Generated by All in One SEO v4.9.8, this is an llms.txt file, used by LLMs to index the site. # HabariLeo Tanzania Standard Newspapers ## Sitemaps - [XML Sitemap](https://habarileo.co.tz/sitemap.xml): Contains all public & indexable URLs for this website. ## Posts - [Pumba Zilizogeuka Dhahabu](https://habarileo.co.tz/pumba-zilizogeuka-dhahabu/) - Mashine inaanza kunguruma majira ya saa tatu asubuhi. Ndani ya banda la bati sokoni pembezoni mwa Barabara ya Dodoma–Morogoro, gunia la mahindi linapasuliwa kwa kisu na kumwagwa taratibu ndani ya kinu. Dakika chache baadaye, upande mmoja unatoka unga mweupe unaopeperusha vumbi jembamba, huku upande mwingine ukitiririka mkondo wa pumba za rangi ya dhahabu. Hakuna anayezifagia. - [Mwanza yang'ara UMISETA 2026, yatwaa ubingwa wa jumla](https://habarileo.co.tz/mwanza-yangara-umiseta-2026-yatwaa-ubingwa-wa-jumla/) - MWANZA: MKOA wa Mwanza umeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) 2026, yaliyoshirikisha wanafunzi kutoka mikoa yote 26 ya Tanzania Bara pamoja na Zanzibar. Katika mashindano hayo yaliyohitimishwa leo mjini Iringa, Mwanza iliongoza msimamo wa jumla baada ya kufanya - [CHAKULA, DIPLOMASIA NA USHAWISHI](https://habarileo.co.tz/chakula-diplomasia-na-ushawishi/) - Asubuhi ya Mei 16, 2026, shughuli za usafirishaji wa mazao katika mpaka wa Holili unaounganisha Tanzania na Taveta nchini Kenya zilisimama kwa muda. Haikuwa kwa sababu ya ukame. Wala haikuwa kwa sababu ya mavuno kupungua mashambani. Kilichosimama ulikuwa ni mtiririko wa biashara. Ndani ya saa chache tu, athari zikaanza kuonekana upande wa Kenya. Migahawa ilianza - [Miti 1,000 yapandwa Tanga](https://habarileo.co.tz/miti-1000-yapandwa-tanga/) - TANGA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Tanga, imekuja na mkakati wa kuhifadhi mazingira kwa kuzindua kampeni ya upandaji wa miti 1,000 katika shule mbalimbali za msingi na sekondari jijini hapa. ​Zoezi hilo, lililolenga kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi, limezinduliwa rasmi katika Shule ya - [DIPLOMASIA YA MADINI](https://habarileo.co.tz/diplomasia-ya-madini/) - MAHENGE — Kabla hata mgodi wa kinywe wa Mahenge haujaanza kuzalisha tani moja ya madini, dalili za mabadiliko tayari zinaonekana katika Wilaya ya Ulanga. Zaidi ya wananchi 1,200 waliopisha mradi wamelipwa fidia, ofisi za vijiji zimejengwa, shule zimekarabatiwa, visima vya maji vimechimbwa, huku maandalizi ya kupeleka umeme wa kilovoti 220 kutoka Ifakara hadi Mahenge na - [Serikali yakanusha upotoshaji kuhusu biashara ya kaboni](https://habarileo.co.tz/serikali-yakanusha-upotoshaji-kuhusu-biashara-ya-kaboni/) - DODOMA: Serikali imesema haijauza wala kukabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni. Akizungumza na waandishi wa habari Juni 26, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amekanusha madai yaliyotolewa na baadhi ya viongozi - [BMH yahimiza Watanzania kuchangia mfuko wa upandikizaji figo na uloto](https://habarileo.co.tz/bmh-yahimiza-watanzania-kuchangia-mfuko-wa-upandikizaji-figo-na-uloto/) - DODOMA: HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH) imeendelea kuwataka Watanzania kushiriki kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji upandikizaji wa figo na uloto kwa kuchangia Mfuko wa Upandikizaji wa Figo na Uloto, huku ikieleza kuwa mafanikio ya huduma hizo yameifanya Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba barani Afrika. Akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa Jukwaa la Wahariri - [Mavunde: Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji madini Afrika](https://habarileo.co.tz/mavunde-tanzania-kuwa-kitovu-cha-uchakataji-madini-afrika/) - DAR ES SALAAM —Serikali imeweka mkakati wa kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji na uongezaji thamani wa madini barani Afrika kupitia uwekezaji mkubwa katika viwanda vya usafishaji, uchakataji na uyeyushaji wa madini. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, alisema mkakati huo unalenga kuongeza thamani ya madini yote yanayozalishwa nchini kabla ya kuuzwa katika masoko ya kimataifa, hatua - [Ushirikiano Tanzania, Sweden waimarisha elimu](https://habarileo.co.tz/ushirikiano-tanzania-sweden-waimarisha-elimu/) - WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema ushirikiano wa miaka 63 kati ya Tanzania na Sweden umechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya elimu,matumizi ya nishati safi, utafiti na ujenzi wa rasilimali watu nchini. Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 63 ya ushirikiano wa maendeleo kati ya Tanzania na Sweden,Profesa Mkenda alisema ushirikiano huo - [Kasulu yatoa Sh milioni 608.9 kwa vikundi 53 mikopo 10%](https://habarileo.co.tz/kasulu-yatoa-sh-milioni-608-9-kwa-vikundi-53-mikopo-10/) - KIGOMA: Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imetoa Sh milioni 608.9 kwa vikundi 53 vya wajasiriamali kupitia mpango wa mikopo ya 10% ya mapato yake, hatua inayowanufaisha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Akizungumza Juni 26, 2026 wilayani humo katika hafla ya utoaji wa mikopo kwa robo ya tatu na ya nne ya mwaka - [Elimu inahitajika kudhibiti uchafuzi wa mazingira Dar](https://habarileo.co.tz/elimu-zaidi-inahitajika-kudhibiti-uchafuzi-wa-mazingira-dar/) - JIJI la Dar es Salaam linaendelea kukabiliwa na changamoto kubwa ya uchafuzi wa mazingira unaotokana na ongezeko la taka ngumu, matumizi holela ya plastiki, uchafuzi wa hewa, pamoja na utupaji wa majitaka usiozingatia taratibu za kimazingira. - [Nishati safi wabisha hodi kwenye saluni](https://habarileo.co.tz/nishati-safi-wabisha-hodi-kwenye-saluni/) - DAR ES SALAAM; KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikana na taasisi ya Kidodi Foundation wameingia makubaliano ya kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi nchini kwa kulifikia kundi la watoa huduma za saluni nchini. Kwa mujibu wa Oryx na Kidodi Foundation watoa huduma za Saluni nchini ni kundi lenye uwezo mkubwa wa kuharakisha matumizi ya - [Mbunge Ngajilo ahoji kukwama mradi wa barabara](https://habarileo.co.tz/mbunge-ngajilo-ahoji-kukwama-mradi-wa-barabara/) - IRINGA: Mradi wa barabara ya mchepuo ya Iringa (Iringa Bypass) unaendelea kuwa gumzo kubwa bungeni na miongoni mwa wananchi, baada ya kazi zake kusimama katika hatua muhimu ya ujenzi, hali inayozua maswali juu ya hatima ya mradi huo wa kimkakati unaotarajiwa kubadilisha uso wa mji wa Iringa. Mbunge wa Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ameibua hoja - [Tamasha uhuru wa DRC kufanyika Juni 30 Dar](https://habarileo.co.tz/tamasha-uhuru-wa-drc-kufanyika-juni-30-dar/) - DAR ES SALAAM: JUMUIYA ya Wakongo waishio Tanzania inatarajia kuadhimisha miaka 66 ya Uhuru wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kupitia tamasha kubwa litakalofanyika Juni 30, 2026, katika viwanja vya Montana, jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Fariara Lengose, amesema maadhimisho hayo yanalenga kuenzi historia ya taifa - [Hewa ukaa yazidi kuwa tishio Tanzania](https://habarileo.co.tz/hewa-ukaa-yazidi-kuwa-tishio-kwa-tanzania/) - WAKATI Tanzania ikiendelea kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yenye lengo la kujenga uchumi wa kisasa, wa ushindani na unaojali mazingira, wataalamu wa mazingira wanaonya kuwa ongezeko la hewa ukaa na gesi nyingine chafu linaweza kuwa miongoni mwa vikwazo vikubwa vya maendeleo ya taifa iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa. - [Wanariadha kukutana Kibaha mashindano ya taifa](https://habarileo.co.tz/110520-2/) - ARUSHA: JUMLA ya wanariadha 650 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kukutana kwa siku mbili, Julai 3 na 4 mwaka huu, katika Mji wa Kibaha, Mkoa wa Pwani, kushiriki Mashindano ya Taifa ya Riadha. Mashindano hayo ambayo hufanyika kila mwaka, mwaka huu yatafanyika katika viwanja vya Shule ya Filbert Bayi, Kibaha, yakilenga kuibua na kukuza - [DC Arusha: Bima ni kinga ya uchumi wa familia na taifa](https://habarileo.co.tz/dc-arusha-bima-ni-kinga-ya-uchumi-wa-familia-na-taifa/) - ARUSHA: Wadau wa sekta ya bima nchini wametakiwa kuongeza juhudi za kuwafikia wananchi, hususan waendesha bodaboda na mama lishe, ili kuongeza uelewa na matumizi ya huduma za bima kwa lengo la kuwakinga dhidi ya majanga yanayoweza kuathiri maisha yao na shughuli za kiuchumi. Wito huo umetolewa jijini Arusha na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph - [ZAIDI YA SARUJI NA LAMI](https://habarileo.co.tz/zaidi-ya-saruji-na-lami/) - DAR ES SALAAM; SAA 12 alfajiri, wakati taa za magari bado zinang'aa katika baadhi ya mitaa ya Dar es Salaam na sehemu kubwa ya jiji ikiwa haijaamka, maisha tayari yameanza juu ya Daraja la Tanzanite. Upepo mwanana kutoka Bahari ya Hindi unapuliza taratibu. Chini yake, mawimbi yanakatiza kwa utulivu. Juu yake, mamia ya watu wameanza - [Waziri Sangu ataka waajiri watumie msamaha tozo  NSSF](https://habarileo.co.tz/waziri-sangu-ataka-waajiri-watumie-msamaha-tozo-nssf/) - DAR ES SALAAM; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, ametaka waajiri nchini kutumia kikamilifu fursa ya msamaha wa tozo uliotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kulipa madeni ya michango ya wafanyakazi. Amesema hatua hiyo itapunguza gharama za uendeshaji, kuongeza uzalishaji na kuchochea - [TRA yawaita walipakodi kushiriki mbio za shukrani](https://habarileo.co.tz/tra-yawaita-walipakodi-kushiriki-mbio-za-shukrani/) - DODOMA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka walipakodi na wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki katika matembezi na Mbio za Shukrani kwa Mlipakodi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Tuzo kwa Mlipakodi Bora na maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa mamlaka hiyo. Kwa mujibu wa TRA, tukio hilo linatarajiwa kufanyika Juni 27,mwaka huu na - [FCC yapewa maagizo 5 vita dhidi ya bidhaa bandia](https://habarileo.co.tz/fcc-yapewa-maagizo-5-vita-dhidi-ya-bidhaa-bandia/) - DAR ES SALAAM: SERIKALI imeitaka Tume ya Ushindani (FCC) kuimarisha na kupanua matumizi ya teknolojia za kisasa katika uchunguzi, ufutiliaji wa udhibiti wa bidhaa bandia katika masoko ya kidijitali. Pia FCC imetakiwa kuongeza kasi ya uratibu na ushirikiano wa karibu na taasisi zingine za udhibiti, ikiwemo vyombo ya dola na mamlaka za forodha ili kuhakikisha - [Mashindano Kombe la CDF 2026 kuanza Julai 6 Dar](https://habarileo.co.tz/mashindano-kombe-la-cdf-2026-kuanza-julai-6-dar/) - DAR ES SALAAM: MASHINDANO ya Kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF 2026) awamu ya nane yanatarajiwa kuanza Julai 6, mwaka huu. Mechi ya ufunguzi iitachezwa uwanja wa Azam complex,Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Michuano hiyo, Brigedia Jenerali Saidi Hamisi Saidi ameeleza hayo kwenye viwanja vya Gofu vya Lugalo Dar es Salaam. - [Ushirikiano wahitajika utekelezaji miradi ya uhifadhi mazingira](https://habarileo.co.tz/ushirikiano-wahitajika-utekelezaji-miradi-ya-uhifadhi-mazingira/) - TABORA: SERIKALI imezitaka taasisi za umma, washirika wa maendeleo na jamii kushirikiana kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya uhifadhi wa mazingira ili kuhakikisha rasilimali za asili zinalindwa kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Ally Babu katika hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Uhifadhi - [Tanga yazindua malipo ya fidia mradi wa Sukari](https://habarileo.co.tz/tanga-yazindua-malipo-ya-fidia-mradi-wa-sukari/) - TANGA: Mkoa wa Tanga umepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa mradi mkubwa wa kimkakati wa kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha sukari wilayani Pangani, baada ya Mkuu wa Mkoa, Dk. Batilda Buriani, kuzindua rasmi mchakato wa malipo ya fidia kwa wananchi. Mradi huo wenye Dola za Marekani milioni 350 sawa na Sh bilioni - [Tandahimba yapata hati safi](https://habarileo.co.tz/tandahimba-yapata-hati-safi/) - MTWARA: HALMASHAURI ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara imepata hati safi ya ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Yamejiri hayo wakati wa kikao maalumu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo ya Wilaya ya Tandhahimba kuhusu kujadili hoja za hesabu za Mdhibiti na Mkaguzi - [Mapato madini yaongezeka](https://habarileo.co.tz/mapato-madini-yaongezeka/) - MOROGORO: WIZARA ya Madini imesema mapato ya fedha yatokanayo na makusanyo ya madini yamevuka lengo la makadirio yaliyowekwa ya Sh trilioni 1.2 na kufikia Sh trilioni 1.36 katika kipindi cha Januari 2025 hadi Juni 23, 2026 ikiwa sawa na asilimia 113.34. Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Yahya Samamba amesema hayo Juni 24, 2026 Mjini - [Watoto Kahama waomba Bima ya Afya](https://habarileo.co.tz/watoto-kahama-waomba-bima-ya-afya/) - SHINYANGA: WATOTO wanaolelewa kwenye kituo cha Muvuma Kata ya Nyasubi Halmashauri ya Manispaa ya Kahama wameomba kupatiwa Bima ya Afya na 'solar'. Walezi wa kituo hicho, Agata Charles na Evarist Masanja wamesema hayo mbele ya Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania( TRA) Mkoa wa Kikodi Kahama Wisaka Kamwamu alipokuwa ameambatana na baadhi ya watumishi walipokuwa - [Shirika kuwainua wajasiriamali, wafugaji Iringa](https://habarileo.co.tz/shirika-kuwainua-wajasiriamali-wafugaji-iringa/) - IRINGA: Shirika la Hand in Hand Eastern Africa - Tanzania (HIHEA) limezindua rasmi ofisi yake mkoani Iringa na kuanza utekelezaji wa mradi wa Inua 2, hatua inayolenga kuwainua kiuchumi wananchi 8,000 kupitia ujasiriamali, kilimo, na ufugaji wa kisasa. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Elias Luvanda, amesema serikali - [Tantrade yatangaza mambo mazuri maonesho ya Sabasaba](https://habarileo.co.tz/tantrade-yatangaza-mambo-mazuri-maonesho-ya-sabasaba/) - DAR ES SAlAAM :Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo Ya Biashara (TanTrade Dk,Latifa Khamis amesema maonesho ya 50 ya Sabasaba ya mwaka kwa waoneshaji wa ndani ni 3,752 ukilinganisha na mwaka Jana 3,670 huku kukiwa na nchi 23 na matarajio zitaongezeka nyingine. Akizungumza leo, mkurugenzi huyo amesema maonesho yataanza Juni 28 hadi Julai 13, 2026 - [Wananchi Kigoma wakumbushwa kutunza barabara](https://habarileo.co.tz/wananchi-kigoma-wakumbushwa-kutunza-barabara/) - KIGOMA: Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Kigoma imetoa rai kwa wananchi wanaoishi pembezoni mwa miundombinu ya barabara kushiriki kikamilifu katika kulinda na kutunza miundombinu hiyo ili iweze kudumu kwa muda mrefu na kuendelea kuwa salama kwa watumiaji. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Elsony - [WRRB yaanza utekelezaji agizo la Waziri Mkuu](https://habarileo.co.tz/wrrb-yaanza-utekelezaji-agizo-la-waziri-mkuu/) - BODI ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza zinapatiwa ufumbuzi bila kurejea kwenye biashara holela ya mazao. Akitoa taarifa baada ya kutembelea mikoa ya Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Morogoro - [Watanzania wahitimu China watakiwa kuwa mabalozi wa nchi](https://habarileo.co.tz/watanzania-wahitimu-china-watakiwa-kuwa-mabalozi-wa-nchi/) - CHINA: Balozi wa Tanzania nchini China, Dk. Suleiman Haji Suleiman, amewataka Watanzania wanaohitimu masomo yao katika vyuo mbalimbali nchini humo mwaka 2026, kuwa mabalozi wazuri wa Tanzania kwa kutumia maarifa, ujuzi na uzoefu walioupata katika kujiletea maendeleo binafsi na kuchangia maendeleo ya taifa wanaporejea nyumbani. Balozi Dk. Suleiman ametoa wito huo wakati wa hafla maalumu - [Wananchi watakiwa kushiriki kulinda maadili ya jamii](https://habarileo.co.tz/wananchi-watakiwa-kushiriki-kulinda-maadili-ya-jamii/) - KIGOMA: MANISPAA ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma inaelezwa kukumbwa na vitendo visivyo vya kimaadili hatua inayopelekea kuporomoka kwa maadili na utamduni wa mji huo. Kutokana na hali hiyo, Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Mussa Maulid amewataka wananchi wa mkoa huo ametaka kukemewa kwa nguvu zote vitendo vyovyote vinavyoashiria mmomonyoko wa maadili. Meya Maulid amesema - [Tanzania yaendelea kuwekeza sekta ya bahari](https://habarileo.co.tz/tanzania-yaendelea-kuwekeza-sekta-ya-bahari/) - DODOMA; Tanzania inaendelea kuwekeza katika sekta ya bahari, hali inayofungua nafasi zaidi za ajira na ujasiriamali kwa vijana kupitia mafunzo yanayotolewa na Chuo cha Bahari Dar es Salaam (Dar es Salaam Maritime Institute (DMI)). Akizungumza katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Mipango, Fedha na Utawala, - [PEN-Plus yatajwa suluhisho magonjwa yasiyoambukiza Afrika](https://habarileo.co.tz/pen-plus-yatajwa-suluhisho-magonjwa-yasiyoambukiza-afrika/) - DAR ES SALAAM: Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma za magonjwa yasiyoambukiza makali kwa kusogeza huduma hizo karibu na wananchi, hususan katika hospitali za wilaya na vituo vya afya vilivyochaguliwa nchini. Hatua hiyo imeelezwa kuwa imewezesha wagonjwa wengi kupata huduma za uchunguzi, matibabu na ufuatiliaji wa magonjwa hayo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu kwenda hospitali - [Ulega azungumzia mikopo kwa maendeleo ya taifa](https://habarileo.co.tz/ulega-azungumzia-mikopo-kwa-maendeleo-ya-taifa/) - DODOMA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali imekuwa ikikopa mikopo nafuu kwa lengo la kuharakisha maendeleo ya miundombinu ya kisasa ya barabara na viwanja vya ndege nchini, akisisitiza kuwa mikopo hiyo imeleta matokeo makubwa yanayoonekana kwa wananchi. Akichangia Bajeti ya Serikali ya mwaka 2026/2027 bungeni, Ulega alipinga kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa - [Kafulila atoa neno miradi sita ya kimkakati](https://habarileo.co.tz/kafulila-atoa-neno-miradi-sita-ya-kimkakati/) - DAR ES SALAAM: Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeitangazia fursa za uwekezaji katika miradi sita mikubwa ya kimkakati ya barabara kuu kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP). Hatua hiyo inakuja kama matokeo ya mageuzi makubwa ya kisheria na kisera yanayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya - [Mafunzo kupunguza madhara ya kisaikolojia waathirika ukatili](https://habarileo.co.tz/mafunzo-kupunguza-madhara-ya-kisaikolojia-waathirika-ukatili/) - DODOMA: Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kwa kushirikiana na Irish Rule of Law International, kwa ufadhili wa Ubalozi wa Ireland nchini Tanzania, vinaendesha mafunzo ya siku tatu kwa mahakimu na maofisa ustawi wa jamii kuhusu mbinu za kuepuka kuwasababisha waathirika wa ukatili wa kingono majeraha ya kisaikolojia wakati wa mchakato wa utoaji haki. Mafunzo - [Madini yanavyochangia maendeleo ya elimu, maendeleo ya jamii](https://habarileo.co.tz/madini-yanavyochangia-maendeleo-ya-elimu-maendeleo-ya-jamii/) - TARIME: KIASI cha Sh bilioni 9.4 zimeelekezwa kuboresha shule, makazi ya walimu na kuwawezesha watoto kupata mazingira bora ya kujifunzia Katika vilima vya Tarime ambako dhahabu imekuwa uti wa mgongo wa uchumi wa eneo hilo, hazina nyingine yenye thamani kubwa zaidi inaendelea kung'ara. Hazina hiyo si dhahabu inayochimbwa ardhini, bali ni uwekezaji katika elimu ya - [Yanga yavuliwa ubingwa Mwanza](https://habarileo.co.tz/yanga-yavuliwa-ubingwa-mwanza/) - MWANZA; Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB 2026/27 ni kati ya Simba na Azam FC, baada ya Azam FC kuifunga Yanga mabao 3-2 katika mchezo wa nusu fainali uliomalizika muda mfupi uliopita Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ilikuwa mechi yenye kila aina msisimko ambapo hadi dakika 90 zinamalizika miamba hiyo ilikuwa imefungana mabao 2-2, - [Kihongosi: Mkikosa vyeo msinung'unike](https://habarileo.co.tz/kihongosi-mkikosa-vyeo-msinungunike/) - IRINGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanasiasa wanaohamia kwenye chama hicho kutoka upinzani kutolalamika wanapokosa vyeo. Kimesisitiza kuwa nafasi za uongozi ndani ya chama hupatikana kwa kuzingatia taratibu, kanuni na sifa zilizowekwa, kwani chama hicho ni cha kila Mtanzania. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi alisema hayo Juni 20,2026 - [Ruaha Milling yachochea uzalishaji wa alizeti nyanda za juu](https://habarileo.co.tz/ruaha-milling-yachochea-uzalishaji-wa-alizeti-nyanda-za-juu/) - IRINGA: Katika mazingira ambamo Tanzania inaendelea kukabiliwa na pengo kubwa kati ya mahitaji na uzalishaji wa mafuta ya kula, hususan mafuta ya alizeti, Ruaha Milling Company Limited imeanzisha mkakati wa moja kwa moja vijijini unaolenga kuinua kilimo cha alizeti. Mkakati huo umejikita katika kuongeza upatikanaji wa malighafi viwandani na wakati huohuo kuchochea ukuaji wa uchumi - [Kihongosi: Msiwasikilize wanaobeza maendeleo](https://habarileo.co.tz/kihongosi-msiwasikilize-wanaobeza-maendeleo/) - IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa wanaotumia majukwaa ya siasa kubeza na kupunguza thamani ya maendeleo yaliyofanya ya serikali. Kihongosi amesema hayo Juni 20,2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Mwembetogwa mkoani Iringa. “Msisikilize wanaopita - [TRA yasifu mwamko kwa walipa kodi](https://habarileo.co.tz/tra-yasifu-mwamko-kwa-walipa-kodi/) - MTWARA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mtwara imesema, kumekuwa na muamko mkubwa kwa walipa kodi kulipa kodi kwa hiyari pasipo kulazimishwa. Yamejiri hayo hayo Juni 20, 2026 wakati wa zoezi la usafi wa mazingira katika kuadhimisha miaka 30 ya TRA tangu kuanzisha kwake mwaka 1996 lililofanyika kwenye baadhi ya maeneo ya Manispaa ya - [Kihongosi afunguka mbinu za ushindi CCM](https://habarileo.co.tz/kihongosi-afunguka-mbinu-za-ushindi-ccm/) - IRINGA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amebainisha misingi mikuu inayokifanya chama hicho kuendelea kuaminiwa na kushinda chaguzi kuu za kiserikali nchini Tanzania. Akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Iringa, Kihongosi amesisitiza kuwa siri ya mafanikio ya CCM inajikita katika mambo makuu matatu ambayo ni utekelezaji - [Mbio za TCB Selous kuchochea utalii Moro](https://habarileo.co.tz/mbio-za-tcb-selous-kuchochea-utalii-moro/) - MOROGORO: NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, amesema TCB Selous Marathon iliyofanyika kwa msimu wa saba katika mkoa wa Morogoro inaunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita ya kuhamasisha mazoezi, kuimarisha afya za wananchi na kuleta mshikamano wa kijamii. Mwinjuma amesema hayo wakati akikabidhi baadhi ya zawadi kwa washiriki - [Shina la wakereketwa Mlandege imani kwa CCM - Kihongosi](https://habarileo.co.tz/shina-la-wakereketwa-mlandege-imani-kwa-ccm-kihongosi/) - IRINGA: Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amezindua Shina la Wakereketwa lililopo Stendi ya Mlandege, Kata ya Kwa Kilosa mkoani Iringa. Kihongozi amezindua shina hilo leo Juni 20,2026 huku akiwapongeza wanachama wa eneo hilo kwa kujitolea kujenga shina hilo, akisema wameonesha kwa vitendo mapenzi yao kwa - [Kihongosi awashauri wazazi, walimu kujenga kizazi bora](https://habarileo.co.tz/kihongosi-awashauri-wazazi-walimu-kujenga-kizazi-bora/) - IRINGA: KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Maoinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wazazi kushirikiana na walimu katika malezi na makuzi ya watoto ili kujenga kizazi chenye maadili mema na uwezo wa kuliletea taifa maendeleo. Kihongozi ametoa mwito huo leo Juni 20,2026 alipokagua Shule ya Msingi Nduli mkoani Iringa, ikiwa ni - [Kihongosi: Wazazi watambue na kulea vipaji vya watoto](https://habarileo.co.tz/kihongosi-wazazi-watambue-na-kulea-vipaji-vya-watoto/) - IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wazazi na walezi kuvitambua na kuviendeleza vipaji vya watoto wao tangu wakiwa wadogo, ili wapate mwongozo sahihi wa kufikia ndogo zao. Kihongosi ameeleza hayo leo Juni 20,2026 aliposhiriki kikao katika shina Namba 10 Kata ya Kihesa mkoani Iringa ikiwa - [Simba yatangulia fainali kibabe](https://habarileo.co.tz/simba-yatangulia-fainali-kibabe/) - ARUSHA;Simba ya Dar es Salaam imetinga kibabe fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, baada ya kuitandika Coastal Union ya Tanga mabao 4-0 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha muda mfupi uliopita. Kutokana na matokeo hayo Simba sasa anasubiri mshindi wa mchezo wa nusu fainali ya pili kati ya Yanga na Azam utakaopigwa kesho Uwanja - [Tamasha la watoto wanaoishi mazingira magumu laiva](https://habarileo.co.tz/tamasha-la-watoto-wanaoishi-mazingira-magumu-laiva/) - KILIMANJARO; Zaidi ya watoto 2,000 wanaoishi katika mazingira magumu wanatarajiwa kushiriki Tamasha la Kwanza la Michezo litakalofanyika Juni 21, 2026 katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU), mkoani Kilimanjaro. Tamasha hilo limeandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la KIDEP Foundation linalojihusisha na malezi na ustawi wa yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu, - [Kamanda wa Polisi Tabora afariki dunia](https://habarileo.co.tz/kamanda-wa-polisi-tabora-afariki-dunia/) - TABORA; Kamandawa Polisi Mkoa wa Tabora (RPC), Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa kwenye matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amesema Kamanda Abwao alikuwa akipatiwa matibabu kwenye hospitali hiyo, lakini leo wamepokea taarifa hizo za kusikitisha. Amemueleze hayati Avwao kama kiongozi shupavu aliyepambana - [GGML yafadhili mafunzo ya polisi Geita](https://habarileo.co.tz/ggml-yafadhili-mafunzo-ya-polisi-geita/) - GEITA: TAKRIBANI vijana 1001 wilayani Geita wamehitimu mafunzo ya ulinzi shirikishi kupitia Programu ya Polisi Jamii mkoani Geita iliyofadhiliwa na Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML). Programu hiyo imeratibiwa na kutekelezwa kwa ushirikiano na Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita dhamira kuu ikiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama kupitia ushirikishaji wa vijana katika - [Wanafunzi Kibamba Sekondari wapewa elimu ya afya](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-kibamba-sekondari-wapewa-elimu-ya-afya/) - DAR ES SALAAM: Wanafunzi wa kidato cha pili na kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Kibamba wamejengewa uelewa sahihi kuhusu ugonjwa wa Siko Seli na baadhi yao kuchukua hatua ya kuchunguza hali zao. Vipimo 'Screening kits'150 vya uchunguzi wa awali viliandaliwa na jumuiya ya watu wanaoishi na siko seli kwa ajili ya wale wanaohitaji - [Mafanikio ya SuFP yasipotee, Dk Magembe aagiza](https://habarileo.co.tz/mafanikio-ya-sufp-yasipotee-dk-magembe-aagiza/) - DODOMA: MGANGA Mkuu wa Serikali, Dk Grace Magembe amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa (RMOs) na Waganga Wakuu wa Wilaya (DMOs) kuhakikisha wanaendeleza mafanikio yaliyopatikana kupitia Programu ya Kukuza Huduma za Uzazi wa Mpango (SuFP) hata baada ya kufungwa rasmi kwa mradi huo. Dk Magembe alitoa maelekezo hayo juzi Jijini Dodoma wakati wa kongamano la kujifunza - [Serikali yasifu ujenzi wa sekondari Bahi](https://habarileo.co.tz/serikali-yasifu-ujenzi-wa-sekondari-bahi/) - DODOMA: Serikali imeipongeza Benki ya NMB kwa kujenga Shule ya Sekondari ya Bweni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu wilayani Bahi mkoani Dodoma. Mradi uliogharimu Sh bilioni 5 na kukamilika kwa asilimia 100. Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu, Atupele Mwambene, amesema shule hiyo imejengwa kwa kiwango cha juu na ina mabweni, vitanda, madawati pamoja na uwezo - [Soko la Fedha za Kigeni Afrika mwaka 2026: Mwelekeo Muhimu Ambao Kila Mfanyabiashara Anapaswa Kufuatilia](https://habarileo.co.tz/soko-la-fedha-za-kigeni-afrika-mwaka-2026-mwelekeo-muhimu-ambao-kila-mfanyabiashara-anapaswa-kufuatilia/) - Soko la fedha za kigeni (Forex) barani Afrika linaendelea kushuhudia ongezeko la washiriki pamoja na kuimarika kwa usimamizi wa kisheria kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita. Ukuaji huu ni sehemu ya mwelekeo mpana zaidi ambapo uchumi wa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara unatarajiwa , huku thamani ya biashara za fedha za kigeni duniani mwezi Aprili - [Wanawake Dar wapatiwa elimu ya ujasiriamali](https://habarileo.co.tz/wanawake-dar-wapatiwa-elimu-ya-ujasiriamali/) - DAR ES SALAAM: WANAWAKE wajasiriamali wameendelea kupatiwa nyenzo muhimu za kuwawezesha kukuza biashara zao na kuimarisha ustawi wao kupitia mafunzo mbalimbali nchini. Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa kushirikiana na Benki ya ABSA wametoa mafunzo maalumu kwa wanawake hao yatakayowapa mustakabali bora wa biashara zao. Mafunzo hayo yamewaleta pamoja wanawake kutoka sekta mbalimbali ikiwemo - [Balozi Kairuki, Spika Lindsay wafanya mazungumzo](https://habarileo.co.tz/balozi-kairuki-spika-lindsay-wafanya-mazungumzo/) - Balozi Kairuki aligusia maandalizi yanayofanywa na Tanzania kuelekea Mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) utakaofanyika jijini Arusha Oktoba, mwaka huu.... - [CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro](https://habarileo.co.tz/ccm-kusukuma-ujenzi-wa-barabara-kilolo-moro/) - IRINGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kusukuma utekelezaji wa ujenzi wa kipande kilichosalia cha barabara ya lami katika Wilaya ya Kilolo kupitia Kidabala- Boma la Ng’ombe - Morogoro. Lengo ni kuchochea ukuaji wa uchumi, kurahisisha usafirishaji wa mazao ya wakulima na kuboresha huduma za usafiri kwa wananchi. Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo - [Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira](https://habarileo.co.tz/mradi-wa-veta-kilolo-kutoa-fursa-za-ajira/) - IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Kenani Kihongosi amesema kukamilika kwa mradi wa Chuo mafunzo ya ufundi (VETA)unaotekelezwa Kilolo kutafungua fursa kubwa za ajira na kujikwamua kiuchumi kwa vijana wa eneo hilo. Kihongosi ameeleza hayo leo Juni 19,2026 alipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Chuo Cha - [Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita](https://habarileo.co.tz/trump-aonya-atakayekiuka-makubaliano-usitishaji-vita/) - UFARANSA: Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kurejea katika mashambulizi na kuwaua maofisa wa Iran iwapo hawatafuata masharti ya makubaliano hayo ya kumaliza vita yaliyosainiwa jana katika mkutano wa G7 nchini Ufaransa. Makubaliano hayo ya vipengele 14 yanaongeza muda wa kusitishwa kwa mapigano uliotangazwa Aprili kwa siku nyingine 60, ikiwa ni pamoja na Lebanon, ili - [Marekani, Iran wasaini makubaliano kumaliza vita](https://habarileo.co.tz/marekani-iran-wasaini-makubaliano-kumaliza-vita/) - UFARANSA: Rais wa Marekani na Rais wa Iran wameripotiwa kusaini makubaliano ya awali ya amani yanayolenga kumaliza vita, makubaliano yanayoanza mara moja. Makubaliano hayo yanajumuisha kufunguliwa tena kwa Mkondo wa Bahari wa Hormuz, mpango wa takribani Dola bilioni 300 kwa ajili ya ujenzi upya wa Iran na Marekani kuondoa aina zote za vikwazo dhidi ya - [TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii](https://habarileo.co.tz/tra-iringa-kutoa-elimu-shukrani-kwa-jamii/) - IRINGA: Katika kuenzi mchango wa walipakodi ambao wamekuwa uti wa mgongo wa maendeleo ya taifa kwa miongo mitatu, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa itahadhimisha wiki ya mlipa kodi kwa kutoa elimu na shukrani kwa walipakodi. Wiki hiyo itafanyika kati ya Juni 22 na 27, 2026, sambamba na maadhimisho ya miaka 30 tangu - [TPSC, IPA zatakiwa kukuza uadilifu kwa watumishi](https://habarileo.co.tz/tpsc-ipa-zatakiwa-kukuza-uadilifu-kwa-watumishi/) - DAR ES SALAAM: SERIKALI imetoa maagizo matano kwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) na Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar (IPA) ikiwemo kutoa mafunzo kwa watumishi wa umma, kufanya tafiti tumizi na kutoa ushauri wa kitaalam ili kuwaongezea uadilifu na uwajibikaji mahali pa kazi katika kufikia malengo ya Dira za Maendeleo ya Taifa - [Kagera, Kigoma zapata maabara kupima Ebola](https://habarileo.co.tz/kagera-kigoma-zapata-maabara-kupima-ebola/) - DAR ES SALAAM: SERIKALI imepeleka na kusimika maabara mbili jongezi zenye uwezo wa kupima sampuli za ugonjwa wa Ebola katika mikoa ya Kagera na Kigoma ili kuimarisha utayari wa kukabiliana na ugonjwa huo. Waziri wa Afya, Mohamed Omary Mchengerwa amesema hatua hiyo inalenga kusogeza huduma za uchunguzi karibu na wananchi wanaoishi katika maeneo yanayopakana na - [CCM yatoa neno mradi wa umwagiliaji Mgambalenga](https://habarileo.co.tz/110246-2/) - IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amegiza kusiwe na pngezeko la muda wa kutekeleza mradi wa Umwagiliaji wa Mgambalenga ili wakulima waanze kunufaika nao. Kihongosi ametoa agizo hilo leo Juni 18,2026 alipotembelea na kukagua utekelezaji w amradi huo unaojengwa katika Kijiji cha Mtandika, Kata ya Ruaha - [Serikali yahimiza tahadhari ya Ebola, yasema Tanzania ni salama](https://habarileo.co.tz/serikali-yahimiza-tahadhari-ya-ebola-yasema-tanzania-ni-salama/) - DODOMA; Wizara ya Afya imehimiza Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ebola huku ikisisitiza kuwa bado Tanzania ni salama na wageni kutoka mataifa mengine waje bila hofu. Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa alibainisha hayo jijini Dodoma alipotoa taarifa kwa kikosi kazi cha wanahabari kuhusu mwenendo wa tishio la ugonjwa wa Ebola na hatua - [Kihongosi awataka wananchi kuwaunga mkono viongozi](https://habarileo.co.tz/kihongosi-awataka-wananchi-kuwaunga-mkono-viongozi/) - IRINGA: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapunduzi (CCM), Kenani Kihongosi amewataka wananchi wa Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa kuendelea kushirikiana na kuwaunga mkono viongozi wao ili kuharakisha maendeleo ya eneo hilo. Kihongosi amesema hayo leo Juni 18,2026 aliposhiriki kikao cha shina namba 10 Kata ya Ruaha Mbuyuni, Kilolo - [MOI kuanzisha benki ya mifupa](https://habarileo.co.tz/moi-kuanzisha-benki-ya-mifupa/) - DAR ES SALAAM: TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inatarajia kuanzisha benki ya mifupa ambayo itakidhi mahitaji na kuwasaidia watu ambao wamepoteza mifupa kutokana na ajali au sababu zingine. