Kongamano demokrasia vyama vingi kesho Dar

MDAHALO wa kumuenzi Mwalimu Julius Nyerere kujadili mfumo wa demokrasia ya vyama vingi unatarajiwa kufanyika kesho jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari,  Mkurugenzi wa Taasisi ya The Mwalimu  Nyerere, Prof. Francis Matambalya, amesema kuwa mdahalo huo wasiku moja utahusisha wadau mbalimbali na utafanyika New Africa Hotel

“Tutajadili mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, wanaionaje. Wajibu wa viongozi wa vyama vya siasa, nafasi  kurasimisha mfumo wa vyama vingi, uhusiano kati ya dola na vyama vya siasa, sera, Katiba, sheria, kanuni na taratibu,” amesema Prof.Matambalya

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button