Kiongozi wa kijeshi Gabon aapishwa kuwa rais

GABON: Kiongozi wa kijeshi nchini Gabon, Brice Nguema, ameapishwa kuwa rais wa mpito wa taifa hilo.

Jenerali Nguema aliongoza mapinduzi ya Jumatano iliyopita dhidi ya aliyekuwa Rais wa chi hiyo Ali Bongo, muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi uliogubikwa na utata.

Katika hafla hiyo, umati wa raia waliojitokeza kushuhudia kuapishwa kwake walihanikiza kwa nderemo na vifijo kama ishara ya uungaji mkono kwa uongozi mpya.

Hata hivyo, kuna wasiwasi kwamba utawala wa Jenerali Nguema utakuwa mwendelezo wa nasaba ya Rais Bongo iliyodumu kwa miaka 55 kwani inaelezwa Bongo na Nguema ni mabinamu.

Ali ni motto wa kiongozi wa zamani wa taifa hilo, Omar Bongo aliyekalia kiti cha urais kwa miaka 41 kabla ya kufariki mwaka 2009 na kurithiwa na mwanawe Ali Bongo ambaye naye aliongoza taifa hilo kwa miaka 14.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
7 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
EthelHill
EthelHill
22 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 22 days ago by EthelHill
LylahChristen
LylahChristen
22 days ago

I’m currently generating over $35,100 a month thanks to one small internet job, 4w5 therefore I really like your work! I am aware that with a beginning capital of $28,800, you are cdx02 presently making a sizeable quantity of money online.
Just open the link——->> http://www.SmartCareer1.com

AveSmith
AveSmith
22 days ago

I am making $162/hour telecommuting. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21,000 a month by working on the web, that was truly shocking for me, she prescribed me to attempt it simply.
.
.
Detail Here——————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

hariror
22 days ago

My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..> 
.
.
Detail Here——————————>>> 
https://www.pay.salary49.com

Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
22 days ago

Hela za kujenga ofisi za serikali zimepungua kwa asilimia 100, manager lini tutasini vifone

Capture2.JPG
Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
22 days ago

Job Application

OIP.jpeg
Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
22 days ago

Job Applications

R.jpeg
Back to top button
7
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x