Kwaheri Zaituni Saedia

Kwaheri Zaituni Saedia

WANANCHI mbalimbali, leo wamejitokeza kumzika mfanyakazi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Zaituni Saedia, aliyefariki usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.

Marehemu Zaituni Saedia

Zaituni amezikwa jioni hii katika makaburi ya Bakwata, Kinondoni, Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wafanyakazi wenzake wa TSN, majirani, ndugu na jamaa.

Advertisement
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *