Kiwanja cha michezo kujengwa Mwenge

MANISPAA ya Kinondoni Dar es Salaam imesema iko katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa kiwanja cha michezo eneo la Mwenge lengo likiwa ni kuhamasisha michezo kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.

Mkuu wa wilaya hiyo, Saad Mtambule amesema hayo Dar es Salaam na kuongeza kuwa ujenzi huo unatokana na kutekeleza amri ya Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ya kuhamasisha michezo.

Amesema ufanyaji wa michezo unasaidia kuepusha magonjwa yasiyoambukiza katika jamii ambayo yamekuwa yakitumia fedha nyingi za serikali kwa ajili ya matibabu.

” Michezo ni mazoezi ya viungo ambayo pia yanaepusha kuongezeka uzito, magonjwa kama ya shinikizo la damu na hata kisukari,” amesema na kuongeza kuwa kwa wilaya hiyo tayari Kuna vikundi vya mazoezi vipatavyo 62.

Amesema maelekezo ya Waziri Mkuu pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhamasisha michezo na pia kulinda na kutunza maeneo ya wazi yaweze kutumika kwa mazoezi na michezo pamoja na kuamgalia maeneo mengine.

Ametolea mfano kwa eneo la Mbweni kuwa Ina maeneo matano yanayoweza kutumika kwa michezo na kuwataka wananchi kuyatumia maeneo hayo Kwa kufanya mazoezi ya michezo na viungo pia.

Aidha amesema maeneo ya fukwe pia yanaweza kutumika kwa mazoezi na michezo Kwa kuwa wilaya hiyo ina kilomita 42 za fukwe.

“Zipo fukwe kama za Msasani,Kidimbwi,Kunduchi ambazo zinaweza kutumika liicha ya kwamba yapo baadhi ya maeneo yanayotiririsha maji machafu kutoka majumbani,” amesema na kuongeza kuwa upomradio unaotekelezwa kuondoa kero ya maji machafu.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it, 

Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
MONEY
MONEY
1 month ago

NEC UCHANGUZI LEO

Nani anafaa KUWA RAIS wa Tanzania mzungu kulipa fadhila za OBAMA KUWA RAIS WA MAREKANI NA Greg Fergus SPIKA WA CANADA WA SASA!? – Hongera kwa kuzaa kizazi kisichojihusisha na SIASA……

UCHANGUZI LEO
UCHANGUZI LEO
1 month ago

NEC UCHANGUZI LEO

 

 Nani anafaa KUWA RAIS wa Tanzania mzungu kulipa fadhila za OBAMA KUWA RAIS WA MAREKANI NA Greg Fergus SPIKA WA CANADA WA SASA!? – Hongera kwa kuzaa kizazi kisichojihusisha na SIASA…

 

MAANA YAKE NI KUCHAGUA RAHA ZA IDI AMINI DADA ILI WATOTO WAZILITHI!

HayleyMelinda
HayleyMelinda
1 month ago

[ JOIN US ] I am making a good salary from home $16580-$47065/ Dollars week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. (f 99q) I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://Www.SmartCareer1.com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x