Ligi pendwa EPL imerejea

ENGLAND: Baada ya mapumziko ya wiki moja kupisha michezo ya kimataifa, Ligi Kuu nchini England inarejea leo kwa michezo kadhaa.

Mchezo wa mapema utakuwa kati ya Liverpool dhidi ya Wolves, utapigwa saa 8:45 mchana.

Fulham dhidi ya Luton, Spurs watakuwa nyumbani kuwakaribisha Sheffield United, West Ham watakuwa London Stadium kuwakaribisha vijana wa Pep Guardiola, Man City, Man United dhidi ya Brighton, Aston Villa dhidi ya Crystal Palace, michezo yote itapigwa saa 11:00 jioni.

Newcastle United watakuwa St James Park kuwakaribisha ‘The Bees’ Brentford, mchezo huo utapigwa saa 1:30 usiku.


Imeandaliwa na Rahimu Fadhili

Tembelea //epaper.tsn.go.tz kusoma zaidi

Una maoni usisite kutuandikia

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button