Kinana: Gen. Musuguri ni mzalendo wa kweli

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amemtembelea Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali David Musuguri nyumbani kwake Butiama mkoani Mara na kumjulia hali.
Akiwa nyumbani kwake, Kinana amemuelezea Jenerali Musuguri kuwa ni mzalendo wa kweli aliyeongoza vita ya Kagera uliyochukua kipindi kifupi kuliko vita vyote duniani.
Amesema, vita hiyo ilianza Novemba 11, mwaka 1978 hadi Aprili 1979.
“Jenerali Musuguri ameliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50, ameliongoza Jeshi katika nafasi mbalimbali, tukiadhimisha miaka 44 ya vita ya Uganda Jenerali Musuguri ndiye aliyeyaongoza majeshi ya Tanzania kumng’oa Nduli Idd Amin.
Awali, Jenerali Musuguri alionyesha kufurahia ujio wa Makamu huyo wa CCM na pia alimuwekea mikono kichwani kama hishara ya kumbariki.
Januari 5, 2023 Jenerali Musuguri ametimiza umri wa miaka 103.
My most recent pay test was for a 12-hour-per-week internet job for 9,500 dollars. For months, my sister’s friend has been making an average of 15,000, and she puts in about 20 hours every week. As soon as I gave it a try, I was shocked at how simple it was.
.
.
Do this instead———————————>>> https://fastinccome.blogspot.com/
Start now earning cash every month online from home. Getting paid more than ****k by doing an easy job online. I have made **** in last 4 weeks from this job. Easy to join and earning from this are just awesome. Join this right now by follow instructions
.
.
here,═══☛☛ https://onlinemarketing8uk.blogspot.com/
Mike, great work. I appreciate your work since I presently make more than $36,000 a month from one straightforward internet business! I am aware that you are now making a good living online starting sb-05 with merely $29,000, and they are simple internet operational chores.
.
.
Just click the link————————>> https://onlinemarketing8uk.blogspot.com/