Kumekucha maandalizi mkutano CCM

Kumekucha maandalizi mkutano CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Dk Samia Suluhu, leo amekagua maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 10 wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika Desemba 7-8, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

/* */