Kinana: Maisha ni hadithi
Simulizi nzuri zinaishi

ARUSHA: Makamu Mwenyekiti wa CCM, Tanzania Bara,Abdulrahman Kinana amesema maisha ni hadithi hivyo ukitaka kuandika maisha yako uwe na mambo mema kwani uongozi ni tabia si akili na wala si masomo.
“Kinachomtofautisha mtu katika uongozi ni tabia yake kwani kiongozi ni mtu anayejenga umoja”
Kauli hiyo imetoa katika Ibada ya Kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Arusha, marehemu Zelothe Stephen ambapo amesema

Cheo cha marehemu kilikuwa cha juu sana lakini hakuwa kiongozi wa kutisha watu na watu walimheshimu kwa tabia na alitoa rai kwa viongozi wengine kuweka mkazo katika tabia na si vyeo vyao.
“Mungu atufanye kuwa watu wenye tabia njema na si ukubwa wa vyeo” amesema Kinana.
Huku Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema amepoteza mtu muhimu katika maisha yake na alikuwa ni kiongozi wa pekee.
★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. ( a77q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job. All you need to know is how to copy and paste items online. Sign up today by following the details on this page.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
Make money just by working online. Work from home at your convenience. You may earn over $600 a day online by working only five hours a day. I earned $18,000 from this past month during my free time.
.
.
Detail Here——————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com