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 30 ya utoaji huduma za kibingwa na ubingwa bobezi, Mkurugenzi wa MOI, - [Wananchi 850+ Katavi wapatiwa matibabu bure](https://habarileo.co.tz/110223-2/) - KATAVI: Zaidi ya wananchi 850 waliokuwa wakisumbuliwa na maradhi mbalimbali wamepatiwa huduma za matibabu na uchunguzi wa afya bila malipo kupitia kambi maalumu ya afya iliyoendeshwa na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Empower Society Build the Nation (ESBN) mkoani Katavi. Kambi hiyo ya siku saba imehitimishwa jana baada ya kutoa huduma mbalimbali za kibingwa ikiwemo - [Mtaala mpya waibua hitaji la walimu kujifunza upya](https://habarileo.co.tz/mtaala-mpya-waibua-hitaji-la-walimu-kujifunza-upya/) - KAGERA: Walimu walioko kazini pamoja na vijana ambao hawakupata fursa ya kuendelea na elimu ya juu wametakiwa kutumia vyuo vinavyotoa elimu ya ujuzi kwa njia ya masafa ili kujiendeleza na kupata maarifa yatakayowasaidia kukabiliana na mabadiliko ya mfumo mpya wa elimu nchini. Wito huo umetolewa wakati wa mahafali ya nne ya wahitimu wa Chuo cha - [Watunga sera, watafiti kujadili mafaniko TRA kesho](https://habarileo.co.tz/watunga-sera-watafiti-kujadili-mafaniko-tra-kesho/) - DAR ES SALAAM: WATUNGA sera, watafiti, wataalamu wa kodi, wawakilishi wa sekta binafsi, walipa kodi na wadau mbalimbali wa maendeleo wanatarajia kukutana kesho Dar es Salaam kujadili mafanikio ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Majadiliano hayo yatalenga mafanikio yaliyopatikana katika miaka 30 ya usimamizi wa mapato na kuweka dira ya maendeleo kwa miaka 30 ijayo. - [Wito watolewa vituo vya yatima kutumia nishati safi](https://habarileo.co.tz/wito-watolewa-vituo-vya-yatima-kutumia-nishati-safi/) - DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo Hoteli ya Serena, Dar es Salaam, Seraphin Lusala, amesema jamii inapaswa kusaidiana na serikali kuhakikisha vituo vya kulelea watoto yatima vinaachana na matumizi ya kuni kwa ajili ya kupikia na kutumia nishati safi. Amesema serikali inafanya juhudi kubwa kupunguza matumizi ya mkaa, kuni, hivyo ni wajibu wa - [Shigela ataka umeme shule za umma Geita](https://habarileo.co.tz/shigela-ataka-umeme-shule-za-umma-geita/) - GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ameagiza watendaji wa serikali kusimamia na kuhakikisha shule za umma zinafikiwa na nishati ya umeme kupitia mradi wa umeme vijijini. Shigela alitoa maagizo hayo juzi akiwa ziarani wilayani Mbogwe mkoani humo ambapo alipata fursa ya kukagua ujenzi wa miundombinu katika shule ya sekondari Bunigozi na shule zingine. - [Mwinyi kuwakilisha Tanzania mkutano wa bahari](https://habarileo.co.tz/rais-mwinyi-awasili-kenya-kumwakilisha-rais-samia/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amewasili jijini Mombasa kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo atamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 11 wa Kimataifa wa Masuala ya Bahari unaofanyika nchini Kenya. - [Al Ameen Foundation wasaidia yatima Dar](https://habarileo.co.tz/al-ameen-foundation-wasaidia-yatima-dar/) - DA ES SALAAM: Taasisi ya Al Ameen Foundation (AIF) imetoa msaada wa vyakula kwa kituo cha watoto yatima cha Upendo Orphane Center, kilichopo Buguruni Ghana, Dar es Salaam leo Juni 17, 2026 ikiwa ni hatua muhimu inayolenga kuboresha ustawi wa watoto wanaolelewa katika kituo hicho. Msaada huo ni juhudi za taasisi hiyo za kushirikiana na - [Tanzania yasisitiza urejeaji wa hiari suluhisho kwa wakimbizi](https://habarileo.co.tz/tanzania-yasisitiza-urejeaji-wa-hiari-suluhisho-kwa-wakimbizi/) - USWISI: Tanzania imesisitiza kuwa urejeaji wa hiari ndilo suluhisho sahihi na la kudumu kwa wakimbizi, ili kufanikisha lengo la kupunguza idadi ya wakimbizi kwa 50% ifikapo 2035. Juni 16, 2026, Tanzania ilishiriki Mkutano wa 96 wa UNHCR Standing Committee unaoendelea mjini Geneva, Uswisi. Katika mchango wake kuhusu Taarifa ya Hifadhi ya Ukimbizi Duniani iliyowasilishwa na - [Serikali yazindua kitabu safari ya upandikizaji wa moyo ](https://habarileo.co.tz/serikali-yazindua-kitabu-safari-ya-upandikizaji-wa-moyo/) - DAR ES SALAAM: Katika jitihada za kuhakikisha wananchi wanaendelea kupata huduma za kibingwa bobezi nchini, Serikali imezindua kitabu cha safari ya upandikizaji wa moyo kitakachosaidia kutoa mwongozo na uelewa kwa wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, alisema Serikali ya Awamu ya - [Jamii yahimizwa kuwekeza mustakabali wa watoto](https://habarileo.co.tz/jamii-yahimizwa-kuwekeza-mustakabali-wa-watoto/) - DAR ES SALAAM: Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika Juni 16, wadau wa maendeleo ya watoto wameitaka jamii na serikali kuongeza uwekezaji katika malezi, afya, elimu na huduma za maji safi ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama na yenye kuwajengea mustakabali bora. Siku ya Mtoto wa Afrika - [Zungu aunga mkono nishati safi](https://habarileo.co.tz/zungu-aunga-mkono-nishati-safi/) - DODOMA: SPIKA wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, ameuagiza Umoja wa Wabunge Wanawake (TWG) kutumia ushawishi wao mitaani kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kulinda afya za wananchi na mazingira. Akifungua mafunzo ya umoja huo yaliyoandaliwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) jijini Dodoma, Spika Zungu amewataka wabunge hao kuvunja dhana potofu zilizopo - [Absa Dar Marathon yapiga jeki Hospitali Mnazi Mmoja](https://habarileo.co.tz/absa-dar-marathon-yapiga-jeki-hospitali-mwananyamala/) - DAR ES SALAAM: ABSA Dar City Marathon imetoa msaada wa vifaa tiba kwa Hospitali ya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za Serikali za kuboresha huduma za afya, hususan kwa wajawazito, mama na watoto. Makabidhiano ya vifaa hivyo yamefanyika leo, Juni 16, 2026, kufuatia mafanikio ya mbio za - [Taasisi zapewa somo ziwajibike kwa jamii](https://habarileo.co.tz/taasisi-zapewa-somo-ziwajibike-kwa-jamii/) - DODOMA; Mwenza wa Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, Mama Neema Nchemba amehimiza aaasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kupitia utekelezaji wa programu za Uwajibikaji kwa Jamii (CSR). Amesema hayo, Juni 16, 2026 katika hafla ya kukabidhi vifaa vya hospitali vilivyotolewa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) - [Bunge latoa neno kukwama kwa miradi PPP](https://habarileo.co.tz/bunge-latoa-neno-kukwama-kwa-miradi-ppp/) - DODOMA: Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeingilia kati kusuasua kwa miradi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), likionya kuwa kukwama kwa miradi hiyo kunasababisha hasara kubwa ya mapato ya taifa na kuchelewesha ahadi za maendeleo kwa wananchi. Kufuatia hali hiyo Juni 15, 2026, Spika wa Bunge ametoa agizo - [Wananchi waipongeza serikali ujenzi kituo cha afya Kinole](https://habarileo.co.tz/wananchi-waipongeza-serikali-ujenzi-kituo-cha-afya-kinole/) - MOROGORO: WANANCHI wa Kata ya Kinole, Tarafa ya Mkuyuni, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro wameipongeza Serikali kwa ujenzi wa Kituo cha Afya Kinole kitakachotoa huduma bora za afya. Wametoa pongezi hizo kwa nyakati tofauti baada ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Wazo Mwang'onda kuweka Jiwe la Msingi la mradi wa ujenzi - [Wadau: Afrika inapaswa kujitegemea katika chakula](https://habarileo.co.tz/wadau-afrika-inapaswa-kujitegemea-katika-chakula/) - DAR ES SALAAM: Mabadiliko yanayoendelea kufanyika katika mpango wa Marekani wa Food for Peace yameibua mjadala muhimu ambao Afrika haiwezi tena kuupuuza: utegemezi wa muda mrefu wa misaada ya chakula kutoka nje ya bara. Kwa zaidi ya miongo saba, mpango huo umekuwa miongoni mwa vyanzo vikubwa vya msaada wa chakula kwa mataifa yanayokabiliwa na njaa, - [Sakata la ekari sita Arusha lachukua sura mpya](https://habarileo.co.tz/sakata-la-ekari-sita-arusha-lachukua-sura-mpya/) - ARUSHA: SAKATA la mfanyabiashara wa nafaka mkoani Arusha, Phillemon Mollel maarufu 'Monaban' juu ya uhalali wa umiliki wa eneo la ekari 6 mtaa wa Engoshowash Kata ya Moshono katika jiji la Arusha limeingia sura mpya baada ya mfanyabiashara Eva Aminiel kuonesha nyaraka halali za umiliki wa eneo hilo. Aminiel amemtaka 'Monaban' kuacha kuupotosha umma na - [Safari ya Tanzania Kuelekea Uchumi wa Kidijitali](https://habarileo.co.tz/safari-ya-tanzania-kuelekea-uchumi-wa-kidijitali/) - Kutoka minara ya mawasiliano na Mkongo wa Taifa hadi ajira za mtandaoni, biashara za kidijitali na ubunifu wa vijana, Tanzania inaingia katika enzi mpya ambapo internet si tena chombo cha mawasiliano pekee bali injini ya uchumi, ungana na Sylivestre Domasa kwenye makala haya: Kila asubuhi, Baraka Mafole huwasha kompyuta yake na kuanza kazi na wateja - [UMEME ULIOCHOCHEA UCHUMI](https://habarileo.co.tz/umeme-uliochochea-uchumi/) - Miaka mitano iliyopita, haikuwa jambo la ajabu kutembea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusikia ngurumo za jenereta karibu kila kona. Maduka ya jumla, maghala, karakana, viwanda vidogo na hata ofisi nyingi zilikuwa na jenereta kama sehemu ya kawaida ya shughuli za kila siku. Kukatika kwa umeme kulimaanisha uzalishaji kusimama, biashara kuchelewa - [Wabunge wafagilia PSSSF, NSSF utekelezaji miradi](https://habarileo.co.tz/wabunge-wafagilia-psssf-nssf-utekelezaji-miradi/) - WABUNGE wamepongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii kupitia Skimu ya Hifadhi kwa Wananchi Waliojiajiri, wakisema mpango huo unatoa fursa kwa mamilioni ya Watanzania kunufaika na huduma za hifadhi ya jamii. Aidha, wamepongeza uwekezaji uliofanywa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi - [Safari bajeti za maendeleo zilivyoibadili Tanzania](https://habarileo.co.tz/safari-bajeti-za-maendeleo-zilivyoibadili-tanzania/) - Katika kipindi cha miaka mitano, Serikali ilitenga zaidi ya Sh trilioni 228 kwenye bajeti zake huku Sh trilioni 76.3 zikielekezwa kwenye maendeleo. Je fedha hizo zimeleta matokeo gani katika maisha ya wananchi na uchumi wa Taifa? Ungana na SYLIVESTER DOMASA katika makala haya. Mwaka 2021, mkazi wa Sumbawanga aliyekuwa akihitaji huduma ya CT Scan au - [MCHUMI: Msamaha wa kodi kwa mafuta ya kula utachochea uwekezaji](https://habarileo.co.tz/mchumi-msamaha-wa-kodi-kwa-mafuta-ya-kula-utachochea-uwekezaji/) - DAR ES SALAAM: Msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa mafuta ya kula yanayozalishwa kwa kutumia mbegu zinazozalishwa ndani ya nchi unatarajiwa kuongeza uwekezaji, ushindani wa viwanda vya ndani na kuchochea uzalishaji wa mazao ya mafuta nchini. Hayo yamesemwa na mchambuzi wa uchumi, Marandu Marwa, akizungumzia hatua mpya za Serikali zilizotangazwa katika bajeti - [Sh Bil 200 na safari ya kutafuta Ajira, mitaji vijana mil.20](https://habarileo.co.tz/sh-bil-200-na-safari-ya-kutafuta-ajira-mitaji-vijana-mil-20/) - Je, ni namna gani uwekezaji wa Shilingi bilioni 200 unaweza kufungua ukurasa mpya wa ajira, ubunifu na ujasiriamali kwa mamilioni ya vijana wa Tanzania? - [Shabiby: Mfumo wa leseni za bodaboda upitiwe upya.](https://habarileo.co.tz/shabiby-mfumo-wa-leseni-za-bodaboda-upitiwe-upya/) - DODOMA: MBUNGE wa Gairo, Ahmed Shabiby, ameutaka Serikali kupitia upya mfumo wa utoaji wa leseni kwa waendesha bodaboda, akieleza kuwa gharama za mafunzo na upatikanaji wa leseni ni kubwa na zinawaathiri vijana wengi wanaotegemea sekta hiyo kujipatia kipato. - [JKT mambo safi matumizi nishati safi](https://habarileo.co.tz/jkt-mambo-safi-matumizi-nishati-safi/) - KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia na kuhifadhi mazingira, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeachana na matumizi ya kuni na mkaa katika kuandaa chakula kwa vijana waliopo katika makambi yake nchini. Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo - [Kutoka ngurumo za jenereta madukani, hadi usikivu tulivu wa AC](https://habarileo.co.tz/kutoka-ngurumo-za-jenereta-madukani-hadi-usikivu-tulivu-wa-ac/) - Miaka mitano iliyopita, haikuwa jambo la ajabu kutembea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusikia ngurumo za jenereta karibu kila kona. Maduka ya jumla, maghala, karakana, viwanda vidogo na hata ofisi nyingi zilikuwa na jenereta kama sehemu ya kawaida ya shughuli za kila siku. Kukatika kwa umeme kulimaanisha uzalishaji kusimama, biashara kuchelewa - [Trilioni 76 za maendeleo zilivyoibadili Tanzania](https://habarileo.co.tz/trilioni-76-za-maendeleo-zilivyoibadili-tanzania/) - Mwaka 2021, mkazi wa Sumbawanga aliyekuwa akihitaji huduma ya CT Scan au matibabu ya kibingwa mara nyingi alilazimika kusafiri kilomita 326 kwenda Mbeya au zaidi ya kilomita 1,100 hadi Dar es Salaam. Kule Kibondo mkoani Kigoma, baadhi ya wanafunzi walitembea hadi kilomita sita kufika shuleni. Kitele, Mtwara Vijijini, mvua ziliponyesha daraja lililokuwepo lilifunikwa na maji - [Diplomasia ya Tanzania ilivyofungua fursa za uchumi miaka 5 ya Samia](https://habarileo.co.tz/diplomasia-ya-tanzania-ilivyofungua-fursa-za-uchumi-miaka-5-ya-samia/) - Mwaka 2021, Tanzania ilikuwa katika kipindi cha mpito. Dunia ilikuwa ikijinasua kutoka athari za janga la UVIKO-19 huku ushindani wa kuvutia uwekezaji, biashara, watalii na teknolojia ukiwa mkali zaidi kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya hivi karibuni. Ndani ya mazingira hayo, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ilianza kuandika - [Kadogosa: Biashara ndogondogo zahitaji mazingira wezeshi](https://habarileo.co.tz/kadogosa-biashara-ndogondogo-zahitaji-mazingira-wezeshi/) - MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, amesema biashara ndogondogo zinapaswa kuwekewa mikakati madhubuti na mazingira rafiki ili ziweze kustawi na kutoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa taifa. - [Miaka mitano ya fursa mpya uchumi wa Tanzania](https://habarileo.co.tz/miaka-mitano-ya-fursa-mpya-uchumi-wa-tanzania/) - Rudisha fikra nyuma kwa Tanzania ya mwaka 2021 yenye vijana waliokuwa wanajiuliza maswali kuhusu suala la ajira ziko wapi? Maswali yalikuwa mengi zaidi ya majibu. wasiwasi ulikuwa mwingi kuliko uhakika. Vichwa vingi vilijiuliza: Tutavuka salama kweli kutatua tatizo la ajira? Huku wengine wakienda mbali na kuliita bomu. Ungana nami SYLIVESTRE DOMASA katika makala haya hatua - [Spika ahoji TCRA, CMSA](https://habarileo.co.tz/spika-ahoji-tcra-cmsa/) - SPIKA wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, ameziagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) kufika mbele ya Kamati ya Bajeti ya Bunge kutoa maelezo kuhusu kutotekelezwa kwa sheria inayozitaka kampuni za mawasiliano kuuza sehemu ya hisa zao kwa umma. - [Mafunzo maalumu kuimarisha ufanisi wa wanasheria](https://habarileo.co.tz/mafunzo-maalumu-kuimarisha-ufanisi-wa-wanasheria/) - TANGA: Maofisa Sheria wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wanatarajiwa kuimarisha uwezo, maarifa na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao kupitia mafunzo maalumu yaliyoandaliwa na Mfuko huo na kuendeshwa na Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA). Mafunzo hayo ya siku tano yanayofanyika kuanzia Juni 15-19, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa - [Wananchi kunufaika na maduka jongefu ya Vodacom](https://habarileo.co.tz/wananchi-kunufaika-na-maduka-jongefu-ya-vodacom/) - DAR ES SALAAM: Wananchi katika maeneo yenye upatikanaji mdogo wa huduma za mawasiliano wanatarajiwa kunufaika zaidi baada ya Kampuni ya Vodacom kuzindua maduka jongefu sita yaliyoboreshwa, hatua iliyoongeza idadi ya maduka hayo kufikia 12 nchini. Kupitia maduka hayo, wananchi watapata huduma mbalimbali karibu na maeneo yao ikiwemo usajili wa laini za simu, huduma za kifedha, - [Bosi Oryx asifu mazingira bora uwekezaji sekta ya nishati](https://habarileo.co.tz/bosi-oryx-asifu-mazingira-bora-uwekezaji-sekta-ya-nishati/) - DAR ES SALAAM; Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Energies Tanzania, Iman Mtafya, amesema mazingira bora ya uwekezaji yanayofanywa na Serikali katika sekta ya nishati ya mafuta na gesi imewezesha Oryx kuendelea kusogeza upatikanaji wa nishati hizo. Ametoa kauli hiyo leo Juni 15,2026 wakati wa uzinduzi wa kituo kipya cha mafuta eneo la Wazo jijini Dar es - [Utunzaji salama vimelea wasisitizwa](https://habarileo.co.tz/utunzaji-salama-wa-vimelea-wasisitizwa/) - WATAALAMU wa maabara nchini wametakiwa kuzingatia kwa umakini mkubwa maadili na viapo vya taaluma yao ili kulinda jamii dhidi ya madhara yanayoweza kusababishwa na utunzaji usio salama wa vimelea hatarishi na smpuli zinazohifadhiwa kwa muda mrefu. - [Urejeshaji duni mikopo ya elimu,teknolojia yatajwa kuwa suluhu](https://habarileo.co.tz/urejeshaji-duni-mikopo-ya-elimuteknolojia-yatajwa-kuwa-suluhu/) - “MWAKA jana nilikuwa nimepata chuo nikaomba mkopo lakini nilivyokosa, nikashindwa kwenda chuo,” anasema Singo Mrombo (20). Anaongeza: “Ninamtegemea mama yangu ambaye ndiye mzazi pekee, lakini na yeye hana uwezo wa kunilipia ada ya chuo na baba yangu mzazi sijawahi kumuona na sijui alipo.” - [Serikali yataka ushirikiano mageuzi ya elimu](https://habarileo.co.tz/serikali-yataka-ushirikiano-mageuzi-ya-elimu/) - DAR ES SALAAM: SERIKALI imezitaka taasisi binafsi za elimu kuendelea kushirikiana na Serikali katika utekelezaji wa mageuzi ya elimu yanayolenga kuimarisha ujuzi, sayansi na teknolojia, huku ikiipongeza Shule ya Kimataifa ya Luminous kwa mchango wake katika kukuza ubora wa elimu nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. - [TZ, Comoro zaunganishwa safari mpya za Royah Air](https://habarileo.co.tz/tz-comoro-zaunganishwa-safari-mpya-za-royah-air/) - DAR ES SALAAM: Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) umeandika hatua mpya katika sekta ya usafiri wa anga baada ya kupokea rasmi safari za ndege za kampuni ya Royal Air zinazounganisha moja kwa moja Tanzania na Comoro. Uzinduzi wa safari hizo unatarajiwa kuimarisha usafiri wa abiria, usafirishaji wa mizigo na kukuza - [Serikali yaendelea kuimarisha utayari kukabili dharura za afya](https://habarileo.co.tz/serikali-yaendelea-kuimarisha-utayari-kukabili-dharura-za-afya/) - MOROGORO: SERIKALI kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) kupitia ufadhili wa Pandemic Fund imeendelea kutoa mafunzo maalumu ya kuijengea uwezo timu ya kitaifa ya magonjwa ya dharura na maafa kwa ajili ya utayari wa kukabiliana nayo. Mkurugenzi wa Huduma za Dharura na Maafa, Dk Erasto Sylvanus, amesema hayo mjini Morogoro wakati akifunga mafunzo - [Wataalamu kukutana Mwanza kujadili changamoto za jamii](https://habarileo.co.tz/wataalamu-kukutana-mwanza-kujadili-changamoto-za-jamii/) - MWANZA: WATALAAMU wa Maendeleo ya Jamii nchini wanatarajia kukutana katika mkutano mkuu wa mwaka kwa lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii ikiwemo mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinisa. Maafisa maendeleo hao zaidi ya 1,260 watakutana katika kikao cha siku tatu kuanzia Juni 17 -19 mwaka huu kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa Chama - [Faru weupe kuongeza chachu ya uhifadhi nchini](https://habarileo.co.tz/faru-weupe-kuongeza-chachu-ya-uhifadhi-nchini/) - ARUSHA: SERIKALI itaendelea kuongeza nguvu katika uhifadhi wa wanyamapori aina ya faru ambao wapo haratini kutoweka kwa kuimarisha Mradi wa Kimkakati wa Uhifadhi wa Faru Weupe ili kuongeza chachu ya ongezeko la uhifadhi na utafiti wa wanyamapori waliopo nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hasaan Chande wakati wa hafla maalumu - [Serikali yaanza mpango kuondoa uchimbaji wa kubahatisha](https://habarileo.co.tz/serikali-yaanza-mpango-kuondoa-uchimbaji-wa-kubahatisha/) - DAR ES SALAAM: Serikali imeanza safari ya kuondoa uchimbaji wa kubahatisha nchini baada ya kuweka mfumo utakaowezesha asilimia 10 ya makusanyo ghafi ya mapato ya madini kubaki kwenye Sekta ya Madini kwa ajili ya kugharamia utafiti na uwekezaji. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema hatua hiyo ni moja ya maamuzi makubwa ya Serikali ya Awamu - [Katavi wanufaika huduma za afya za kibingwa bure](https://habarileo.co.tz/katavi-wanufaika-huduma-za-afya-za-kibingwa-bure/) - KATAVI; Wananchi wa Mkoa wa Katavi wamepongeza hatua ya Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Empower Society Build the Nation (ESBN) kuweka kambi maalumu ya huduma za afya bure, wakisema imewasaidia kupata matibabu ya kibingwa ambayo wengi wao walikuwa wakishindwa kuyamudu kutokana na gharama zake. Huduma hizo zinazotolewa kwa siku saba zinahusisha upimaji wa magonjwa mbalimbali, - [Mkakati maalumu kuwanasa wauguzi jeuri](https://habarileo.co.tz/mkakati-maalumu-kuwanasa-wauguzi-jeuri/) - GEITA: SERIKALI mkoani Geita imetangaza mpango rasmi wa kupokea taarifa za wauguzi na watumishi wa afya wanaofanya vitendo visivyo vya kiungwana kwa watu wanaohitaji huduma ya matibabu. Mpango huo pia unahusisha upokeaji wa taarifa za watoa huduma wanaokaidi kwa makusudi sera ya huduma bure kwa watoto, wajawazito na wazee kwenye vituo vya huduma za afya. - [CCM yawaonya wanaohamasisha uvunjifu wa amani](https://habarileo.co.tz/ccm-yawaonya-wanaohamasisha-uvunjifu-wa-amani/) - DODOMA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kuunga mkono juhudi za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, za kuharakisha maendeleo ya wananchi huku kikisisitiza kuwa amani, umoja na mshikamano ni msingi muhimu wa maendeleo ya taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Juni 13,2026 Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa - [CCM: Kuna wanasiasa wanahamasisha vurugu](https://habarileo.co.tz/ccm-kuna-wanasiasa-wanahamasisha-vurugu/) - DODOMA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kuendelea kulinda amani, umoja na mshikamano wa taifa, akidai wana taarifa za kuaminika kuhusu mipango ya kuhamasisha vurugu kupitia maandamano yanayoratibiwa na baadhi ya makundi ya kisiasa. Akizungumza na waandishi wa habari, Kihongosi amesema CCM imepokea taarifa zinazoonesha - [Yanga wakitaka lao usilete mdomo!](https://habarileo.co.tz/yanga-wakitaka-lao-usilete-mdomo/) - KIGOMA;YANGA wakitaka lao usilete mdomo! Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kati ya Mashujaa ya Kigoma na Yanga ya Dar es Salaam uliomalizika muda mfuoi uliopita Uwanja wa lake Tanganyika, Kigoma na wenyeji kulala kwa mabao 0-2. Kutokana na matokeo hayo Yanga imezidi kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi - [Ukataji miti watishia kutoweka dawa za asili](https://habarileo.co.tz/ukataji-miti-watishia-kutoweka-dawa-za-asili/) - DODOMA: Wataalamu wa tiba asili hapa nchini wameiomba serikali kuendelea kuchukua hatua za makusudi za kuhamasisha utunzaji wa mazingira ili kuendelea kulinda maliasili na uoto wa asili. ‎ ‎Wamesema kuendelea kwa vitendo vya uharibifu wa mazingira kunachangia kupotea kwa baadhi ya tamaduni za Watanzania pamoja na mimea inayotumika kutengeneza dawa za asili. ‎ ‎Wakizungumza wilayani - [Majaribio yamefanikiwa, usalama wakutosha!](https://habarileo.co.tz/majaribio-yamefanikiwa-usalama-wakutosha/) - MUSOMA: MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (TAA) imefanya majaribio ya kutua na kuruka katika Viwanja vya Ndege vya Musoma na Shinyanga. Majaribio hayo yamefanyika jana Juni 12,2026 na kufanywa kutumia ndege ya Kampuni ya Ndege Tanzania(ATCL). Akizungumza katika hafla za majaribio hayo katika mikoa ya Mara na Shinyanga kuliko na viwanja hivyo, Waziri wa Uchukuzi, - [HESLB yatoa tuzo wanufaika mikopo](https://habarileo.co.tz/heslb-yatoa-tuzo-wanufaika-mikopo/) - DAR ES SALAAM: Bodi ya Mikopo a Elimu ya juu (HESLB) imetoa tuzo kwa taasisi 11 zinazofanya vizuri katika kutoa taarifa za wanufaika wa mikopo hali inayoongeza kasi ya ukasanyaji mikopo. Akizungumza wakati wa utoaji wa tuzo hizo Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo ,Dk Billy Kawia amewapongeza taasisi hizo zilizothibisha kwa vitendo uzingatiaji wa sheria - [Wenye ulemavu kupewa nguvu teknolojia saidizi](https://habarileo.co.tz/wenye-ulemavu-kupewa-nguvu-teknolojia-saidizi/) - MAREKANI: Serikali ya Tanzania imeeleza mafanikio makubwa iliyoyapata katika kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu, huku ikisisitiza umuhimu wa kuongeza upatikanaji wa vifaa na teknolojia saidizi ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi. ‎Akihitimisha ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu - [Tanzania ina gesi asilia futi za ujazo trilioni 57.54](https://habarileo.co.tz/tanzania-ina-gesi-asilia-futi-za-ujazo-trilioni-57-54/) - MTWARA: MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imesema hadi sasa tanzania imeshagundua kiasi cha gesi asilia futi za ujazo trilioni 57.54 katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Mnazi Bay kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara. Hayo yamebainishwa wakati Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo na kamati zake ilipotembelea miradi ya gesi asilia - [Wanne waiwakilisha Tanzania maonesho ya sanaa Italia](https://habarileo.co.tz/wanne-waiwakilisha-tanzania-maonesho-ya-sanaa-italia/) - Wasanii wanne wa Tanzania ambao ni Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel na Valerie Asiimwe Amani, wameipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika Maonesho ya 61 ya Kimataifa ya Sanaa ya La Biennale di Venezia, moja ya matukio makubwa na yenye heshima zaidi katika ulimwengu wa sanaa na utamaduni. Wakiiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - [Wasioripoti JKT waongezewa siku nne](https://habarileo.co.tz/wasioripoti-jkt-waongezewa-siku-nne/) - DODOMA; JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetoa fursa nyingine ya siku nne kwa vijana ambao bado kuripoti kwenye makambi waliyopangiwa kufanya hivyo katika kambi yoyote iliyokaribu. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Tawi la Oparesheni na Mafunzo JKT, Brigedia Jenerali Peter Mnyani wakati wa kutoka taarifa kwa umma kuhusu wito wa kuripoti makambini kwa vijana - [Watakiwa kuondoa vikwazo vya ajira kwa wenye ulemavu](https://habarileo.co.tz/watakiwa-kuondoa-vikwazo-vya-ajira-kwa-wenye-ulemavu/) - DAR ES SAAM: Shirikisho la Vyama Vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kilimanjaro Blind Trust Africa imehimiza waajiri nchini kuwapa fursa za mafunzo na ajira vijana wenye ulemavu kwani wana uwezo mkubwa wakuchangia maendeleo ya taasisi na uchumi wa nchi iwapo wakipata nafasi sawa . Hayo ameyasema leo jijini Dar - [Mpogolo: Huna uwezo usiombe kazi](https://habarileo.co.tz/mpogolo-huna-uwezo-usiombe-kazi/) - DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka wakandarasi wenye nia ya kwenda kuomba kazi katika wilaya hiyo kuhakikisha wana uwezo wa kufanya kazi hizo na kutimiza wajibu wao kikamilifu. Mpogolo ametoa angalizo hilo wakati akikagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Kimanga-Mazda yenye urefu wa mita 400 iliyojengwa kwa gharama - [Kampuni yajizatiti kulinda mazingira](https://habarileo.co.tz/kampuni-yajizatiti-kulinda-mazingira/) - DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Africa Global Logistics (AGL) imetekeleza kwa mafanikio mpango wake wa “Plastic-Less” unaolenga kupunguza matumizi ya chupa za plastiki za maji zinazotumika. Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zake za kulinda mazingira na kuimarisha matumizi endelevu ya rasilimali. Mpango huo haukulenga kuondoa kabisa matumizi ya plastiki, bali kupunguza utegemezi wake kwa - [Mradi Kidijitali kuwanufaisha wanawake Lakimoja](https://habarileo.co.tz/mradi-wa-kidijitali-kuwaufaisha-wanawake-laki-moja/) - ZAIDI ya wanawake 100,000 kutoka maeneo mbalimbali nchini wanatarajiwa kunufaika na mradi wa miaka mitatu wa uwezeshaji wa wanawake kiuchumi kupitia teknolojia ya kidijitali, unaolenga kuwawezesha katika masuala ya teknolojia, ubunifu na shughuli za kiuchumi ili kuongeza mchango wao katika maendeleo ya taifa. - [Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji macho](https://habarileo.co.tz/wagonjwa-823-kufanyiwa-upasuaji-wa-macho/) - JUMLA ya wagonjwa 823 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho katika kambi maalum ya madaktari bigwa iliyowekwa na Serikali kwa kushirikiana na Taasisi ya 'Helen Keller International' na wadau wengine wa sekta ya afya. - [Ndejembi azindua kituo cha kuchajia magari](https://habarileo.co.tz/ndejembi-azindua-kituo-cha-kuchajia-magari/) - SERIKALI imezindua Kituo cha Kuchajia Vyombo vya Usafiri Vinavyotumia Umeme jijini Dodoma, katika hatua inayolenga kuharakisha matumizi ya nishati safi na kupunguza gharama za usafiri nchini. - [Ukosefu wa ajira washuka hadi asilimia 6.2](https://habarileo.co.tz/ukosefu-wa-ajira-washuka-hadi-asilimia-6-2/) - DODOMA:Kiwango cha ukosefu wa ajira nchini kimeshuka hadi asilimia 6.2 mwaka 2024 kutoka asilimia 8.7 mwaka 2020/21, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema. Akiwasilisha Bungeni Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2025 pamoja na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27, Profesa Mkumbo - [Sekta binafsi kubeba miradi mikubwa ya maendeleo](https://habarileo.co.tz/sekta-binafsi-kubeba-miradi-mikubwa-ya-maendeleo/) - DODOMA:Serikali imepanga kuongeza ushiriki wa sekta binafsi katika kugharamia na kutekeleza miradi ya maendeleo, ikisema hatua hiyo ni muhimu katika kuharakisha ukuaji wa uchumi na kuongeza fursa za ajira nchini. Mkakati huo umeainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27, ambao umeweka uwekezaji na biashara miongoni mwa sekta muhimu zitakazoongoza mageuzi ya uchumi. - [Prof Mkumbo: Rais anaenda nje kutafuta fursa, sio misaada](https://habarileo.co.tz/prof-mkumbo-rais-anaenda-nje-kutafuta-fursa-sio-misaada/) - DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan anaendelea kufanya ziara za nje kwa lengo la kutafuta fursa za biashara na uwekezaji badala ya misaada, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema wakati akiwasilisha Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27 bungeni. “Mheshimiwa Rais anaenda nje kutafuta fursa za biashara - [Kilimo kuongoza ajenda mabadiliko ya uchumi](https://habarileo.co.tz/kilimo-kuongoza-ajenda-mabadiliko-ya-uchumi/) - DODOMA:Serikali imesema itatoa kipaumbele kwenye sekta ya kilimo katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27, ikiitaja kuwa miongoni mwa sekta zitakazochochea mageuzi ya uchumi, kuongeza uzalishaji na kufungua fursa za ajira nchini. Akiwasilisha mpango huo bungeni, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kilimo, mifugo, uvuvi - [Mzee Onyango afariki dunia](https://habarileo.co.tz/mzee-onyango-afariki-dunia/) - DAR ES SALAAM; MSANII mkongwe wa vichekesho nchini Issa Joseph ‘Mzee Onyango’ amefariki dunia alfajiri ya leo. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na msanii mwenzie Seif Mbembe na kwamba taarifa zaidi kuhusu msiba huo zitatolewa. - [Pato la mtanzania mmoja lafikia Mil.3.5](https://habarileo.co.tz/pato-la-mtanzania-mmoja-lafikia-sh-milioni-3-5/) - WASTANI wa pato la taifa kwa mtu mmoja mmoja nchini umeongezeka kwa asilimia 7.4 na kufikia shilingi 3,544,124 sawa na dola za Marekani 1,390 mwaka 2025, ikilinganishwa na shilingi 3,299,637 sawa na dola 1,264 mwaka 2024. - [Filamu ya kuhamamisha utalii kuachiwa Juni 21](https://habarileo.co.tz/filamu-ya-kuhamamisha-utalii-kuachiwa-juni-21/) - DAR ES SALAAM: Kampuni ya Kitanzania ya Ngoteya Wild, imetangaza kuwa filamu mpya ya 'Sentinels of Engaruka' ambayo wamefanya kwa kushirikiana na African people and wildlife itaoneshwa rasmi kupitia Juni 21. 2026 kupitia Youtube. Filamu hiyo imechukua zaidi ya miaka mitatu kuandaliwa, ikihusisha utafiti wa kina, upigaji picha wa mazingira ya asili na simulizi inayoonesha - [Kafulila asifu ziara ya Rais wa Singapore](https://habarileo.co.tz/kafulila-asifu-ziara-ya-rais-wa-singapore/) - DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulil amesema ziara ya Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam imeleta hamasa kwa serikali, wanazuoni, jumuiya za wawekezaji na wananchi kwa ujumla. Akizungumza leo Juni 10, Dar es Salaam amesema hatua hiyo ni kutokana na muujiza wa - [Chalamila atembelea kituo cha TFF Kigamboni](https://habarileo.co.tz/chalamila-atembelea-kituo-cha-tff-kigamboni/) - DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema ujenzi wa kituo Uwanja Cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Kigamboni uwekezaji mkubwa unaochochea maendeleo ya uchumi wa eneo husika pamoja na kuinua hadhi ya Kigamboni na Jiji la Dar es Salaam kwa ujumla. Akizungumza leo Juni 10, wakati wa ziara yake - [Mkakati waiva kukuza vipaji UMITASHUMTA, UMISETA](https://habarileo.co.tz/mkakati-waiva-kukuza-vipaji-umitashumta-umiseta/) - IRINGA: SERIKALI imetangaza mkakati mpya wa kitaifa wa kutambua, kusajili na kufuatilia vipaji vinavyoibuliwa kupitia mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA, hatua inayolenga kuhakikisha hakuna kipaji kinachopotea na kwamba vijana wenye uwezo katika michezo na sanaa wanapata nafasi ya kuendelezwa hadi kufikia ngazi za kitaifa na kimataifa. Sambamba na hilo, serikali imeelekeza halmashauri zote nchini kuanzisha - [Abuni mashine kuokoa watoto njiti](https://habarileo.co.tz/abuni-mashine-kuokoa-watoto-njiti/) - ARUSHA: Mbunifu Mosety Baita kutoka jijini Arusha amebuni mashine maalumu ya kisasa inayolenga kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda wao (njiti), pamoja na kusaidia huduma za afya kwa mama wajawazito na watoto wachanga. Baita ameonyesha mashine hiyo mbele ya Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa wakati akikagua mabanda ya maonesho kabla ya ufunguzi wa - [“Tafiti za NIMR ziwe suluhisho changamoto za afya”](https://habarileo.co.tz/tafiti-za-nimr-ziwe-suluhisho-changamoto-za-afya/) - ARUSHA: Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameiagiza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa (NIMR) kuendelea kuzalisha tafiti na ubunifu zinazosaidia kutatua changamoto mbalimbali za afya nchini Mchengerwa ameyasema hayo leo jijini Arusha katika ufunguzi wa Kongamano Kuu la Mwaka la Kisayansi la 33 liloloanza leo hadi Juni11. Amesema moja ya changamoto kubwa inayokwamisha manufaa - [Maarifa yahitajika kuendeleza sekta ya madini](https://habarileo.co.tz/maarifa-yahitajika-kuendeleza-sekta-ya-madini/) - DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amewataka wanafunzi kutumia maarifa, ujuzi na uzoefu ambapo ukitumika ipasavyo unaweza kuifanya Tanzania ipige hatua kubwa zaidi ya maendeleo kupitia rasilimali zake za madini. Hayo ameyasema leo Juni 9, akiwa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wakati akifungua maonesho ya 11 ya wiki ya Tafiti na - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-142/) - Kamusi ya Kiswahili. Meaning Kamusi ya Kiswahili means a Swahili dictionary in English. It is a book or digital resource that explains the meanings, spelling, pronunciation, and usage of words in the Swahili language. Kamusi = dictionary Kiswahili = the Swahili language Therefore, Kamusi ya Kiswahili = Swahili dictionary. Origin The word kamusi comes - [Gharama za maji Kigoma Ujiji zapanda](https://habarileo.co.tz/gharama-za-maji-kigoma-ujiji-zapanda/) - KIGOMA: MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma Ujiji (KUWASA) imefanya mabadiliko ya gharama ya bei za maji kwa wateja wake. Akitangaza mabadiliko hayo leo Juni 9, Ofisa Mipango na Uchumi wa KUWASA, Naaman Kahoye kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo, Dk. Christopher Nditi amesema bei za huduma ya maji kwa wateja - [Shule binafsi zataka mazingira rafiki kuelekea 2028](https://habarileo.co.tz/shule-binafsi-zataka-mazingira-rafiki-kuelekea-2028/) - WAKATI Tanzania ikiendelea kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, wadau wa elimu wameonya kuwa mafanikio ya sekta hiyo hayatapatikana kwa juhudi za serikali pekee, bali kwa ushirikiano wa dhati kati ya serikali na sekta binafsi ambazo kwa miaka mingi zimekuwa zikibeba sehemu muhimu ya jukumu la kutoa elimu kwa Watanzania. Wito huo umetolewa katika - [Kapinga: Jetour itachochea ajira, ukuaji uchumi](https://habarileo.co.tz/kapinga-jetour-itachochea-ajira-ukuaji-uchumi/) - DAR ES SALAAM:Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema ujio wa magari ya Jetour utafungua ukurasa mpya wa fursa za kiuchumi, hasa kuzalisha nafasi za ajira kwa vijana wa Kitanzania kwenye nyanja za mauzo, huduma za kiufundi, na teknolojia ya habari na mawasiliano. Kapinga amesema mbali na kukuza soko la bidhaa, ushirikiano huo ni - [Azungumzia nafasi ya wanahabari PPP](https://habarileo.co.tz/azungumzia-nafasi-ya-wanahabari-ppp/) - DAR ES SALAAM: Mwandishi mkongwe nchini, Eda Sanga, amewakumbusha wadau wa sekta ya umma na binafsi kuhusu nafasi isiyozibika ya vyombo vya habari katika kufanikisha mageuzi ya utoaji huduma za afya kupitia mfumo wa Ubia (PPP). Sanga ametoa ushauri huo wa kimkakati wakati akichangia mada katika Kongamano la Kitaifa la PPP katika Sekta ya Afya - [Wadau watoa maoni urasimu sekta binafsi](https://habarileo.co.tz/wadau-watoa-maoni-urasimu-sekta-binafsi/) - DAR ES SALAAM: Mmoja wa wawekezaji katika sekta ya afya nchini Dk.Mahmood Mringo, ameishauri Serikali kufanya mageuzi makubwa ya kisera ili kunusuru sekta binafsi, akilalamikia utitiri wa kodi, mlolongo wa mamlaka za udhibiti, na riba kubwa za benki zinazokwamisha uwekezaji. Mringo aliwasilisha malalamiko hayo mbele ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia (PPP Centre), David - [Malengo ya JKT Marathon yaleta mafanikio kwa jamii](https://habarileo.co.tz/malengo-ya-jkt-marathon-yaleta-mafanikio-kwa-jamii/) - DODOMA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema SUMA JKT Marathon imefanikiwa kufikia malengo yake makuu matatu ya kuchangia huduma za afya, kutangaza bidhaa zinazozalishwa na JKT pamoja na kutoa fursa kwa wajasiriamali kuonesha na kuuza bidhaa zao. Naibu Waziri amesema hayo katika Maadhimisho ya Kilele cha Mbio hizo leo - [Wakulima Kagera wajiunga biashara ya kaboni](https://habarileo.co.tz/wakulima-kagera-wajiunga-biashara-ya-kaboni/) - KAGERA: WAKULIMA wadogo wapatao 180,000 katika Mkoa wa Kagera tayari wamesajiliwa kushiriki katika biashara ya kaboni, hatua inayotajwa kuwa fursa mpya ya kuongeza kipato kwa wananchi huku ikichochea juhudi za uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Mafanikio hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa KADERES, Leonard Kachebonao, wakati wa kikao cha wadau wa biashara - [Nguzo za zege kuimarisha usambazaji umeme](https://habarileo.co.tz/nguzo-za-zege-kuimarisha-usambazaji-umeme/) - TABORA: Kampuni tanzu ya TANESCO ya kuzalisha nguzo za zege (TCPM) imeanza rasmi kusambaza nguzo za zege zinazozalishwa katika Kiwanda cha Nguzo za Zege kilichopo Mkoa wa Tabora, kwa lengo la kuimarisha na kuboresha miundombinu ya usafirishaji na usambazaji wa umeme nchini. Akizungumza wakati wa zoezi la upakiaji wa nguzo hizo kwa ajili ya kusambazwa - [TAMONGSCO yatoa neno kodi za mitaa](https://habarileo.co.tz/tamongsco-yatoa-neno-kodi-za-mitaa/) - ARUSHA: Shirikisho la Wamiliki na Mameneja wa Shule na Vyuo Visivyo vya Serikali Tanzania (TAMONGSCO) wamezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuacha kutoza kodi na tozo ambazo tayari zilisamehewa na Serikali Kuu, wakidai kuwa baadhi ya halmashauri zinatumia nguvu na askari mgambo kukusanya fedha hizo kinyume na sheria. Malalamiko hayo yameelekezwa zaidi kwa Halmashauri ya - [Rais wa MAT ataka mazingira ya uwekezaji yaboreshwe](https://habarileo.co.tz/rais-wa-mat-ataka-mazingira-ya-uwekezaji-yaboreshwe/) - DAR ES SALAAM: Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Mugisha Nkoronko, ametoa wito kwa Serikali kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya afya nchini. Ameseme lengo kuiwezesha sekta binafsi kutoa mchango mpana na wenye tija katika utoaji wa huduma za matibabu kwa wananchi. Dk. Nkoronko ameyasema hayo, wakati akiwasilisha mada katika Kongamano - [Benki ya Equity zaidi kupasua anga Zanzibar](https://habarileo.co.tz/benki-ya-equity-zaidi-kupasua-anga-zanzibar/) - ZANZIBAR: BENKI ya Equity Tanzania imezindua rasmi kituo maalum cha huduma za kibenki cha Zanzibar Supreme katika eneo la Kijangwani, Mjini Magharibi Zanzibar, hatua inayolenga kuboresha huduma za kifedha kwa wateja wa hadhi ya juu, wawekezaji na wafanyabiashara. Uzinduzi wa kituo hicho ulioongozwa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Hamad Omar Bakar, unaifanya - ['Dhana ya taka sifuri inafungua fursa biashara, viwanda'](https://habarileo.co.tz/dhana-ya-taka-sifuri-inafungua-fursa-biashara-viwanda/) - UTURUKI: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema dhana ya taka sifuri na urejeshaji bidhaa ni fursa muhimu ya kukuza sekta ya viwanda, kuongeza thamani ya malighafi na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza katika kikao cha mawaziri kilichofanyika jijini Istanbul nchini Uturuki, Juni 5, 2026, kilichobeba mada ya Mageuzi ya Kijani ya - [Mafunzo kuongeza ufanisi kwa wajasiriamali](https://habarileo.co.tz/mafunzo-kuongeza-ufanisi-kwa-wajasiriamali/) - IRINGA: ZAIDI ya wajasiriamali 300 kutoka maeneo mbalimbali ya Jimbo la Iringa Mjini wamehitimu mafunzo maalumu ya ujasiriamali yaliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo hilo, Fadhili Ngajilo. Mafunzo hayo yana lengo la kuwaongezea uwezo wa kushindana katika soko, kuboresha biashara zao na kuzitumia fursa za kiuchumi zilizopo kwa maendeleo yao binafsi na taifa kwa ujumla. Mafunzo - [Kafulila azungumzia mkatati wa rufaa matibabu ya nje](https://habarileo.co.tz/kafulila-azungumzia-mkatati-wa-rufaa-matibabu-ya-nje/) - DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-Centre), David Kafulila, ameongoza kongamano la kitaifa kujadili mageuzi makubwa ya sekta ya afya, akibainisha kuwa uwekezaji unaofanywa sasa utamaliza kabisa adha ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi. Kongamano hilo limefanyika leo Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi - [Londo: TBS ni nguzo kuu kulinda afya ya mlaji](https://habarileo.co.tz/londo-tbs-ni-nguzo-kuu-kulinda-afya-ya-mlaji/) - DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, amelitaja Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuwa ni nguzo kuu ya kulinda afya za walaji na kuchochea ustawi wa viwanda nchini. Amebainisha hayo leo jijini Dar es Salaam katika hafla maalumu ya maadhimisho ya Miaka 50 ya TBS pamoja na utoaji wa tuzo kwa - [Kihongosi ahamasisha wananchi kujiunga mifumo ya bima](https://habarileo.co.tz/kihongosi-ahamasisha-wananchi-kujiunga-mifumo-ya-bima/) - ARUSHA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa, Kenani Kihongosi amewahimiza wananchi kujiunga na mifumo ya bima ya afya ili kupunguza gharama za matibabu, huku akiwataka kupuuza propaganda zinazoweza kuwakatisha tamaa kuhusu umuhimu wa bima hiyo. Kihongosi ameeleza hayo leo Juni 6,2026 alipotembelea na kushidiki kikao katika Shina Namba Mbili, - [Kihongosi: Tuwapinge wanaohamasisha chokochoko](https://habarileo.co.tz/kihongosi-tuwapinge-wanaohamasisha-chokochoko/) - ARUSHA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kuendelea kulinda uhuru, amani na utulivu wa nchi kwa kupinga hadharani watu wanaohamasisha chokochoko na vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa taifa. Kihongosi ameeleza hayo leo Juni 6,2026 alipotembelea na kuzindua Shina la Wakereketwa wa Noah Saccos, katika Stendi Kuu ya - [Wagonjwa 1000+ kutoka nje watibiwa hospitali ya Kaloleni](https://habarileo.co.tz/wagonjwa-1000-kutoka-nje-watibiwa-hospitali-ya-kaloleni/) - ARUSHA: HOSPITALI ya Karoleni jijini Arusha imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika sekta ya afya na kuibuka kuwa miongoni mwa vituo vinavyochangia ukuaji wa utalii wa afya nchini Tanzania, baada ya kuhudumia wagonjwa wageni zaidi ya 1,110 kutoka nje ya nchi. Hayo yamebainishwa leo Juni 6,2026 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha - [Wakulima wa korosho waishukuru serikali uwezeshaji pembejeo](https://habarileo.co.tz/wakulima-wa-korosho-waishukuru-serikali-uwezeshaji-pembejeo/) - MTWARA: BAADHI ya Wakulima wa zao la Korosho katika kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameishukuru serikali kwa kuendelea kuwaletea pembejeo za korosho bure ili kuwapunguzia gharama za uzalishaji. Hayo yamejiri wakati wa zoezi la ugawaji wa pembejeo hizo za korosho lilipofanyika kwa wakulima wa zao hilo kwenye kata hiyo huku likiendelea - [DCEA yataka ushiriki wa vijana kudhibiti dawa za kulevya](https://habarileo.co.tz/dcea-yataka-ushiriki-wa-vijana-kudhibiti-dawa-za-kulevya/) - ARUSHA: Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amewataka vijana kuwa mabalozi wa mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuelimisha jamii, kushiriki kikamilifu katika juhudi za kuzuia matumizi ya dawa hizo. Lyimo ametoa kauli hiyo wakati akifunga Jukwaa la Vijana la Afrika Mashariki na Kati la - [Wakulima Shinyanga wanufaika na Amco's](https://habarileo.co.tz/wakulima-shinyanga-wanufaika-na-amcos/) - SHINYANGA: WAKULIMA 164,400 mkoani Shinyanga wamenufaika na huduma kupitia Vyama vya Msingi (Amco’s) huku vyama hivyo vikiendelea kuimarishwa zaidi na kupewa elimu ya mara kwa mara. Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Ibrahim Kakozi amesema hayo kwenye jukwaa la maendeleo ya ushirika lililofanyika mjini Kahama huku akieleza ushirika una wanachama zaidi ya - [SUA yajizatiti utafiti wa mbegu bora](https://habarileo.co.tz/sua-yajizatiti-utafiti-wa-mbegu-bora/) - MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimelekeza nguvu kuwekeza katika tafiti, ubunifu na teknolojia za uzalishaji wa mbegu bora ili kuongeza tija katika sekta ya kilimo na kuimarisha usalama wa chakula nchini. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaalam, Profesa Maulid Mwatawala amesema hayo kwa niaba ya Makamu Mkuu - [Wanafunzi wa kike wapewa tahadhari matumizi ya simu](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-wa-kike-wapewa-tahadhari-matumizi-ya-simu/) - MOROGORO: WANAFUNZI wakike wa shule za msingi na sekondari mkoani Morogoro wameshauriwa kujiepusha na matumizi yasiyo sahihi ya simu kwa vile zimebainika ni vichocheo vya wao kujingiza kwenye uhusiano wa kimapenzi wakiwa kwenye umri mdogo, kufanyiwa ukatili wa kigono na wengi wao kupata mimba. Mwenyekiti wa Kampeni ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii - [Kiswaga ataja changamoto jimboni mbele ya Dk Mwigulu](https://habarileo.co.tz/kiswaga-ataja-changamoto-jimboni-mbele-ya-dk-mwigulu/) - IRINGA: MBUNGE wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, ameibua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo lake, ikiwemo migogoro ya ardhi, upungufu wa vituo vya afya, uhaba wa mabweni ya wanafunzi wa kike na changamoto za maji, akiiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kuzipatia ufumbuzi. Kiswaga alitoa maelezo hayo leo mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri - [Mbunge aomba benki maalumu ya wanawake](https://habarileo.co.tz/mbunge-aomba-benki-maalumu-ya-wanawake/) - IRINGA: MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa, Fatma Rembo (CCM), ameibuka kuwa sauti ya wanawake wa Mkoa wa Iringa baada ya kuiomba Serikali kuanzisha benki maalumu ya wanawake itakayowawezesha kupata mitaji yenye masharti nafuu na kuongeza ushiriki wao katika shughuli za kiuchumi. Rembo aliwasilisha hoja hiyo mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano - [Mkuu wa Wilaya Kilombero ahimiza utuzanji mazingira](https://habarileo.co.tz/mkuu-wa-wilaya-kilombero-ahimiza-utuzanji-mazingira/) - MOROGORO: MKUU wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Dunstan Kyobya, amesema mazingira ni msingi wa maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii, hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kushiriki kuyatunza kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye. Kyobya amesema hayo Juni 5, 2026 aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 - [Mradi wa uchorongaji visima gesi asilia Mtwara unavyonufaisha wazawa](https://habarileo.co.tz/mradi-wa-uchorongaji-visima-gesi-asilia-mtwara-unavyonufaisha-wazawa/) - Kwa mujibu wa Mhandisi Mwose, uchorongaji wa visima viwili vya uzalishaji vilivyopewa majina ya MB5 na MS2 ulikuwa umekamilika na uchorongaji wa kisima cha tatu - [Mwigulu awapa onyo watumishi wanaowanyima haki wananchi](https://habarileo.co.tz/mwigulu-awapa-onyo-watumishi-wanaowanyima-haki-wananchi/) - IRINGA: WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amesema Serikali haitasita kuwaondoa kazini watumishi wa umma watakaobainika kuwanyima wananchi haki zao au kuwazungusha bila sababu wanapohitaji huduma katika ofisi za umma. Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Jimbo la Ismani uliofanyika katika Kata ya Kihologota mkoani Iringa, Dk Nchemba alionesha - [Kihongosi asifu uongozi wa Dk Samia](https://habarileo.co.tz/kihongosi-asifu-uongozi-wa-dk-samia/) - ARUSHA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, amesema uongozi wa taifa unahitaji uzoefu, utulivu na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa, akisisitiza kuwa Tanzania inaendelea kunufaika na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amejijengea uzoefu wa muda mrefu katika utumishi wa umma. Kihongosi amezungumza hayo leo wakati akizungumza na - ['Uzingatiaji viwango, ubora si hiari'](https://habarileo.co.tz/uzingatiaji-viwango-ubora-si-hiari/) - DAR ES SALAAM: Serikali imesisitiza kuwa uzingatiaji wa viwango na ubora wa bidhaa na huduma si jambo la hiari bali ni nguzo ya lazima katika kujenga uchumi wa viwanda wenye ushindani kitaifa na kimataifa. Kauli hiyo imetolewa Juni 5, 2026 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda - [Wakulima sasa mambo kidigitali](https://habarileo.co.tz/wakulima-sasa-mambo-kidigitali/) - DAR ES SALAAM: Wakulima na wanachama wa vyama vya ushirika nchini wanatarajiwa kunufaika na ongezeko la upatikanaji wa huduma za kidijitali na kifedha kupitia jukwaa la M-Kulima kufuatia Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC leo kusaini hati ya makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) yenye lengo la kuimarisha matumizi ya dijitali - [Kituo cha msaada kwa wafanyakazi wahamiaji kufunguliwa](https://habarileo.co.tz/kituo-cha-msaada-kwa-wafanyakazi-wahamiaji-kufunguliwa/) - DAR ES SALAAM: SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), kwa kushirikiana na Shirika la Kazi Duniani (ILO) watazindua rasmi Kituo cha Msaada kwa Wafanyakazi Wahamiaji Tanzania (TUCTA-MWRC) chenye lengo la kusaidia watanzania wanaoenda kufanya kazi nje ya nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Naibu Katibu Mkuu TUCTA Rehema Ludanga alisema kituo hicho kinachotarajiwa - [Tulia: Tanzania Iko Tayari kwa IPU](https://habarileo.co.tz/tulia-tanzania-iko-tayari-kwa-ipu/) - TANZANIA imewahakikishia wajumbe na wageni watakaoshiriki Mkutano wa 153 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kuwa imeweka na kuimarisha hatua zote muhimu za usalama na afya kuelekea mkutano huo utakaofanyika Oktoba 5 hadi 9, 2026 jijini Arusha. - [Nchimbi atoa maagizo 10 kulinda mazingira](https://habarileo.co.tz/nchimbi-atoa-maagizo-10-kulinda-mazingira/) - MAKAMU wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ametoa maagizo 10 kwa wadau wa mazingira, ikiwamo mamlaka za Serikali za Mitaa hususan manispaa na majiji, kuanzisha bustani za kijani na kuhakikisha zinatunzwa ipasavyo. - [ATCL kuanza safari Dar - Urusi Julai 2](https://habarileo.co.tz/atcl-kuanza-safari-dar-urusi-julai-2/) - RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuanza kwa safari za ndege za moja kwa moja kati ya Dar es Salaam na Moscow kuanzia Julai 2 mwaka huu, hatua aliyoieleza kuwa itaimarisha biashara, uwekezaji na utalii kati ya Tanzania na Urusi. - [Kihongosi: Tukemee ukatili, tulinde watoto](https://habarileo.co.tz/kihongosi-tukemee-ukatili-tulinde-watoto/) - ARUSHA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi kusimama kidete katika kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto pamoja na mmomonyoko wa maadili. Lengo ni kulinda ustawi wa familia na kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama yanayowawezesha kutimiza ndoto zao. Kihongosi ametoa mwito huo leo - [CCM: Msikubali kununuliwa](https://habarileo.co.tz/ccm-msikubali-kununuliwa/) - ARUSHA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kutolukubali kununuliwa au kutumiwa na watu kwa maslahi yao binafsi, kikisitiza kuwa kitendo cha kununuliwa ni kudharauliwa. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, ameeleza hayo leo Juni 5,2026 alipombele Shina Namba Nane katika Kata ya Lovilukuni wilayani Arumeru mkoani Arusha kukagua - [Shirika lapanda miti utunzaji mazingira](https://habarileo.co.tz/shirika-lapanda-miti-utunzaji-mazingira/) - SHINYANGA: SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Tanganyika Christian Refugee Service (TCRS) limeweka mkakati wa utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti na kutoa elimu ya matumizi ya jiko banifu kwa lengo kukabiliana na changamoto ya ukame iliyopo iliyopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga. Hayo yamesemwa leo na Mwezeshaji wa Utunzaji wa Mazingira kutoka shirika hilo, Emanuel Samweli - [Ashauri PPP inufaishe pande zote](https://habarileo.co.tz/ashauri-ppp-inufaishe-pande-zote/) - DAR ES SALAAM: Dk Lutengano Mwinuka ameshauri kuwa ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi (PPP) unapaswa kunufaisha pande zote mbili zinazoingia makubaliano ya kutekeleza miradi ya kimkakati. Mhadhiri huyo alitoa maoni hayo wakati akichangia hoja katika mhadhara wa umma uliofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ukiangazia nafasi ya PPP katika utekelezaji wa - [UDOM yandaa miradi 11 utekelezaji Dira 2050](https://habarileo.co.tz/udom-yandaa-miradi-11-utekelezaji-dira-2050/) - DODOMA: CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimesema kimeandaa miradi 11 ya kimkakati ambayo imefikia hatua ya upembuzi yakinifu ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mtaalamu wa masuala ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) wa chuo hicho, Anastazia Njiku, alisema miradi hiyo - [Mbunge aisifu Tanzania kwa amani](https://habarileo.co.tz/mbunge-aisifu-tanzania-kwa-amani/) - DODOMA:MBUNGE wa Jimbo la Kahama Mjini, Benjamin Ngayiwa, amesema Tanzania ni nchi ya mfano kutokana na amani na utulivu inayodumu, wakati nchi nyingine zikumbwa na migogoro. ‎ Akizungumza kuhusu hali ya amani nchini, Ngayiwa amebainisha kuwa mataifa mengine bado yanashuhudia vita vya wenyewe kwa wenyewe pamoja na migogoro ya kidini, kikabila na kimkoa. ‎ “Tunashuhudia - [Ashauri kulinda amani kwa maendeleo ya taifa](https://habarileo.co.tz/ashauri-kulinda-amani-kwa-maendeleo-ya-taifa/) - DODOMA: Katibu wa Kampeni ya kitaifa ya kupinga ukatili wa kijinsia na ukatili kwa watoto nchini Tanzania (SMAUJATA ) Kanda ya Ziwa Mkoa, Agripina Msita, amewashauri Watanzania pamoja na vijana kudumisha amani ili nchi iweze kuendelea kupata maendeleo. ‎ ‎Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo - [Vijana washauriwa kulinda amani](https://habarileo.co.tz/vijana-washauriwa-kulinda-amani/) - DODOMA: Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Ally Liwaka, ametoa wito kwa Watanzania hususan vijana kuendelea kulinda na kuitunza amani ya nchi ili kudumisha mshikamano wa kitaifa. ‎ ‎Akizungumzia kuhusu umuhimu wa amani, Liwaka amesema kuwa katika maisha kuna mambo mengi ambayo mtu anaweza kuyachagua au kuyaacha, lakini amani si jambo la kufanyia uchaguzi kwani - [TRA yasisitiza mazingira bora ya kazi kuimarisha ufanisi](https://habarileo.co.tz/tra-yasisitiza-mazingira-bora-ya-kazi-kuimarisha-ufanisi/) - DAR ES SALAAM; Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Moshi Kabengwe, amewataka viongozi wa taasisi hiyo kuzingatia afya ya akili kwa watumishi wanaowasimamia kwa kuwa karibu nao na kujenga mazingira bora ya kazi yatakayowawezesha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Kabengwe ametoa rai hiyo leo Juni 04, 2026 jijini Dar - [Kafulila azungumzia uchumi mataifa ya nje](https://habarileo.co.tz/kafulila-azungumzia-uchumi-mataifa-ya-nje/) - MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema mfumo wa ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP) ni moja ya nyenzo muhimu zinazotumiwa na mataifa mengi duniani kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, jambo ambalo limekuwa kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi. - [Usugu wa vimelea wapungua, vifo vyashuka](https://habarileo.co.tz/usugu-wa-vimelea-wapungua-vifo-vyashuka/) - DAR ES SALAAM: Matumizi ya dawa za antibiotiki kiholela yamepungua kwa 80%, hivyo kupelekea pia kupunguza vifo kwa 14% vitokanavyo na usugu wa vimelea dhidi ya dawa kwa binadamu. Aidha, upande wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa kwa wanyama kumekuwa na juhudi kuhakikisha wafugaji wanahamasishwa kufuga kisasa kwa kuzingatia usafi na kuhakikisha vimelea visiwe - [Taasisi ya Mariam Mwinyi inavyobadilisha maisha Zanzibar](https://habarileo.co.tz/taasisi-ya-mariam-mwinyi-inavyobadilisha-maisha-zanzibar/) - WAKATI wa maji kupwa katika ufukwe wa Zanzibar, wanawake huingia taratibu ndani ya maji ya joto ya Bahari ya Hindi, wakifunga vipande vidogo vya mwani kwenye kamba zilizofungwa kati ya vigingi vya mbao. Kwa familia nyingi visiwani, kazi hii tulivu lakini yenye kutumia nguvu nyingi siyo tu njia ya kujipatia kipato bali ni mhimili wa maisha ya kila siku ya familia. WAKATI wa maji kupwa katika ufukwe wa Zanzibar, wanawake huingia taratibu ndani ya maji ya joto ya Bahari ya Hindi, wakifunga vipande vidogo vya mwani kwenye kamba zilizofungwa kati ya vigingi vya mbao. Kwa familia nyingi visiwani, kazi hii tulivu lakini yenye kutumia nguvu nyingi siyo tu njia ya kujipatia kipato bali ni mhimili wa maisha ya kila siku ya familia. - [Mama lishe kuboresha huduma kupitia mikopo](https://habarileo.co.tz/mama-lishe-kuboresha-huduma-kupitia-mikopo/) - KIGOMA: Mama na Baba lishe wanaofanya wanaouza chakula kwenye hotelini na kwenye migahawa wamejipanga kutumia fursa ya mikopo na uwezeshaji kutoka serikalini na wadau wa maendeleo kupitia Umoja wa Mama Lishe Tanzania (UMALITA) ili kuhakikisha huduma zao zinakuwa za viwango na tija kubwa. Katibu Mwenezi wa Taifa na Mhamasishaji wa UMALITA, Rehema Sule alisema hayo - [Bil 3/- zahitajika kusaidia watoto wenye ulemavu](https://habarileo.co.tz/bil-3-zahitajika-kusaidia-watoto-wenye-ulemavu/) - DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya CCBRT imezindua rasmi kampeni ya kitaifa ya uchangishaji fedha yenye lengo la kukusanya Sh bilioni 3 ili kugharamia matibabu ya watoto wanaozaliwa na changamoto mbalimbali za kiafya zinazoweza kutibika nchini Tanzania. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Brenda Msangi, amesema - [Taasisi yamsaidia mabati, saruji mwenye ulemavu](https://habarileo.co.tz/taasisi-yamsaidia-bati-saruji-mwenye-ulemavu/) - DAR ES SALAAM; Taasisi ya Tanzania Generation Care imetoa msaada wa mifuko ya saruji, bati pamoja na matofali kwa ajili ya kumsaidia mlemavu wa macho, Paulo Lupita, mkazi wa Tabata Mawenzi, Dar es Salaam, ambaye nyumba yake imebomoka na hivyo kulazimika kulala nje. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa kukabidhi msaada huo, Mkurugenzi wa - [Wananchi Shinyanga wanufaika mradi wa maji safi](https://habarileo.co.tz/wananchi-shinyanga-wanufaika-mradi-wa-maji-safi/) - SHINYANGA: WAKAZI zaidi ya 20,000 kutoka kata za Imesela na Bukene Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wameanza kunufaika na mradi wa maji safi baada ya shirika lisilo la kiserikali la Water for Good kwa kushirikiana na Wakala wa Majisafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) kutekeleza mradi wa usambazaji maji. Hayo yamesemwa leo na Mhandisi wa Maji - [Wananchi 16,000+ kunufaika na zahanati Mirerani](https://habarileo.co.tz/wananchi-16000-kunufaika-na-zahanati-mirerani/) - MANYARA: ZAIDI ya wananchi 16,000 wakiwemo wachimbaji wa madini na wadau mbalimbali wa shughuli za kiuchumi wanatarajiwa kunufaika na Zahanati Mpya inayojengwa katika eneo tengefu la Mgodi wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Hayo yamebainishwa leo Juni 3, 2026 Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi alipotembelea - [Viongozi watakiwa kutambua mamlaka ni ya muda](https://habarileo.co.tz/viongozi-watakiwa-kutambua-mamlaka-ni-ya-muda/) - MANYARA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa, Kenani Kihongosi amewataka viongozi wa chama na serikali kutambua kuwa mamlaka wanayopewa na wananchi ni dhamana ya muda ya kuwatumikia. Kihongosi ameeleza hayo leo Juni 3,2026 alipotembelea na kuahiriki kikao katika Shina Namba Nane, Kata ya Mirerani, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, ikiwa - [CCM: CSR isiwe hisani, Iwe wajibu kwa jamii](https://habarileo.co.tz/ccm-csr-isiwe-hisani-iwe-wajibu-kwa-jamii/) - MANYARA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wamiliki wa vitalu na kampuni zinazojihusisha na uchimbaji na biashara za madini wanakamilisha kikamilifu dhana ya uwajibikaji kwa jamii(CSR), kikisisitiza fedha hizo si hisani bali ni wajibu wa kisheria kwa wananchi. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ametoa mwito huo leo alipotembelea Soko - [Wanafunzi Shinyanga wanufaika huduma vyoo bora](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-shinyanga-wanufaika-huduma-vyoo-bora/) - SHINYANGA: ZAIDI ya wanafunzi 600 wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wamenufaika na huduma ya miundombinu ya mazingira baada ya Shirika la Water for Good kujenga vyoo 22 vyenye matundu 93. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi kutoka Shirika la Water for Good nchini Tanzania Devocatus Kamara katika hafla ya makabidhiano ya miundombinu - [Mfumo mpya wa forodha kurahisisha biashara Zanzibar](https://habarileo.co.tz/mfumo-mpya-wa-forodha-kurahisisha-biashara-zanzibar/) - ZANZIBAR: Mfumo wa Pamoja wa Uondoshaji wa Shehena Maeneo ya Forodha Zanzibar unatarajiwa kuleta ahueni kwa wafanyabiashara kwa kurahisisha mazingira ya biashara na kupunguza urasimu uliokuwa ukiwakabili. Kupitia mfumo huo, hatua mbalimbali za uondoshaji wa shehena zitafanyika kwa urahisi na kwa wakati, jambo litakalosaidia kuongeza ufanisi, kupunguza gharama za biashara na kuimarisha ushindani wa wafanyabiashara - [RC Iringa azindua wiki ya utafiti na bunifu](https://habarileo.co.tz/rc-iringa-azindua-wiki-ya-utafiti-na-bunifu/) - IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amefungua rasmi Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii iliyoandaliwa na Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE), akisisitiza umuhimu wa tafiti na ubunifu katika kutatua changamoto za wananchi na kuchochea maendeleo ya uchumi. Maadhimisho hayo yanayofanyika kuanzia Juni 2 hadi 4, 2026 katika Viwanja vya - [Wizara ya Kilimo, taasisi zashiriki maonesho Siku ya Mazingira Duniani](https://habarileo.co.tz/wizara-ya-kilimo-taasisi-zashiriki-maonesho-siku-ya-mazingira-duniani/) - DODOMA: Wizara ya Kilimo pamoja na taasisi zake zimeendelea kushiriki Maonesho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyoanza jijini Dodoma mnamo Juni Mosi na kutarajiwa kufungwa rasmi Juni 6, mwaka huu. Lengo la maonesho hayo ni kuonesha malengo ya maonesho hayo ni kuonesha mchango wa sekta ya kilimo katika uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na athari - [Huduma za dharura Manyara zapunguza hatari ya vifo](https://habarileo.co.tz/huduma-za-dharura-manyara-zapunguza-hatari-ya-vifo/) - MANYARA: UBORESHAJI wa miundombinu ya huduma za afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara umechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza vifo vinavyotokana na ajali za barabarani na dharura mbalimbali, kutokana na kuongezeka kwa uwezo wa hospitali kutoa huduma za haraka na za kibingwa. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi - [Wahukumiwa jela maisha kwa kuuza dawa za kulevya](https://habarileo.co.tz/wahukumiwa-jela-maisha-kwa-kuuza-dawa-za-kulevya/) - DAR ES SALAAM: Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewahukumu kifungo cha maisha jela Suleiman Thabit Ngulangwa na Farid Hamis Said baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la biashara haramu ya dawa za kulevya aina ya heroin yenye uzito wa kilo 15.19. Katika hukumu iliyotolewa Juni 1, 2026, Jaji - [Kihongosi asisitiza umakini mapokezi ya wageni](https://habarileo.co.tz/kihongosi-asisitiza-umakini-mapokezi-ya-wageni/) - MANYARA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara kuwa makini wanapowapokea wageni katika maeneo yao ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na kuwapokea watu wasiowafahamu vizuri. Kihongosi ametoa wito huo leo Juni 2,2026 aliposhiriki kikao cha Shina namba Mbili - [Mafanikio ya mradi wa Pamba na Kazi Bora yaonekana](https://habarileo.co.tz/mafanikio-ya-mradi-wa-pamba-na-kazi-bora-yaonekana/) - DAR ES SALAAM: MRADI wa Pamba na Kazi Bora unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali za Tanzania na Brazil umeendelea kuonesha mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya ajira za watoto, huku ukichangia kuimarisha usalama na afya kazini na kupanua huduma za ulinzi wa kijamii. Akizungumza jijini Dar es Salaam ,Ofisa Programu wa Shirika la Kazi - [Mradi wa 'Wezesha Wasichana' awamu ya pili wazinduliwa](https://habarileo.co.tz/mradi-wa-wezesha-wasichana-awamu-ya-pili-wazinduliwa/) - MAFIA: Awamu ya Pili ya mradi wa “Wezesha Wasichana Tabasamu Mpaka Mwisho” uliofadhiliwa na C-Weed Mwani, CEAMSA na Cargill, uliozinduliwa na Shirika la Harakati na Uwezeshaji wa Mazingira Tanzania (TEEMO) unalenga kuwawezesha wasichana wa shule za sekondari kupitia elimu ya afya. Elimu hiyo ni ya hedhi, usafi binafsi, utunzaji wa mazingira, kujenga kujiamini, kuboresha ufaulu - [Sekta Binafsi kichocheo utekelezaji Dira 2050](https://habarileo.co.tz/sekta-binafsi-kichocheo-utekelezaji-dira-2050/) - ARUSHA: SERIKALI imesema kuwa zaidi ya asilimia 70 ya fedha zinazohitajika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 zinatarajiwa kutoka sekta binafsi, huku Mfuko wa Kukuza Ukuaji wa Uwekezaji Tanzania (TIGF) ukizinduliwa kama jukwaa la kuandaa miradi na kuunganisha fursa za maendeleo na mitaji ya wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Hayo yamesemwa na - [Kiswahili chazidi kung'ara duniani](https://habarileo.co.tz/paris-kuipa-kiswahili-jukwaa-jipya-la-fursa/) - KWA muda mrefu, Kiswahili kilijulikana kama lugha ya mwambao wa Afrika Mashariki. Kilisikika katika mitaa ya Dar es Salaam, masoko ya Zanzibar, vijiji vya Pwani na maeneo mbalimbali ya Kenya, Uganda na nchi jirani. Wakati huo, haikuwa rahisi kufikiria kuwa siku moja lugha hiyo ingeweza kufundishwa katika vyuo vikuu vya Marekani, Ulaya na Asia, au kutumika katika majukwaa makubwa ya kimataifa. - [Emmanuela aibuka na ushindi wa 93.5% Isimani](https://habarileo.co.tz/emmanuela-aibuka-na-ushindi-wa-93-5-isimani/) - IRINGA: Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo, ameibuka mshindi kwa ushindi wa kishindo baada ya kupata kura 70,905, sawa na asilimia 93.5 ya kura halali 75,874 zilizopigwa. Matokeo hayo yalitangazwa rasmi na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Ismani, Caroline Otieno, baada ya kukamilika - [Kafulila kuongoza mhadhara sekta ya umma, binafsi](https://habarileo.co.tz/kafulila-kuongoza-mhadhara-sekta-ya-umma-binafsi/) - DODOMA: Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Centre, David Kafulila, anatarajiwa kuwa na Mhadhara Maalum wa Umma Chuo Kikuu cha Dodoma kesho ukijikita katika nafasi ya ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika kuharakisha maendeleo ya Tanzania kuelekea Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mhadhara huo, ulioandaliwa na College of Business and Economics - [Kiswahili hazina ya Tanzania](https://habarileo.co.tz/kiswahili-hazina-ya-tanzania/) - WAKATI mataifa mengi duniani yakitafuta njia za kukuza uchumi, kuimarisha diplomasia na kuunganisha wananchi wake, Tanzania inaendelea kunufaika na hazina kubwa ya lugha ya Kiswahili ambayo sasa imekuwa alama ya utambulisho wa Afrika na daraja la mawasiliano ya kimataifa. - [Muliro aionya jamii kuhusisha uhalifu na makabila](https://habarileo.co.tz/muliro-aionya-jamii-kuhusisha-uhalifu-na-makabila/) - DAR ES SALAAM: Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro, amewapongeza viongozi na wanajamii wa Kimasai wanaoishi jijini humo kwa kuendeleza misingi ya uaminifu, uadilifu na uwajibikaji katika shughuli mbalimbali wanazotekeleza. Akizungumza na viongozi wa jamii hiyo, Muliro alisema ameridhishwa na namna walivyojitokeza kujadili masuala yanayozingatia Katiba ya Jamhuri ya - [CCM yaitaka TFS kurejesha pikipiki walizokamata](https://habarileo.co.tz/ccm-yaitaka-tfs-kurejesha-pikipiki-walizokamata/) - MANYARA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewaelekeza Viongozi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mkoa wa Manyara kuhakikisha pikipiki zilizokamatwa kutoka kwa wananchi zinarejeshwa mara moja kwa wahusika ambao wamenyang’anywa. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ametoa maagizo hayo leo Juni Mosi, 2026 katija viwanja vya Shule ya - [Ngajilo aendelea kuwawezesha wajasiriamali Iringa](https://habarileo.co.tz/ngajilo-aendelea-kuwawezesha-wajasiriamali-iringa/) - IRINGA: Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ameendelea kuonyesha dhamira ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuratibu mafunzo maalumu ya ujasiriamali awamu ya pili yanayowakutanisha zaidi ya wajasiriamali 400 wa Manispaa ya Iringa. Mafunzo hayo yanalenga kuwajengea uwezo wa kuanzisha, kusimamia na kukuza biashara endelevu. Mafunzo hayo yamekuja wakati ambapo Serikali na wadau wa - [Kinondoni yazindua hamasa kushangilia Serengeti Boys](https://habarileo.co.tz/kinondoni-yazindua-hamasa-kushangilia-serengeti-boys/) - DAR ES SAALAAM :MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule, amewahamasisha wakazi wa Tandale na Kinondoni kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kushangilia timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, itakayocheza fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON U-17 dhidi ya Senegal kesho nchini Morocco. Akizungumza leo Tandale Sokoni, Mtambule amesema - [Hanang yafikia 97% upatikanaji maji](https://habarileo.co.tz/hanang-yafikia-97-upatikanaji-maji/) - MANYARA: Upatikanaji wa Maji katika Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara sasa umefikia asilimia 97, huku zaidi ya wananchi 35,000 wilayani humo wanatajwa kunufaika na huduma ya maji kupitia mradi Mradi wa Chujio la Maji la Jorodom wenye thamani ya Sh bilioni 1.1. Akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo leo Juni Mosi, 2026 Katibu wa - [Kihongosi: Msingi wa CCM ni kutatua kero za wananchi](https://habarileo.co.tz/kihongosi-msingi-wa-ccm-ni-kutatua-kero-za-wananchi/) - MANYARA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi mkuu wa chama chao ni kusikiliza wananchi na kuhakikisha changamoto zao zinapatiwa ufumbuzi. Kihongosi amesema hayo leo Juni Mosi, 2026 wakati akizungumza na wanachama na wananchi wa Shina Namba Moja, Tawi la Masakta, Kata ya Masakta wilayani - [Sh bilioni 5.8 kubadili sura utoaji huduma Hanang](https://habarileo.co.tz/sh-bilioni-5-8-kubadili-sura-utoaji-huduma-hanang/) - MANYARA: Serikali ya Awamu ya Sita imewekeza zaidi ya Sh bilioni 5.8 katika ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara mradi unaotarajiwa kuleta mapinduzi makubwa katika utoaji wa huduma kwa wananchi wa wilaya hiyo. Hayo yamebainishwa leo Juni Mosi, 2026 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama - [Wanne wafa, 29 wajeruhiwa ajali ya basi Mbeya](https://habarileo.co.tz/wanne-wafa-29-wajeruhiwa-ajali-ya-basi-mbeya/) - MBEYA: Watu wanne wamefariki na wengine 29 kujeruhiwa kufuatia ajali ya basi la abiria iliyotokea mkoani Mbeya baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka katika eneo lenye kona kali kwenye barabara ya Mbeya kuelekea wilayani Chunya. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga, amesema ajali hiyo ilitokea Mei 31, 2026, majira - [Tume yaundwa kuchunguza uvunjaji wa nyumba Kigombe](https://habarileo.co.tz/tume-yaundwa-kuchunguza-uvunjaji-wa-nyumba-kigombe/) - TANGA: Uongozi wa Mkoa wa Tanga umeunda timu maalumu kwa ajili ya kufuatilia kwa kina tukio la ubomoaji wa nyumba 67 katika eneo la Kigombe,katika kijiji cha Msakangoto, kilichotokea Mei 22, 2026 Hatua hiyo imekuja kufuatia madai kuwa ubomoaji huo ulifanywa na dalali wa mahakama bila kufuata taratibu stahiki, ikiwemo kutoshirikisha Jeshi la Polisi, wala - [Dk Gwajima aeleza mafanikio ukatili wa kingono](https://habarileo.co.tz/dk-gwajima-aeleza-mafanikio-ukatili-wa-kingono/) - DODOMA: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amesema kuwa takwimu zinaonesha kupungua kwa matukio ya ukatili wa kingono nchini, ingawa wanawake bado wanaendelea kuwa waathirika wakuu wa vitendo hivyo. ‎ ‎Akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 leo Juni 1, 2026, - [Kihongosi awasili Manyara ziara ya kikazi](https://habarileo.co.tz/kihongosi-awasili-manyara-ziara-ya-kikazi/) - MANYARA: KATIBU wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi leo Juni Mosi,2026 amewasili katika Mkoa wa Manyara kwa ajili ya kuendelea na ziara yake ya Kikazi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini. Mkoa wa Manyara ni mkoa wa 11 Kihongosi kutembelea katika ziara zake za kukagua uhai wa - [Muungano wa bodi kuleta mageuzi sekta ya mifugo](https://habarileo.co.tz/muungano-wa-bodi-kuleta-mageuzi-sekta-ya-mifugo/) - IRINGA: Serikali imetangaza mpango wa kuunganisha Bodi ya Maziwa na Bodi ya Mifugo ili kuongeza ufanisi katika usimamizi wa sekta ya mifugo na maziwa nchini, hatua inayotarajiwa kuleta mageuzi katika uzalishaji, usindikaji na masoko ya maziwa kwa manufaa ya wafugaji na uchumi wa taifa. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa Wiki ya 29 ya Maadhimisho ya - [Mambo safi nyumba za watumishi CCM Tanga](https://habarileo.co.tz/mambo-safi-nyumba-za-watumishi-ccm-tanga/) - TANGA: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tanga, Rajab Abdulrahman amekabidhi Sh milioni 500 kwa ajili ya umaliziaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba 36 za watumishi wa chama hicho ndani ya wilaya tisa za mkoa huo. Akikabidhi Hundi ya fedha hizo kwa Katibu wa Chama hicho, Mfaume Kizigo hapo jana, Mwenyekiti Rajab alisema - [Wabunifu watakiwa kusajili bunifu zao](https://habarileo.co.tz/wabunifu-watakiwa-kusajili-bunifu-zao/) - ARUSHA: Uwekezaji katika Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) kwa vijana ni hatua muhimu ya kuongeza ushindani wa taifa katika soko la kimataifa na kuchangia uchumi wa ajira kupitia miradi ya kibunifu. Lakini pia bunifu zote zinazozalishwa na wanafunzi shuleni zinapaswa kusajiliwa ili kulinda haki za wabunifu ili kuzuia teknolojia hizo kuibwa au kutumiwa na - [CCM yahitimisha kampeni Isimani, Chatanda atoa ahadi](https://habarileo.co.tz/ccm-yahitimisha-kampeni-isimani-chatanda-atoa-ahadi/) - IRINGA: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha kampeni zake za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Isimani kwa mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika Migoli, huku viongozi wa chama wakionesha imani kubwa ya ushindi na kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa mgombea wake, Emanuela Mtatifikolo. Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Taifa, Mary Chatanda, - [Kamati yaipongeza TRA utendaji kazi mzuri](https://habarileo.co.tz/kamati-yaipongeza-tra-utendaji-kazi-mzuri/) - DAR ES SALAAM: KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Bajeti imeipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa utendaji kazi ambao unaiwezesha kuvuka malengo ya makusanyo ya kodi waliyowekewa na Serikali kwa kila mwezi. Akizungumza wakati wa kikao baina ya wajumbe wa Kamati hiyo na Menejimenti ya TRA Mei 30, 2026 Dar es Salaam Mwenyekiti wa - [Vijana washauriwa kusoma masomo ya sanaa](https://habarileo.co.tz/vijana-washauriwa-kusoma-masomo-ya-sanaa/) - DAR ES SALAAM: VIJANA wametakiwa kusoma masomo ya sanaa kwa kuwa ni nyenzo muhimu katika kuitangaza nchi, pamoja na kutoa ajira na kuongeza mahusiano na utamaduni wa nchi nyingine. Hayo yamesemwa na Ofisa Uhusiano kwa Umma kutoka Kituo cha Utamaduni cha Iran, Amani Salum amesema kwa pamoja kati ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam - [Wanaume waonywa kutelekeza watoto](https://habarileo.co.tz/wanaume-waonywa-kutelekeza-watoto/) - DODOMA: Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu, Ummy Nderiananga, amewataka wanaume nchini kuacha tabia ya kutelekeza watoto wenye ulemavu na kushiriki kikamilifu katika malezi yao. Amesisitiza kuwa serikali imeweka mifumo mbalimbali ya kuhakikisha watoto hao wanapata haki na huduma za msingi ili waweze kutimiza ndoto - [PURA yaunga mkono mapambano dhidi ya Ukimwi, MSY](https://habarileo.co.tz/pura-yaiunga-mkono-mapambano-dhidi-ya-ukimwi-msy/) - DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeahidi kuwa kuwa itandelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kukabiliana na ugonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) na Magonjwa Sugu Yasiyoambukiza (MSY) kwa kuwezesha mafunzo ya mara kwa mara kwa watumishi wake. Hayo yamebainishwa na mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa PURA, - [Kituo cha mabasi Ngangamfumuni kuifungua Moshi](https://habarileo.co.tz/kituo-cha-mabasi-ngangamfumuni-kuifungua-moshi/) - MOSHI: UJENZI wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Kimataifa cha Ngangamfumuni katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro unatajwa kuwa chachu ya kuibadilisha Manispaa hiyo na kuwa kitovu kipya cha shughuli za kiuchumi Kanda ya Kaskazini. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Maoinduzi (CCM)Taifa, Kenani Kihongosi amebainisha hayo leo Mei 30,2026 alipotembelea - [CCM: Msiwakabidhi nchi wasio na leseni ya uongozi](https://habarileo.co.tz/ccm-msiwakabidhi-nchi-wasio-na-leseni-ya-uongozi/) - MOSHI: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania kutokubali kuwakabidhi watu wasio na sifa na uzoefu wa uongozi dhamana ya kuongoza nchi, kikisisitiza kuwa uongozi wa taifa si jambo la majaribio bali unahitaji viongozi wenye maono, uzoefu na uelewa wa mahitaji ya wananchi. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameyasema - [Mitungi 3,000 yazalishwa Hospitali ya Rufaa Mawenzi](https://habarileo.co.tz/mitungi-3000-yazalishwa-hospitali-ya-rufaa-mawenzi/) - KILIMANJARO: ZAIDI ya Mitungi 3000 ya Oksijeni imezalishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mawenzi katika kipindi cha miezi sita tangu, hali iliyosaidia kuondoa changamoto ya upatikanaji wa hewa tiba katika hospitali hiyo. Hayo yamebainishwa leo na Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk Abdillah Issah alipokuwa akisoma taarifa ya ya mradi huo mbele ya Katibu - [Zanzibar kuanzisha mfumo wa mita kwenye taxi](https://habarileo.co.tz/zanzibar-kuboresha-huduma-za-teksi-kupitia-mfumo-wa-nauli-kidijitali/) - Unguja. Zanzibar imeanza mchakato wa kuboresha sekta ya usafiri wa teksi kupitia mpango wa kuanzisha mfumo wa kidijitali wa malipo na upimaji wa nauli unaolenga kuongeza uwazi, ufanisi na urahisi kwa wakazi pamoja na wageni. Mpango huo unaandaliwa kwa ushirikiano wa pamoja na Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), Tume ya Utalii Zanzibar (ZCT) na wadau - [Mpango mpya UNDP kuongeza ujuzi, ubunifu kwa wahitimu](https://habarileo.co.tz/mpango-mpya-undp-kuongeza-ujuzi-ubunifu-kwa-wahitimu/) - DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Maendeleo Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania limesaini Hati za Makubaliano (MoUs) na taasisi tisa za elimu ya juu nchini, hatua inayolenga kuimarisha ujuzi wa vitendo, ubunifu na kuongeza fursa za ajira kwa vijana nchini. Makubaliano hayo yameelezwa kuwa sehemu ya juhudi za muda mrefu za kupunguza changamoto ya ukosefu wa - [Jamii yahamasishwa kuchangia damu](https://habarileo.co.tz/jamii-yahamasishwa-kuchangia-damu/) - KIGOMA: Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Dk Damas Kayera ameihamasisha jamii kujenga utamaduni wa kuchangia damu mara kwa mara ili kusaidia kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo katika hospitali na vituo vya afya. Dk Kayera ameyasema hayo leo Mei 29, 2026 katika viwanja vya Shule ya Msingi Makere wilayani Kasulu wakati wa maadhimisho - [Kituo cha mafuta Arusha kuongeza ajira](https://habarileo.co.tz/kituo-cha-mafuta-arusha-kuongeza-ajira/) - ARUSHA: UZINDUZI wa kituo kipya cha mafuta cha Orxy wilayani Karatu mkoani Arusha ni hatua muhimu ya kuongeza fursa za ajira, kurahisisha upatikanaji wa nishati ya mafuta kwa wasafirishaji na kuchochea shughuli za kiuchumi. Akizungumza leo Mei 29, 2026 katika hafla ya uzinduzi wa kituo hicho kitakachoendeshwa chini ya Kampuni ya Halyaz, Mkuu wa Wilaya - [THRDC, Wamasai waungana kulaani mauaji ya Bhaozang Ge](https://habarileo.co.tz/thrdc-wamasai-waungana-kulaani-mauaji-ya-bhaozang-ge/) - DAR ES SALAAM: WAKILI wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa, ameliomba Jeshi la Polisi kushirikiana na viongozi wa jamii ya Kimasai jijini Dar es Salaam ili kubaini watu wanaodhaniwa kuhusika katika mauaji ya raia wa China ambaye ni mmiliki wa kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki, Bhaozang Ge. Olengurumwa - [Mapambano dawa za kulevya yaendelea kuzaa matunda](https://habarileo.co.tz/mapambano-dawa-za-kulevya-yaendelea-kuzaa-matunda/) - DODOMA: Serikali imesema imeendelea kupata mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini kutokana na kuimarika kwa operesheni za udhibiti, ushirikiano wa vyombo vya dola pamoja na utoaji wa elimu kwa jamii. Hayo yameelezwa leo Mei 29, 2026 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye - [Sh Bilioni 4.4 zaboresha mazingira ya elimu Siha](https://habarileo.co.tz/sh-bilioni-4-4-zaboresha-mazingira-ya-elimu-siha/) - KILIMANJARO: SERIKALI ya Awamu ya Sita imeendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi wa kike nchini kupitia uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya elimu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 4.4 zimetumika kujenga Shule ya Sekondari ya Wasichana Kilimanjaro wilayani Siha mkoani Kilimanjaro. Akizungumza baada ha kukagua shule hiyo leo Mei 29,2026 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi - [CCM yaonya watakaokwamisha huduma kwa wananchi](https://habarileo.co.tz/ccm-yaonya-watakaokwamisha-huduma-kwa-wananchi/) - KILIMANJARO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitakuwa tayari kuvumilia mtumishi yeyote wa chama au serikali atakayekwamisha jitihada za utoaji huduma kwa wananchi, kikisisitiza kuwa hatua zitachukuliwa bila kuangalia cheo, umaarufu wala umri wa mhusika. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 29,2026 na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi alipotembelea na - [Rulenge wazindua AMCOs kuboresha masoko ya mazao](https://habarileo.co.tz/rulenge-wazindua-amcos-kuboresha-masoko-ya-mazao/) - KAGERA: Wananchi wanaojishughulisha na kilimo cha mazao katika Tarafa ya Rulenge, wilayani Ngara mkoani Kagera, kwa pamoja wameanzisha Chama cha Msingi Rulenge (AMCOs) ambacho kitawasaidia kukusanya mazao yao na kufuatilia bei nzuri za masoko kwa ajili ya kuuza kwa pamoja mazao ya kahawa, maharage, mahindi, parachichi na alizeti. Mwenyekiti wa bodi ya uanzishwaji wa chama - [Serikali yaimarisha mazingira usafiri mtandao](https://habarileo.co.tz/serikali-yaimarisha-mazingira-usafiri-mtandao/) - DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wa huduma za usafiri wa mtandao huku ikisisitiza kuwa sekta hiyo imekuwa mhimili muhimu wa ukuaji wa uchumi, ajira kwa vijana na maendeleo ya huduma za kidijiti nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Dar es Salaam na Mkurugenzi Msaidizi wa Usafiri kwa njia ya Barabara - [Mradi waboresha huduma ya maji Hanang](https://habarileo.co.tz/mradi-waboresha-huduma-ya-maji-hanang/) - MANYARA: Wananchi wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara wameendelea kunufaika na huduma za maji safi, vyoo bora pamoja na elimu ya usafi wa mazingira na usafi binafsi baada ya Shirika la WaterAid Tanzania kukabidhi rasmi mradi wa WASH katika Shule ya Msingi ya Gidamula iliyopo Hanang mkoani Manyara kwa serikali. ‎ ‎Makabidhiano hayo yamefanyika Mei - [Kigoma kuondoa vikwazo vya wasafirishaji saruji](https://habarileo.co.tz/kigoma-kuondoa-vikwazo-vya-wasafirishaji-saruji/) - KIGOMA: SERIKALI mkoani Kigoma imeahidi kutatua changamoto zisizo za kikodi zinazowakabili wafanyabiashara na wasafirishaji wa malighafi ya kutengeneza saruji (Clinker) kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kupitia Bandari ya Kigoma kuelekea Rwanda. Ahadi hiyo imetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Hassan Rugwa, baada ya kupokea ujumbe wa wafanyabiashara kutoka Rwanda ulioongozwa na Habib - [Tanzania kutekeleza miradi 60 ya Dola bilioni 2.85](https://habarileo.co.tz/tanzania-kutekeleza-miradi-60-ya-dola-bilioni-2-85/) - ARUSHA: TANZANIA imejiandaa kutekeleza kwa zaidi ya miradi 60 yenye thamani ya Dola za Kimarekani bilioni 2.85 sawa na zaidi ya Sh trilioni 7 hadi 8 kupitia sekta mbalimbali za utalii, uvuvi, uchumi wa buluu, miundombinu na sekta nyinginezo. Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi(TISEZA) - [Tanzania, Brazil zapinga utumikishaji watoto](https://habarileo.co.tz/tanzania-brazil-zapinga-utumikishaji-watoto/) - DAR ES SALAAM: Tanzania na Brazil zimekutana katika mkutano wa siku tatu kujadili namna ya kupambana na utumikishwaji wa watoto kwenye kilimo cha pamba kupitia mradi wa Cotton With Decent Work unaoratibiwa na International Labour Organization (ILO). Mkutano huo umejikita katika kubadilishana uzoefu wa kukuza kazi zenye staha, usalama na afya kazini pamoja na hifadhi - [Mafanikio Serengeti Boys yatinga bungeni](https://habarileo.co.tz/mafanikio-serengeti-boys-yatinga-bungeni/) - DODOMA; MBUNGE wa Bunda Mjini, Amos Bulaya muda huu anawasilisha hoja bungeni kuhusu Azimio la Bunge kuipongeza timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Boys) kutinga hatua ya fainali katika michuano ya AFCON 2026 inayoendelea Morocco na kukata tiketi ya kushiriki Mashindano ya Kombe la Dunia la vijana chini ya - [Mbunge ahoji serikali inatoa elimu bure au elimu bila ada](https://habarileo.co.tz/mbunge-ahoji-serikali-inatoa-elimu-bure-au-elimu-bila-ada/) - DODOMA;Mbunge wa Tarime Mjini, Mwita Waitara, ameuliza bungeni kama serikali inatoa elimu bure au inatoa elimu bila ada. Akijibu swali hilo Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Dk Festus Dugange kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, amesema serikali imeendelea kutekeleza Sera ya utoaji wa ElimuMsingi bila mzazi/mlezi kuchangia ada. ''Katika kutekeleza - [Wanafunzi BTI waisifu serikali ujenzi wa bweni](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-bti-waisifu-serikali-ujenzi-wa-bweni/) - TABORA: WANAFUNZI wakike wa Chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki (BTI),Tabora ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kuwajengea bweni la kisasa la ghorofa moja ambalo limekuwa ni chachu kubwa ya kuongezeka kwa idadi yao kwenye sekta nyuki nchini. Wanafunzi, Dorotha Bahati, Mwanahawa Khalfani, Zaida Athumani pamoja na Jesca - [Tabora kuwa kinara utalii mambo ya kale](https://habarileo.co.tz/tabora-kuwa-kinara-utalii-mambo-ya-kale/) - TABORA: SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii chini ya Idara ya Mambo ya Kale inatarajia kuanisha wazi vivutio vya mambo ya kale katika mkoa wa Tabora yakiwemo Makumbusho ya Dk David Livingstone, ziweze kufahamika duniani kuwa ni sehemu ya vivutio vya utalii kwa ajili ya kukuza sekta ya utalii kiuchumi. Waziri wa Wizara hiyo, - [Miradi yalenga kuzalisha lita bilioni 13 za maziwa](https://habarileo.co.tz/miradi-yalenga-kuzalisha-lita-bilioni-13-za-maziwa/) - IRINGA: Katika kuadhimisha Wiki ya Unywaji Maziwa nchini inayofanyika kitaifa mkoani Iringa, Bodi ya Maziwa Tanzania imetambulisha miradi miwili mikubwa ya kimkakati inayolenga kuleta mapinduzi katika sekta ya maziwa nchini kwa kuongeza uzalishaji, kuboresha mifugo, kuimarisha usindikaji na kuongeza kipato cha wafugaji. Miradi hiyo ni Tanzania Inclusive Processor–Producer Partnership in Dairy (TI3P) pamoja na Climate-Smart - [Serikali yazindua mpango mafunzo ya uongozi](https://habarileo.co.tz/serikali-yazindua-mpango-mafunzo-ya-uongozi/) - MWANZA :SERIKALI imezindua rasmi Mpango wa Mafunzo ya Uongozi na Usimamizi wa Elimu kwa Wakuu wa Shule za Sekondari na Maafisa Elimu Kata nchini, hatua inayolenga kuimarisha ufanisi wa uongozi wa shule, usimamizi wa ufundishaji na ujifunzaji pamoja na kuimarisha ubora wa elimu nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mei 28, 2026 mkoani Mwanza Katibu - [Wabunge walia uvamizi maeneo ya wazi, michezo](https://habarileo.co.tz/wabunge-walia-uvamizi-maeneo-ya-wazi-michezo/) - DODOMA; Wabunge wameishauri serikali kuweka mikakati ya kurejesha maeneo yote ya wazi yaliyovamiwa na kuhakikisha kuwa inasimamia kikamilifu utengaji na utunzaji wa maeneo ya wazi nchini. Akiwasilisha maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi kwa Mwaka wa - [Migogoro ya ardhi 5,573 yatatuliwa](https://habarileo.co.tz/migogoro-ya-ardhi-5573-yatatuliwa/) - DODOMA; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo, amesema hadi Mei 15, 2026, jumla ya migogoro ya ardhi 5,573 ilitatuliwa. “Katika mwaka 2025/26, wizara ilipanga kushughulikia migogoro ya ardhi 3,000. Hadi tarehe 15 Mei 2026, jumla ya migogoro ya ardhi 5,573 imetatuliwa ambapo kati ya hiyo, migogoro 3,183 imetatuliwa kupitia Kliniki - ['Lipeni kodi ya ardhi kuepuka kuepuka kufutiwa umiliki'](https://habarileo.co.tz/lipeni-kodi-ya-ardhi-kuepuka-kuepuka-kufutiwa-umiliki/) - DODOMA; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo, ametoa rai kwa wamiliki wote wa ardhi nchini kuhakikisha wanatekeleza wajibu wao wa msingi wa kulipa kodi ya pango la ardhi kwa wakati ili kuepuka kuchukuliwa hatua za kisheria, ikiwemo kufutiwa umiliki wa ardhi husika. ‎ ‎Dk Akwilapo amesema kuwa kutolipa kodi ya - [Hivi hapa vipaumbele Ardhi bajeti 2026/27](https://habarileo.co.tz/hivi-hapa-vipaumbele-ardhi-bajeti-20026-27/) - DODOMA; Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imepanga kutekeleza vipaumbele vinane katika mwaka wa fedha 2026/27. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo, leo Mei 28, 2028 akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka 2026/27. Amevitaja vipaumbele hivyo kuwa ni kuongeza kasi ya - [Manara ateuliwa msemaji timu za Taifa](https://habarileo.co.tz/manara-ateuliwa-msemaji-timu-za-taifa/) - DODOMA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma leo Mei 28, 2026, Waziri Makonda amesema Manara atafanya kazi chini ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na atakuwa akizisemea timu - [Kampeni yazinduliwa kuokoa watoto wenye matatizo ya moyo](https://habarileo.co.tz/kampeni-yazinduliwa-kuokoa-watoto-wenye-matatizo-ya-moyo/) - DAR ES SALAAM: HEART Team Africa Foundation (HTAF), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imezindua rasmi kampeni ya “Kutoa Ni Moyo”, kampeni ya kitaifa inayolenga kuchangisha fedha na kuongeza uelewa kuhusu watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo nchini Tanzania. Kampeni hiyo inalenga kuwaunganisha Watanzania kutoka makundi mbalimbali ya jamii ili kusaidia - [Umemtambua straika wa boli?](https://habarileo.co.tz/umemtambua-straika-wa-boli/) - DAR ES SALAAM; Huyo wa mbele kabisa kulia ni miongoni mwa vipaji vikubwa katika safu ya ushambuliaji Tanzania aliyeng’ara na klabu ya Simba ya Dar es Salaam miaka ya 1990. Mguuni mali ilikuwepo, kichwani ndo usiseme. Je umemtambua? Unamkumbuka kwa lipi? RIP straika wa boli. Nyuma anayefuatia ni mshambuliaji David Mihambo na Malota Soma. - [Mradi wachochea utalii ikolojia hifadhi ya misitu Pugu Kazimzumbwi](https://habarileo.co.tz/mradi-wachochea-utalii-ikolojia-hifadhi-ya-misitu-pugu-kazimzumbwi/) - PWANI: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema maboresho ya miundombinu yanayotekelezwa kupitia Mradi wa Kujenga Ustahimilivu wa Bioanuwai ya Misitu dhidi ya Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika Misitu ya Asilia ya Hifadhi Tanzania (BUREFOBI-NFR), yamechochea ukuaji wa utalii ikolojia katika Hifadhi ya Msitu wa Asili wa Pugu Kazimzumbwi, mkoani Pwani. Hatua hiyo - [Kizimbani kwa kuingiza magari bila utaratibu](https://habarileo.co.tz/kizimbani-kwa-kuingiza-magari-bila-utaratibu/) - DAR ES SALAAM: WAFANYABIASHARA watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni Dar es salaam wakikabiliwa na mashitaka tisa yakihusisha kuingiza magari yenye namba za usajili za Afrika Kusini na kuyatumia nchini bila kufuata taratibu za kiforodha na kusababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya Sh milioni 100. Washitakiwa hao - [THRDC yatoa neno mauaji ya Baozhang Ge](https://habarileo.co.tz/thrdc-yatoa-neno-mauaji-ya-baozhang-ge/) - DAR ES SALAAM: MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umekemea vikali mauaji ya aliyekuwa mmliki wa kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha XIL LI na kuitaka jamii kuacha kuhusisha matukio hayo na makabila au jamii fulani badala yake sheria ichukue mkondo wake dhidi ya wahusika wa uhalifu huo. Akizungumza jijini - [PPP imeleta mapinduzi safari za kwenda Makka 🌙](https://habarileo.co.tz/ppp-imeleta-mapinduzi-safari-za-kwenda-makka-🌙/) - DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC ) David Kafulila amesema Leo ni sikukuu muhimu sana kwa Waislamu wote duniani wakati wakisherehekea sikukuu ya Eid al-Adha maarufu kama Eid ya Kuchinja. Kupitia mitandao yake ya kijamii, Kafulila amesema kuwa ni kipindi ambacho kinawakutanisha Waislamu wengi duniani - [Mradi bil 5/- kuing'arisha Lundamatwe](https://habarileo.co.tz/mradi-bil-5-kuingarisha-lundamatwe/) - IRINGA: Diwani wa Kata ya Ilole, Erick Kikoti ameendelea kuimarisha mawasiliano kati ya viongozi na wananchi kupitia ziara ya kijiji kwa kijiji inayolenga kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi katika vijiji sita vya kata hiyo. Katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Lundamatwe na kuhudhuriwa na wananchi kutoka maeneo mbalimbali, Kikoti alisema dhamira yake - [Bei za mbuzi zapanda Dar](https://habarileo.co.tz/bei-za-mbuzi-zapanda-dar/) - WAKATI Waislamu duniani wakijiandaa kuadhimisha Sikukuu ya Eid al-Adha inayohusisha ibada ya kuchinja wanyama, wafanyabiashara wa mifugo katika Soko la Vingunguti jijini Dar es Salaam wamesema biashara ya mbuzi mwaka huu imekumbwa na ushindani mkubwa pamoja na kupanda kwa gharama za biashara. - [Rafiki wa Binti waweka nguvu Afya ya Hedhi](https://habarileo.co.tz/rafiki-wa-binti-wafanya-kweli-afya-ya-hedhi/) - PWANI; MPANGO wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Hedhi Mei 28, 2026. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Saumu Zidadu, ambaye ni Mratibu wa Mpango wa Rafiki wa Binti, amesema pia wamepanua kuongeza usambazaji wa chupi maalumu za - [Madiwani Temeke wataka miradi yenye ubora](https://habarileo.co.tz/madiwani-temeke-wataka-miradi-yenye-ubora/) - DAR E SALAAM: BARAZA la Madiwani Manispaa ya Temeke limewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi wilayani humo kufanya hivyo kwa ubora na wakati. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke, Uzairu Athumani amesema hayo leo Mei 26, 2026 wakati wakipokea taarifa ya robo ya mwaka wa tatu katika wilaya hiyo 2025/26 na kusema kuwa halmashauri hiyo inawapa kipaumbele - [Wizara yajivunia taswira, heshima ya Tanzania kimataifa](https://habarileo.co.tz/wizara-yajivunia-taswira-heshima-ya-tanzania-kimataifa/) - DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kufuatia utekelezaji wa vipaumbele vya wizara na kwa kuzingatia Malengo ya Kimkakati ya Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001, Toleo la Mwaka 2024, mafanikio mbalimbali yamepatikana. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi - [‘Msimamo wa Tanzania ni kutofungamana na upande wowote’](https://habarileo.co.tz/msimamo-wa-tanzania-ni-kutofungamana-na-upande-wowote/) - DODOMA; WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema Tanzania inaendelea kudumisha misingi ya uhusiano na ushirikiano na msimamo wake ni uleule wa kutofungamana na upande wowote. Balozi Kombo ametoa kauli hiyo bungeni leo Mei 26, 2026 alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa - [Tanzania yalionya bunge la Ulaya kuingilia siasa zake](https://habarileo.co.tz/tanzania-yalionya-bunge-la-ulaya-kuingilia-siasa-zake/) - TANZANIA: TAIFA la Tanzania limekosoa vikali kile inachokiita ongezeko la uingiliaji wa kisiasa kutoka mataifa ya kigeni, baada ya Bunge la Ulaya kupanga kufanya kikao kuhusu madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu baada ya uchaguzi bila kushauriana na serikali yenyewe. Hatua hiyo imeibua mvutano ambao wachambuzi wanasema ni shinikizo la nje. Katika barua ya - [Benki yajizatiti uchumi kidigitali](https://habarileo.co.tz/benki-yajizatiti-uchumi-kidigitali/) - DAR ES SALAAM: BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kujikita katika kukuza uchumi wa kidijiti kupitia matumizi ya teknolojia bunifu zinazolenga kuongeza ujumuishwaji wa huduma za kifedha kwa Watanzania. Benki hiyo imeonyesha dhamira hiyo kufuatia utambulisho wa huduma za kibenki kupitia mtandao wa kijamii wa WhatsApp, hatua inayowawezesha wateja kupata huduma mbalimbali za kifedha kwa urahisi - [Mmepewa elimu ifikisheni kwa jamii](https://habarileo.co.tz/mmepewa-elimu-ifikisheni-kwa-jamii/) - DAR ES SALAAM: SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limewapa elimu waandishi wa habari nchini kutumia taaluma yao kuwa mabalozi wa kuelimisha umma kuhusu haki na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), likisisitiza kuwa wanahabari ni daraja muhimu la kufikisha elimu kwa jamii. Wito huo umetolewa na Rais wa TUCTA, Tumaini - [Chalamila azungumzia ulinzi AFCON 2026](https://habarileo.co.tz/chalamila-ataka-matumizi-kampuni-zilizosajiliwa-kurahisisha-usalama/) - DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wawekezaji na taasisi mbalimbali nchini kutumia huduma za kampuni za ulinzi zilizosajiliwa ili kurahisisha ufuatiliaji wa matukio ya kiusalama yanapotokea. Chalamila amesema hayo leo Mei 25, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa mazungumzo kuhusu maandalizi ya ulinzi na usalama kuelekea mashindano - [Wizara yasifu hali ya amani, utulivu](https://habarileo.co.tz/wizara-yasifu-hali-ya-amani-utulivu/) - DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imesema Tanznaia imeendelea kuwa na hali ya amani na utulivu kutokana na ushirikiano uliowezeshwa na vyombo vya ulinzi na usalama nchini. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 25, 2026 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya fedha - [Mwenge wa Uhuru kupitia miradi ya bil 107/- Iringa](https://habarileo.co.tz/mwenge-wa-uhuru-kupitia-miradi-ya-bil-107-iringa/) - IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ametangaza rasmi ujio wa Mwenge wa Uhuru mkoani Iringa kwa mwaka 2026, akiwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuupokea na kuushangilia mwenge huo unaobeba ujumbe wa amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Iringa, Mkuu huyo wa Mkoa amesema Mwenge wa Uhuru utawasili - [Watu 1,066 wamepoteza maisha ajali 2025/26](https://habarileo.co.tz/watu-1066-wamepoteza-maisha-ajali-2025-26/) - DODOMA; SERIKALI imesema watu 1,066 walipoteza maisha kutokana na matukio ya ajali za barabarani kuanzia Julai 2025 hadi Aprili 2026, ikilinganishwa vifo 1, 275 vilivyotokea kipindi kama hicho mwaka 2024/25. - Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya wizara - [Wananchi wahimizwa unywaji maziwa](https://habarileo.co.tz/wananchi-wahimizwa-unywaji-maziwa/) - IRINGA: Mkoa wa Iringa umepewa heshima ya kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya 29 ya Wiki ya Maziwa nchini yanayofanyika kuanzia Mei 25 hadi Juni 1, 2026 katika Viwanja vya Mwembetogwa mjini Iringa, huku wananchi wakihimizwa kuongeza matumizi ya maziwa bora na salama kwa ajili ya afya na maendeleo ya uchumi. Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Bodi - [NIDA kuanza kusajili watoto](https://habarileo.co.tz/nida-kuanza-kusajili-watoto/) - DODOMA; MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inatarajia kuanza kufanya usajili wa watoto kuanzia umri wa kuzaliwa, ili kutoa namba ya utambulisho ya kipekee ambayo itajulikana kama Jamii Namba. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 25, 2026 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya fedha - [Ajira mpya 10, 919 Polisi, Magereza, Zimamoto, Uhamiaji zaja](https://habarileo.co.tz/ajira-mpya-10-919-polisi-magereza-zimamoto-uhamiaji-zaja/) - DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imesema katika Mwaka wa Fedha 2026/27 inatarajia kuajiri watumishi wapya 10,919. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Ncji, Patrobas Katambi akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya wizara hiyo kwa mwaka 2026/27. “Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2026/27, wizara inatarajia kuajiri - [Wizara yaja na vipaumbele 8 bajeti 2026/27](https://habarileo.co.tz/wizara-yaja-na-vipaumbele-8-bajeti-2026-27/) - DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi itatekeleza maeneo nane ya vipaumbele katika bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/27. Akiwasilisha bajeti hiyo bungeni leo, Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametaja kuwa ni kuendelea kuboresha miundombinu ya vyombo vya usalama chini ya wizara ikiwa ni pamoja na makazi ya maofisa, wakaguzi, - [Teknolojia ufugaji nyuki yaongeza ushiriki wa wanawake](https://habarileo.co.tz/teknolojia-ufugaji-nyuki-yaongeza-ushiriki-wa-wanawake/) - TABORA: WANANCHI na wajasirimali wakiwemo wanawake kutoka katika vikundi vya ufugaji nyuki wilaya za Sikonge , Urambo na Kaliua mkoani Tabora wamejengewa mazingira bora ya ufugaji kwa kutumia teknolojia ya kisasa baada ya kujengwa vizimba (mabanda ) vya kuweka mizinga badala ya njia za asili ya utundikaji juu ya miti. Matumizi hayo yametikana na utekelezaji - [Serikali kuvipa nguvu viwanda vya kuchakata mazao ya nyuki](https://habarileo.co.tz/serikali-kuvipa-nguvu-viwanda-vya-kuchakata-mazao-ya-nyuki/) - TABORA: SERIKALI imesema itaendelea kuviwezesha viwanda vya kuchakata mazao ya nyuki ili kuleta tija kwa wananchi na kuongeza thamani ya mazao hayo kukidhi mahitaji makubwa kwa soko la ndani na la kimataifa. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji amesema hayo wakati akihiimisha kilele cha maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani na siku ya - [Kihenzile aipa tano serikali kufufua uwanja wa ndege Iringa](https://habarileo.co.tz/kihenzile-aipa-tano-serikali-kufufua-uwanja-wa-ndege-iringa/) - IRINGA: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile ameishukuru serikali kwa kuutendea haki Mkoa wa Iringa kwa kujenga uwanja wa ndege mkoani humo ambapo zaidi ya Sh bilioni 60 zimetumika kufufua uwanja huo wa kihistoria mkoani Iringa. Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba uliofanyika katika Viwanja vya Stendi ya Luganda mkoani - [ATCL yarejesha huduma Chato](https://habarileo.co.tz/atcl-yarejesha-huduma-chato/) - DODOMA; SERIKALI imesema Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), itarejesha safari zake za ndege ya abiria kwenye Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita kuanzia Juni 2, 2026. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 25, 2026 na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe aliyehoji bungeni ni - [Utekelezaji ujenzi shule za michezo waiva](https://habarileo.co.tz/utekelezaji-ujenzi-shule-za-michezo-waiva/) - DODOMA; SERIKALI imesema zabuni ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shule za michezo imetangazwa ili kupata mkandarasi. Kauli hiyo imetolewa bungeni mjini leo mei 25,2026 na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Nkasi Kusini, Moses Kaegele aliyehoji serikali ina mpango gani wa kujenga shule - [Ayoub atoa Sh milioni 21 kuimarisha michezo Unguja](https://habarileo.co.tz/ayoub-atoa-sh-milioni-21-kuimarisha-michezo-unguja/) - ZANZIBAR: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, ametoa mchango wa Sh milioni 21 kwa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya kusaidia utoaji wa zawadi na uendeshaji wa shughuli za michezo. Lengo ni kuondoa changamoto ya ukosefu wa zawadi iliyokuwa ikiathiri mashindano mbalimbali ya mpira - [Crawford atua Tanzania, Mafuru ampokea](https://habarileo.co.tz/crawford-atua-tanzania-mafuru-ampokea/) - DAR ES SALAAM:!Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika historia yake hajawahi kupoteza pambano lolote. Ziara hiyo ya wiki moja nchini imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na - [TFS wataka ulinzi ubora wa asali](https://habarileo.co.tz/tfs-wataka-ulinzi-ubora-wa-asali/) - TABORA: WANANCHI wanaojihusisha na ufugaji nyuki na uchakataji wa mazao yatokanayo na nyuki wametakiwa kuzingatia viwango vya ubora na usalama wa bidhaa zao, kwani uzalishaji usiozingatia sheria unaweza kuhatarisha masoko ya ndani na nje ya nchi. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Hussein Msuya, amesema hayo wakati wa - [Mgombea Isimani aahidi kusimama na wanawake](https://habarileo.co.tz/mgombea-isimani-aahidi-kusimama-na-wanawake/) - IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia chama cha UMD katika uchaguzi mdogo, Asma Othman, ameendelea kunadi sera zake kwa wananchi wa maeneo ya jimbo hilo huku akiomba kupewa ridhaa ya kuwaongoza na kuwatetea bungeni. Akizungumza katika mkutano wa kampeni katika kata ya Kising'a uliohudhuriwa na mamia ya wananchi, Asma amesema endapo atachaguliwa atahakikisha - ['Viwango ni msingi wa afya, uchumi'](https://habarileo.co.tz/viwango-ni-msingi-wa-afya-uchumi/) - DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni msingi muhimu wa kulinda afya za wananchi, kukuza biashara, kuimarisha viwanda vya ndani na kujenga uchumi endelevu wa taifa. Chalamila ameyasema hayo katika hafla ya Viwango Marathon iliyoandaliwa na Shirika la Viwango - [Rais Samia kuzingua programu ya mazingira Dodoma](https://habarileo.co.tz/rais-samia-kuzingua-programu-ya-mazingira-dodoma/) - ARUSHA: Rais wa Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Mageuzi ya Kimkakati ya Mazingira Endelevu Tanzania jijini Dodoma katika kilele cha siku ya Mazingira Duniani Juni 5, 2026. Ofisi ya Makamu wa Rais imeandaa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo Kitaifa yatafanyika katika Mkoa wa Dodoma mnamo Juni 5, 2026, - [SUA kutekeleza miradi ya utafiti ya Sh bilioni 3.4](https://habarileo.co.tz/sua-kutekeleza-miradi-ya-utafiti-ya-sh-bilioni-3-4/) - MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanza utekelezaji wa miradi mipya 12 ya utafiti yenye jumla ya thamani ya Sh bilioni 3.4. Miradi hiyo ni yenye lengo la kukuza maarifa na kutatua changamoto kwenye sekta ya kilimo, mifugo, mazingira na maendeleo ya jamii kwa ujumla. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu hicho, Profesa Raphael - [Kiswaga atoa mifuko 120 ya simenti ujenzi kituo cha afya Masaka](https://habarileo.co.tz/kiswaga-atoa-mifuko-120-ya-simenti-ujenzi-kituo-cha-afya-masaka/) - IRINGA: Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga ameendelea kuunga mkono maendeleo ya wananchi baada ya kukabidhi mifuko 120 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kituo cha Afya katika Kata ya Masaka jimboni humo. Hatua hiyo imekuja baada ya hivikaribuni kukabidhi msaada wa mifuko 200 ya simenti katika Shule ya Sekondari Tosamaganga kwa - [Kampuni yatangaza fursa za michezo kuelekea AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/kampuni-yatangaza-fursa-za-michezo-kuelekea-afcon-2027/) - DAR ES SALAAM: WAKATI Tanzania ikijiandaa kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027, kampuni ya T9 imeibuka na mkakati wa kuhamasisha Watanzania kuzitumia fursa za kiuchumi zitakazoambatana na mashindano hayo kupitia uzinduzi wa jarida la T9 Magazine Opportunity Plus. Akizungumza katika uzinduzi huo Dar es Salaam leo Mkurugenzi Mtendaji wa T9, Othman Razak, amesema AFCON - [Mgahawa wa Kijapani unavyonogesha utalii Zanzibar](https://habarileo.co.tz/mgahawa-wa-kijapani-unavyonogesha-utalii-zanzibar/) - Kampuni ya Infinity Developments imekuwa ikiimarisha uwepo wake visiwani Zanzibar katika miaka ya hivi karibuni kupitia miradi ya ukarimu, ukarabati wa urithi.. - [Spika Zungu aifunda Wizara ya Ujenzi](https://habarileo.co.tz/spika-zungu-aifunda-wizara-ya-ujenzi/) - DAR ES SALAAM: Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu, ameishauru Wizara ya Ujenzi kwa kuonyesha hamasa ya kuingia katika mfumo wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP). Zungu amesema bila PPP, mzigo wa ujenzi na matengenezo ya barabara ni mkubwa mno kwa serikali peke yake. Alieleza kuwa katika mataifa mengi duniani, serikali huingia - [Serikali yazungumzia hatua kuimarisha biashara kikanda](https://habarileo.co.tz/serikali-yazungumzia-hatua-kuimarisha-biashara-kikanda/) - DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema serikali imeendelea kuchukua hatua za kuondoa vikwazo vya biashara visivyo vya kiushuru (NTBs) kati ya Tanzania na nchi jirani, hususan Kenya na Zambia, kwa lengo la kuimarisha biashara na ushirikiano wa kikanda. ‎ ‎Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa - [Tanzania ina viwanda 1,604 mafuta ya kula](https://habarileo.co.tz/tanzania-ina-viwanda1604-mafuta-ya-kula/) - DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema Tanzania ina jumla ya viwanda 1,604 vya kuzalisha mafuta ya kula, huku kati ya hivyo viwanda vikubwa ni 14 na kwamba serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuhakikisha nchi inajitosheleza kwa uzalishaji wa mafuta hayo. ‎‎Kapinga ametoa taarifa hiyo leo Mei 22, 2026 bungeni jijini Dodoma - [Hivi hapa vipaumbele 7 bajeti viwanda na biashara 2026/27](https://habarileo.co.tz/hivi-hapa-vipaumbele-7-bajeti-viwanda-na-biashara-2026-27/) - DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amewasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo mwaka 2026/27 ikiwa na vipaumbele saba. Akiwasilisha bajeti hiyo leo Mei 22, 2026, Waziri Kapinga ametaja kuwa ni kuendelea na utekelezaji wa miradi ya kielelezo na kimkakati ya Viwanda. “Kuimarisha uwezo wa uzalishaji viwandani na utoaji huduma kwa kuboresha mazingira - [Leo ni bajeti ya viwanda na biashara](https://habarileo.co.tz/leo-ni-bajeti-ya-viwanda-na-biashara/) - Dodoma: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga leo Mei 22, 2026 anatarajiwa kuwasilisha bungeni hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027. - [Kokoto kuongeza mapato serikalini](https://habarileo.co.tz/kokoto-kuongeza-mapato-serikalini/) - NJOMBE: Mradi mkubwa wa uzalishaji wa kokoto uliopo mtaa wa Kambarage kata ya Njombe Mjini, unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa kokoto na kuchochea shughuli za kiuchumi na kuongeza mapato ya Serikali katika Mkoa wa Njombe. Mradi huo unaomilikiwa na mchimbaji mdogo wa madini ya ujenzi, Isaya Boniface, umefungwa mtambo mkubwa wa kusaga kokoto wenye uwezo wa - [Mbunge Malinyi akumbushia miundombinu ya barabara](https://habarileo.co.tz/mbunge-malinyi-akumbushia-miundombinu-ya-barabara/) - DODOMA:MBUNGE wa Jimbo la Malinyi Dk Mecktridis Mdaku ameiomba Wizara ya Ujenzi kuendelea kuzingatia changamoto za kijiografia na mazingira katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu, akisema maeneo yenye mvua nyingi na mafuriko yanahitaji mbinu maalumu za ujenzi wa kudumu. Akichangia hotuba ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara - [Mfumo uanagenzi kuboreshwa ili kukidhi mahitaji ya ajira](https://habarileo.co.tz/mfumo-uanagenzi-kuboreshwa-ili-kukidhi-mahitaji-ya-ajira/) - DAR ES SALAAM: Wadau wa maendeleo ya ujuzi wamepitia na kuthibitisha rasimu ya mwelekeo wa Uanagenzi Tanzania katika hatua inayolenga kuimarisha mfumo wa mafunzo ya vitendo ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira nchini. Rasimu hiyo imejadiliwa kwa siku tatu katika kikao kilichoandaliwa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) kupitia Programu ya Global Skills - [Tanzania yaimarisha uchumi jumuishi kwa kuzingatia makundi yote](https://habarileo.co.tz/tanzania-yaimarisha-uchumi-jumuishi-kwa-kuzingatia-makundi-yote/) - DAR ES SALAAM:TANZANIA imeendelea kupiga hatua katika kujenga uchumi jumuishi unaowashirikisha watu wote, wakiwemo watu wenye ulemavu, kupitia uwekezaji katika huduma za afya, teknolojia saidizi, maji pamoja na mifumo ya ulinzi wa kijamii. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, Susan Ngongi Namondo, wakati - [Wanawake 26,000 wajitokeza msaada wa kisheria Ushetu](https://habarileo.co.tz/wanawake-26000-wajitokeza-msaada-wa-kisheria-ushetu/) - SHINYANGA: WANAWAKE zaidi ya 26,000 wamejitokeza kwenye kampeni ya awamu ya pili ya msaada wa kisheria kati ya wananchi 46,400 waliojitokeza kwa kipindi cha siku 15 kilichofanyika kutoa elimu na kutatua migogoro mbalimbali katika halmashauri ya Ushetu. wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Mratibu wa kampeni hiyo Halmashauri ya Ushetu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Daniel - [Tanzania nafasi ya pili Afrika ubora mazao ya nyuki](https://habarileo.co.tz/tanzania-nafasi-ya-pili-afrika-ubora-mazao-ya-nyuki/) - TABORA: TANZANIA imeshika nafasi ya pili barani Afrika kwa ubora wa mazao ya nyuki hususani asali iliposhiriki maonesho yaliyofanyika Afrika Kusini 2025. Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dk John Mboya amesema hayo kwenye Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani viwanja vya kumbukumbu ya Vita mkoani Tabora . Dk Mboya amesema licha kushika nafasi ya - [Njombe kugeuka kitovu kipya cha madini nchini](https://habarileo.co.tz/njombe-kugeuka-kitovu-kipya-cha-madini-nchini/) - NJOMBE: MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji na uchakataji wa madini ya chuma inayolenga kufungua maelfu ya ajira, kukuza biashara za ndani na kuongeza mapato kwa wananchi wa Wilaya ya Ludewa. Ofisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi Lucas Mlekwa, amesema - [Imani ya wawekezaji yawezesha hatifungani EFTA kuvuka lengo](https://habarileo.co.tz/imani-ya-wawekezaji-yawezesha-hatifungani-efta-kuvuka-lengo/) - DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Tanzania (CMSA) imesema kuongezeka kwa imani ya wawekezaji katika masoko ya mitaji nchini, sambamba na mazingira mazuri yaliyowekwa na serikali, kumechangia mafanikio ya hatifungani ya kampuni ya Equity for Tanzania (EFTA) kuvuka kiwango kilicholengwa. Akizungumza leo wakati wa kuorodheshwa rasmi kwa hatifungani hiyo katika Soko - [Kadogosa ataka nguvu zaidi ukarabati miundombinu ya barabara](https://habarileo.co.tz/kadogosa-ataka-nguvu-zaidi-ukarabati-miundombinu-ya-barabara/) - MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa (CCM), amesema sehemu kubwa ya miundombinu ya barabara imeanza kufikia muda wake wa mwisho wa matumizi, hivyo kuishauri serikali kuongeza nguvu katika ukarabati wa barabara hizo. Akichangia hotuba ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2026/2027, - [Maendeleo ukarabati Mv Liemba yaelezwa bungeni](https://habarileo.co.tz/maendeleo-ukarabati-mv-liemba-yaelezwa-bungeni/) - DODOMA; Serikali imesema meli za Mv Liemba na Mv Mwongozo zitaanza kutoa huduma za usafiri katika ziwa Tanganyika baada ya ukarabati wa meli hizi kukamilika. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Bazilio Kapunda aliyehoji ni lini meli hizo zitaanza kutoa huduma zake ndani - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-141/) - Birika la chai Meaning of “Birika la chai”,“Birika la chai” in Swahili means “tea kettle” or “teapot” in English.It refers to a container used for boiling water or preparing and serving tea.Birika = kettle / metal container for heating water Chai = tea So together:Birika la chai = Tea kettle / Teapot Origin of the - [Wanufaika wa mbolea Makete waanza kuvuna matokeo](https://habarileo.co.tz/wanufaika-wa-mbolea-makete-waanza-kuvuna-matokeo/) - MAKETE: Zaidi ya vijana 160 wa Wilaya ya Makete walionufaika na msaada wa mbolea bure kutoka kwa Mamlaka ya Udhibiti Mbolea (TFRA) wameanza kufurahia matunda ya mtaji waliouomba kutoka serikalini. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya vijana waliotembelewa na TFRA kuona maendeleo yao wamesema mtaji wa mbolea waaliopewa umeleta matokeo mazuri na kuacha alama isiyofutika. - ['Vipimo sahihi nguzo uchumi wa viwanda'](https://habarileo.co.tz/vipimo-sahihi-nguzo-uchumi-wa-viwanda/) - DODOMA :Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya vipimo nchini ili kuongeza ushindani wa bidhaa za ndani katika soko la kimataifa, kukuza viwanda na kujenga uchumi wa kisasa unaotegemea sayansi na teknolojia. