‘Kuweni na subira ripoti takwimu hali ya ulemavu ‘

OFISI ya Taifa ya Takwimu imewataka wadau wanaohitaji  ripoti za takwimu za hali ya ulemavu nchini  baada ya matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kuwa na uvumilivu kwani bado taarifa zake zinaandaliwa.

Hayo yamesemwa na Meneja wa Takwimu Mkoa wa Tanga Toni Mwanjota kwa niaba ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali  Albina Chuwa, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 Kwa viongozi,watendaji na watu wa makundi maalum mkoani Tanga.

Amesema kuwa matokeo ya ripoti hiyo yamekuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na wadau mbalimbali ,Ili kujua hali halisi ya kundi hilo kwa sasa hapa nchini.

“Taarifa za watu wenye ulemavu ni ripoti ambayo inaandaliwa hivyo tunaomba subira kutoka kwa wadau wote wa takwimu za hali za watu wenye ulemavu,”amesema Mwanjota.

Amesema kuwa  ofisi ya takwimu inaelewa umuhimu wa ripoti hiyo ndio maana imo katika orodha ya taarifa ambazo zinaandaliwa kama ambavyo zilizotangulia  hapo awali.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
zurdeherdi
zurdeherdi
1 month ago

I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://Fastinccome.blogspot.Com/

KarenKerr
KarenKerr
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by KarenKerr
McKenzieJessa
McKenzieJessa
1 month ago

I make 100USD /hr while I’m traveling the world. Last week I worked on my laptop in Rome, Monti Carlo and finally Paris. 4i2 This week I’m back in the USA. All I do are easy tasks from this one cool site.
Check it out on this site………….>  http://www.SmartCash1.com

Julia
Julia
1 month ago

Making an additional $15,000 per month by performing simple copy-and-paste online work from home. With this easy at-home job, I made $18,000. Nowadays, anyone may simply make extra money online.
.
.
Detail Here—————————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Chukua Kifo Hichoo
Chukua Kifo Hichoo
1 month ago

Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA?

MAPINDUZI.GIF
Chukua Kifo Hichoo
Chukua Kifo Hichoo
1 month ago

Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA?

Au UNGANA NAO AU/ TOFAUTISHA TAKA NA TAKATAKA

MAPINDUZI.GIF
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x