Kaya 80,000 zapatiwa msaada Kenya

TAKRIBANI kaya 80,000 nchini Kenya zimeathiriwa na mvua kubwa, mafuriko na maporomoko ya ardhi wiki iliyopita, Naibu wa Rais amesema.

Huduma za dharura zinatumia helikopta kutoa msaada na uokoaji wa familia zilizoachwa, taarifa ya Rigathi Gachagua imeeleza.

Afrika Mashariki imekumbwa na mvua kubwa inayohusishwa na hali ya hewa ya El Niño, ambayo imeua makumi ya watu, ikiwa ni pamoja na 46 nchini Kenya.

Mafuriko pia yamesababisha vifo na nchini Somalia na Ethiopia.

Mvua hiyo imeelezwa na Umoja wa Mataifa kama tukio la kubwa katika karne.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MCHAGA KANIPA HELA
MCHAGA KANIPA HELA
19 days ago

Mbunge wa KWANZA MZUNGU KWENYE BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA… KUWAKILISHA HELA ZA WORD BANK, IMF, MISAADA KUTOKA ULAYA… N.K – ZA KUJENGEA BARABARA, RELI, FLYOVER,

https://sw.wikipedia.org/wiki/Mzungu_Kichaa

HELA ZAO HAZINA MWAKILISHI – KAMA FUNDI ANAHITAJI NYUMBA YAKE KWA SABABU ALIJENGA YEYE (MCHAGA KANIPA HELA)

Melissick
Melissick
19 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 19 days ago by Melissick
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x