya maji ya bomba ambayo hawakuwa nayo kwa zaidi ya miaka 60 ya Uhuru.

“Kabla ya mradi tulikuwa tunafuata maji umbali mrefu kwenye mito na madimbwi ambayo nayo ikifika mwezi wa nane yanakauka kwasababu ya jua kali na uharibifu wa mazingira na hivyo kuongeza adha kwa wananchi,” alisema.

Alisema kukauka kwa maji ya mito na madimbwi kulikuwa kunawalazimu kununua maji katika vijiji jirani vya Kipaduka na Vitono kwa kati ya Sh 2,000 na Sh 5,000 kwa dumu la lita 20 na hivyo kuongeza gharama za maisha kwa wananchi.

“Tunaishukuru sana serikali ya Mama Samia kwa mikakati yake inayolenga kumtua mama ndoo kichwani. Kijijini hapa sasa ni furaha isiyo na kifani hasa kwa wanawake waliokuwa wanalazimika kutembea umbali mrefu kusaka maji,” alisema.

Akipokea shukrani hizo kwa niaba ya Serikali na Wizara ya Maji Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi RUWASA alisema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ina nia ya dhati ya kumtua mwanamke ndoo kichwani kwa kusogeza huduma ya maji safi na salama kwa umbali usiozidi mita 400.

“Mradi huu ambao kila kitu chake kitakuwa kimekamilika kwa asilimia 100 Septemba 30 mwaka huu tayari umeanza kutoa huduma kwa baadhi ya vijiji vya Kata hii ya Uhambingeto; niwaombe muendelee kuiunga mkono serikali kwani ina nia ya dhati ya kufikisha huduma huduma mbalimbali kila mahali walipo wananchi,” alisema Mhandisi Koya.

Aliwataka wananchi hao kuwa walinzi wa kwanza wa miundombinu ya maji kijijini hapo ili iwe na manufaa kwa kijiji chote.

Akitoa shukrani kwa niaba ya wananchi wiwani wa kata Uhambingeto Tulinumtwa Alphonce alisema zile zaidi ya kilometa tisa walizokuwa wakitembea kutafuta maji zimefika ukomo.

“Kilio chetu cha miaka yote kimepatiwa ufumbuzi, hatua inayofuata ni kwa wananchi kuunganisha huduma ya maji katika nyumba zao. Uhambingeto inaenda kuwa mjini baada ya kufikiwa na huduma hii,” alisema.

Diwani huyo aliwapongeza mafundi wanaotekeleza mradi huo kwa moyo wa uzalendo na wa kujituma uliowawezesha kukamilisha mradi huo kwa asilimia kubwa.

“Wamefanya kazi usiku na mchana bila kuchoka. Tunaomba Serikali imuangalie kwa Jicho la pekee huyu Mhandisi Kilave kwani yeye hajaajiriwa lakini amesimamia mradi huu kwa uadilifu hadi umeanza kutoa huduma hata kabla ya muda wa kwenye Mkataba kumalizika,” alisema diwani huyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
juliya
juliya
24 days ago

earn 200 dollars per hour working from home on an online job. 9t9 I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
CLICK HERE ——————-> http://www.Smartwork1.com

Last edited 24 days ago by juliya
juliya
juliya
24 days ago

sdafbd

watch pictures
watch pictures
23 days ago

Kampuni yaunga mkono utalii hifadhi ya Burigi

MAPINDUZI.JPG
watch pictures
watch pictures
23 days ago

Dissertation

RAIS WA TANZANIA NI JULIUS KAMBARAGE NYERERE JUSTIFY 

MAPINDUZI.JPG
Joni
Joni
23 days ago

Finalement, jai fait 145 $/h. Il est temps de passer à laction et vous pouvez également le rejoindre. Cest un moyen simple, dévoué et facile de devenir riche. Dans trois semaines, vous souhaiterez avoir commencé aujourdhui. Essayez-le simplement sur le site daccompagnement.
BONNE CHANCE…. https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 23 days ago by Joni
mariamkweka1997@gmail.com
mariamkweka1997@gmail.com
23 days ago

Rasimu Na. 1

WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20

MUHTASARI WA WARAKA

KICHWA CHA WARAKA

Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).

WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.

MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.

CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.

MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini.

MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot

MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.

USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala

RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.

W-M A.J.M.K.

XXXXXXXXXXX

hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda

jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)

mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)

mkapa (kuplant those inspiration)

jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)

magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)

ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu

XXXXXXXX

Capture1.JPG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x