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo wakati akifunga rasmi maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani jijini Dodoma ambapo amesisitiza kuwa - [Takukuru Mtwara yafanikisha malipo ya Sh milioni 87.3](https://habarileo.co.tz/takukuru-mtwara-yafanikisha-malipo-ya-sh-milioni-87-3/) - MTWARA: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mtwara imefanikisha malipo ya Sh milioni 87.3 za serikali katika sekta binafsi na umma. Yamejiri hayo leo Mei 20, 2026 na Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mtwara Mwanakombo Rajabu alipotoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari juu ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za - [Serikali yajenga kilomita 1,495 barabara za lami miaka mitano](https://habarileo.co.tz/serikali-yajenga-kilomita-1495-barabara-za-lami-miaka-mitano/) - DODOMA: Serikali imefanikiwa kujenga kilometa 1,495.45 za barabara kwa kiwango cha lami pamoja na madaraja makubwa18 ndani ya kipindi cha miaka mitano, hatua iliyoelezwa kuwa mafanikio makubwa katika sekta ya miundombinu nchini. Mafanikio hayo yameelezwa leo Jumatano Mei 20, 2026 bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na - [Bibi wa miaka 70 atoa ushuhuda daraja la Magufuli](https://habarileo.co.tz/bibi-wa-miaka-70-atoa-ushuhuda-daraja-la-magufuli/) - DODOMA: Bibi Hellen Bugoye mwenye umri wa miaka 70 kutoka Kisesa wilayani Magu mkoani Mwanza amempongeza Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa ya usafiri yaliyotokana na ujenzi wa Daraja la JP Magufuli (zamani Kigongo-Busisi) linalounganisha Kigongo na Busisi. Shuhuda za bibi huyo zimeelezwa bungeni jijini Dodoma leo Jumatano Mei 20, 2026 na Waziri - [Wahandisi 1,000 kushiriki kongamano uhandisi](https://habarileo.co.tz/wahandisi-1000-kushiriki-kongamano-uhandisi/) - DAR ES SAAM: ZAIDI ya wadau 1,000 wanatarajia kushiriki Kongamano la 12 la wahandisi lenye lengo la kubadilishana uzoefu katika taaluma zao ambalo litafanyika tarehe 13 hadi 17 mwezi Septemba jijini Dar es Salaam. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam, Mhandisi Asa Mwaipopo Rais wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) wakati akizungumza na waandishi - [Mafunzo ya Tanzania kutoka AFCON yatachukua kwenye mechi za 2026](https://habarileo.co.tz/mafunzo-ya-tanzania-kutoka-afcon-yatachukua-kwenye-mechi-za-2026/) - Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 halikuenda kikamilifu kwa Tanzania, lakini timu hiyo haikudhihirika vibaya hata kidogo. Walionyesha heshima kubwa dhidi ya baadhi ya wapinzani wakali zaidi barani Afrika, wakionesha kwamba wanaweza kushindana na timu za kiwango cha juu. Swali kubwa ni: ni mafunzo gani wanayoweza kuyachukua ili kujiandaa kwa mabaki ya mwaka 2026? Kipaumbele - [Ujenzi yaja na vipaumbele sita bajeti 2026/27](https://habarileo.co.tz/ujenzi-yaja-na-vipaumbele-sita-bajeti-2026-27/) - DODOMA; Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega leo Mei 20 2026, amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2026/2027, ikiwa na vipaumbele sita. Ametaja vipaumbele hivyo ni kuendelea na ujenzi wa barabara za kupunguza msongamano hususan katika majiji na miji inayokua kwa kasi. “Kuendelea na Ujenzi wa barabara zinazounganisha - [Bunge SC yadhaminiwa vifaa vya michezo](https://habarileo.co.tz/bunge-sc-yadhaminiwa-vifaa-vya-michezo/) - DODOMA; Kampuni ya Smart Sports imedhamini vifaa vya michezo kwa timu ya Bunge SC ya michezo mbalimbali, ikiwa sehemu ya maandalizi ya mashindano mbalimbali ya michezo yakiwemo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. ‎ ‎Akizungumza leo Mei 19, 2026 jijini Dodoma wakati wa makabidhiano ya vifaa hivyo, Mwenyekiti wa Bunge Bonanza, Rebeca Nsemwa ameishukuru kampuni hiyo - [RC Mwanza aagiza Sh milioni 111 ilipwe fidia wakazi Mwanza](https://habarileo.co.tz/rc-mwanza-aagiza-sh-milioni-111-ilipwe-fidia-wakazi-mwanza/) - MWANZA: MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameiagiza Halmashauri ya jiji la Mwanza kulipa fidia ya ardhi ya thamani Sh milioni 111 kwa wakazi 26 wa mitaa wa Luchelele Ziwani,Kisoko na Kasamiko iliopo katika kata ya Luchelele. Deni hilo limetokana kupitia mradi wa kupanga,kupima na kumilikisha viwanja katika kata ya Luchelele mwaka 2006. Mtanda - [Mtanda ataka migogoro ya ardhi imalizike](https://habarileo.co.tz/mtanda-ataka-migogoro-ya-ardhi-imalizike/) - MWANZA: MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wakazi wa kata ya Luchelele pamoja na viongozi wa Halmashauri wa Jiji la Mwanza kumaliza migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikiathiri maendeleo ya wananchi katika kata hiyo. Mtanda amesema hayo leo Mei 19 wakati wa kusikiliza kero za wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika mtaa - [Serikali yaweka mkono walioathiriwa na wanyamapori](https://habarileo.co.tz/serikali-yaweka-mkono-walioathiriwa-na-wanyamapori/) - DODOMA; WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kuiongezea wizara hiyo Sh bilioni sita kwa ajili ya kulipa kifuta jasho na kifuta machozi kwa wananchi walioathiriwa na wanyamapori wakali na waharibifu. Akijibu hoja za wabunge waliochangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na - [Serikali kufanya mapitio sheria za uhifadhi](https://habarileo.co.tz/serikali-kufanya-mapitio-sheria-za-uhifadhi/) - WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali ina mpango wa kufanya mapitio ya sheria zinazohusiana na uhifadhi kwa lengo la kuimarisha mahusiano kati ya maeneo ya hifadhi na jamii zinazozunguka maeneo hayo. Akichangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii jana, Dk Mwigulu alisema serikali inayoongozwa na Rais Samia - [WMA yasisitiza ukaguzi matumizi vipimo sahihi](https://habarileo.co.tz/wma-yasisitiza-ukaguzi-matumizi-vipimo-sahihi/) - WAKALA wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuendelea kufanya ukaguzi wa matumizi ya vipimo sahihi kwenye maeneo ya uzalishaji, maghala yanayouza bidhaa kwa ujumla na masoko ili kukuza uchumi imara, jumuishi na ushindani. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dodoma na Meneja wa WMA Mkoa wa Dodoma, Saidi Ibrahimu, wakati wa kukabidhi mizani iliyohakikiwa na wakala kwa wafanyabiashara - [CMSA: Taasisi za kifedha zifuate miongozo ya uwekezaji](https://habarileo.co.tz/cmsa-taasisi-za-kifedha-zifuate-miongozo-ya-uwekezaji/) - DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana CMSA, imezitaka taasisi za kifedha zinazotoa huduma ya uwekezaji wa hisa kupitia hatifungani ambazo zinatolewa na taasisi hizo kufuata muongozo wa huduma za dhamana zilizo chini ya mamlaka hiyo na Benki Kuu. Kwa mujibu wa majarida mbalimbali ya kiuchumi ulimwenguni uwekezaji wa hatifungani ni miongoni - [TFS kujenga kiwanda cha uchakataji mazao ya nyuki](https://habarileo.co.tz/tfs-kujenga-kiwanda-cha-uchakataji-mazao-ya-nyuki/) - SINGIDA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kujenga kiwanda kipya na uwekaji mitambo ya kisasa kwa ajili ya kuchakata mazao ya nyuki ili kuwezesha kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchi la asali. Kiwanda hicho kipya kitajengwa wilayani Manyoni, Mkoa wa Singida ambako kuna kiwanda kidogo cha uchakataji kinachohudumia Kanda - [Wizara ya ulinzi yajivunia mafanikio kwenye michezo](https://habarileo.co.tz/wizara-ya-ulinzi-yajivunia-mafanikio-kwenye-michezo/) - DODOMA; WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imesema inatambua vema mchango wa michezo kwa ustawi wa wanajeshi. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 19, 2026 na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Rhimo Nyansaho akiwasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027. - [Serikali yaeleza hali ya usalama mpaka wa DRC](https://habarileo.co.tz/serikali-yaeleza-hali-ya-usalama-mpaka-wa-drc/) - DODOMA; SERIKALI imesema hali ya usalama ya mpaka wa Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wenye urefu wa kilometa 554 ni shwari. Hata hivyo, imesema mpaka huo unakabiliwa na changamoto za kiusalama kutokana na mapigano yanayoendelea mashariki mwa DRC kati ya jeshi la nchi hiyo na makundi yenye silaha, hususan Kundi la M23 - [Vipaumbele 8 bajeti ya ulinzi mwaka 2026/27](https://habarileo.co.tz/vipaumbele-8-bajeti-ya-ulinzi-mwaka-2026-27/) - DODOMA; Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Rhimo Nyansaho amewasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ikiwa na vipaumbele 8. Akiwasilisha bungeni hotuba hiyo leo Mei 19, 2026, ametaja vipaumbele hivyo ni kuliimarisha jeshi kwa zana na vifaa vya kisasa, kiteknolojia, mawasiliano na - [Mfumo wa uanagenzi kufungua ajira kwa vijana](https://habarileo.co.tz/mfumo-wa-uanagenzi-kufungua-ajira-kwa-vijana/) - DAR ES SALAAM: Wadau wa maendeleo ya ujuzi nchini wameeleza kuwa kuimarishwa kwa mfumo wa uanagenzi (apprenticeship) unaozingatia mwongozo wa kimataifa wa mafunzo ya uanagenzi wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) kutasaidia kuongeza ajira kwa vijana na kuwaandaa wahitimu wenye ujuzi unaokidhi mahitaji halisi ya soko la ajira. Kauli hiyo imetolewa katika kikao kazi kilichoandaliwa - [TRA yaja na Shahada ya Uzamili ya Kodi kuongeza wataalamu](https://habarileo.co.tz/tra-yaja-na-shahada-ya-uzamili-ya-kodi-kuongeza-wataalamu/) - DAR ES SALAAM: CHUO cha Kodi cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA-ITA), kimeanza mchakato wa kuanzisha Shahada ya Uzamili ya Kodi (Masters Degree in Taxation), itakayolenga kuzalisha wataalamu wenye ujuzi wa vitendo unaokidhi mahitaji ya soko la ajira na kuongeza ulipaji wa kodi kwa hiari nchini. Akizungumza katika kikao cha ushirikishwaji wa wadau mbalimbali kilichofanyika - [Watoa maudhui lishe, afya bila kibali kubanwa](https://habarileo.co.tz/watoa-maudhui-lishe-afya-mtandaoni-kubanwa/) - DODOMA; Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ya Mwaka 2009 Kifungu Na.173 (1), ambacho kinamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya ya jamii kupata kibali kutoka kwa waziri wa afya au ofisa aliyeidhinishwa na waziri. Kauli hiyo imeolewa bungeni leo Na Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi, alipokuwa akijibu swali la - [Ujenzi SGR Tanga-Arusha-Musoma wahojiwa bungeni](https://habarileo.co.tz/ujenzi-sgr-tanga-arusha-musoma-wahojiwa-bungeni/) - DODOMA; Mbunge wa Tanga Mjini, Kassim Mbaraka amehoji bungeni ni lini ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Bandari ya Tanga - Kilimanjaro - Arusha - Singida hadi Musoma yenye urefu wa kilometa 1108 utaanza. Akijibu swali hilo bungeni leo Mei 19, 2026, Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema serikali kupitia TRC imekamilisha upembuzi - [Ushirikishwaji mikopo halmashauri wahojiwa bungeni](https://habarileo.co.tz/ushirikishwaji-mikopo-halmashauri-wahojiwa-bungeni/) - DODOMA; Serikali imesema inatambua umuhimu wa kuwashirikisha wabunge wote, wakiwemo wa Viti Maalum, katika utoaji na usimamizi wa mikopo ya asilimia 10 katika halmashauri. Kauli hiyo imetolewa na Niabu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Festo Dugange, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Devotha Mburarugaba, aliyehoji serikali ina mpango gani kuhakikisha wabunge wa - [Wanafunzi wapigwa msasa elimu matumizi ya bima](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-wapigwa-msasa-elimu-matumizi-ya-bima/) - DAR ES SALAAM: WADAU wa sekta ya bima nchini wameendelea kutoa elimu kwa wanafunzi kupitia mashindano ya “Bima Debate” yaliyoandaliwa ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Bima yatakayofanyika kuanzia 26/06/2026 jijini Arusha. Mashindano hayo yamewakutanisha wanafunzi wa shule za sekondari pamoja na vyuo vikuu mbalimbali kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu umuhimu - [CCM: Siasa zituunganishe zilete upendo, umoja](https://habarileo.co.tz/ccm-siasa-zituunganishe-zilete-upendo-umoja/) - BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema siasa zitumike kuunganisha watu, zilete upendo na umoja na wazikatae siasa za chuki na wanasiasa wanaotafuta umaarufu wa kisiasa kwa kutumia matukio mbalimbali kuchochea migogoro na kuvuruga umoja uliopo. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM), Kenani Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 17,2026 alipokuwa akizungumza na wananchi - [Kihongosi aweka mawe ya msingi ofisi za CCM Bunda](https://habarileo.co.tz/kihongosi-aweka-mawe-ya-msingi-ofisi-za-ccm-bunda/) - BUNDA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ameweka Jiwe la Msingi katika Jengo la Kitega uchumi na Ofisi ya CCM Tawi la Kibara B Kata ya Kibara Jimbo la Mwibara ambayo imegharimu kiasi cha Sh milioni 147 katika utekelezaji wake. Pia Kihongosi amewekajiwe la Msingi katika Ofisi - [PPPC yatoa mafunzo maofisa dawati](https://habarileo.co.tz/pppc-yatoa-mafunzo-maofisa-dawati/) - DAR ES SALAAM: Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-Centre) kimetoa mafunzo kwa maafisa wa madawati ya PPP kutoka mamlaka mbalimbali za serikali kwa lengo la kuwaimarisha katika uibuaji, uchambuzi na usimamizi wa miradi ya ubia nchini. Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo maafisa kutoka serikali kuu, mamlaka za serikali za - [CCM kutoa msukumo mradi wa maji Bunda](https://habarileo.co.tz/ccm-kutoa-msukumo-mradi-wa-maji-bunda/) - BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kinatoa msukumo kwa serikali ili kuhakikisha mradi mradi wa maji kutoka Butiama hadi Nyamuswa unakamilika kwa wakati ili kutimiza azma ya Rais Samia Suluhu Hassan ya Kumtua mama ndoo kichwani. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Magunzo wa CCM, Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 17,2026 alipokagua mradi wa - [MORUWASA yapewa dhamana kupunguza upotevu maji](https://habarileo.co.tz/moruwasa-yapewa-dhamana-kupunguza-upotevu-maji/) - MOROGORO:WIZARA ya Maji imeitaka Bodi mpya ya 10 ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA), kuanza kazi kwa kusimamia mapambano dhidi ya mivujo ya maji ili kuongeza ufanisi wa huduma endelevu na yenye uhakika na kupunguza upotevu wa maji unaosababisha hasara kwa mamlaka. Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Mwajuma Waziri - [Mradi wa umeme Nyasa wazinduliwa](https://habarileo.co.tz/mradi-wa-umeme-nyasa-wazinduliwa/) - RUVUMA: Wananchi wa Kitongoji cha Ndecha Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wameanza kushuhudia mwanga wa matumaini baada ya kuzinduliwa mradi wa umeme uliogharimu zaidi ya Sh bilioni 4.17 unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Mradi huo umezinduliwa leo Mei 16, 2026 na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, ambaye amesema - ['Mradi wa barabara Tarime - Mugumu uzingatie ubora'](https://habarileo.co.tz/mradi-wa-barabara-tarime-magumu-uzingatie-ubora/) - MARA: KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi amesisitiza mradi wa barabara ya Tarime hadi Mugumu ujengwe ukizingatia ubora ili kuepusha uharibifu wa mapema wa barabara baada ya kukamilika. Kihongosi ameeleza hayo leo Mai 16,2026 alipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa barabara hiyo ambayo inagharimu zaidi - [Washukuru uwepo wa wataalamu wa sheria](https://habarileo.co.tz/washukuru-uwepo-wa-wataalamu-wa-sheria/) - SHINYANGA: WAKAZI wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa Almas uliopo Mwadui Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wameshukuru kuja kwa wataalamu wa msaada wa kisheria wa awamu ya pili ya Mama Samia Legal Aid . Shukrani hizo zilitolewa na Diwani wa Kata ya Songwa, Abdul Ngolomore alipokuwa kwenye mkutano wa hadhara uliokuwa na lengo la - [Makalla akutana na Waziri wa Uchumi Urusi](https://habarileo.co.tz/makalla-akutana-na-waziri-wa-uchumi-urusi/) - ARUSHA: Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumamosi Mei 16, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Serikali ya Shirikisho la Urusi ulioongozwa na Waziri wa Maendeleo ya Uchumi, Maxim Gennadyevich Reshetnikov. Makalla amewakaribisha watalii na wawekezaji kutoka Urusi kuja kutalii na kuwekeza katika sekta ya utalii mkoani Arusha. Katika - [CCM yasisitiza hakuna mkubwa kuliko chama](https://habarileo.co.tz/ccm-yasisitiza-hakuna-mkubwa-kuliko-chama/) - MARA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kuvuja makundi, kwani chama hicho hakihitaji makundi bali umoja, upendo na mahikamano na hakitovumilia kuchukua hatua kwa yeyote atakayekiuka misingi na taratibu cha chama kwani hakuna mkubwa kulicho chama hicho. Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 16,2026 alipotembelea shina namba Tawi la Nyasaricho Kata ya Binagi Wilaya ya Tarime - [Kihongosi: Siasa isiingie kwenye maendeleo](https://habarileo.co.tz/kihongosi-siasa-isiingie-kwenye-maendeleo/) - MARA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi kutokuruhusu siasa kuingia katika maendeleo akiwasisitiza walinde miundombinu inayopelekwa na serikali. Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 16,2026 alipotembelea na kukagua mradi wa shule ya Sekondari ya Nyasariso Kata ya Bunagi Tarime Vijijini mkoani Mara, ikiwa ni muendelezo - [Minada kichocheo wakulima wa kahawa](https://habarileo.co.tz/minada-kichocheo-wakulima-wa-kahawa/) - KAGERA: Wadau wa kahawa mkoani Kagera kupitia kikao cha wadau wa zao hilo wamepongeza mabadiliko ya kimfumo ya ununuzi kwa njia ya mnada na kudai kuwa mfumo huo umeongeza uwazi wa bei na ushawishi wa kulima kwa wingi. Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Yahya Kido amesema Mkoa wa Kagera unaendelea kufanya vizuri katika uzalishaji wa - [Kafulila: Ongezeko la watu changamoto Dira 2050](https://habarileo.co.tz/kafulila-ongezeko-la-watu-changamoto-dira-2050/) - DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mkuu wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi David Kafulila amesema changamoto ya uzazi wa mpango ndiyo kikwazo kikubwa cha kiuchumi kinachowakabili familia nyingi nchini, na kuathiri uwezo wa taifa kujenga rasilimali watu bora kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo 2050. Amesema hayo kupitia mitandao yake - [Wahitimu Taasisi ya Uongozi wahimizwa ubunifu](https://habarileo.co.tz/wahitimu-taasisi-ya-uongozi-wahimizwa-ubunifu/) - DAR ES SALAAM :WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka wahitimu Taasisi ya Uongozi kuwa waadilifu, wabunifu na uthubuti katika kazi na wenye tija kwa taifa. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam kwenye mahafali ya 9 ya taasisi hiyo na kusema kuwa mafunzo waliyopewa wakayafanyie - [Kihongosi: Maamuzi ya vikao yaheshimiwe](https://habarileo.co.tz/kihongosi-maamuzi-ya-vikao-yaheshimiwe/) - TARIME: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa chama chao ni vikao, hivyo maamuzi yanayotolea katika vikao yanapaswa kuheshiwa. Kihongosi ameeleza hayo leo Mei 15,2026 alipotembelea na kuhudhuria Shina namba tatu Tawi la Buhemba Kata ya Bomani Jombo la Tarime Mjini ikiwa ni muendelezo - [Aipongeza serikali kuimarisha mauzo ya kahawa nje ya nchi](https://habarileo.co.tz/108647-2/) - KAGERA: Mwekezaji wa kiwanda cha kuongeza thamani ya zao la kahawa mkoani Kagera, Amiri Hamza, ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuboresha diplomasia ya biashara nje ya nchi na kufungua milango kwa wafanyabiashara wa kahawa kuuza bidhaa zao kimataifa bila vikwazo. Akizungumza mbele ya wakurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), Hamza ambaye anamiliki - [Pemba ‘mguu sawa’ ujio wa hoteli mpya ya kifahari](https://habarileo.co.tz/pemba-mguu-sawa-ujio-wa-hoteli-mpya-ya-kifahari/) - Mradi huo pia unajumuisha maeneo ya chakula pembezoni mwa bahari, baa ya juu ya jengo, mabwawa ya infinity, vituo vya mazoezi, viwanja vya padel................ - [Bodi ya kahawa kuzalisha miche milioni 30 mwaka 2026/2027](https://habarileo.co.tz/bodi-ya-kahawa-kuzalisha-miche-milioni-30-mwaka-2026-2027/) - KAGERA: Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) kwa kushirikiana na taasisi za utafiti, wadau binafsi, inalenga kuongeza kiwango cha uzalishaji wa miche bora ya kahawa kutoka milioni 20 inayozalishwa kwa sasa hadi milioni 30 kwa mwaka wa fedha 202/2027 ili kukidhi mahitaji ya wakulima. Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Profesa Aurelia Kamzora ameyasema hayo mkoani Kagera wakati - [Kihongosi akemea michango shuleni](https://habarileo.co.tz/kihongosi-akemea-michango-shuleni/) - MUSOMA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi ameelekeza suala la michango mashuleni likome, na kuhakikisha wananchi wanatendewa haki kwa kupata huduma kwa mujibu na maelekezo ya serikali ili kuepuka kutengeneza mazingira ya kuonekana wanaweka vikwazo kwa wananchi wao. Kihongozi ameeleza hayo Mei 14,2026 alipokuwa akizungumza na - [Serikali kujizatiti mazingira bora uwekezaji](https://habarileo.co.tz/serikali-kujizatiti-mazingira-bora-uwekezaji/) - DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira bora kwa wawekezaji katika usafirishaji, viwanda kilimo na huduma mbalimbali ili sekta hiyo Ibaki imara katika ushindani na manufaa kwa wananchi. Akizungumza Dar es Salaam kwenye uzinduzi wa Mfumo wa Pris App Puma Energy, Makamba amesema sekta ya nishati ni injini - [Madaktari taaluma ya Rheumatology wahitajika zaidi](https://habarileo.co.tz/madaktari-taaluma-ya-rheumatology-wahitajika-zaidi/) - DAR ES SALAAM: Wataalamu wa afya wamewataka wanafunzi wa udaktari na madaktari wa watoto kujikita katika taaluma ya Rheumatology kwa watoto ili kupunguza uhaba mkubwa wa wataalamu wa magonjwa hayo nchini na barani Afrika kwa ujumla. Licha ya ongezeko la magonjwa hayo, takwimu zinaonyesha kuwa Afrika yenye zaidi ya watu bilioni 1.4 ina chini ya - [Fursa ‘zanukia’ maandalizi mnada vitalu vya gesi yakikamilika](https://habarileo.co.tz/fursa-zanukia-maandalizi-mnada-vitalu-vya-gesi-yakikamilika/) - Taarifa mbalimbali zinazohusu vitalu vilivyo wazi zimeandaliwa kwa ajili ya wawekezaji wenye nia kuziona na kuzinunua kwa madhumuni ya tathmini na uwekezaji... - [Serikali yasisitiza ushindani wa haki kwa wawekezaji](https://habarileo.co.tz/serikali-yasisitiza-ushindani-wa-haki-kwa-wawekezaji/) - DAR ES SAAM: Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Mbwasi amesema Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 asilimia 70 inategemea sekta binafsi ikiwemo wafanyabiashara na wawekezaji, hivyo Serikali itaendelea kuwaunga mkono ili kufikia lengo. Mbwasi amezungumza hayo leo Mei 14 katika amefungua rasmi Kongamano la Sheria za Ushindani na Wawekezaji Tanzania - [Kihongosi awasili Mara ziara ya kikazi](https://habarileo.co.tz/kihongosi-awasili-mara-ziara-ya-kikazi/) - MUSOMA: Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi, amewasili leo Mei 14, 2026 mkoani Mara Region kwa ajili ya kuanza ziara yake ya kikazi ya siku nne. Kihongosi amepokewa na viongozi pamoja na wanachama wa CCM ngazi ya Mkoa na Wilaya, ambapo mara baada - [Mabaraza ya usuluhishi yatakiwa kutanguliza maridhiano](https://habarileo.co.tz/mabaraza-ya-usuluhishi-yatakiwa-kutanguliza-maridhiano/) - KAGERA: Utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala (ADR) umeendelea kutajwa kuwa suluhisho muhimu katika kuimarisha amani na mshikamano katika familia na jamii, huku wananchi wakihimizwa kutumia njia za mazungumzo na usuluhishi badala ya kufikishana mahakamani kwa migogoro inayoweza kumalizwa kwa njia ya maridhiano. Hayo yamewekwa wazi katika mafunzo ya kuyajengea uwezo mabaraza ya Usuluhishi wa - [Kiswaga atahadharisha mabadiliko tabianchi](https://habarileo.co.tz/kiswaga-atahadharisha-mabadiliko-tabianchi/) - DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Mhe. Jackson Kiswaga, ameeleza kuwa licha ya Serikali kuwekeza kiasi kikubwa cha takriban Sh trilioni 4 katika miradi ya maji, changamoto ya huduma hiyo bado ni kubwa kutokana na mabadiliko ya tabianchi na ongezeko kubwa la watu. Kiswaga aliyasema hayo wakati - [Mfumo wa PRIS kuzinduliwa kesho](https://habarileo.co.tz/mfumo-wa-pris-kuzinduliwa-kesho/) - Dar es Salaam - Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah amesema Kampuni hiyo inaunga mkono Mfumo wa Kimkakati wa Uchumi wa Dijitali Tanzania (2024–2034), unaolenga kuiweka nchi kama kitovu cha kidijitali cha kikanda kwa kuimarisha miundombinu, kupanua ujumuishaji wa kifedha, na kuendesha ukuaji wa uchumi. Hayo ameyasema Leo jijini Dar es - [Mkazi Shinyanga apata suluhisho mgogoro wa miaka mitano](https://habarileo.co.tz/mkazi-shinyanga-apata-suluhisho-mgogoro-wa-miaka-mitano/) - SHINYANGA: MKAZI wa Kijiji cha Bukamba Kata ya Lyabusalu Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Musa Mshindikwa (55) amepata suluhisho kwa kurudishiwa rasilimali zake zilizopotea baada ya kukosa maelewano kwa muda wa miaka mitano tangu alipoanza kuugua marehemu dada yake hadi hatua ya msiba. Kwani watoto wa marehemu Daudi Washa (43 ) na Sara Bushage (36) - [Dk. Mecktridis ahoji hatima ya wakulima waliohamishwa Malinyi](https://habarileo.co.tz/dk-mecktridis-ahoji-hatima-ya-wakulima-waliohamishwa-malinyi/) - DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Malinyi Dk. Mecktridis Mdaku ametoa hoja Bungeni Jijini Dodoma kwa kuhoji kuhusu hatima ya wananchi wa Malinyi waliohamishwa kutoka katika maeneo yao ya kilimo(Ulanga na Kilombero)na kuwa sehemu ya pori la akiba la Kilombero na kusababisha kuathiri shughuli zao za kilimo cha mpunga kilichokuwa kinawapa kipato. Amehoji nini mpango wa - [Said Mtanda aagiza malipo ya fidia wakazi Mwanza](https://habarileo.co.tz/said-mtanda-aagiza-malipo-ya-fidia-wakazi-mwanza/) - MWANZA: MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, ameitaka Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza kulipa fidia ya Sh milioni 285 kwa wakazi wa mitaa ya Nyafula, Igalagala, Ilelako,Sangabuye na Lugeye iliopo katika kata ya Sangabuye. Deni hilo limetokana na uuzaji wa viwanja vya wananchi kupitia mradi wa viwanja vya Nyafula kata ya Sangabuye - [Vijana washauriwa kuwekeza soko la hisa](https://habarileo.co.tz/vijana-washauriwa-kuwekeza-soko-la-hisa/) - ARUSHA: Vijana wameshauriwa kuwekeza katika soko la hisa ili kujenga uchumi kupitia uwekezaji wa kidijitali na kujikwamua kiuchumi huku wakijiandaa na maisha ya baadaye. Wito huo umetolewa leo jijini Arusha na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Profesa Neema Mori, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mkutano Mkuu wa 31 wa Wanahisa wa - [Ujenzi wa miundombinu wazalisha ajira uchukuzi](https://habarileo.co.tz/ujenzi-wa-miundombinu-wazalisha-ajira-uchukuzi/) - DODOMA: Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema katika kukuza upatikanaji wa ajira nchini, Sekta ya Uchukuzi imeendelea kutoa ajira 198,480 wakati wa ujenzi wa miundombinu pamoja na utoaji wa huduma za uchukuzi. ‎ ‎Prof. Mbarawa ameyasema hayo leo Mei 13, 2026 bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya - [Prof Mbarawa aeleza ukuaji sekta ya uchukuzi](https://habarileo.co.tz/prof-mbarawa-aeleza-ukuaji-sekta-ya-uchukuzi/) - DODOMA: Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema kwa mujibu wa taarifa ya hali ya uchumi wa taifa ya mwaka 2024, sekta ya Uchukuzi ilikua kwa asilimia 4.2 na kuchangia katika Pato la Taifa kwa asilimia 7.5. ‎ ‎Akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2026/2027 leo Mei - [Fidia mradi wa umeme yaanza kutolewa Karagwe](https://habarileo.co.tz/fidia-mradi-wa-umeme-yaanza-kutolewa-karagwe/) - KARAGWE: WANANCHI 280 wa kata nne za wilaya ya Karagwe iliyopo mkoani Kagera wameanza kulipwa fidia na Shirika la Umeme nchini (TANESCO) baada ya kupisha mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Benaco hadi Kyaka. Wananchi hao walilazimika kupisha mradi huo kufuatia maagizo yaliyotolewa Mei 9, 2026 na Waziri wa Nishati, Deogratias - [Mashabiki wakutanishwa Liverpool, Chelsea](https://habarileo.co.tz/mashabiki-wakutanishwa-liverpool-chelsea/) - DAR ES SALAAM: BENKI ya Standard Chartered Tanzania imeandaa tukio maalumu la pamoja la kuonesha moja kwa moja mchezo mkubwa wa Ligi Kuu England kati ya Liverpool FC na Chelsea FC, likiwa na lengo la kuwapa thamani wateja wao. Tukio hilo lilifanyika katika ukumbi wa Bravo Coco, Dar es Salaam likiwakutanisha wanachama wa Klabu ya - [Kafulila azungumzia sekta ya afya](https://habarileo.co.tz/kafulila-azungumzia-sekta-ya-afya/) - DAR ES SALAAM: Katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani, Mkurugenzi wa wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPC) David Kafulila amesema kuwa ubora wa rasilimali watu, hasa afya na maarifa, ndio sarafu kuu ya dunia ya sasa na ndiyo njia pekee ya Tanzania kujiunga na nchi zenye uchumi wa - [Mgombea amwagiwa sifa, CCM ikizindua kampeni Isimani](https://habarileo.co.tz/mgombea-amwagiwa-sifa-ccm-ikizindua-kampeni-isimani/) - IRINGA: Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamezindua kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Isimani kwa kumwaga sifa kwa mgombea wa chama hicho, Emanuela Kaganda Mtatifikolo, wakieleza kuwa anastahili kupewa jimbo hilo kwasababu ya rekodi yake ya utendaji, uwezo wa kusimamia maendeleo na ukaribu wake kwa wananchi. Uzinduzi wa kampeni hizo ulifanyika katika Kata ya - [Chevron: Tupo tayari kuwekeza Tanzania](https://habarileo.co.tz/chevron-tupo-tayari-kuwekeza-tanzania/) - Mhandisi Sangweni alibainisha kuwa Tanzania ina fursa nyingi za uwekezaji katika vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia vilivyopo nchi kavu na baharini.. - [Makongoro aibuka mshindi safari ya Kombe la Dunia](https://habarileo.co.tz/makongoro-aibuka-mshindi-safari-ya-kombe-la-dunia/) - DAR ES SALAAM:MAKONGORO Nyerere, mtoto wa Baba wa Taifa Julius Nyerere, ameingia katika orodha ya washindi watatu wa droo ya kampeni ya Kombe la Dunia ya benki ya CRDB hatua ambayo imezua mvuto wa kipekee kutokana na historia ya familia yake nchini. Makongoro alitangazwa mshindi wa safari ya kushuhudia michuano ya Kombe la Dunia 2026 - [Zaipuna kueleza mageuzi ya NMB Cambridge](https://habarileo.co.tz/zaipuna-kueleza-mageuzi-ya-nmb-cambridge/) - DAR ES SALAAM: Katika hatua muhimu kwa sekta ya benki nchini na uongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna anatarajiwa kuzungumza katika Jukwaa la Mkutano wa Biashara Afrika 2026 utakaofanyika Mei 30, 2026 nchini Uingereza. Katika jukwaa hilo, Zaipuna anatarajiwa kutoa hotuba kuu kuhusu - [Kiswaga asaidia mifuko 200 ya Saruji Tosamaganga Sekondari](https://habarileo.co.tz/kiswaga-asaidia-mifuko-200-ya-saruji-tosamaganga-sekondari/) - IRINGA: Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 100 ya shule ya sekondari Tosamaganga, Mbunge wa Jimbo la Kalenga ilipo shule hiyo, Jackson Kiswaga, amekabidhi mifuko 200 ya saruji kwa shule hiyo kongwe kwa lengo la kuboresha mazingira ya elimu na michezo. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano, Kiswaga amesema maadhimisho ya miaka 100 ya shule hiyo - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-140/) - “Kifaranga cha kuku” is a Swahili phrase made of two parts: kifaranga= a young bird (especially a chick)cha kuku = of a chicken So the full meaning in English is: “a chick”(a baby chicken). Simple Meaning Kifaranga cha kuku = a baby chicken (chick) Origin (Asili) The word “kifaranga”comes from the Swahili verb -faranga, which - [Tanzania yaendelea kuimarisha ajenda uchumi wa kidijitali](https://habarileo.co.tz/tanzania-yaendelea-kuimarisha-ajenda-uchumi-wa-kidijitali/) - USWISI - Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki ameongoza ushiriki wa Tanzania katika Maadhimisho ya 3 ya Siku ya Umoja wa Mataifa kuhusu Ulimwengu Pepe '3rd UN Virtual Worlds Day' yanayofanyika Mei 11- 12 Mei, 2026 Geneva, Uswisi. Ushiriki huo unaonesha nafasi ya Tanzania katika ajenda za kimataifa za maendeleo ya teknolojia - [Kongamano laibua hoja ufanisi wa huduma za maji](https://habarileo.co.tz/kongamano-laibua-hoja-ufanisi-wa-huduma-za-maji/) - DAR ES SALAAM: Kongamano la Kitaifa kuhusu Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika Sekta ya Maji lililofanyika Mei 9, 2026 jijini Dar es Salaam limeibua mjadala kuhusu changamoto za ufanisi, ucheleweshaji wa huduma na mianya ya rushwa katika mamlaka za maji nchini ikiwemo Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira - [Sekta binafsi zaitwa uzalishaji mbegu kanda ya ziwa](https://habarileo.co.tz/sekta-binafsi-zaitwa-uzalishaji-mbegu-kanda-ya-ziwa/) - KARAGWE: Taasisi ya Udhibiti wa Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imezitaka sekta binafsi kuwekeza zaidi katika uzalishaji wa mbegu kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa kutokana na hali ya hewa yenye vigezo vinavyokidhi kuzalisha mbegu bora. Mkurugenzi Mkuu wa TOSCI, Dk Nyasebwa Chimagu ametoa wito huo leo Mei 12, 2026 alipotembelea shamba la uzalishaji wa - [Wadau kilimo wapewa elimu kutambua athari tabianchi](https://habarileo.co.tz/wadau-kilimo-wapewa-elimu-kutambua-athari-tabianchi/) - DODOMA: Shirika la AGRA limeanza kutoa mafunzo maalum ya uchambuzi wa hatari za tabianchi kwa wadau wa sekta ya kilimo nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kusaidia Tanzania kujenga mifumo ya chakula na kilimo inayohimili mabadiliko ya hali ya hewa. Mafunzo hayo ya siku mbili kuhusu Climate Vulnerability Mapping and Risk Analysis yanafanyika jijini - [Wananchi Shinyanga wahamasishwa ulipaji kodi pango la ardhi](https://habarileo.co.tz/wananchi-shinyanga-wahamasishwa-ulipaji-kodi-pango-la-ardhi/) - SHINYANGA: Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Shinyanga, Leo Komba ametoa wito kwa wawekezaji pamoja na wananchi kuhakikisha wanalipa kodi ya pango la ardhi kwa wakati ili kuiwezesha Serikali kuendelea kuboresha huduma za kijamii na maendeleo ya wananchi. Wito huo ameutoa wakati wa ziara ya kutembelea eneo moja la uwekezaji lililoachwa bila kuendelezwa na mwekezaji - [Mchambuzi wa sera azungumzia changamoto ya maji](https://habarileo.co.tz/mchambuzi-wa-sera-azungumzia-changamoto-ya-maji/) - Msomi na mchambuzi wa sera za kiuchumi, Aurelia Kamuzora amesema changamoto ya upotevu wa maji na uchakavu wa miundombinu nchini inaweza kupungua kwa kiwango kikubwa iwapo sekta binafsi itapewa nafasi kubwa zaidi katika usimamizi wa miradi ya maji kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP). Prof. Kamuzora alitoa kauli - [DSTV yajipanga Kombe la Dunia](https://habarileo.co.tz/dstv-yajipanga-kombe-la-dunia/) - DAR ES SALAAM: FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zinatarajiwa kuvunja rekodi mpya duniani baada ya idadi ya timu kuongezeka kutoka 32 hadi 48 huku mechi zikiongezeka kutoka 68 hadi 104 katika mashindano yatakayofanyika kwa mara ya kwanza katika mataifa matatu ya Marekani, Canada na Mexico. Kutokana na ukubwa huo wa mashindano, kampuni ya DStv - [Tume yapokea malalamiko 29, yaendelea kuchunguza](https://habarileo.co.tz/tume-yapokea-malalamiko-29-yaendelea-kuchunguza/) - SHINYANGA: TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeeleza kupokea malalamiko 29 ya aina mbalimbali kupitia kampeni ya Mama Samia Legal Aid ambayo baadhi yake watakwenda kuyafanyia uchunguzi na kuendelea kutoa elimu ya msaada wa kisheria. Hayo yamesemwa leo na Ofisa Mfawidhi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Kanda ya Ziwa ikiwemo - [Elimu usalama barabarani yalenga AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/elimu-usalama-barabarani-yalenga-afcon-2027/) - DAR ES SALAAM: MBUNGE wa Jimbo la Mbagala, Burchard Kakulu amesema kampeni ya utoaji elimu ya usalama barabarani kwa waendesha bodaboda itakuwa sehemu muhimu ya maandalizi ya Tanzania kuelekea mashindano ya 2027 Africa Cup of Nations. Kakulu amesema hayo katika kampeni ya Usalama Daima iliyofanyika katika viwanja vya Zakhiem Mbagala, Temeke jijini Dar es Salaam, - ['Elimu usalama barabarani itaokoa maisha ya wananchi'](https://habarileo.co.tz/elimu-usalama-barabarani-itaokoa-maisha-ya-wananchi/) - DAR ES SALAAM: MBUNGE wa Jimbo la Mbagala, Burchard Kakulu amesema elimu ya usalama barabarani inayotolewa kwa waendesha bodaboda ni muhimu katika kuokoa maisha ya wananchi pamoja na kuchochea maendeleo ya taifa. Kakulu amesema hayo kwenye uzinduzi wa mwendelezo wa kampeni ya Usalama Daima chini ya Azam Mediai iliyofanyika katika viwanja vya Zakhiem Mbagala, Temeke - ['Ushiriki wa Tanzania kimataifa lazima ulete manufaa'](https://habarileo.co.tz/ushiriki-wa-tanzania-kimataifa-lazima-ulete-manufaa/) - DODOMA: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amezindua rasmi Mwongozo wa Kuratibu Ushiriki wa Wadau wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum katika Mikutano ya Kikanda na Kimataifa wa mwaka 2024, hatua inayolenga kuongeza ufanisi na tija ya ushiriki wa Tanzania katika majukwaa ya kimataifa. ‎ - [EACOP yatekeleza programu ya kujenga uwezo kukuza ushiriki wa wazawa](https://habarileo.co.tz/eacop-yatekeleza-programu-ya-kujenga-uwezo-kukuza-ushiriki-wa-wazawa/) - DODOMA: JITIHADA za kukuza ushiriki wa wazawa kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) zimeendelea kuimarika, baada ya kuzinduliwa kwa mpango maalumu wa kuwajengea uwezo Watanzania kushiriki kikamilifu katika miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo sekta ya mafuta na gesi. Mpango huo wa mafunzo ya kitaalamu ya uchomeleaji wa kisasa kwa kutumia - [Naibu Waziri Ayoub ateua kamati za usalama mikoa 31](https://habarileo.co.tz/naibu-waziri-ayoub-ateua-kamati-za-usalama-mikoa-31/) - DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, amefanya uteuzi wa wenyeviti, wajumbe na makatibu wa Kamati za Usalama Barabarani katika mikoa yote 31 ya kipolisi nchini. ​Uteuzi huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam ukiwa na lengo - [Ashauri PPC Center, wizara kuskiliza wafanyabiashara pamoja](https://habarileo.co.tz/ashauri-ppc-center-wizara-kuskiliza-wafanyabiashara-pamoja/) - DAR ES SALAAM: Mdau na mwekezaji katika sekta ya kilimo, Malebo Lucas wa kampuni ya Malebo Farm, ameishauri Serikali kupitia Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE) pamoja na Wizara ya Maji kubadili mbinu na kuanza kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na wafanyabiashara ili kubaini changamoto zinazowazuia kushiriki katika - [Wawili wafa, 13 wajeruhiwa ajali ya basi Iringa](https://habarileo.co.tz/wawili-wafa-13-wajeruhiwa-ajali-ya-basi-iringa/) - IRINGA: Watu wawili wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea asubuhi ya leo eneo la Mseke, wilayani Iringa, baada ya basi la kampuni ya Classic kugongana uso kwa uso na gari jingine kabla ya kupinduka na kutumbukia korongoni. Basi hilo, linalofanya safari kati ya Harare nchini Zimbabwe na Dar es - [CAG mstaafu Utouh azungumzia mfumo wa PPP unavyopingwa](https://habarileo.co.tz/cag-mstaafu-utouh-azungumzia-mfumo-wa-ppp-unavyopingwa/) - DAR ES SALAAM: Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Ludovick Utouh, amesema mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) umekuwa ukipingwa kimyakimya na baadhi ya watendaji wa Serikali na mamlaka za mitaa kutokana na kuziba mianya ya ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za umma. CPA - [Ulinzi upo imara Mwanza](https://habarileo.co.tz/ulinzi-upo-imara-mwanza/) - MWANZA: MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amepongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza Kwa kuimarisha ulinzi na usalama. Mtanda alisema hayo Mei 9 katika maadhimisho ya Siku ya Familia ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza. Mtanda amesema Jeshi la Polisi mkoani humo linaendelea kuhakikisha amani, utulivu na usalama - [Ndejembi achukizwa mradi wa umeme kukwama Kigoma](https://habarileo.co.tz/ndejembi-achukizwa-mradi-wa-umeme-kukwama-kigoma/) - KIGOMA: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi ameeleza kutoridhishwa na utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme katika Mto Malagarasi Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma unaotekelezwa na kampuni ya DONGFANG Electric International Corporationo (DEC). Pia ameagiza kuondolewa eneo la mradi kwa mhandisi mkazi wa kampuni hiyo ayesimamia mradi huo Duan Longhai. Waziri Ndejembi ametoa agizo hilo leo - [Serikali yakemea ufugaji holela wa punda mitaani](https://habarileo.co.tz/serikali-yakemea-ufugaji-holela-wa-punda-mitaani/) - GEITA: SERIKALI imekemea tabia ya ufugaji holela wa wanyama aina ya punda usiozingatia huduma, makazi na malazi stahiki kwa wanyama hao hali inayopelekea kuhatarisha afya, usalama na maisha ya punda nchini. Aidha serikali imeagiza jamii kushiriki kutoa taarifa na kudhibiti shughuli na biashara haramu zinazoongeza athari na hatari ya mnyama punda kutoweka nchini na duniani - [Kafulila ashauri malezi bora kwa watoto](https://habarileo.co.tz/kafulila-ashauri-malezi-bora-kwa-watoto/) - Kupitia Ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa X (Zamani Twitter), Mkurugenzi wa kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na binafsi (PPPC), David Kafuila ametoa ujumbe maalumu wa maadhimisho ya Siku ya Mama Duniani. Aidha, amesisitiza umuhimu wa malezi bora kwa watoto katika siku 1000 kuamzia kutungwa kwa mimba mpk umri wa 2 - [Kilomita 985 barabara ya Nyang’hwale zaidhinishwa](https://habarileo.co.tz/kilomita-985-barabara-ya-nyanghwale-zaidhinishwa/) - GEITA: SERIKALI imeidhinisha mtandao wa barabara mpya zenye urefu wa Km 985.28 katika Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita zitakazohudumiwa na Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (TARURA). Meneja wa TARURA wilayani Nyang’hwale, Mhandisi John Msita ametoa taarifa hiyo wakati wa kikao cha tatu cha Baraza la Madiwani la kipindi cha robo ya tatu ya mwaka - [Wanawake wahamasishwa kujenga familia zenye maadili](https://habarileo.co.tz/wanawake-wahamasishwa-kujenga-familia-zenye-maadili/) - DAR ES SALAAM: Kongamano maalumu lililowakutanisha wanawake kutoka sekta mbalimbali limefanyika ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mama Duniani, kwa lengo la kujadili na kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya familia, malezi pamoja na ukuaji wa uchumi kwa wanawake. Akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika Dar es salaam, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa - [DC Kwimba asisitiza usimamizi wa karibu wa miradi](https://habarileo.co.tz/dc-kwimba-asisitiza-usimamizi-wa-karibu-wa-miradi/) - MWANZA: MKUU wa Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, Ng’wilabuzu Lúdigija, amesistiza umuhimu wa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali inakamilika kwa wakati uliopangwa. Ludigija alisema hayo jana wakati wa kikao cha baraza la madiwani liliofanyika katika ukumbi wa Philip Mangula wilayani Kwimba mkoani Mwanza. Aliwataka - [Mkazi Samuye asifu msaada wa kisheria](https://habarileo.co.tz/mkazi-samuye-asifu-msaada-wa-kisheria/) - SHINYANGA: Mkazi wa kijiji cha Ishinabulandi kata ya Samuye Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Kulwa Malale amesema Msaada wa kisheria wa Mama Samia Legal Aid alivyoelezwa na kupewa ushauri amefarijika na kufurahi sana. Akizungumza na HabariLeo Malale alieleza mgogoro wa ardhi uliopo ulianza rasmi mwaka jana baada ya kudai eneo kuuzwa mara mbili. "Nimeendesha kesi - [Vijana kunufaika na mikopo isiyo na riba ya ufugaji samaki](https://habarileo.co.tz/vijana-kunufaika-na-mikopo-isiyo-na-riba-ya-ufugaji-samaki/) - KAGERA: Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya kilimo(TADB) inaendelea kutekeleza zoezi la utoaji wa mikopo isiyo na riba na yenye masharti nafuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya ufugaji wa samaki kwenye vizimba ili kuwezesha vijana wengi kujiajiri kupitia uvuvi. