‘Kuweni na subira ripoti takwimu hali ya ulemavu ‘

OFISI ya Taifa ya Takwimu imewataka wadau wanaohitaji ripoti za takwimu za hali ya ulemavu nchini baada ya matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kuwa na uvumilivu kwani bado taarifa zake zinaandaliwa.
Hayo yamesemwa na Meneja wa Takwimu Mkoa wa Tanga Toni Mwanjota kwa niaba ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Albina Chuwa, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 Kwa viongozi,watendaji na watu wa makundi maalum mkoani Tanga.
Amesema kuwa matokeo ya ripoti hiyo yamekuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na wadau mbalimbali ,Ili kujua hali halisi ya kundi hilo kwa sasa hapa nchini.
“Taarifa za watu wenye ulemavu ni ripoti ambayo inaandaliwa hivyo tunaomba subira kutoka kwa wadau wote wa takwimu za hali za watu wenye ulemavu,”amesema Mwanjota.
Amesema kuwa ofisi ya takwimu inaelewa umuhimu wa ripoti hiyo ndio maana imo katika orodha ya taarifa ambazo zinaandaliwa kama ambavyo zilizotangulia hapo awali.
I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://Fastinccome.blogspot.Com/
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
I make 100USD /hr while I’m traveling the world. Last week I worked on my laptop in Rome, Monti Carlo and finally Paris. 4i2 This week I’m back in the USA. All I do are easy tasks from this one cool site.
Check it out on this site………….> http://www.SmartCash1.com
Making an additional $15,000 per month by performing simple copy-and-paste online work from home. With this easy at-home job, I made $18,000. Nowadays, anyone may simply make extra money online.
.
.
Detail Here—————————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA?
Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA?
Au UNGANA NAO AU/ TOFAUTISHA TAKA NA TAKATAKA