Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Jim Yonazi akishiriki kongamano la kuunganisha wadau wa TEHAMA wakiwemo wa Miundombinu wa Ndani na Nje ya Nchi ‘Connect 2 Connect - C2C’ linaloendelea leo Septemba 8, 2022 katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam.