Korea kuipiga tafu Chalinze

TAASISI ya Wakorea inayoitwa Kofih Tanzania imeingia mkataba wa ushirikiano kwa miaka mitano na hospitali ya wilaya ya Chalinze.

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwan Kikwete amesema kuwa makubaliano hayo yatawezesha kuimarishwa kwa miundombinu ya Afya hasa Hospitali ya Wilaya, vituo Vya Afya na kuwezesha vifaa tiba katika eneo la wakina mama na Watoto.

Amesema, pia mahitaji ya vifaa vya huduma za dharura na kuwezesha watendaji wa sekta mafunzo ya ujuzi wa juu katika Halmashauri hiyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Samwely
Samwely
4 months ago

Samwely

Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x