“Lindi, Mtwara tunatarajia mradi mkubwa wa gesi”

MTWARA: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema barabara na miundombinu yote ambayo itahusika na mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG) mkoani Lindi itaanza kujengwa utekelezaji wa mradi huo utakapoanza.
–
Rais amesema hayo leo wakati akionge na wananchi wa kata ya Nanguruwe, Mtwara Vijijini mkoani Mtwara.
–
“Lindi na Mtwara tunatarajia mradi mkubwa sana wa gesi, ule mradi utakapokuja barabara zote zinazohusiana na mradi ule zinakwenda kujengwa.” amesema.
–
Rais amesema kwa sasa serikali ipo kwenye hatua za mwisho za mazungumzo ili mradi wa LNG uanze kujengwa.
–
Raisi Samia Suluhu Hassan yupo Mtwara kwa ziara ya siku nne kukagua miradi ya maendeleo, kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)
–
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://smartcareer12.blogspot.com/
I’ve got my first check for a total of 23,000 dollars. I am so energized, this is whenever I first really acquired something. I will work much harder now and I can hardly hang tight for the following week installment.
.
.
Detail Here………………………………………………………………… http://Www.BizWork1.Com
PATA DOLLA $45,000,000 SASA FANYA KAZI NYUMBANI NA HUTAKIWI KUTOKA HATA KIDOGO KABISA
TANGAzo
Chama cha MAPINDUZI kinawatangazia VIJANA WA KITANZANIA 500,000 kuandaa kijiji cha ujamaa eneo la UVUMI DODOMA…
WAHI FURSA HII ADIMU KWA MAENDELEO YA KARNE YA 23
Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?
MJERUMANI
MHINDI
MTANZANIA
MKENYA
MNIGERIA
MHISPANIA
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?