Kesi 42 kusikilizwa Mahakama ya Rufaa

NAIBU Msajili wa Mahakama ya Rufaa Tanzania, Charles Magessa amesema kuwa mahakama hiyo inatarajiwa kusikiliza kesi 42 katika kikao chake kilichoanza jana agosti 14 mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
Magessa alisema kuwa katika kikao hicho ambacho kimeanza mkoani Arusha katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kitaongozwa na mwenyekiti jopo la majaji watatu jaji Mwanaisha Kwariko.
Alisema majaji wengine wataosikiliza kesi hizo ambazo ni kesi za jinai na mdai ni pamoja na jaji Barke Salehe,Jaji Zepharine Galba na Jaji Amour Hamisi.
Msajili huyo alisema kikao hicho kinatarajiwa kumalizika Septemba Mosi mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
Alisema vikao vyote vinatarajiwa kuanza majira ya saa 2.30 asubuhi na kumalizika majira ya saa 9.30 mchana na kila kitu kiko sawa kwa ajili ya vikao hivyo.
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
Earn income while simply working online. Work from home whenever you want. Just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here===========================>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. 6f7 I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job by.
just copy and paste……………………….> http://www.SmartCash1.com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
TECHNOLOJIA YA UZAZI LEO
INCUBATOR YA KUZALISHA WATOTO WACHANGA WA BINADAMU.
✓Inazaliza watoto wachanga 20 kwa wakati mmoja. Huzalisha pia Ng’ombe, Ng’uruwe na Mbuzi. Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 98% ni full automatic na inageuza mtoto mchanga yenyewe. Ina mfumo rafiki sana kutumia. inatunza joto kwa zaidi ya masaa 75 baada ya umeme kukatika. iko stable na precise kwenye controlling ya joto na unyevu. utapata ofa ya drinker na feeder seti moja bure. ni mpya kabisa.
GHARAMA TSH CENT 1
TECHNOLOJIA YA UZAZI LEO
INCUBATOR YA KUZALISHA WATOTO WACHANGA WA BINADAMU.
✓Inazaliza watoto wachanga 20 kwa wakati mmoja. Huzalisha pia Ng’ombe, Ng’uruwe na Mbuzi. Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 98% ni full automatic na inageuza mtoto mchanga yenyewe. Ina mfumo rafiki sana kutumia. inatunza joto kwa zaidi ya masaa 75 baada ya umeme kukatika. iko stable na precise kwenye controlling ya joto na unyevu. utapata ofa ya drinker na feeder seti moja bure. ni mpya kabisa.
GHARAMA TSH CENT 1