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kukabidhi mitaji ya kuwezesha utekelezaji wa - [Tanzania yapiga hatua huduma za afya Afrika Mashariki](https://habarileo.co.tz/tanzania-yapiga-hatua-huduma-za-afya-afrika-mashariki/) - ARUSHA: Tanzania imeendelea kupiga hatua katika sekta ya afya ndani ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kutokana na utoaji wa huduma bora za afya katika hospitali mbalimbali nchini. Aidha, serikali inaendelea kufanyia kazi masuala mbalimbali ya kada ya uuguzi, ikiwemo muundo wa utawala wa Wizara ya Afya pamoja na muundo wa utumishi wa - [Kapinga awapa kipaumbele wazawa ajira viwandani](https://habarileo.co.tz/kapinga-awapa-kipaumbele-wazawa-ajira-viwandani/) - PWANI: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amewashauri wamiliki wa viwanda vipya kutoa kipaumbele kwa wazawa kuhusu ajira ili kukuza uchumi na mapato ya taifa kwa ujumla. Akizungumza Mei 09, 2026, wakati wa akifungua wa kiwanda kipya cha kutengeneza tambi cha Kura Food mkoani Pwani, Kapinga amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya biashara ikiwemo - [Kamati yaeleza umuhimu wa sekta binafsi uwekezaji nchini](https://habarileo.co.tz/kamati-yaeleza-umuhimu-wa-sekta-binafsi-uwekezaji-nchini/) - DAR ES SALAAM: KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema Serikali inatambua mchango wa sekta binafsi nchini na ndio maana imeendelea kuweka mazingira wezeshi ya kuwezesha kuwa na uwekezaji wenye tija. Akizungumza leo Mei 9,2026 jijini Dar es Salaam wakati wa wabunge wa kamati hiyo ilipofanya ziara katika Kampuni ya Oryx Energies - [Airtel yajivunia mapato](https://habarileo.co.tz/airtel-yajivunia-mapato/) - Matumizi ya intaneti na huduma za fedha kupitia simu yamekuwa injini kuu ya ukuaji wa Airtel Africa, huku kampuni hiyo ikitangaza ongezeko kubwa la mapato na faida kwa mwaka wa fedha ulioishia Machi 31, 2026. Airtel Africa imesema faida halisi imepanda zaidi ya mara mbili hadi dola milioni 813, kutoka dola milioni 328 mwaka uliopita. - [Wamiliki bandari kavu watakiwa kuongeza ukubwa wa maeneo](https://habarileo.co.tz/wamiliki-bandari-kavu-watakiwa-kuongeza-ukubwa-wa-maeneo/) - DAR ES SALAAM: SERIKALI imeanza majadiliano na wamiliki wa bandari kavu pamoja na taasisi mbalimbali za umma kwa lengo la kuangalia namna bora ya kupanua na kuongeza uwezo wa bandari hizo, kufuatia kuongezeka kwa shughuli za Bandari ya Dar es Salaam. Hatua hiyo inalenga kupunguza msongamano wa mizigo bandarini, kuongeza ufanisi wa huduma za usafirishaji - [Serikali yaendelea kulinda ajira viwandani](https://habarileo.co.tz/serikali-yaendelea-kulinda-ajira-viwandani/) - DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kulinda ajira zilizopo na kuzalisha ajira mpya kupitia viwanda na biashara kwa manufaa ya Watanzania na taifa. Hayo ameyasema Mei 08, 2026 jijini Dar es Salaam alipotembelea Kiwanda cha Nguo cha Tooku Garments kilichopo Ubungo External na kubainisha kuwa ziara hiyo ni - [Mabilioni biashara ya kaboni hatarini kutoweka](https://habarileo.co.tz/mabilioni-biashara-ya-kaboni-hatarini-kutoweka/) - KATAVI; Licha ya vijiji vinane vya Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kujiingizia zaidi ya Sh bilioni 29 kupitia uuzaji wa kaboni, biashara hiyo ipo hatarini kutokana na uwajibikaji usioridhisha wa waliopewa dhamana ya kulinda na kuhifadhi misitu na kukithiri kwa shughuli za kibinadamu. Uchunguzi wa miezi mitatu uliofanywa katika Vijiji vya Katuma, Bujombe, Kafisha, Kaseganyama, - [Elimu, teknolojia na ushirikiano inavyookoa rasilimali maji](https://habarileo.co.tz/elimu-teknolojia-na-ushirikiano-inavyookoa-rasilimali-maji/) - DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Malinyi, Dk. Mecktridis Mdaku, amesema kuwa matumizi sahihi ya teknolojia, elimu kwa jamii pamoja na ushirikiano wa wananchi ni miongoni mwa njia muhimu zitakazosaidia kuokoa na kulinda rasilimali za maji nchini. Dk. Mdaku ameyasema hayo kupitia mchango wake wa maandishi aliouwasilisha bungeni wakati wa kuchangia hotuba ya bajeti ya Wizara - [Wakazi wa Itwangi wajitokeza msaada wa kisheria](https://habarileo.co.tz/wakazi-wa-itwangi-wajitokeza-msaada-wa-kisheria/) - SHINYANGA: WAKAZI wa jimbo la Itwangi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wamejitokeza kupata msaada wa kisheria katika kampeni ya awamu ya pili ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid huku wakipongeza kupata msaada wa kirafiki usioendelea kuleta mgogoro. Wakizungumza baada ya kupata msaada wa kisheria leo kupitia elimu inayotolewa Kata ya Didia, mkazi - [Vijana 350 wapata ajira kampuni ya parachichi](https://habarileo.co.tz/vijana-350-wapata-ajira-kampuni-ya-parachichi/) - NJOMBE: VIJANA 350 wa Kitanzania wameajiriwa kwenye kampuni ya parachichi ya AVO AFRICA iliyopo mjini Makambako mkoani Njombe. Kampuni hiyo inayojishughulisha na ununuzi na usafirishaji wa parachichi, imesaidia kutatua changamoto ya ajira kwa vijana hao na kupunguza idadi ya wasio na ajira. Hayo yameelezwa na Ofisa Rasilimali Watu na Utawala wa kampuni hiyo, Omega Kabuje, - [Tanzania, EU waimarisha ushirikiano kibiashara](https://habarileo.co.tz/tanzania-eu-waimarisha-ushirikiano-kibiashara/) - DAR ES SALAAM: Tanzania na Umoja wa Ulaya wameendelea kuimarisha ushirikiano katika biashara, uwekezaji, maendeleo ya miundombinu pamoja na kukuza sekta binafsi kwa kipindi cha miongo mitano iliyopita. Hayo yamesemwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga Mei 07, 2026 jijini Dar es Salaam, na kubainisha kuwa Umoja wa Ulaya umeendelea kushirikiana na Tanzania - [Kituo utamaduni Iran chazindua mashindano uchoraji Tanzania](https://habarileo.co.tz/kituo-utamaduni-iran-chazindua-mashindano-uchoraji-tanzania/) - DAR ES SALAAM: Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania kimeanzisha mashindano ya uchoraji yanayolenga kuhamasisha jamii, hususan watoto na vijana, kueleza hisia zao kupitia sanaa kufuatia tukio la mlipuko lililotokea nchini Iran mwezi Februari mwaka huu, ambapo Shule ya Msingi ya Minaab ililipuliwa na kusababisha vifo vya wanafunzi 168. Akizungumza kuhusu mashindano hayo, Ofisa - [Zahanati kunufaisha wakazi kijiji cha Lidumbe Newala](https://habarileo.co.tz/zahanati-kunufaisha-wakazi-kijiji-cha-lidumbe-newala/) - NEWALA: WAKAZI wa Kijiji cha Lidumbe Shuleni katika Halmashauri ya Mji Newala mkoani Mtwara watanufaika na mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Lidumbe yenye thamani ya Sh milioni 105. Hayo yamejiri wakati Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 ulipoweka jiwa la msingi mradi huo wa zahanati hiyo baada ya kupokelewa katika kijiji hicho cha - [Tanzania kubadilishana ujuzi na Urusi kidijitali](https://habarileo.co.tz/tanzania-kubadilishana-ujuzi-na-urusi-kidijitali/) - DAR ES SALAAM: MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dk Nkundwe Mwasaga, amesema uchumi wa kidijitali wa Tanzania unaendelea kukua kwa kasi na kuvutia wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali duniani. Amesema Tume ya TEHAMA inaendelea na jukumu la kusajili kampuni changa pamoja na kampuni za TEHAMA, sambamba na kuhamasisha uwekezaji katika sekta hiyo. Ameeleza kuwa kuna - [Doyo: Afrika inahitaji kujitegemea zaidi](https://habarileo.co.tz/doyo-afrika-inahitaji-kujitegemea-zaidi/) - DAR ES SALAAM — Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania Doyo Hassan Doyo amehoji uhalali na usawa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), akisisitiza kuwa Afrika inapaswa kuimarisha taasisi zake za kisiasa, kiuchumi na kisheria badala ya kutegemea mifumo ya kimataifa inayotawaliwa na mataifa makubwa. Akizungumza katika mahojiano marefu yaliyojikita kwenye siasa za kimataifa, demokrasia - [Taasisi za umma Tandahimba zahimizwa nishati safi](https://habarileo.co.tz/taasisi-za-umma-tandahima-zahimizwa-nishati-safi/) - TANDAHIMBA: KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang'onda amezitaka taasisi za umma kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara kuhakikisha zinatumia nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za serikali juu ya matumizi ya nishati. Ametoa agizo hilo leo Mei 6, 2026 wakati Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 ulipopokelewa kwenye - [PPRA yataka usajili watu 100,000 kufikia Disemba](https://habarileo.co.tz/ppra-yataka-usajili-watu-100000-kufikia-disemba/) - MTWARA: MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma Nchini (PPRA) Dennis Simba amesema lengo la mamlaka hiyo ni kuhakikisha wanasajili vikundi zaidi ya laki moja hadi kufikia Disemba 2026. Hayo yamejiri wakati Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 ulipowasili mkoani humo Mei 3, 2026 ukitokea mkoani Lindi na kuanza kukimbizwa katika Manispaa ya - [Mwanzilishi wa CNN afariki dunia](https://habarileo.co.tz/mwanzilishi-wa-cnn-afariki-dunia/) - MAREKANI — Mwanzilishi wa mtandao wa habari wa CNN, Ted Turner, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 87, familia yake imethibitisha kupitia taarifa iliyotolewa na Turner Enterprises. Turner, ambaye alijulikana kwa maamuzi yake ya ujasiri katika sekta ya habari, alianzisha CNN mwaka 1980 na kuifanya kuwa televisheni ya kwanza duniani kurusha habari saa 24 - [Tanzania yaendelea kuhimili bei ya mafuta duniani](https://habarileo.co.tz/tanzania-yaendelea-kuhimili-bei-ya-mafuta-duniani/) - DAR ES SALAAM: MENEJA Mwekezaji wa Bohari ya Mafuta ya MOIL Energies Dk Sajad Habib Rai, amesema Serikali ya Tanzania imeendelea kuchukua hatua kuhakikisha mafuta yanaendelea kupatikana nchini huku ikidhibiti makali ya ongezeko la bei linalochochewa na mgogoro wa Mashariki ya Kati unaohusisha Iran, Israel na Marekani. Kwa mujibu wa bei mpya za Mei 2026 - [Dk Mecktridis alia na shida ya maji Malinyi](https://habarileo.co.tz/dk-mecktridis-alia-na-shida-ya-maji-malinyi/) - DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Malinyi, Dk. Mecktridis Mdaku, ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha za miradi ya maji katika jimbo lake, huku akiibua changamoto kadhaa zinazoendelea kuwakabili wananchi. Akichangia moja kwa moja bungeni wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Maji, Dk. Mecktridis amesema fedha zilizotolewa zimewezesha utekelezaji wa miradi ya maji katika maeneo - ['Wenye sifa ya kupandishwa vyeo wasicheleweshwe](https://habarileo.co.tz/wenye-sifa-ya-kupandishwa-vyeo-wasicheleweshwe/) - ARUSHA: Serikali imeagiza waajiri na wasimamizi wa rasilimali watu nchini kuhakikisha watumishi wote wenye sifa na waliotengewa bajeti ya kupandishwa vvyeo Mei mwaka huu wanapandishwa vyeo bila kuwapo kwa ucheleweshaji wowote. Agizo hilo linasisitiza kukamilika kwa taratibu zote za kisheria na kanuni kwa wakati, huku serikali ikionya kuwa haitavumilia malalamiko ya watumishi ambao haki zao - [Kocha wa Yanga SC, Goncalves atimuliwa](https://habarileo.co.tz/kocha-wa-yanga-sc-goncalves-atimuliwa/) - DAR ES SALAAM: Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves kuanzia leo Mei 5,2026. Katika taarifa yao kwa umma iliyotolewa muda huu, Yanga wameeleza kuwa kocha Abdihamid Moalin na Patric Mabedi wataiongoza timu hiyo hadi mwisho wa msimu. - [Wataalamu wajengewa uwezo matumizi mashine za mkaa mbadala](https://habarileo.co.tz/wataalamu-wajengewa-uwezo-matumizi-mashine-za-mkaa-mbadala/) - MOROGORO: JESHI la Magereza nchini limewapatia wataalamu wake ambao ni askari mafunzo maalumu ya matumizi ya mashine za kutengeneza mkaa mbadala unaotokana na mabaki ya mimea kufuatiwa kununuliwa mashine za kisasa 61 zilizogharimu zaidi ya Sh milioni 900 na kusambazwa katika magereza 129 yaliyopo nchini. Kamishna wa Fedha na Mipango wa Jeshi hilo ( CP), - [Waharibifu mazingira waonywa Mvomero](https://habarileo.co.tz/waharibifu-mazingira-waonywa-mvomero/) - MOROGORO: MKUU wa Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, Maulid Dotto amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji na misitu ya asili. Aidha, amewataka wajenge tabia ya kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabiachi na kuondokana na changamoto za kimazingira ikiwemo ya ukosefu wa maji ya uhakika. - [Walimu, wafanyabiashara kunufaika hisa stahiki MCB](https://habarileo.co.tz/walimu-wafanyabiashara-kunufaika-hisa-stahiki-mcb/) - DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu Mstaafu, Kassimu Majaliwa amezindua mpango wa uuzaji wa hisa stahiki wa Mwalimu Commercial Bank (MCB), ukilenga kuongeza mtaji, uwekezaji na kuimarisha utoaji wa mikopo nafuu kwa walimu na wafanyabiashara wadogo. Akizungumza leo Mei 6, jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa mpango huo, Majaliwa amesema uzinduzi wa hisa stahiki - [Taasisi yahimiza usawa kijinsia](https://habarileo.co.tz/taasisi-yahimiza-usawa-kijinsia/) - DAR ES SALAAM: Jamii imehimizwa kuwa na usawa wa kijinsia kwa wanawake katika jamii ili kusukuma gurudumu la maendeleo lengo kuwe na mshikamano katika majukumu ya kila siku kwani imeonekana wanawake hawapewi usawa katika jamii. Akizungumza jijini Dar es salaam leo, Upendo Manase kutoka Taasisi ya Asedeva na ni Mratibu wa Mradi wa Jinsia amesema - [Wanne mbaroni mauaji ya mawanafunzi wa IFM](https://habarileo.co.tz/wanne-mbaroni-mauaji-ya-mawanafunzi-wa-ifm/) - DAR ES SALAAM; Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya James Rogers Temba mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha IFM Dar es Salaam ambaye mwili wake ulikutwa unaelea kwenye maji yaliyokuwa yanatiririka katika mto Msimbazi, Dar es Salaam, Aprili 30, 2026. Taarifa ya Kamanda - [Amlilia spika, mbunge amlipe Sh milioni 11 anazodai](https://habarileo.co.tz/amlilia-spika-mbunge-amlipe-sh-milioni-11-anazodai/) - IRINGA: Mfanyabiashara wa vifaa vya umeme wa mjini Njombe, Erick Sambala, ameibuka hadharani akiomba msaada wa Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, kufuatia kile anachodai ni kucheleweshwa kwa malipo ya deni analomdai Mbunge wa Viti Maalum (Chaumma), Siglada Mligo, kwa miaka miwili sasa. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, Sambala alisema kuwa Machi 6, 2024 - [Shigela mgeni rasmi Siku ya Punda Duniani](https://habarileo.co.tz/shigela-mgeni-rasmi-siku-ya-punda-duniani/) - MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Punda Duniani yatakayofanyika kitaifa Mei 8, 2026 katika Kijiji cha Mgusu, Manispaa ya Geita. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, maandalizi ya tukio hilo yamekamilika, huku shughuli za awali zikitarajiwa kuanza Mei 6 hadi - [Uteuzi wa jaji Tanzania ICC wazua mijadala ya kimataifa](https://habarileo.co.tz/uteuzi-wa-jaji-tanzania-icc-wazua-mijadala-ya-kimataifa/) - DAR ES SALAAM: Uteuzi wa jaji kutoka Tanzania kujiunga na jopo la Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) umeibua mjadala miongoni mwa wachambuzi wa sheria na watetezi wa haki za binadamu barani Ulaya, hali inayoonyesha mvutano mpana kuhusu uhusiano wa mahakama hiyo na mataifa ya Afrika pamoja na wasiwasi kuhusu mazingira ya kisiasa - [Tanzania haijajibu malalamiko ya Ulaya kuhusu uteuzi wa ICC](https://habarileo.co.tz/tanzania-haijajibu-malalamiko-ya-ulaya-kuhusu-uteuzi-wa-icc/) - DAR ES SALAAM: Serikali ya Tanzania bado haijatoa kauli ya wazi kufuatia ukosoaji unaoibuka kutoka baadhi ya duru za kisheria na kisera barani Ulaya kuhusu uteuzi wa mgombea wa Tanzania katika nafasi ya uamuzi wa mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), wakati mjadala kuhusu mwelekeo wa taasisi za haki za kimataifa ukiendelea kushika - [SADC yataka uratibu imara uwekezaji madini Afrika](https://habarileo.co.tz/sadc-yataka-uratibu-imara-uwekezaji-madini-afrika/) - DAR ES SALAAM: Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito wa kuimarishwa kwa uratibu kati ya serikali na sekta binafsi ili kuharakisha uwekezaji katika sekta ya madini na kukuza viwanda, wakati mataifa ya Afrika yakisaka udhibiti mkubwa wa rasilimali muhimu zinazozidi kuwa na mchango mkubwa katika mabadiliko ya nishati duniani. Wito huo - [Madini nguzo muhimu ukuaji wa uchumi Tanzania](https://habarileo.co.tz/madini-nguzo-muhimu-ukuaji-wa-uchumi-tanzania/) - DAR ES SALAAM: Tanzania inaendelea kuiweka sekta ya madini kama nguzo muhimu ya kukuza uchumi wa viwanda na kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi wa kikanda, wakati nchi za Afrika zikiongeza juhudi za kudhibiti zaidi rasilimali zao kutokana na kuongezeka kwa ushindani wa kimataifa wa madini muhimu. Hatua hiyo inakuja kufuatia wito mpya wa Southern African Development - [Tanzania yaongeza udhibiti sekta ya madini](https://habarileo.co.tz/tanzania-yaongeza-udhibiti-sekta-ya-madini/) - DAR ES SALAAM: Tanzania inaongeza juhudi za kuimarisha ushawishi wa serikali katika sekta ya madini, huku ikilenga kuongeza faida za ndani zinazotokana na rasilimali hizo, wakati nchi nyingi za Afrika zikisukuma mbele ajenda ya kuwa na udhibiti mkubwa wa rasilimali muhimu zinazohitajika duniani, hasa katika kipindi hiki cha mpito wa nishati safi. Tanzania ambayo ni - [Mwenge wapitia miradi ya bil 1.7/- Nanyamba](https://habarileo.co.tz/mwenge-wapitia-miradi-ya-bil-1-7-nanyamba/) - MTWARA: MIRADI saba ya maendeleo yenye thamani ya Sh bilioni 1.7 imepitiwa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara. Katika miradi hiyo saba iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 ikiwemo miradi 2 kuzinduliwa, kuweka jiwe la msingi mradi 1, kuona na kukagua miradi 4 huku ukikimbizwa kwenye umbali wa kilomita - [Watakiwa kutoa mapendekezo kuimarisha haki za binadamu](https://habarileo.co.tz/watakiwa-kutoa-mapendekezo-kuimarisha-haki-za-binadamu/) - MOROGORO: Asasi za kiraia zimetakiwa kuwasilisha mapendekezo yatakayosaidia kutatua changamoto zinazoendelea kukwamisha utekelezaji wa majukumu ya Serikali, hususan katika kuhakikisha kila Mtanzania anafurahia kikamilifu haki zake za msingi za binadamu. Wito huo umetolewa na Wakili wa Serikali Mfawidhi Mkoa wa Morogoro, Xevia Masalu, aliyemwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, wakati wa kikao - [Wanolewa namna ya kukuza maadili](https://habarileo.co.tz/wanolewa-namna-ya-kukuza-maadili/) - MOROGORO: Viongozi na maafisa maadili kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wamepatiwa mafunzo ya namna ya kutumia vyombo vya habari katika kukuza maadili kwa Viongozi wa Umma na wananchi kwa ujumla. Mafunzo hayo maalamu yenye lengo la kuwajengea uwezo maafisa hao katika kuandaa na kuwasilisha mada kwa hadhira kwa - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-139/) - jokofu Meaning of “jokofu” (Swahili → English) In English, “jokofu” means refrigerator (fridge) — a machine used to keep food and drinks cold so they do not spoil. Origin of the word The word “jokofu” is widely used in East African Swahili (Kiswahili), especially in Tanzania and Kenya. It is believed to be a local - [Serikali yaongeza kasi mapambano dhidi ya Ukimwi](https://habarileo.co.tz/serikali-yaongeza-kasi-mapambano-dhidi-ya-ukimwi/) - DODOMA: Serikali imeongeza kasi ya mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI kwa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati na Taasisi ya EGPAF, hatua inayolenga kutokomeza kabisa maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto nchini. ‎ ‎Hayo yamesemwa na Dk. Florence Samizi, leo Mei 04, 2026 jijini Dodoma, alipokutana - [Tume ya Madini yaridhishwa na ukusanyaji wa maduhuli](https://habarileo.co.tz/tume-ya-madini-yaridhishwa-na-ukusanyaji-wa-maduhuli/) - ‎DODOMA: KAMISHENI ya Tume ya Madini imeridhishwa na kasi ya ukusanyaji wa maduhuli katika Sekta ya Madini kupitia Tume ya Madini, hatua inayotoa matarajio ya Serikali kuvuka lengo la kukusanya Sh trilioni 1.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026. ‎ ‎Hayo yamebainishwa leo Mei 4, 2026 jijini Dodoma wakati Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dk. Janet - [Mwang’onda aridhishwa mradi wa madarasa Mtwara Vijijini](https://habarileo.co.tz/mwangonda-aridhishwa-mradi-wa-madarasa-mtwara-vijijini/) - MTWARA: KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2026, Wazo Mwang'onda ameridhishwa na mradi wa ujenzi wa madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Mbawala iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara uliyogharimu Sh milioni 49.5. Mwenge wa Uhuru umepokelewa jana katika kijiji cha maili kumi kilichopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara - [Ruto awasili Dar es Salaam](https://habarileo.co.tz/ruto-awasili-dar-es-salaam/) - DAR ES SALAAM: Rais wa Kenya, William Ruto amewasili Tanzania leo Mei 4, 2026 kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Kenya. Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu Tanzania, Ruto atafanya mazungumzo ya ana kwa ana na mwenyeji wake, Samia Suluhu Hassan, kabla ya mazungumzo rasmi ya - [Emanuela Mtatifikolo: “Narudi Nyumbani” kuitumikia Isimani](https://habarileo.co.tz/emanuela-mtatifikolo-narudi-nyumbani-kuitumikia-isimani/) - IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuela Kaganda Mtatifikolo, ameanza rasmi safari yake ya kuwania nafasi hiyo kwa kauli yenye uzito wa kihisia na kisiasa “Narudi nyumbani.” Kauli hiyo haikuwa ya kawaida. Ilibeba historia, uhalisia na dhamira ya kiongozi aliyelelewa na kukulia ndani ya ardhi ya Isimani. Amezaliwa Desemba - [REA yatekeleza mpango wa majiko banifu Kagera vijijini](https://habarileo.co.tz/rea-yatekeleza-mpango-wa-majiko-banifu-kagera-vijijini/) - BUKOBA: Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeanza utekelezaji wa mpango wa kusambaza majiko banifu 200,000 nchini kwa lengo la kupunguza matumizi ya kuni na mkaa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa taifa wa matumizi ya nishati safi unaolenga kufikia asilimia 80 ya wananchi waishio vijijini ifikapo mwaka 2034. Kupitia mpango huo, REA imemtambulisha msambazaji wa - [Serikali yatoa neno sheria ya elimu](https://habarileo.co.tz/serikali-yatoa-neno-sheria-ya-elimu/) - Serikali imesema ipo kwenye mchakato wa kutengeneza sheria ya elimu ya mwaka 1978 baada ya kushirikisha wadau katika kutoa maoni yao ikiwemo adhabu ya viboko ambayo wamekuwa hawakubaliani nayo. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Mwakilishi wa Kamishna wa Elimu,Wizara ya Elimu sayansi na Teknolojia Mussa Mnyeti wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya - [Wizara ya habari yaomba kuidhinishwa bil 525.3/-](https://habarileo.co.tz/wizara-ya-habari-yaomba-kuidhinishwa-bil-525-3/) - DODOMA: WIZARA ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, imeliomba bunge kuidhinisha bajeti ya Sh bilioni 525.3 kwa ajili ya matumizi ya wizara ya hiyo na taasisi zake katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Kati ya bajeti hiyo, Sh bilioni 39 zimetengwa kwa ajili ya mishahara ya watumishi wa wizara, Sh - [Wizara yaweka lengo Sh bil 1/- mapato 2026/27](https://habarileo.co.tz/wizara-yaweka-lengo-sh-bil-1-mapato-2026-27/) - DODOMA: WIZARA ya Habari Sanaa na Utamaduni inakusudia kukusanya Sh bilioni 1 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kutoka katika vyanzo mbalimbali. Vyanzo hivyo ni vitambulisho ya waandishi wa habari, machapisho ya picha, mabango na majarida, usajili wa magazeti, ada ya mwaka ya magazeti, viingilio katika uwanja wa Benjamin Mkapa na Uhuru. Vyanzo vingine ni ada - [Mapato Wizara ya Habari yafikia Sh mil 699 Aprili 2026](https://habarileo.co.tz/mapato-wizara-ya-habari-yafikia-sh-mil-699-aprili-2026/) - DODOMA: SERIKALI imesema hadi kufikia mwezi Aprili 2026 Sh milioni 699 sawa na asilimia 67.5 zilikusanywa kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato, hata hivyo kiwango hicho hakijafikia lengo la mwaka wa fedha 2025/2026 la kukusanya Sh bilioni 1 kutoka katika vyanzo sita vya Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo. Vyanzo hivyo ni viwanja vya - [Makala 172 TSN zapaisha utalii](https://habarileo.co.tz/makala-172-tsn-zapaisha-utalii/) - DAR ES SALAAM: Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imeendelea kutekeleza maono ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan, kwa kuimarisha jitihada za kuitangaza sekta ya utalii kupitia uandishi na uchapishaji wa makala maalumu. Katika kipindi husika, TSN imeandaa jumla ya makala 172 zilizolenga kuibua na kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo nchini, sambamba na kuangazia - [TSN kuongeza uelewa wa Umma AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/tsn-kuongeza-uelewa-wa-umma-afcon-2027/) - DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imepanga kuandaa na kuchapisha makala maalumu zitakazolenga kuhabarisha umma kuhusu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, hatua inayolenga kuongeza uelewa na ushiriki wa wananchi katika tukio hilo kubwa la kimataifa. Sambamba na hilo, shirika hilo litaendelea kuelimisha umma juu ya mipango, miongozo, mikakati, - [Madiwani Tandahimba wakumbushwa ukusanyaji mapato](https://habarileo.co.tz/madiwani-tandahimba-wakumbushwa-ukusanyaji-mapato/) - MTWARA: MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara wamekumbushwa kuhakikisha wanahusika katika suala la ukusanyaji wa mapato kwenye kata zao ili kuleta maendeleo ya wananchi na halmashauri kwa ujumla. Agizo hilo limetolewa katika Kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo kuhusu kupitia taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye kata mbalimbali - [Ufanisi wa taasisi washuka changamoto ukaguzi](https://habarileo.co.tz/ufanisi-wa-taasisi-washuka-changamoto-ukaguzi/) - DAR ES SALAAM: Chama Cha Wakaguzi wa Ndani (IIA Tanzania) kimesema miongoni mwa changamoto wanazokumbana katika ukaguzi ni viatarishi jambo linalopelekea kushuka kwa ufanisi katika taasisi wanapofanya ukaguzi. Rais wa chama hicho, Jonathan Ngoma amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ufunguzi wa mwezi wa uhamasishaji wa ukaguzi wa ndani ambapo utadumu kwa - [Mchengerwa: Bajeti 26/27 izingatie Bima ya Afya kwa Wote](https://habarileo.co.tz/mchengerwa-bajeti-26-27-izingatie-bima-ya-afya-kwa-wote/) - MWANZA: WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amewaagiza watumishi wa afya nchini kuwa bajeti ya mwaka wa fedha 2026/27 inatakiwa kuonyesha mwelekeo wa taifa utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote. Mchengerwa amesema hayo leo Mei 3, 2026 wakati wa uzinduzi wa Kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Wizara ya Afya jijini Mwanza. "Katika bajeti - [Miundombinu utalii kuimarishwa AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/miundombinu-utalii-kuimarishwa-afcon-2027/) - ARUSHA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo ya utalii ikolojia wameanza kuimarisha miundombinu ya utalii na uwekezaji wa kuongeza maeneo ya malazi ili kuchangamkia fursa ya Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Ofisa Utalii Hifadhi ya Misitu Ziwa Duluti kutoka TFS ,Batholomeo Msensemya, amesema - [Ile jioni ya mechi ndo hiyooo mnune!](https://habarileo.co.tz/ile-jioni-ya-mechi-ndo-hiyooo-mnune/) - DAR ES SALAAM; MECHI ya Simba dhidi ya Yanga Ligi Kuu Tanzania Bara itachezwa Jumapili Mei 3, 2026 kuanzia saa 12 jioni, Ilikuwa inaonekana mbali sana. Ipo hivi Mei 3, 2026 ilikuwa inaonekana mbali sana, baadaye ikaja mechi wiki ijayo, kuanzia Jumatatu wafurukutwa wa mpira wakaanza kusema wiki hii, baadaye ikawa inatamkwa Jumapili tutamaliza ubishi. - [Mwenge kukagua miradi ya Sh bilioni 2 Mikindani](https://habarileo.co.tz/mwenge-kukagua-miradi-ya-sh-bilioni-2-mikindani/) - MTWARA: MIRADI ya maendeleo 7 yenye thamani ya Sh bilioni 2 iliyopo Manispaa ya Mtwara Mikindani inatarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru 2026. Mwenge huo umepokelewa leo Mei 3, 2026 mkoani Mtwara katika viwanja vya Shule ya Msingi Mpapura kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara ukitokea mkoani Lindi. Akizungumza wakati wa mapokezi ya Mwenge wa - [Rais Samia afanya uhamisho wa viongozi](https://habarileo.co.tz/rais-samia-afanya-uhamisho-wa-viongozi/) - DAR ES SALAAM; RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari Machumu, ikinukuu taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka, imesema, Rais Samia amemteua Dk Eveline Munisi kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, akichukua - [RC Geita awaonya wanaokwamisha watumishi kubadili kada](https://habarileo.co.tz/rc-geita-awaonya-wanaokwamisha-watumishi-kubadili-kada/) - GEITA: MKUU wa mkoa wa Geita, Martine Shigela amekemea tabia ya waajiri hususani maofisa utumishi wa ofisi za umma kukwamisha watumishi kubadilisha kada na kupandishwa madaraja. Shigela ametoa kauli hiyo katika maazimisho ya siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi, 2026) ambayo kimkoa yalifanyika katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katoro wilayani Geita. Amesema kazi ya - [Utalii wa michezo waibu fursa za kiuchumi nchini](https://habarileo.co.tz/utalii-wa-michezo-waibu-fursa-za-kiuchumi-nchini/) - NJOMBE: BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa michezo umeendelea kuwa nguzo muhimu ya kuongeza mapato kwa jamii zinazozunguka Hifadhi za Taifa, huku wananchi wa maeneo hayo wakinufaika kupitia fursa mbalimbali za kiuchumi zinazotokana na ongezeko la wageni. Taarifa hiyo imetolewa leo Mei 2 mkoani Njombe wakati wa mbio za Kitulo Garden Marathon, ambapo - [Ripoti ya Jaji Chande yatajwa kufichua mambo matano makubwa](https://habarileo.co.tz/ripoti-ya-jaji-chande-yatajwa-kufichua-mambo-matano-makubwa/) - IRINGA: Ripoti ya Tume iliyoongozwa na Jaji Mohamed Chande Othman imeendelea kuzua mjadala mkubwa nchini, huku mchambuzi wa masuala ya uongozi, uchumi na siasa Tanzania, Dk Netho Ndilito (PhD), akiitaja kuwa nyaraka muhimu iliyofichua mambo makubwa matano yenye maslahi kwa taifa. Akizungumza kuhusu ripoti hiyo, mchambuzi wa siasa, Dk Ndilito alisema baada ya kupitia maoni - [Shigella: Wakurugenzi mtabeba gharama za intaneti ofisini](https://habarileo.co.tz/shigella-wakurugenzi-mtabeba-gharama-za-intaneti-ofisini/) - GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigella ameagiza waajiri ikiwemo wakurugenzi wa halmashauri kugharamia huduma ya intaneti kwa watumishi ili kufanikisha utendaji bora pasipo kuhusisha gharama binafsi za watumishi. Shigela ametoa maagizo hayo katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi, 2026) ambapo kwa mkoa wa Geita yalifanyika katika Mamlaka ya Mji Mdogo - [Vituo ukaguzi vyombo vya moto kujengwa mikoa 26](https://habarileo.co.tz/vituo-ukaguzi-vyombo-vya-moto-kujengwa-mikoa-26/) - DAR ES SALAAM: MKATABA wa PPP wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 116 umesainiwa kati ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi na kampuni binafsi kwa ajili ya kujenga na kuendesha vituo vya ukaguzi wa lazima wa vyombo vya moto katika mikoa 26 ya Tanzania Bara. Akizungumza kuhusu mradi huo, Mkurugenzi Mtendaji - ['Drones' kudhibiti wahalifu misitu ya hifadhi](https://habarileo.co.tz/drones-kudhibiti-wahalifu-misitu-ya-hifadhi/) - KILIMANJARO: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS),unaendelea na utaratibu wa kutumia mifumo ya teknolojia za kisasa zikiwemo za ndege zisizo na rubani (drones),kwa ajili kulinda misitu hatua ambayo inayosaidia ufanisi wa ulinzi na doria. Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC) ,James Nshare alisema hayo mjini Same alipoelezea mkakati wa uendelezaji uhifadhi misitu, utalii ikolojia na mafanikio - [Ujenzi maadili mema ni msingi wa uongozi bora ngazi zote](https://habarileo.co.tz/ujenzi-maadili-mema-ni-msingi-wa-uongozi-bora-ngazi-zote/) - TAIFA letu Tanzania limezaliwa takribani miaka 61 iliyopita. Kwa hiyo wote wenye umri wa kuzaliwa chini ya hapo hakika ni watoto wa Tanzania. Mimi hushangaa sana ninapowasikia hao watoto wa Tanzania wanaposema, na aghalabu kwa jazba, kwamba ‘wanaitamani au wanaililia nchi yao Tanganyika’… nchi ambayo ilidumu kama taifa kwa takribani miaka mitatu tu. Nina kumbukumbu - [Makonda ataka mikakati ya habari Dira 2050](https://habarileo.co.tz/makonda-ataka-mikakati-ya-habari-dira-2050/) - SERIKALI imeagiza vyombo vya habari viweke mikakati itakayowezesha nchi kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ya kuwa na uchumi wa dola za Marekani trilioni moja ifikapo 2050. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda alisema hayo katika maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani jijini Arusha - [Puma yatwaa tuzo za nishati na biashara](https://habarileo.co.tz/puma-yatwaa-tuzo-ya-nishati-na-biashara/) - DAR ES SALAAM: Puma Energy Tanzania imetunukiwa tuzo mbili kubwa za heshima ndani ya wiki moja, hatua inayodhihirisha nafasi yake kama mdau mkuu katika sekta ya nishati na usambazaji nchini Tanzania. Tuzo hizo zimetolewa kupitia programu za tuzo zilizoandaliwa na CSW Tanzania Events, ambazo huwakutanisha wadau mbalimbali wa sekta kwa lengo la kutambua na kuenzi ubora, - [Wazee wajitosa kushiriki mashindano 'West Kill Forest'](https://habarileo.co.tz/wazee-wajitosa-kushiriki-mashindano-west-kill-forest/) - KILIMANJARO: WANAMICHEZO na wapenzi wa utalii ikolojia zaidi ya 350 wakiwemo wazee wenye umri mkubwa wamejitokeza kujisajili ili kushiriki mashindano West Kili Forest Tour Challenge 2026,. Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shamba la Miti Magharibi mwa Kilimanjaro chini ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) yamatarajiwa kufanyika Juni 20 na 21 mwaka huu (2026) katika - [Wanafunzi wa kike Moro wanolewa ujasiriamali](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-wa-kike-moro-wanolewa-ujasiriamali/) - MOROGORO: TAASISI ya Kumbukumbu ya Celina Kombani iliyopo mkoani Morogoro imeazisha mradi kufundisha ujasiliamali mdogo kwa wanafunzi wa kike unaolenga kuongeza chachu ya kuwatoa watoto wa kike kuwa tegenezi kwa kuwajengea uwezo wa kujitafutia kipato ili kunufaika wao na kusaidia familia zao . Mhasibu wa taaisis hiyo ,Joyce Mizambwa, amesema hayo katika shule ya Sekondadi - [Serikali yafunga kambi ya Nduta, yahimiza amani](https://habarileo.co.tz/serikali-yafunga-rasmi-kambi-ya-nduta/) - KIGOMA; SERIKALI ya Tanzani imeifunga rasmi kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani Kigoma, iliyokuwa ikihifadhi wakimbizi wa Burundi. Hatua ya kufunga kambi hiyo imekuja baada ya wakimbizi zaidi ya 166,000 waliokuwa wakihifadhiwa kwenye kambi hiyo kurudishwa nchini mwao, huku Waziri wa mambo ya Ndani, Patrobas Katambi akihimiza umuhimu wa kutunza amani ya - [UNDP yanogesha ujasiriamali kwa vijana Dar](https://habarileo.co.tz/undp-yanogesha-ujasiriamali-kwa-vijana-dar/) - DAR ES SALAAM; Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP), kupitia Mpango wa Ubunifu wa FUNGUO, limehitimisha kwa mafanikio hafla ya utoaji wa Tuzo za YouthIgnite Awamu ya Tatu sambamba na kuzindua dirisha la tano la ufadhili wa kichocheo. Hatua hiyo inalenga kuimarisha ujasiriamali unaoongozwa na vijana pamoja na mifumo ya ubunifu - [Vigogo 6 wa mahakama kortini fedha za mirathi](https://habarileo.co.tz/vigogo-6-mahakama-kortini-fedha-za-mirathi/) - GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi sita wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Geita kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh milioni 261.4 za mirathi. Watumishi hao wa mahakama na watumishi wanne wa idara zingine za serikali pamoja na wafanyabiashara wanne walifikishwa katika mahakama hiyo na kufunguliwa - [Dk Mecktridis ahamasisha kilimo cha kisasa](https://habarileo.co.tz/dk-mecktridis-ahamasisha-kilimo-cha-kisasa/) - DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Malinyi, Dk. Mecktridis Mdaku, ameiomba Serikali kuchukua hatua za makusudi za kuboresha Sekta ya kilimo wilayani humo, akisisitiza kuwa maboresho ya miundombinu na upatikanaji wa ardhi ndiyo suluhu ya kuinua uchumi wa wakulima wadogo na wa kati. Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa - [Benki ya ushirika yaimarisha mkakati uchumi jumuishi](https://habarileo.co.tz/benki-ya-ushirika-yaimarisha-mkakati-uchumi-jumuishi/) - DAR ES SALAAM: BENKI ya Ushirika (Coop Bank) imeendelea kuimarisha mkakati wake wa kukuza uchumi jumuishi kwa kuongeza kiwango cha utoaji mikopo kwa sekta ya kilimo, hatua inayolenga kuongeza tija kwa wakulima na kuchochea uzalishaji nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ng’urah, amesema benki imejipanga kuwa mshirika muhimu wa - [Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana Dira 2050](https://habarileo.co.tz/serikali-yasisitiza-ushiriki-wa-vijana-dira-2050/) - DODOMA: Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo, kwa lengo la kuinua vipaji, uwezo, na ari yao katika kufanikisha ukuaji wa uchumi jumuishi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi, - [Wakili aeleza uhalali wa mwekezaji Shamba Na 1135 Magunga Iringa](https://habarileo.co.tz/wakili-aeleza-uhalali-wa-mwekezaji-shamba-na-1135-magunga-iringa/) - IRINGA: Maelezo ya kina yaliyotolewa na wakili wa kampuni ya Iringa Food and Beverages Ltd (IFB), Innocent Boniface yametoa mwelekeo katika mgogoro wa umiliki wa Shamba Na. 1135 lililopo Kijiji cha Magunga, wilayani Iringa baada ya kufafanua mnyororo mzima wa umiliki unaoonyesha kuwa eneo hilo linamilikiwa kihalali na mwekezaji. Kupitia wakili huyo, upande wa mwekezaji - [Naibu Waziri Nishati ashiriki mkutano Misri](https://habarileo.co.tz/naibu-waziri-nishati-ashiriki-mkutano-misri/) - MISRI; NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa 21 wa Baraza la Mawaziri wa Nishati wa Ukanda wa Mashariki mwa Afrika, uliofanyika Aprili 29, 2026 jijini Cairo, Misri, ukiwa na lengo la kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika sekta ya umeme. Katika mkutano huo wa nchi wanachama wa Umoja wa Nishati Mashariki - [Mpogolo awapiga mkwara makandarasi Ilala](https://habarileo.co.tz/mpogolo-awapiga-mkwara-makandarasi-ilala/) - DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, Edward Mpogolo, ametoa onyo kali kwa wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara wilayani humo, akiwataka kuzingatia mikataba na kukamilisha kazi kwa wakati. Mpogolo alitoa onyo hilo wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya barabara, aliyoifanya kwa kushirikiana na baadhi - [Rais Samia aipongeza Simba kutwaa ubingwa](https://habarileo.co.tz/rais-samia-aipongeza-simba-kutwaa-ubingwa/) - ZANZIBAR; RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan, ameipongeza klabu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kuifunga Yanga bao 1-0 katika mchezo wa fainali jana Uwanja wa New Amaan Complex mjini Unguja. Kupitia ukurasa wake rasmi wa mtandao wa Instagram, Rais Samia ameandika: “Ninaipongeza Klabu ya Simba kwa kutwaa ubingwa - [Simba ilivyoivua ubingwa Yanga](https://habarileo.co.tz/simba-ilivyoivua-ubingwa-yanga/) - ZANZIBAR; SIMBA jana iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano uliochezwa usiku Uwanja wa New Amaan Complex Unguja. Bao hilo pekee katika mchezo huo lilifungwa kwa mkwaju wa penalti na Selemani Mwalimu baada ya Clatous Chama kuchezewa madhambi. Kufikia hatua ya fainali, Yanga ambayo ilikuwa - [Tanzania, Belarus kushirikiana kibiashara](https://habarileo.co.tz/tanzania-belarus-kushirikiana-kibiashara/) - DAR ES SALAAM: Serikali ya Tanzania na Belarus zimesaini mkataba wa kuanzisha mkakati maalum utakaoratibu ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara kati ya mataifa hayo mawili, ikiwa ni hatua ya kuimarisha maendeleo ya sekta mbalimbali za uzalishaji nchini. Akizungumza kuhusu makubaliano hayo, Waziri wa Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema Belarus - [Ubunifu watakiwa ukusanyaji kodi](https://habarileo.co.tz/ubunifu-watakiwa-ukusanyaji-kodi/) - DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika jitihada za kuongeza wigo wa makusanyo ya kodi, kuna umuhimu wa kufanya mabadiliko ya kimfumo na kiusimamizi pamoja na kuibua mawazo ya kibunifu, hasa kutoka kwa vijana, ili kuendana na ukuaji wa biashara na teknolojia. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya - [Serikali yaimarisha hatua za kudhibiti bei za mafuta](https://habarileo.co.tz/serikali-yaimarisha-hatua-za-kudhibiti-bei-za-mafuta/) - DAR ES SALAAM; Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kudhibiti mwenendo wa bei za mafuta nchini, ikiwa ni jitihada za kulinda uchumi wa wananchi na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unaendelea kuwa wa uhakika. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia mafuta na gesi, Dk James Mataragio, wakati wa kikao cha wadau wa - [Benki, Serikali meza moja ufadhili elimu ya juu](https://habarileo.co.tz/bank-serikali-meza-moja-ufadhili-elimu-ya-juu/) - DODOMA: Katika kuendelea kuunga mkono juhudi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutekeleza mageuzi makubwa ya elimu nchini, timu ya Benki ya Exim ikiongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha, Shani Kinswaga amekutana na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda jijini Dodoma kwa lengo la kujadili namna taasisi hiyo inaweza kushirikiana na - [TBS yatoa vyeti vya ubora viwanda 139](https://habarileo.co.tz/tbs-yatoa-vyeti-vya-ubora-viwanda-139/) - GEITA; SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeidhinisha, kuthibitisha na kutoa vyeti vya ubora kwa viwanda 139 vilivyopo mikoa ya kanda ya ziwa magharibi ambayo ni Geita, Shinyanga na Kagera. Meneja wa TBS Kanda ya Ziwa Magharibi, Joseph Makene ameeleza hayo mbele ya waandishi wa habari mjini Geita na kueleza takwimu hizo kwa kipindi cha Septemba - ['Serikali haijazuia uwindaji wa kitalii'](https://habarileo.co.tz/serikali-haijazuia-uwindaji-wa-kitalii/) - ARUSHA: Serikali imesema haina mpango wa kusimamisha au kuzuia shughuli za uwindaji wa kitalii na badala yake inaendelea kuandaa na kuboresha sera, sharia na miongozo ili kuzingatia uhifadhi wa wanyamapori, kukuza mapato ya taifa na kuchochea maendeleo ya jamii. Akizungumza wakati wa kufungua kikao kazi kati ya chama cha wamiliki wa kampuni za uwindaji Tanzania, - [Tandahimba wapewa nguvu majanga ya moto](https://habarileo.co.tz/tandahimba-wapewa-nguvu-majanga-ya-moto/) - MTWARA; WANANCHI wilayani Tandahimba mkoani Mtwara wametakiwa kutoa mapema taarifa za majanga ya moto yanapojitokeza kwenye maeneo yao. Kauli hiyo imetolewa leo Aprili 29, 2026 na Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Tandahimba, Elizabeth Mpondele, wakati wa hafla ya jeshi hilo kupokea gari la zimamoto. Amesema ni vyema wananchi likitokea tatizo la - [Teknolojia matundu madogo yaleta mapinduzi matibabu ya uzazi](https://habarileo.co.tz/teknolojia-matundu-madogo-yaleta-mapinduzi-matibabu-ya-uzazi/) - DAR ES SALAAM: TEKNOLOJIA ya kisasa ya upasuaji wa matundu madogo imeanza kuleta mapinduzi katika matibabu ya matatizo ya uzazi nchini, huku ikisaidia kuziba pengo kati ya mahitaji ya huduma za uzazi saidizi na uwezo mdogo uliokuwepo awali. Mkurugenzi wa Kituo cha Uzazi cha Nu Life Fertility, Ratheen Rawal, alisema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi - [CRDB yarekodi faida Sh bil 206 robo ya kwanza](https://habarileo.co.tz/crdb-yarekodi-faida-sh-bil-206-robo-ya-kwanza/) - DAR ES SALAAM; CRDB Bank Plc imeendelea kuthibitisha ubora wake katika sekta ya benki baada ya kuongoza kwa faida katika robo ya kwanza ya mwaka 2026, ikirekodi faida ya Shilingi bilioni 206 baada ya kodi sawa na ongezeko la asilimia 18.9. Akizungumzia mafanikio hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Abdulmajid Nsekela, amesema kuwa ongezeko la - [Wadakwa kwa kupunguza vipimo kwenye vifungashio](https://habarileo.co.tz/wadakwa-kwa-kupunguza-vipimo-kwenye-vifungashio/) - GEITAL WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) Mkoa wa Geita imebaini dosari na udanganyifu wa vipimo katika baadhi ya bidhaa zenye vifungashio kwenye maduka ya jumla na rejareja. Meneja wa WMA mkoa wa Geita, Eva Ikula ametoa taarifa hiyo katika mahojiano maalumu na HabariLEO na kueleza kuwa changamoto hiyo imebainika katika ukaguzi wa kushtukiza uliofanyika hivi - [Serikali kuwekeza zaidi sayansi data, akili unde](https://habarileo.co.tz/serikali-kuwekeza-zaidi-sayansi-data-akili-unde/) - DODOMA: SERIKALI na Benki ya Exim zinakusudia kufadhili masomo ya wanafunzi wa elimu ya juu wa Sayansi Data na Akili Unde. Hatua hiyo inatajwa kuwa sehemu ya mkakati wa benki hiyo kujenga rasilimali watu wenye ujuzi wa teknolojia ya kisasa, sambamba na kusaidia utekelezaji wa mageuzi ya elimu. Hayo yamejiri katika kikao kilichomkutanisha Waziri wa - [PPPC yaibua hoja gharama ya mlipa kodi](https://habarileo.co.tz/pppc-yaibua-hoja-gharama-ya-mlipa-kodi/) - DAR ES SALAAM: Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimeibua mjadala kuhusu gharama anayoibeba mlipa kodi kutokana na Sheria ya Utumishi wa Umma, ikidai kuwa ulinzi mkubwa kwa mtumishi asiyefaa unakuwa mzigo kwa taifa. Akizungumza jana wakati wa kikao cha kawaida cha Baraza la Wafanyakazi kilichohudhuriwa na viongozi wa - [Filamu kuelimisha jamii changamoto za tabianchi](https://habarileo.co.tz/filamu-kuelimisha-jamii-changamoto-za-tabianchi/) - DAR ES SALAAM: SHIRIKA la My Legacy limekutana na asasi za kiraia zinazoshughulika na masuala ya wanawake, watoto na makundi maalumu kwa lengo la kuutambulisha mradi wa Mialo ya Kijani unaolenga kupaza sauti za wanawake wanaokabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kupitia filamu. Akizungumza wakati wa mkutano huo jana Dar es Salaam, Mkurugenzi wa shirika - [Serikali yaingiza bil 1/- zao la utomvu](https://habarileo.co.tz/serikali-yaingiza-bil-1-zao-la-utomvu/) - KILIMANJARO: SERIKALI imeanza kunufaika na mapato ya zao jipya linalotokana na mti aina ya msindano kisayansi ukijulikana jina la “ Pinus patula au pine tree” yanayofikia Sh bilioni 1 kutokana na ugemaji wa utomvu kupitia mashamba ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Kaskazini . Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC) James Nshare amesema - [Ushirikiano mpya wafungua fursa za masoko](https://habarileo.co.tz/ushirikiano-mpya-wafungua-fursa-za-masoko/) - DAR ES SALAAM:SHIRIKISHO la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limesaini rasmi Hati ya Makubaliano (MoU) na Kituo cha Taifa cha Kukuza Mauzo ya Nje (NEPC) cha Jamhuri ya Belarus, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji kati ya nchi hizi mbili. Hayo ameyasema leo jijini Dar es salaam Rais wa Shirikisho la - [Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa utalii](https://habarileo.co.tz/dk-kijaji-awasili-zimbabwe-kushiriki-mkutano-wa-utalii/) - ZIMBABWE: Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji leo Aprili 28, 2026 amewasili nchini Zimbabwe kushiriki Mkutano wa Pili wa Kikanda wa Shirika la Utalii Duniani. Mkutano huo unalenga kuimarisha uwezeshaji wa wanawake katika sekta ya utalii barani Afrika na unatarajiwa kufanyika katika eneo la Victoria Falls kuanzia Aprili 29 hadi Mei 1, 2026. - [Wakimbiaji zaidi ya 1,200 kushiriki Mbio kubwa za Ruaha](https://habarileo.co.tz/wakimbiaji-zaidi-ya-1200-kushiriki-mbio-kubwa-za-ruaha/) - IRINGA: Zaidi ya wakimbiaji 1,200 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kushiriki Great Ruaha Marathon Season Five itakayofanyika Julai 3 na 4 mwaka huu mkoani Iringa, huku Mwigulu Nchemba akitarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio hilo kubwa la kimichezo na kitalii. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amezindua rasmi maandalizi ya mbio hizo - [Utekelezaji hafifu wa Sera watajwa chanzo cha ukatili kijinsia](https://habarileo.co.tz/107872-2/) - DAR ES SALAAM : Kukithiri kwa ukatili na ndoa za utotoni ni hatua inayotokana na sera na sheria kutofanyiwa kazi katika jamii, wazazi kutokuwa na uelewa mzuri, mila kandamizi na ukosefu wa vifaa tiba, hali inayosababisha watoto wengi wa kike kukosa haki zao za msingi kama vile elimu. Kauli hiyo imetolewa na Ofisa Uwezeshaji Wasichana - [Serikali yatenga Sh bilioni 200 kwa wananchi](https://habarileo.co.tz/serikali-yatenga-sh-bilioni-200-kwa-wananchi/) - DODOMA: Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 200 kwa ajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za kiuchumi nchini kote, ikiwemo sekta za kilimo, ufugaji wa mifugo pamoja na uvuvi wa samaki, Ili kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia fursa mbalimbali za kifedha zinazotolewa na wizara pamoja na mifuko ya maendeleo iliyoanzishwa na Serikali. Hayo yamebainishwa na Naibu - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-138/) - Jiko la mkaa Meaning jiko la mkaa is a cooking stove that uses charcoal (mkaa) as fuel for cooking food or heating water. Jiko = stove/cooker Mkaa = charcoal So, jiko la mkaa = charcoal stove. Origin The phrase comes from the Swahili language:Jiko originated from traditional African cooking practices referring to a place or - ['Zaka nyenzo muhimu kupambana na umasikini'](https://habarileo.co.tz/zaka-nyenzo-muhimu-kupambana-na-umaskini/) - DAR ES SALAAM: IMEELEZWA kuwa mfumo wa utoaji zaka katika dini ya Kiislamu ni nyenzo muhimu katika kupambana na umaskini, hususan miongoni mwa wajane. Hayo yameelezwa katika hafla ya ugawaji wa zaka kiasi cha Sh milioni 50 kwa watu 100 iliyotolewa na Taasisi ya Baitulmaal Tanzania katika Msikiti wa Kisumu, Magomeni Mikumi jijini Dar es Salaam, ambapo wanawake wajane - ['Usawa kijinsia nguzo muhimu maendeleo endelevu'](https://habarileo.co.tz/usawa-kijinsia-nguzo-muhimu-maendeleo-endelevu/) - DAR ES SALAAM: Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia unaendelea kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha maendeleo endelevu, kukuza uchumi na kuimarisha utawala bora ndani ya jamii na taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah, wakati akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Jinsia Duniani - [Wiki ya ACT Wazalendo kutamatika Kilwa Mei 5](https://habarileo.co.tz/wiki-ya-act-wazalendo-kutamatika-kilwa-mei-5/) - DAR ES SALAAM: CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kitaadhimisha wiki ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho kuanzia Aprili 29, 2026 na kuhitimishwa Mei 5, 2026 katika Jimbo la Kilwa Kusini, mkoani Lindi. Taarifa iliyotolewa leo Aprili 27, na Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, Shangwe Ayo imeeleza kuwa hatua hiyo ni - [Vikwazo biashara vyatajwa kuathiri mauzo ya Tanzanite](https://habarileo.co.tz/vikwazo-biashara-vyatajwa-kuathiri-mauzo-ya-tanzanite/) - DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema mwenendo wa biashara ya madini ya Tanzanite duniani umeendelea kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa masoko ya uhakika, hali inayochangiwa na vikwazo vya kibiashara pamoja na uwepo wa vito vinavyotengenezwa viwandani. ‎Amesema changamoto hiyo imesababisha kushuka kwa bei ya Tanzanite kutoka wastani wa Dola za Marekani 2,433.96 kwa - [Madini ya bil 3/- yanaswa yakitoroshwa](https://habarileo.co.tz/madini-ya-bil-3-yanaswa-yakitoroshwa/) - DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema kuwa katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026, wizara yake kwa kushirikiana na mamlaka nyingine za Serikali imefanikiwa kukamata madini ya aina mbalimbali yenye thamani ya shilingi bilioni 3.31 katika matukio 55 yaliyotokea kwenye baadhi ya mikoa ya kimadini nchini. ‎ ‎Akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi - [Exim, Toyota waungana kurahisisha umiliki wa 'gari la ndoto'](https://habarileo.co.tz/exim-toyota-waungana-kurahisisha-umiliki-wa-gari-la-ndoto/) - DAR ES SALAAM: Benki ya Exim Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Toyota wenye lengo la kufanya umiliki wa magari kuwa rahisi zaidi na nafuu kwa Watanzania. Kupitia ushirikiano huu, suluhisho maalum la udhamini wa magari limeanzishwa, likiwawezesha watu binafsi na biashara kununua magari mapya na yaliyotumika kwa gharama ndogo ya awali Pamoja na - [Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria](https://habarileo.co.tz/wafanyabiashara-madini-wakumbushwa-sheria/) - ‎DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ametoa rai kwa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini kuzingatia sheria zilizowekwa ili kuhakikisha sekta hiyo inaendeshwa kwa uadilifu na manufaa kwa taifa. ‎Akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2026/2027, Waziri Mavunde amesema Serikali haitavumilia uvunjifu wa sheria unaosababisha upotevu wa rasilimali za taifa. ‎Akizungumza - [Nyalandu: Hatua zinazochukuliwa na Samia zitaiponya nchi](https://habarileo.co.tz/nyalandu-hatua-zinazochukuliwa-na-samia-zitaiponya-nchi/) - Balozi Lazaro Nyalandu alisema hayo hivi karibuni wakati akihojiwa na Televisheni ya Sky News ya nchini Uingereza kuhusu ripoti hiyo iliyowasilishwa na Tume.... - [Nyalandu: Tuimarishe mshikamano kulinda amani ya taifa](https://habarileo.co.tz/nyalandu-tuimarishe-mshikamano-kulinda-amani-ya-taifa/) - MSHAURI wa Rais wa Diplomasia, Balozi Lazaro Nyalandu amewaomba watanzania kudumisha na kulinda amani ya Taifa. Balozi Nyalandu alisema hayo hivi karibuni wakati wa mahojiano malumu. "Katika kipindi ambacho dunia inaendelea kufuatilia kwa karibu hali ya usalama na utulivu wa mataifa mbalimbali, serikali imeendelea kusisitiza jukumu lake la msingi la kulinda maisha na mali za - [Kampeni usalama barabarani yazinduliwa](https://habarileo.co.tz/kampeni-usalama-barabarani-yazinduliwa/) - DAR ES SALAAM:KATIKA jitihada za kupunguza ajali na kuimarisha usalama barabarani, Kampuni ya Azam TV imezindua rasmi kampeni ya usalama barabarani katika Wilaya ya Ubungo, ikilenga kuwahamasisha waendesha bodaboda kuzingatia sheria na kujilinda wanapokuwa barabarani. Akizungumza katika uzinduzi huo, Ofisa Usafirishaji Barabarani, Amina Kikala amesisitiza umuhimu wa waendesha bodaboda kujipenda na kulinda afya zao binafsi. - [Washindi shindano la uchoraji wapewa zawadi](https://habarileo.co.tz/washindi-shindano-la-uchoraji-wapewa-zawadi/) - DAR ES SALAAM:BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa zawadi kwa washindi wa shindano la uchoraji kwa vijana lijulikanalo kama BASATA Youth Painting Competition, likiwa na lengo la kukuza na kuendeleza sanaa ya uchoraji nchini. Katika shindano hilo lililohitimishwa katika ukumbi wa Idara ya Sanaa Bunifu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mshindi wa kwanza - [Kafulila: Muungano ni watu sio tu serikali](https://habarileo.co.tz/kafulila-muungano-ni-watu-sio-tu-serikali/) - DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) David Kafulila amesema Muungano wa Tanzania ni wa kipekee barani Afrika kwa kuwa umejengwa juu ya misingi ya watu, na si serikali pekee. Kupitia ukurasa wake wa X, Kafulila amesema Tanzania inaadhimisha miaka 62 ya Muungano ambao ni - [WIMA yatoa tuzo za heshima kwa wanawake 30 Afrika](https://habarileo.co.tz/wima-yatoa-tuzo-za-heshima-kwa-wanawake-30-afrika/) - DAR ES SALAAM: KATIKA jitihada za kutambua na kuenzi mchango wa wanawake katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi barani Afrika, Shirika la Women in Management Africa (WIMA) limetoa tuzo za heshima kwa wanawake 30 waliobainika kufanya vizuri katika nyanja mbalimbali za utaalamu. Hafla hiyo imefanyika Aprili 25, 2026 jijini Dar es Salaam, ikihusisha wadau kutoka - [Wamiliki hoteli wapewa neno AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/wamiliki-hoteli-wapewa-neno-afcon-2027/) - ARUSHA: Wamiliki wa hoteli nchini wametakiwa kujipanga na kuboresha huduma zao ikiwemo miundombinu ya malazi,kuelekea AFCON 2027 ambapo inakadiriwa Tanzania itapokea watalii laki tatu kwa siku. Akizungumza Aprili 23 wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya miundombinu ya malazi katika Hifadhi ya Pori Tengefu Mto wa Mbu, wilayani Monduli, mkoani Arusha, Waziri wa Maliasili na - [Uwanja wa ndege Sumbawanga tayari kwa matumizi](https://habarileo.co.tz/uwanja-wa-ndege-sumbawanga-tayari-kwa-matumizi/) - SUMBAWANGA: MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) imefanya majaribio ya kutua na kuruka kwa ndege katika kiwanja cha ndege cha Sumbawanga baada ya kukamilika kwa ujenzi wake. Majaribio hayo yamefanyika leo kwa kutumia ndege ya Shirila la Ndege la Tanzania (ATCL) ambayo ilitua katika kiwanja hicho kutoka Kiwanja cha Kimataifa cha Julius Nyerere(JNIA), Dar - [FCS, UNICEF kuimarisha uwezo asasi za kiraia Tanzania](https://habarileo.co.tz/fcs-unicef-kuimarisha-uwezo-asasi-za-kiraia-tanzania/) - TAASISI ya Foundation for Civil Society (FCS) kwa kushirikiana na UNICEF Tanzania imezindua mradi ya kuimarisha uwezo inayolenga mashirika ya kiraia yanayoongozwa na vijana na wanawake katika mikoa mitatu muhimu ya Tanzania; Dar es Salaam, Zanzibar na Songwe. Mradi huu ni wa kihistoria, ukiwa ni ushirikiano wa moja kwa moja kati ya FCS na Umoja - [Kura za maoni Isimani zaendelea kuzua sintofahamu](https://habarileo.co.tz/kura-za-maoni-isimani-zaendelea-kuzua-sintofahamu/) - IRINGA: Kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Isimani zimeibua mjadala mzito unaotikisa si tu uhalali wa matokeo, bali pia misingi ya demokrasia ya ndani ya chama hicho tawala. Kilichopaswa kuwa zoezi la kidemokrasia la kuchuja wagombea bora, kimeelezwa na baadhi ya wanachama wa jimbo hilo kuwa tukio linaacha maswali mengi - [Serikali yaombwa kurejesha mfumo mizigo kidogo kidogo](https://habarileo.co.tz/serikali-yaombwa-kurejesha-mfumo-mizigo-kidogo-kidogo/) - DAR ES SALAAM:CHAMA Cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) na Chama Cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) wameiomba serikali kurejesha mfumo wa kutoa mizigo kidogo kidogo ili kusaidia kupunguza gharama kwa wafanyabiashara. Hayo ameyasema leo Aprili 24 na Mwenyekiti wa Chama Cha Mawakala Wa Forodha Tanzania(TAFFA), Edward Urio na kuongeza kuwa kurejeshwa kwa mfumo huo - [Rushwa yatajwa michezoni](https://habarileo.co.tz/rushwa-yatajwa-michezoni/) - DAR ES SALAAM: VITENDO vya rushwa vimetajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zinazoathiri maendeleo ya michezo nchini, hasa katika maeneo ya usajili wa wachezaji, upangaji wa matokeo ya mechi na uchezeshaji wa michezo. Hayo yameelezwa na Ofisa na Mkuu wa Uelimishaji Umma wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kutoka Ilala, Mary Mwakyusa, - [Watakiwa kuwa mabalozi sheria za madini](https://habarileo.co.tz/watakiwa-kuwa-mabalozi-sheria-za-madini/) - SHINYANGA: Serikali imewataka wakaguzi wakuu wa migodi na mameneja wa migodi nchini kuwa mabalozi wa utekelezaji wa sheria, kanuni za madini na kuwa wazalendo katika biashara ya madini ili kuongeza mchango wa sekta hiyo kwenye uchumi wa taifa. Wito huo umetolewa leo Aprili 24, 2026 wilayani Kahama, mkoani Shinyanga na mtaalamu kutoka Kurugenzi ya Ukaguzi - [Ushirikiano kipaumbele uongozi mpya ALAT](https://habarileo.co.tz/ushirikiano-kipaumbele-uongozi-mpya-alat/) - ARUSHA: Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Sospeter Mtwale amewataka viongozi wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuhakikisha malengo waliyojiwekea yanafikiwa. Mtwale ameyasema hayo jijini Arusha baada ya kutangazwa kwa mshindi - [Watoto 200 kupewa matibabu bure MOI](https://habarileo.co.tz/watoto-200-kupewa-matibabu-bure-moi/) - DAR ES SALAAM: Zaidi ya watoto 200 wenye matatizo ya vichwa vikubwa na mgongo wazi watapatiwa matibabu bure katika Taasisi ya Ubongo na Mishipa Muhimbili (MOI) mwaka huu . Hatua hiyo imekuja mara baada ya MOI kusaini mkataba wa ushirikiano na Benki ya Azania ambayo wameahidi kutoa kiasi cha Sh milioni 200 kila mwaka kupitia - [Tanga kudhibiti wizi wa siafu, mayai ya bundi](https://habarileo.co.tz/tanga-kudhibiti-wizi-wa-siafu-mayai-ya-bundi/) - SERIKALI mkoani Tanga kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), zitaendelea kuimarisha ulinzi wa pamoja katika Hifadhi ya Msitu ya Mazingira Asilia(RNFR) ili kudhibiti mienendo ya kuwepo wizi wa viumbe hai hususan siafu na mayai ya bundi. Mkuu wa mkoa huo ,Balozi Bk Batilda Burian amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa - [BoT yawanoa walemavu Singida elimu ya fedha](https://habarileo.co.tz/bot-yawanoa-walemavu-singida-elimu-ya-fedha/) - SINGIDA: Katika mkakati wa kuwa na uchumi jumuishi unaochangiwa na makundi yote ndani ya jamii, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo ya elimu ya fedha kwa kundi maalumu la walemavu mkoani Singida. Elimu hiyo iliyohusisha majukumu ya BoT, elimu ya fedha, utambuzi wa alama za usalama wa noti na sarafu pamoja na mbinu - [Bajeti Wizara ya Nishati yapita kwa kishindo](https://habarileo.co.tz/bajeti-wizara-ya-nishati-yapita-kwa-kishindo/) - DODOMA: Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha shilingi trilioni 2.53 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati 2026/2027. Kati ya fedha hizo, shilingi trilioni 2.46 sawa na asilimia 97.5 ya bajeti yote imeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo na asilimia 2.5 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Akihitimisha hoja kuhusu - [Takukuru kuchunguza kampuni zinazodaiwa AMCOS Geita](https://habarileo.co.tz/takukuru-kuchunguza-kampuni-zinazodaiwa-amcos-geita/) - GEITA: SERIKALI imeiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufuatilia kampuni zote ambazo zimeshindwa kulipa madeni ya Vyama vya Msingi vya Kilimo na Masoko (AMCOS) mkoani Geita. Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ametoa maagizo hayo kupitia kwa Mkuu wa wilaya ya Geita, Hashimu Komba alipomwakilisha katika Jukwaa Kuu la Vyama vya - [Makamishna wapya waahidi kusimamia ushindani wa haki sokoni](https://habarileo.co.tz/makamishna-wapya-waahidi-kusimamia-ushindani-wa-haki-sokoni/) - KILIMANJARO: Mamlaka ya Ushindani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACCA) zimekutana Mjini Moshi mkoani Kilimanjaro leo Aprili 23, 2026 na kuwaapisha rasmi wajumbe wapya wanne kutoka nchi za Tanzania, Somalia, Uganda na DRC ambao watasimamia mazingira mazuri ya ushindani wa biashara na walaji kwa jumuiya hiyo. Aidha, hatua hiyo inalenga kuleta mapinduzi kwenye soko huria - [Mpango maalum wa wastaafu wazinduliwa Dar](https://habarileo.co.tz/mpango-maalum-wa-wastaafu-wazinduliwa-dar/) - Dar es Salaam: Afisa mtendaji mkuu wa SanlamAllianz Life Insurance Julius Magabe, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa bidhaa yao mpya ya Salama Plan inayolenga kuwahudumia wastaafu au waajiriwa wanaokaribia kustaafu kutoka katika sekta binafsi, sekta za umma na hata wajasiriamali kuweza kustaafu wakiwa hawana mawazo juu ya kipato chao. Tukio hili - [Naibu Waziri apatiwa maelezo juu ya Afya Mkopo](https://habarileo.co.tz/naibu-waziri-apatiwa-maelezo-juu-ya-afya-mkopo/) - Dodoma: Naibu Waziri wa afya Dk Florence Samizi akimsikiliza Mkuu wa kanda ya kati Vodacom Tanzania Plc Chiha Nchimbi (katikati) aliyekuwa akifafanua jambo juu ya mikopo kwa watoa huduma binafsi wa sekta ya afya. Naibu Wiziri ni miongoni mwa viongozi wa serikali waliotembelea banda la Afya Mkopo katika kongamano la wadau wa sekta ya afya binafsi - [KCMC yahimiza uchangiaji ujenzi kituo cha moyo](https://habarileo.co.tz/kcmc-yahimiza-uchangiaji-ujenzi-kituo-cha-moyo/) - DAR ES SALAAM: UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) umeomba wananchi wa ndani na nje ya nchi kuendelea kuunga mkono juhudi za ujenzi wa kituo kikubwa cha matibabu ya magonjwa ya moyo. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubaliano ya uchangishaji fedha kati ya KCMC na kampuni ya Halotel, Mkurugenzi Mtendaji - [Serikali yajizatiti usalama kwa wachimbaji wadogo](https://habarileo.co.tz/serikali-yajizatiti-usalama-kwa-wachimbaji-wadogo/) - KAHAMA: Serikali imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuwawezesha wakaguzi wakuu wa migodi na wachimbaji wadogo nchini ili kuimarisha usalama kazini, kulinda mazingira na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Wito huo umetolewa leo Aprili 23, 2026 wilayani Kahama, mkoani Shinyanga na Mkurugenzi wa Huduma za Leseni wa Tume ya Madini, - [Walimu watakiwa kukabili mimba za utotoni](https://habarileo.co.tz/walimu-watakiwa-kukabili-mimba-za-utotoni/) - ‎MANYARA: Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuanzisha klabu za maadili ya watoto ili kuwa na taifa bora, kupiga vita mimba za utotoni na utoro shuleni. ‎ ‎Katibu Tawala Mkoa wa Manyara, Mariam Muhaji, ametoa agizo hilo Aprili 21, 2026 wilayani Babati wakati wa mafunzo ya uanzishwaji wa klabu - [Wahitimu waahidi mapinduzi ya Sayansi](https://habarileo.co.tz/wahitimu-waahidi-mapinduzi-ya-sayansi/) - MANYARA: Uwekezaji wa serikali katika elimu kwa wanafunzi wasichana wa masomo ya sayansi mkoani Manyara umeelezwa kuongeza wataalamu wa sayansi nchini. ‎ ‎Jumla ya wanafunzi 104 wa Shule ya Wasichana Manyara wa masomo ya sayansi wamehitimu kidato cha sita. Wameishukuruserikali kwa uwekezaji wa mazingira mazuri ya kujifunza na kufundishia ikiwemo kukamilika kwa majengo ya shule - [Tanga yajipanga uchumi wa kijani](https://habarileo.co.tz/tanga-yajipanga-uchumi-wa-kijani/) - TANGA: MKUU wa Mkoa wa Tanga, Balozi Bk Batilda Burian amesema mkoa utaendelea na jukumu la kusimamia uhifadhi wa mazingira ,vyanzo vya maji ,ulinzi na utekelezaji wa agizo la Serikali la kuhakikisha kila mwaka halmashauri zake zinapanda miti 1,500,000. Dk Burian amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari na maofisa wa Wakala wa Huduma - [TFS yaanzisha utalii ikolojia hifadhi ya mikoko Tanga](https://habarileo.co.tz/tfs-yaanzisha-utalii-ikolojia-hifadhi-ya-mikoko-tanga/) - TANGA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imetenga Sh milioni 578 kwa ajili ya kutekelezaji wa mradi wa kuboresha miundombinu na huduma za utalii katika hifadhi ya mikoko jijini Tanga. Mhifadhi wa Mwandamizi wa TFS Wilaya ya Tanga, Lawrence Brighton amesema hayo akielezea utekelezaji mradi huo wa kimkakati kwa lengo la kukuza sekta ya - [Matumizi akili mnemba yaongeza ufanisi UDSM](https://habarileo.co.tz/matumizi-akili-mnemba-yaongeza-ufanisi-udsm/) - DAR ES SALAAM: Matumizi ya teknolojia ya Akili Mnemba yameelezwa kuwa nyenzo muhimu katika kuimarisha ufanisi wa taasisi, huku Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kikichukua hatua za makusudi kuboresha huduma na utendaji kupitia mifumo ya kidijitali. Akizungumza Aprili 22, 2026 jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano Maalumu wa Baraza la Wafanyakazi wa - [Mikoa minne kunufaika kambi ya kibingwa ya matibabu](https://habarileo.co.tz/mikoa-minne-kunufaika-kambi-ya-kibingwa-ya-matibabu/) - WATU zaidi ya 300 kutoka Mikoa minne ya kanda ya kaskazini ya Arusha ,Kilimanjaro,Tanga na Manyara wanatarajia kunufaika na kambi ya siku tatu ya matibabu ya kibingwa Jijini Arusha kwa magonjwa ya Moyo,Ubongo na Mgongo kutoka kwa Madaktari Bingwa kutoka Califonia Marekani na wa hapa nchini. Kambi hiyo ambayo itaongozwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa - [PURA yapongezwa usimamizi uchimbaji visima vya gesi](https://habarileo.co.tz/pura-yapongezwa-usimamizi-uchimbaji-visimna-vya-gesi/) - DODOMA: Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dk James Mataragio ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kusimamia kwa mafanikio utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa visima vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay, mkoani Mtwara. Dr Mataragio ametoa pongezi hizo leo Jumanne, Aprili 21, 2026, mara - [Wataalamu kunolewa kukabili upungufu wa dawa](https://habarileo.co.tz/wataalamu-kunolewa-kukabili-upungufu-wa-dawa/) - DAR ES SALAAM: Wataalamu wa afya kutoka vituo mbalimbali nchini wanatarajiwa kunufaika na mafunzo maalumu yatakayofanyika kwa wiki moja jijini Dar es Salaam, yakilenga kuboresha uwezo wa kufanya maoteo sahihi ya dawa na hivyo kupunguza changamoto ya upungufu wa dawa katika vituo vya kutolea huduma za afya. Hatua hiyo imekuja kufuatia utafiti wa utekelezaji wa - [Mafunzo kuboresha haki waathirika wa ukatili](https://habarileo.co.tz/mafunzo-kuboresha-haki-waathirika-wa-ukatili/) - DAR ES SALAAM: Katika kuhakikisha waathirika wa ukatili wa kingono wanakuwa na mazingira rafiki wakati wa uendeshwaji wa mashauri Mahakamani, Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Irish Rule of Law International (IRLI) kupitia ufadhili wa Ubalozi wa Ireland nchini Tanzania kimeendesha mafunzo maalumu kwa Mahakimu, Waendesha Mashtaka - [Wanasheria EWURA wanolewa utatuzi migogoro](https://habarileo.co.tz/wanasheria-ewura-wanolewa-utatuzi-migogoro/) - TANGA: Wanasheria wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) wanapatiwa mafunzo maalumu ya usuluhishi yaliyoandaliwa na Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa lengo la kuwajengea uwezo, kuwapatia mbinu na maarifa ya kushughulikia migogoro na malalamiko ya wateja yanayowasilishwa katika mamlaka hiyo ikiwa ni njia mbadala ya utatuzi wa migogoro. - [Jubilee Insurance yahamasisha utunzaji mazingira shuleni](https://habarileo.co.tz/jubilee-insurance-yahamasisha-utunzaji-mazingira-shuleni/) - DAR ES SALAAM: KAMPUNI za Jubilee Life Insurance na Jubilee Health Insurance zimeongeza juhudi za kuhamasisha utunzaji wa mazingira katika shule mbalimbali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kupitia mipango yao ya uwajibikaji kwa jamii (CSR). Mpango huo, unaolenga upandaji miti na elimu ya mazingira, tayari umefanikisha upandaji wa mamia - [Wataalamu wapewa mafunzo kutibu uti wa mgongo](https://habarileo.co.tz/wataalamu-wapewa-mafunzo-kutibu-uti-wa-mgongo/) - DAR ES SALAAM; Zaidi ya Wataalumu wa Afya 100 wa Ubongo, uti wa mgongo na mishipa ya fahamu Duniani wameanza kupatiwa mafunzo ya uti wa mgongo kwa siku tatu jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo yaliyoanza Aprili 20 hadi 22,2026 Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) - [Wiki ya Nishati yaanza Dodoma](https://habarileo.co.tz/wiki-ya-nishati-yaanza-dodoma/) - DODOMA: Maonesho ya Wiki ya Nishati yanayohusisha Wizara ya Nishati na taasisi zake yameanza katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma huku yakilenga kutoa elimu ya nadharia na vitendo kuhusu Sekta ya Nishati. Katika maonesho hayo wabunge na wananchi watafahamishwa kuhusu fursa za uwekezaji zilizopo katika sekta ya nishati kwa ujumla, ubadilishaji wa mfumo wa magari - [Kilimanjaro mwenyeji ya Siku ya Mkunga Duniani](https://habarileo.co.tz/kilimanjaro-mwenyeji-ya-siku-ya-mkunga-duniani/) - KILIMANJARO: Mkoa wa Kilimanjaro unatarajiwa kuwa kitovu cha maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mkunga Duniani (IDM) mwaka 2026, ambapo Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) kwa kushirikiana na wadau wa afya ya uzazi, mama, mtoto na vijana (RNMNCAH), kimeandaa matukio mbalimbali yatakayofanyika kuanzia Mei 2 hadi 5, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari Rais wa - [Ushindi wa Vunjabei Isimani wazua maswali mapya](https://habarileo.co.tz/ushindi-wa-vunjabei-isimani-wazua-maswali-mapya/) - IRINGA: Matokeo ya kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kumpata mgombea wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Isimani yametangazwa rasmi na msimamizi wa zoezi hilo, Sule Masanguti, yakimuonesha Fredy Fabian Ngajiro maarufu kama Vunjabei akiibuka mshindi kwa kishindo. Kwa mujibu wa matokeo hayo, Vunjabei ameongoza kwa kupata kura 2,703, - [Watanzania wang'aa mbio za Tanfoam](https://habarileo.co.tz/watanzania-wangaa-mbio-za-tanfoam/) - ARUSHA: WANARIADHA kutoka Tanzania wamefanikiwa kung'ara katika mashindano ya kimataifa ya mbio ndefu za Tanfoam baada ya kumaliza washindi kwa kilometa 42 na kilometa 21 kwa wanawake na wanaume. Katika mbio ndefu za kilometa 42 mwanariadha Modest Kalist kutoka klabu ya Ambassador Arusha aliongoza kwa muda wa saa 2:15:58, nafasi ya pili ilishikiliwa na mwanariadha - [Kapinga atoa mwelekeo mpya sekta ya huduma na biashara](https://habarileo.co.tz/kapinga-atoa-mwelekeo-mpya-sekta-ya-huduma-na-biashara/) - DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ametoa mwelekeo mpya unaolenga kuibadilisha sekta ya biashara na huduma nchini, akisisitiza zaidi urasimishaji na uwezeshaji. Akizungumza leo jijiji Dar es Salaam, katika hafla ya kufunga maonesho ya watoa huduma za sherehe maarufu kama 'Adorable Wedding Trade Fair' Kapinga amesema sekta ya huduma ni mhimili - [Serikali kuimarisha miundombinu Mara](https://habarileo.co.tz/serikali-kuimarisha-miundombinu-mara/) - MARA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa Serikali itaendelea kujenga na kukamilisha barabara zilizopo mkoani Mara kwa kiwango cha lami. Hatua hiyo itafungua fursa za kiuchumi na kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji ndani ya mkoa huo na mikoa jirani. Ulega ameyasema hayo leo, Aprili 18, 2026 alipofungua Kanisa la Waadventista wa Sabato, sambamba - [Viongozi wa dini, siasa waaga miili waliokufa mvua](https://habarileo.co.tz/viongozi-wa-dini-siasa-waaga-miili-waliokufa-mvua/) - KAGERA: Viongozi mbalimbali wa Serikali,siasa na dini wameungana na wananchi wa Kata ya Kibeta mtaa wa Anyama kushiriki Ibada ya kuaga miili ya watoto 2 kati ya 4 wa familia mbili waliokufa kutokana na mvua. Mvua hiyo kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia Aprili 17 katika Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, ambayo ilisababisha vifo vya watoto - [DStv, SuperSport Kurusha 'Live' Mechi Zote 104 za Kombe la Dunia 2026](https://habarileo.co.tz/dstv-supersport-kurusha-live-mechi-zote-104-za-kombe-la-dunia-2026/) - DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya matangazo ya michezo ya SuperSport kwa kushirikiana na DStv imetangaza kuwa itarusha mubashara mechi zote 104 za FIFA World Cup 2026, mashindano yatakayofanyika katika nchi za Mexico, Canada na Marekani. Tangazo hilo limetolewa na kampuni hiyo, ambayo ni tanzu ya MultiChoice Group chini ya CANAL+, ikieleza kuwa hatua hiyo inalenga - [Mwigulu ataka uwanja wa AFCON 2027 ukamilike kwa wakati](https://habarileo.co.tz/mwigulu-ataka-uwanja-wa-afcon-2027-ukamilike-kwa-wakati/) - WAZIRI MKUU, Dk Mwigulu Nchemba, amemwagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika(AFCON)2027 ahakikishe mradi huo unakamilika kwa wakati. Ujenzi wa uwanja huo unaojengwa katika kata ya Olomoti, jijini Arusha ni sehemu ya maandalizi ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, yakayofanyika kwenye nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda. Akizungumza baada - [Flaviana ahimiza uzalendo bidhaa za ndani](https://habarileo.co.tz/flaviana-ahimiza-uzalendo-bidhaa-za-ndani/) - DAR ES SALAAM: Mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata, amewataka Watanzania kujivunia na kupenda bidhaa za ndani ili kuchochea ukuaji wa uchumi wa nchi. Akizungumza na waandishi wa habari, Flaviana amesema kuwa kama balozi wa chapa, anaamini katika ubora na hawezi kuhusisha jina au sura yake na bidhaa zisizofikia viwango vya kimataifa. Katika kuimarisha chapa yake, - [Mbio kubwa za Ruaha kuanza Julai 4](https://habarileo.co.tz/mbio-kubwa-za-ruaha-kuanza-julai-4/) - DAR ES SALAAM: Kadri siku zinavyosogea kuelekea mwezi Julai, macho ya Watanzania na dunia yanaelekezwa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha ambako pazia la mbio za mbio kubwa za Ruaha maarufu 'Great Ruaha Marathon' zitakazofanyika Julai 4, 2026 litafunguliwa Julai 3, 2026 kwa utulivu wa asili kupitia walking safari na spot fishing. Great Ruaha Marathon si - [Chizenga ataka amani ya nchi itunzwe](https://habarileo.co.tz/sheikh-chizenga-amani-ni-jukumu-la-kila-mtanzania/) - KATIKA kipindi ambacho Tanzania inapitia changamoto za kijamii na kisiasa zinazoambatana na tofauti za mitazamo na fikra, viongozi wa dini wameendelea kusisitiza umuhimu wa kulinda amani, mshikamano na utulivu wa taifa. - [Mabalozi watakiwa kutangaza fursa za kibiashara](https://habarileo.co.tz/mabalozi-watakiwa-kutangaza-fursa-za-kibiashara/) - DAR ES SALAAM: Wizara ya Viwanda na Biashara imejipanga kuimarisha ushirikiano na uhusiano wa kibiashara na mabalozi wa Tanzania nje ya nchi ili kuhakikisha vikwazo vya kibiashara kimataifa vinaondolewa kwa wakati na ufanisi mkubwa na kuchochea ukuaji wa viwanda nchini. Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Waziri Salum amesema hayo Aprili 17, 2026, jijini Dar - [Sh bilioni 15 zanufaisha wakulima kila mwaka](https://habarileo.co.tz/sh-bilioni-15-zanufaisha-wakulima-kila-mwaka/) - DAR E SALAAM: ZAIDI ya Sh bilioni 15 zinatolewa kila mwaka kwa ajili ya kuwasaidia wakulima zaidi ya 600 nchi nzima. Lengo ni kuendeleza kilimo cha mazao yanayohitajika kwa ajili ya kuzalisha bidhaa za pombe zilizo chini serengeti ikiwa ni katika kusaidia kukuza sekta ya kilimo na biashara. Mkurugenzi wa Mtendaji wa SBL, Obinna Anyalebechi - [Equity yafungua tawi Ubungo kuwakutanisha wafanyabiashara](https://habarileo.co.tz/equity-yafungua-tawi-ubungo-kuwakutanisha-wafanyabiashara/) - DAR ES SALAAM: Benki ya Equity imezindua tawi jipya katika eneo la Ubungo, jijini Dar es Salaam, ndani ya jengo la Kituo Kikubwa cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuwakutanisha wafanyabiashara kutoka mataifa mbalimbali na kuwapatia huduma za kifedha. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa - [Miradi ya gesi Mtwara yaikosha kamati ya Baraza la Wawakilishi](https://habarileo.co.tz/miradi-ya-gesi-mtwara-yalikosha-kamati-ya-baraza-la-wawakilishi/) - “Tumeridhishwa na kazi kubwa inayofanyika hapa Mtwara. Huu ni mfano mzuri wa namna rasilimali za Taifa zinavyoweza kusimamiwa kwa tija kwa manufaa ya umma," - [Kamati yataka maboresho mfumo wa ajira](https://habarileo.co.tz/kamati-yataka-maboresho-mfumo-wa-ajira/) - DODOMA: Serikali imeshauriwa kuboresha mfumo wa ajira nchini kwa kuruhusu waombaji wenye sifa na vyeti vya ngazi mbalimbali kushiriki katika usaili wa nafasi za kazi zinazotangazwa pindi zinapojitokeza, bila kuwekewa vikwazo visivyo vya lazima vinavyotokana na kiwango cha elimu pekee. ‎ ‎Ushauri huo umetolewa leo bungeni Jijini Dodoma na Kamati ya kudumu ya bunge ya - [Mipango yasukwa kuimaliza rushwa](https://habarileo.co.tz/mipango-yasukwa-kuimaliza-rushwa/) - DODOMA: Serikali imepanga kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa katika mwaka wa fedha 2026/27, ikiwemo kufanya utafiti wa kitaifa wa hali ya utawala na rushwa nchini (National Governance and Corruption Survey - NGACS). ‎ ‎Akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara hiyo bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, - [Wananchi 150,000 wanufaika kituo cha kupoza umeme](https://habarileo.co.tz/wananchi-150000-wanufaika-kituo-cha-kupoza-umeme/) - GEITA: ZAIDI ya wananchi 150,000 katika Mkoa wa Geita wanapata huduma ya umeme, ikiwa ni ongezeko kubwa kutoka wateja takribani 1,500 wa awali, hatua inayotokana na uboreshaji wa miundombinu ya usambazaji umeme. Hayo yamebainishwa leo na Aprili 17, 2026 na Meneja Tanesco Mkoa wa Geita, Mhandisi Michael Mbwana wakati Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na - [Ubora wa miradi uendane na thamani ya fedha](https://habarileo.co.tz/ubora-wa-miradi-uendane-na-thamani-ya-fedha/) - GEITA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema miradi ya maendeleo inayotekelezwa iendane na thamani ya fedha inayotolewa na serikali kwa ajili ya utekelezaji. Kihongosi ametoa kauli hiyo leo Aprili 17,2026 alipokagua mradi mkubwa wa Sh bilioni 22 unaotekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa Geita mkoani Geita akihitimisha - [Uchumi wa chama ni nguvu ya siasa](https://habarileo.co.tz/uchumi-wa-chama-ni-nguvu-ya-siasa/) - GEITA: CHAMA Cha Mapinduzi Kimesema siasa haiwezekani bila kuwa na uchumi imara, kwani nguvu na mafanikio ya chama chochote cha siasa inatokana na uimara wa uchumi wake na ndiyo msingi wa mafanikio ya chama hicho. Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenan Kihongosi ameeleza hayo leo Aprili 17,2026 alipotembelea mradi wa - [Viongozi wa umma wafundwa maadili](https://habarileo.co.tz/viongozi-wa-umma-wafundwa-maadili/) - MOROGORO: OFISI ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema katika mazingira ya sasa ya utumishi wa umma mafunzo ya maadili kwa viongozi ni suala muhimu hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mtanziko mkubwa wa changamoto za kimaadili kuanzia ngazi ya familia , taasisi za umma na jamii kwa ujumla. Kamishna wa Maadili - [Serikali, sekta binafsi kuendeleza ushirikiano](https://habarileo.co.tz/serikali-sekta-binafsi-kuendeleza-ushirikiano/) - DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema Serikali itaendelea kuunga mkono sekta binafsi kwani ina mchango kwa taifa kutokana na kwa sasa mawasiliano ni nyenzo muhimu baina ya wananchi na serikali. Hayo ameyasema leo jijini Da es Salaam kwenye miaka 10 ya Kampuni ya NETIS inayohusika na ujenzi wa minara na - [NBAA yatoa dawa Hospitali ya Rufaa Moro](https://habarileo.co.tz/nbaa-yatoa-dawa-hospitali-ya-rufaa-moro/) - MOROGORO: ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), imetoa msaada wa dawa za dharura pamoja na vifaa mbalimbali katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, kwa lengo la kuwasaidia watoto wasiopungua 200 wanaopatiwa huduma hospitalini hapo. Msaada huo umejumuisha dawa za watoto, pampers, neti, sabuni za kufulia, kifaa cha kutolea maji - [TASAC yajadili mabadiliko bei ya mafuta](https://habarileo.co.tz/tasac-yajadili-mabadiliko-bei-ya-mafuta/) - KAGERA: Mabadiliko ya bei elekezi ya mafuta iliyoanza kutumika Aprili Mosi mwaka huu yamepelekea Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kukutana na wadau wanaotumia usafiri wa majini kufanya tathmini ya athari za bei ya mafuta na kujadili uwezekano wa kurekebisha au kuongeza nauli za abiria katika njia mbalimbali za usafiri majini Ofisa Uhusiano TASAC, - [Wananchi wanufaika vituo vya uwezeshaji](https://habarileo.co.tz/wananchi-wanufaika-vituo-vya-uwezeshaji/) - DODOMA: VITUO vya Uwezeshaji wananchi kiuchumi nchini vimeendelea kuwa kimbilio la wafanyabiashara, wajasiriamali, wakulima na vijana wanaotaka kuanza biashara wenye mlengo wa kupiga hatua katika shughuli zao za uzalishajimali. Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC), Gwakisa Bapala amesema hayo wakati akielezea mafanikio endelevu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi. Bapala amesema vituo - [Utalii wajipanga kuelekea AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/utalii-wajipanga-kuelekea-afcon-2027/) - DODOMA: Wizara ya Maliasili na Utalii imewahakikishia wawekezaji na wadau wa michezo ushirikiano wa kutosha kuwezesha ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kisasa ili kuongeza thamani ya vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini. Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia utalii, Nkoba Mabula ameyasema hayo alipokutana na kuzungumza na mmiliki wa Kampuni ya Tilo World Properties Holding Limited - [NMB yatoa vifaa vya afya, elimu Kagera](https://habarileo.co.tz/nmb-yatoa-vifaa-vya-afya-elimu-kagera/) - KAGERA: Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya elimu na Afya vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 103.2 kwa shule za msingi, sekondari na zahanati mkoani Kagera. Hatua hiyo ni sehemu ya kurejesha kwa jamii na kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi. Msaada huo umepokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Erasto - [Prof. Mkumbo ataja mambo 6 kufikia Dira 2050](https://habarileo.co.tz/prof-mkumbo-ataja-mambo-6-kufikia-dira-2050/) - DODOMA:WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof Kitila Mkumbo, ameweka wazi mambo sita ya msingi ambayo Taifa linapaswa kuyazingatia ili kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, akisisitiza matumizi ya mitaji na teknolojia, ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi, pamoja na kujenga utamaduni wa kufanya maamuzi ya vitendo. - [Serikali kuondoa vikwazo uanzishaji biashara](https://habarileo.co.tz/serikali-kuondoa-vikwazo-uanzishaji-biashara/) - DODOMA: serikali imelenga kuondoa vikwazo vinavyokwamisha uanzishwaji na uendeshaji wa biashara kwa kufanya mapitio ya sheria na kanuni ambazo sio rafiki kwa biashara, kupunguza au kufuta tozo na ada zenye kero kwa wafanyabiashara, pamoja na kuondoa mwingiliano wa majukumu miongoni mwa taasisi za udhibiti. ‎ ‎Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – - [Serikali yataja mbinu kuondoa migogoro kazini](https://habarileo.co.tz/serikali-yataja-mbinu-kuondoa-migogoro-kazini/) - MOROGORO: SERIKALI kupitia Ofisi ya Kamishna wa kazi imevitaka vyama vya wafanyakazi nchini kufanya maamuzi muhimu kwa njia ya ushirikishaji kwa wananchama wao ili kuondokana na migogoro isiyo ya lazima. Kamishna wa kazi Msaidizi ,Emmanuel Mweta amesema hayo wakati akifungua mkutano mkuu wa 32 wa Baraza kuu la Chama cha Wafanyakazi Viwanda, Biashara, Taasisi za - [Wizara yatakiwa kunufaika uzoefu wa mabalozi wastaafu](https://habarileo.co.tz/wizara-yatakiwa-kunufaika-uzoefu-wa-mabalozi-wastaafu/) - DAR ES SALAAM: Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetakiwa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa mabalozi wastaafu katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kuimarisha diplomasia ya nchi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo wakati akifungua kikao - [Msigwa awataka wanahabari kulinda amani](https://habarileo.co.tz/msigwa-awataka-wanahabari-kulinda-amani/) - KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuhamasisha amani, umoja, mshikamano na maridhiano kwa manufaa ya taifa - [Wale ambao hawana Ithibati watupishe](https://habarileo.co.tz/wale-ambao-hawana-ithibati-watupishe/) - KAIMU Mkurugenzi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Patrick Kipangula, amewakumbusha waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao ili kulinda amani na mshikamano wa jamii. - [Chatanda aahidi mchango wake sekta ya afya](https://habarileo.co.tz/chatanda-aahidi-mchango-wake-sekta-ya-afya/) - DODOMA: Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa (UWT), Mary Chatanda ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Hospitali Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amesema kuwa ataendelea kutoa mchango wake wa kitaalamu na wakiuongozi katika kuhakikisha huduma za afya mkoani humo zinazidi kuimarika kwa manufaa ya wananchi wote. Chatanda ameyasema hapo aliposhiriki kikao cha Bodi - [Vijiji 66 Kigoma vyaungwa gridi ya taifa](https://habarileo.co.tz/vijiji-66-kigoma-vyaungwa-gridi-ya-taifa/) - KIGOMA: Jumla ya kaya 1800 katika vijiji 66 mkoani Kigoma zimeunganishwa na umeme wa Gridi ya Taifa kupitia mpango wa umeme vijijini unaosimamiwa na Wakala wa Umeme Vjijini (REA) ikiwa ni kutekeleza mpango wa serikali wa kuinua uchumi wa wananchi vijijini. Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni Tanzu ya TANESCO inayojishughulisha na ujenzi, ukarabati na uwekaji - [Amani yaongeza kasi ya ubunifu](https://habarileo.co.tz/amani-yaongeza-kasi-ya-ubunifu/) - MBUNIFU wa mavazi kutoka AM_Fashion, Agusta Masaki, amesema kuwa amani iliyopo nchini Tanzania ni nguzo muhimu inayowawezesha wabunifu na wafanyabiashara kufanya kazi zao kwa utulivu na ubunifu mkubwa. - [Vijana Waibeba Ajenda ya Amani](https://habarileo.co.tz/vijana-waunga-mkono-tume-ya-uchunguzi/) - WAKATI Tume ya Kuchunguza Matukio yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, inayoongozwa na Mohamed Chande ikiendelea na kazi yake, vijana mbalimbali nchini wameendelea kujitokeza kuunga mkono juhudi za kuimarisha amani, umoja na mshikamano kuanzia ngazi ya jamii hadi taifa. - [Ecobank yaahidi kuongeza uwekezaji Zanzibar](https://habarileo.co.tz/ecobank-yaahidi-kuongeza-uwekezaji-zanzibar/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na uongozi wa Benki ya Ecobank, ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kitengo cha Wateja wa Biashara na Uwekezaji kutoka makao makuu ya benki hiyo nchini Togo, Bw. Michael Larbie, pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Ecobank Tanzania, Ndugu Charles Asiedu. - [Mwasyoge: Michezo ni nguzo ya kuimarisha amani](https://habarileo.co.tz/mwasyoge-michezo-ni-nguzo-ya-kuimarisha-amani/) - MWENYEKITI wa Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), David Mwasyoge, amesema michezo ina nafasi kubwa katika kuimarisha amani, umoja na mshikamano miongoni mwa Watanzania. - [Hans Rafael: Yanga SC ni imara licha ya majeruhi](https://habarileo.co.tz/hans-rafael-yanga-sc-ni-imara-licha-ya-majeruhi/) - DAR ES SALAAM: LICHA ya Yanga SC kuwa na baadhi ya wachezaji majeruhi, ila mchambuzi maarufu wa michezo, Ansibert Rafael 'Hans Rafael' anaamini utendaji wa timu haujaathirika kwani kocha msaidizi Abdihamid Moalin amerejesha chachu benchi la ufundi. Mshambuliaji, Laurindo Depu na Clement Mzie ni majeruhi, beki Dickson Job majeruhi, pia Prince Dube alikosekana kwa wiki - [Hans Rafael atoa tathmini ubora wa Simba SC](https://habarileo.co.tz/hans-rafael-atoa-tathmini-ubora-wa-simba-sc/) - DAR ES SALAAM: MCHAMBUZI maarufu wa Michezo nchini, Ansibert Rafael 'Hans Rafael' ametoa tathmini yake kuhusu Simba SC kushindwa kurudisha ubora wao ndani ya ligi na michuano ya kimataifa pia. Akitoa tathmini yake kupitia mtandao huu wa HabariLeo mapema leo Aprili 15, Hans Rafael amesema changamoto kubwa ya Simba SC ni kukosa muendelezo wa kikosi - [Wanafunzi wa Nyani, Mafizi watengewa milioni 68](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-wa-nyani-mafizi-watengewa-milioni-68/) - DODOMA: Serikali imeeleza kuwa inaendelea kujenga shule za sekondari katika kata mbalimbali nchini ili kuwapunguzia umbali wanafunzi kote nchini wakiwemo wa Wilaya ya Kisarawe. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Festo Dugange wakati akijibu swali la Mbunge wa Kisarawe, Selemani Jafo aliyehoji ni lini Serikali itatenga fedha za ujenzi - [Miss Tanzania yakabidhiwa Lamata Village](https://habarileo.co.tz/miss-tanzania-yakabidhiwa-lamata-village/) - MASHINDANO ya urembo ya Miss Tanzania yameingia katika sura mpya baada ya jukumu la kuyaendesha kukabidhiwa rasmi kwa taasisi ya Lamata Village, hatua inayotarajiwa kurejesha hadhi na mvuto wa shindano hilo lenye historia kubwa nchini. - [Mbunge ataka ‘Internship’ iwe kigezo cha uzoefu katika ajira](https://habarileo.co.tz/mbunge-ataka-internship-iwe-kigezo-cha-uzoefu-katika-ajira/) - DODOMA: MBUNGE wa Viti Maalumu, Selina Kingalame ameishauiri serikali kuanzisha Mfumo wa Elimu kwa Vitendo (Internship) kwa kada nyingine za elimu kama ilivyo elimu ya utabibu. Mbunge huyo ametoa kauli hiyo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma leo Aprili 14, 2026 ambapo amesema hatua hiyo itasaidia kupunguza ugumu wa kupata ajira - [Vijana waongoza maambukizi ya VVU](https://habarileo.co.tz/vijana-waongoza-maambukizi-ya-vvu/) - DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Catherine Joachim, amesema kuwa takwimu za utafiti uliofanyika mwaka 2022 zinaonesha kuwa maambukizi mapya ya UKIMWI nchini yanafikia watu takribani elfu 56 kwa mwaka. ‎ ‎Ameeleza kuwa, kwa mujibu wa taarifa hiyo, asilimia 70 ya wanaopata maambukizi mapya ni vijana wa kike, hali inayoliweka kundi hilo katika hatari ya - [Lufingo: Tulinde amani ya nchi](https://habarileo.co.tz/lufingo-tulinde-amani-ya-nchi/) - MSANII wa filamu za Bongo Movie, Daniel Lufingo, amesema kuwa uwepo wa amani katika jamii ni jambo la msingi kwa wasanii kwani kazi zao hutegemea mazingira tulivu pamoja na ushirikiano mzuri kati ya jamii na serikali. Akizungumza na Habari Leo, Lufingo maarufu kama “Adam” kupitia tamthilia ya (Noma), amesema kuwa amani ya kweli hujengwa juu - [Washindi Tuzo ya Mwalimu Nyerere Watangazwa](https://habarileo.co.tz/washindi-tuzo-ya-mwalimu-nyerere-watangazwa/) - WASHINDI wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu wametangazwa katika hafla ya nne ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika Aprili 13, 2026 katika Ukumbi wa The Super Dome, jijini Dar es Salaam. - [Shule binafsi zafundwa elimu bora](https://habarileo.co.tz/shule-binafsi-zafundwa-elimu-bora/) - KAGERA: Ofisa Elimu wa Sekondari Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Wandera Rwakatare ametoa wito Kwa wawekezaji wa shule binafsi kupunguza vita ya kuchonganishana kuzua taarifa za uongo badala yake wajikite kutoa elimu bora yenye ushindani ili kupata wanafunzi wengi Kupitia mahafari ya 14 ya kidato cha sita ambayo yalifanyika Katika Shule ya Ushirika wa wakulima - [Chuo chahamasisha maadili kwa vijana](https://habarileo.co.tz/chuo-chahamasisha-maadili-kwa-vijana/) - ‎BABATI: Waumini wa Dini ya Kiislamu Wilaya ya Babati mkoani Manyara wamesema kufunguliwa kwa chuo cha kiislamu cha malezi bora ya maadili kwa vijana kitasaidia kukuza ari ya kumcha Mungu kujenga maadili yatakayosaidia kudumisha amani na utulivu. ‎ ‎Pia kurekebisha tabia zisizofaa kwa jamii ikiwemo uvunjifu wa amani na ukatili wa kijinsia. ‎ ‎Hayo yameelezwa - [Serikali Yatenga Bil.4.2 Tuzo ya Uandishi](https://habarileo.co.tz/serikali-yatenga-bilioni-4-2-kwa-tuzo-ya-uandishi/) - SERIKALI imeendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu, ambapo jumla ya shilingi bilioni 4.2 zimetengwa katika kipindi cha miaka minne tangu kuanzishwa kwake. - [Vijana wataka amani ilindwe](https://habarileo.co.tz/vijana-watakiwa-kulinda-amani-ya-nchi/) - TANZANIA ina jumla ya vijana zaidi ya milioni 21 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35, sawa na takribani asilimia 34.5 ya Watanzania wote, kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022. - [Mbunge ataka internship ipanuliwe](https://habarileo.co.tz/mbunge-ataka-internship-ipanuliwe/) - MBUNGE wa Viti Maalumu, Selina Kingalame, ameishauri Serikali kuanzisha mfumo wa elimu kwa vitendo (internship) kwa kada mbalimbali za elimu, kama ilivyo kwa taaluma ya utabibu. Amesema hatua hiyo itasaidia kupunguza changamoto ya ajira kwa wahitimu wengi, kwani uzoefu wa kazi umekuwa kigezo muhimu kinachotumika wakati wa kuomba ajira. - [Wajumbe jukwaa la ushindani wapewa maagizo](https://habarileo.co.tz/wajumbe-jukwaa-la-ushindani-wapewa-maagizo/) - DAR ES SALAAM: WAJUMBE wa Baraza la Ushindani Afrika wametakiwa kuja na suluhisho la kupata bidhaa bora kwa bei nafuu kupitia ushindani wa haki na kuleta faida kwa wananchi. Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo alipozungumza na waandishi wa habari katika jukwaa la Ushindani Afrika lililofanyika jana Aprili 13, - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-137/) - “Kisima cha maji” Breakdown: Kisima = well (a deep hole dug into the ground to access water) Cha = of Maji = water Full meaning: A water well is a hole or structure dug into the ground to reach underground water, which people use for drinking, washing, or irrigation. Example in a sentence: Watu wanachota - [Ubomoaji Kikwajuni waanza kupisha mradi wa Infinity Hills](https://habarileo.co.tz/ubomoaji-kikwajuni-waanza-kupisha-mradi-wa-infinity-hills/) - Zanzibar: Ubomoaji umeanza katika eneo la Kikwajuni lililotengwa kwa ajili ya mradi wa matumizi mchanganyiko wa Infinity Hills, ikiwa ni hatua muhimu baada ya kukamilika kwa malipo ya fidia kwa wakazi wa eneo hilo. Mwekezaji, Infinity Developments, amethibitisha kuwa fidia yenye thamani ya mabilioni ya shilingi imeshalipwa kwa wakazi walioathirika, na hivyo kufungua njia kwa - [Mwenge wa Uhuru wazindua miradi ya bil 51.8 Ilala](https://habarileo.co.tz/mwenge-wa-uhuru-wazindua-miradi-ya-bil-51-8-ilala/) - MWENGE wa Uhuru umewasili jijini Dar es Salaam ukitokea Mkoa wa Kaskazini Unguja na kuanza mbio zake katika Wilaya ya Ilala, ambapo umetembelea, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi saba yenye thamani ya shilingi bilioni 51.8. - [Sekta za fedha zapongezwa kuwawezesha wanawake kiuchumi](https://habarileo.co.tz/sekta-za-fedha-zapongezwa-kuwawesha-wanawake/) - WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameipongeza Benki ya CRDB kwa mchango wake mkubwa katika kuwainua wajasiriamali nchini kupitia utoaji wa elimu ya fedha na fursa za mitaji, hatua inayosaidia kukuza uchumi jumuishi na endelevu. - [Dk Gwajima akemea uzushi kupotea kwa nyeti](https://habarileo.co.tz/dk-gwajima-akemea-uzushi-kupotea-kwa-nyeti/) - DAR ES SALAAM: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima, amekemea vikali uzushi unaosambaa kuwa mwanaume akishikwa begani hupoteza sehemu zake za siri, akieleza kuwa taarifa hizo ni za uongo mtupu na upotoshaji. Ametoa kauli hiyo katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto Anayeishi na Kufanya Kazi Mtaani - [TSN yatoa majaji wawili kati ya 12 Tuzo za EJAT](https://habarileo.co.tz/tsn-yatoa-majaji-wawili-kati-ya-12-tuzo-za-ejat/) - WATUMISHI wawili wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) wameteuliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kuwa majaji wa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) makala ya 16. - [Wanawake vyombo vya ulinzi Manyara watakiwa kujiweka sawa kiuchumi](https://habarileo.co.tz/wanawake-vyombo-vya-ulinzi-manyara-watakiwa-kujiweka-sawa-kiuchumi/) - MANYARA: WANAWAKE wa vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Manyara wamejengewa uwezo katika kusimamia vizuri malezi na makuzi ya familia zao na kujiimarisha kiuchumi. ‎ ‎Mrakibu Mwandamizi wa Polisi ambaye ni Mkuu wa Polisi Wilaya ya Babati, Ernesta Mwambinga amesema lengo ni kujengea uwezo askari wa kike mkoani humo katika nyanja za kiuchumi, kiafya. - [Mangu aonya uvunjifu wa amani](https://habarileo.co.tz/mangu-aonya-uvunjifu-wa-amani/) - DAR ES SALAAM — Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi nchini, Ernest Mangu, ametoa wito kwa Watanzania kuepuka vitendo vya uvunjifu wa amani na badala yake kuendeleza mshikamano wa kitaifa, akisisitiza kuwa amani ni rasilimali muhimu kwa maendeleo ya nchi. Akizungumza katika mahojiano maalum yaliyochapishwa na gazeti la Uhuru, Mangu alisema kuwa ishara zozote - [Miriam Odemba: Serikali iweke nguvu sekta ya mitindo](https://habarileo.co.tz/miriam-odemba-serikali-iweke-nguvu-sekta-ya-mitindo/) - DAR ES SALAAM: MWANAMITINDO nguli Mtanzania, Miriam Odemba ameiomba Serikali kujizatiti kuunga mkono tasnia ya mitindo kwani inabeba sekta nyingi ikiwemo utalii. Miriam Odemba ametoa ombi hilo katika tukio maalumu la mitindo 'Muda Tanzanite Gala' lililowakutanisha wanamitindo mbalimbali Dar es Salaam jana. Akizungumza katika tukio hilo, Miriam ambaye alikuwa mgeni rasmi, alisema wanamitindo wengi wanapata - [Mazungumzo ya Marekani na Iran yavunjika bila makubaliano](https://habarileo.co.tz/mazungumzo-ya-marekani-na-iran-yavunjika-bila-makubaliano/) - Mazungumzo ya saa 21 kati ya Marekani na Iran yakivunjika bila makubaliano, yakihatarisha usitishaji vita na usalama wa usambazaji wa mafuta duniani. - [Taasisi za afya zatoa msaada vifaa tiba](https://habarileo.co.tz/taasisi-za-afya-zatoa-msaada-vifaa-tiba/) - ARUSHA: Taasisi ya Huduma za Afya ya Aga Khan, Tanzania (AKHST) shirika lililo chini ya Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), kupitia Mradi Mtambuka wa kupambana na saratani kwa Wanawake Afrika Mashariki (EA-CwCP), imetoa vifaa vya tiba ya kemikali vyenye thamani ya Sh milioni 55 ikiwa ni hatua ya kuunga mkono uanzishwaji wa huduma - [Tanzania mambo safi tuzo za utalii duniani](https://habarileo.co.tz/tanzania-mambo-safi-tuzo-za-utalii-duniani/) - DAR ES SALAAM: TANZANIA imeendelea kung’ara katika anga la kimataifa baada ya kuingiza vipengele 41 katika Tuzo za Utalii na Usafirishaji Duniani (World Travel Awards), hatua inayoimarisha nafasi yake kama moja ya vinara wa utalii barani Afrika. Akizungumza, leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Paulina - [Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima Nigeria](https://habarileo.co.tz/rais-samia-atunukiwa-shahada-ya-heshima-nigeria/) - DODOMA - Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Heshima kutoka Nasarawa State University, Keffi nchini Nigeria, kupitia hafla iliyofanyika kwa njia ya mtandao Aprili 11, 2026. Hafla hiyo imefanyika Ikulu ya Dodoma, ambapo Rais Samia alipokea heshima hiyo inayotambua mchango wake katika uongozi, maendeleo na masuala ya kijamii barani Afrika. - [Rasmi Afcon 2027 kuanza Juni 19](https://habarileo.co.tz/rasmi-afcon-2027-kuanza-juni-19/) - MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afri ka (AFCON 2027) inatarajiwa kuanza Juni 19 na kumalizika Julai 18, mwakani. Shirikisho la Soka Africa (CAF) limethibitisha hivi karibuni, ambapo michuano hiyo itaandaliwa kwa ushikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki; Tanzania, Kenya na Uganda. Hiyo ni mara ya kwanza kwa Afcon kuandaliwa kwa pamoja na mataifa - [Wajumbe wa Iran, Marekani wakutana na PM Pakistan](https://habarileo.co.tz/wajumbe-wa-iran-marekani-wakutana-na-pm-pakistan/) - ISLAMABAD, Pakistan — Ujumbe wa Iran umefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, jijini Islamabad, huku pia Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, akiendelea na mazungumzo yake na kiongozi huyo, kwa mujibu wa Ikulu ya Marekani. Ujumbe wa Iran unaongozwa na Spika wa Bunge Mohammad Bagher Qalibaf na unamjumuisha Waziri wa Mambo - [Mitaa yafungwa kabla ya mazungumzo Iran na Marekani](https://habarileo.co.tz/mitaa-yafungwa-kabla-ya-mazungumzo-iran-na-marekani/) - ISLAMABAD, Pakistan — Mitaa ya mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, ilikuwa tupu Jumamosi huku vikosi vya usalama vikifunga barabara kabla ya mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya Iran na Marekani yanayolenga kumaliza vita vilivyodumu karibu wiki sita. Mamlaka za Pakistan ziliwataka wakazi kubaki majumbani, hali iliyoufanya mji huo kuonekana kama umewekwa chini ya amri - [Makamu wa Rais wa Marekani awasili Islamabad](https://habarileo.co.tz/makamu-wa-rais-wa-marekani-awasili-islamabad/) - ISLAMABAD, Pakistan — Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, amewasili jijini Islamabad, Pakistan, kuongoza mazungumzo muhimu ya kusitisha vita kati ya Marekani na Iran. Mazungumzo hayo, yanayojulikana kama “mazungumzo ya Islamabad,” yanachukuliwa kuwa ya kiwango cha juu zaidi kati ya nchi hizo mbili tangu mwaka 1979, yakilenga kubadilisha sitisho la muda la mapigano kuwa - [Makamu wa Rais Iran: Mazungumzo yawezekana kwa masharti](https://habarileo.co.tz/makamu-wa-rais-iran-mazungumzo-yawezekana-kwa-masharti/) - TEHRAN — Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesema mazungumzo ya amani kati ya Iran na Marekani yanaweza kufikia makubaliano ikiwa Washington itafuata maslahi yake kwa kuzingatia sera ya “America First” ya Rais Donald Trump. Katika ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii, Aref alisema hakutakuwa na makubaliano iwapo upande wa Marekani - [Khamenei bado anapata nafuu, aendelea kuongoza maamuzi](https://habarileo.co.tz/khamenei-bado-anapata-nafuu-aendelea-kuongoza-maamuzi/) - TEHRAN — Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, anaendelea kupata nafuu baada ya kujeruhiwa vibaya usoni na miguuni, lakini bado anashiriki kikamilifu katika maamuzi makubwa ya kitaifa, vyanzo vimeeleza. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Khamenei, mwenye umri wa miaka 56, hajaonekana hadharani tangu mashambulizi ya anga ya Marekani na Israel mwanzoni mwa vita yaliyomuua - [Iran yakataa mazungumzo bila kusitishwa mapigano Lebanon](https://habarileo.co.tz/iran-yakataa-mazungumzo-bila-kusitishwa-mapigano-lebanon/) - ISLAMABAD, Pakistan — Iran imesema haitashiriki mazungumzo na Marekani bila kusitishwa kwa mapigano nchini Lebanon, ikisisitiza kuwa hali ya vita huko ni sehemu ya makubaliano ya sitisho la muda yaliyotangazwa hivi karibuni. Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, alisema Tehran haitakubali kuingia katika mazungumzo bila kusimamishwa kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, - [Israel yakataa kujadili sitisho la vita na Hezbollah](https://habarileo.co.tz/israel-yakataa-kujadili-sitisho-la-vita-na-hezbollah/) - WASHINGTON, Marekani — Israel imesema haitajadili sitisho la vita na kundi la Hezbollah wakati wa mazungumzo na maafisa wa Lebanon yatakayofanyika Marekani wiki ijayo. Balozi wa Israel, Yechiel Leiter, alisema mazungumzo hayo yatakuwa mwanzo wa majadiliano rasmi ya amani kati ya Israel na serikali ya Lebanon, licha ya kutokuwepo kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya - [Wasira: Nyerere aliandika kitabu kutetea wanawake](https://habarileo.co.tz/wasira-nyerere-aliandika-kitabu-kutetea-wanawake/) - DAR ES SALAAM — Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Hayati Julius Nyerere aliandika kitabu cha kutetea haki za wanawake akiwa Chuo Kikuu cha Makerere University, lakini hakikuchapishwa hadi alipofariki. Wasira alitoa kauli hiyo Aprili 10, 2026 katika kongamano la kumbukizi ya Mwalimu Nyerere lililofanyika Chuo cha Kumbukumbu ya - [Wadau wakutana kujadili mkakati AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/wadau-wakutana-kujadili-mkakati-afcon-2027/) - DAR ES SALAAM — Wadau kutoka taasisi mbalimbali za serikali na sekta binafsi wamekutana kujadili Mkakati wa Kitaifa wa maandalizi ya Mashindano ya AFCON 2027, katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umefanyika katika Hoteli ya Johari Rotana na umewakutanisha wadau muhimu kwa lengo la kuweka mwelekeo wa pamoja wa maandalizi ya Tanzania - [Wafanyabiashara Simu 2000 wapangiwa maeneo ya muda](https://habarileo.co.tz/wafanyabiashara-simu-2000-wapangiwa-maeneo-ya-muda/) - DAR ES SALAAM — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema wafanyabiashara wa soko la Simu 2000 Market wamepangiwa maeneo ya muda wakati ujenzi wa maduka zaidi ya 900 ukiendelea. Akizungumza na waandishi wa habari, Chalamila alisema zoezi la usafi katika soko hilo tayari limekamilika kufuatia maelekezo ya Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, - [Dar kitovu cha mafuta, bei hutegemea soko la dunia](https://habarileo.co.tz/dar-kitovu-cha-mafuta-bei-hutegemea-soko-la-dunia/) - DAR ES SALAAM — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema mkoa huo ni kitovu kikuu cha upokeaji wa mafuta nchini Tanzania, ukiwa na matanki 22, kati ya 26 yakijumuisha yaliopo Tanga na Mtwara. Amesema matanki hayo yana uwezo wa kuhifadhi jumla ya lita 1,346,000, hatua inayosaidia kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini. - [Kikwete aanza vyema juhudi za amani Sudan Kusini](https://habarileo.co.tz/kikwete-aanza-vyema-juhudi-za-amani-sudan-kusini/) - JUBA — Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameanza kuhuisha mchakato wa amani nchini Sudan Kusini baada ya kukamilisha ziara ya siku mbili jijini Juba. Akiwa Mwakilishi Maalum wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu, Kikwete alikutana na Rais Salva Kiir pamoja na viongozi wengine wa - [Wanaanga Artemis II watua salama kutoka mwezini](https://habarileo.co.tz/wanaanga-artemis-ii-watua-salama-kutoka-mwezini/) - MAREKANI — Wanaanga wanne wa ujumbe wa Artemis II wametua salama katika Bahari ya Pasifiki baada ya kukamilisha safari ya siku tisa kuuzunguka mwezi, ikiwa ni safari iliyowapeleka mbali zaidi na Dunia kuliko binadamu wowote katika historia ya hivi karibuni. Kwa mujibu wa NASA, chombo cha Orion kilikumbana na joto kali kilipoingia katika angahewa ya - [Chalamila awapatanisha waimbaji wa Injili](https://habarileo.co.tz/chalamila-awapatanisha-waimbaji-wa-injili/) - DAR ES SALAAM — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewapatanisha waimbaji wa muziki wa Injili Upendo Nkone na Martha Mwaipaja kufuatia mvutano wao uliokuwa ukiendelea na kujitokeza zaidi katika mitandao ya kijamii. Mkutano huo ulifanyika Aprili 10, 2026 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, ambapo Chalamila alisema aliamua kuingilia kati baada - [Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria](https://habarileo.co.tz/samia-kutunukiwa-shahada-ya-heshima-nigeria/) - DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kutunukiwa shahada ya heshima na Chuo Kikuu cha Nasarawa nchini Nigeria kupitia njia ya mtandao. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tukio hilo litafanyika Aprili 11, 2026 saa 7:00 mchana katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, na litakuwa likirushwa mubashara kupitia televisheni na mitandao ya kijamii. Kutunukiwa kwa shahada - [Kampuni ya mafuta yafurahishwa mfumo ulipaji kodi](https://habarileo.co.tz/kampuni-ya-mafuta-yafurahishwa-mfumo-ulipaji-kodi/) - DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Uingizaji na Usambazaji wa mafuta Jamii ya Petrol nchini ya 'MOIL Energies' imesema imefurahishwa kwa kuanzishwa kwa mfumo mpya wa ulipaji kodi ya nishati hiyo kabla ya kuyatoa vituoni na kwenda sokoni (BIL)kwa kiasi kikubwa umesaidia kudhibiti 'ujanja ujanja' uliokuwepo hapo awali Akizungumza Dar es Salaam Meneja Mkuu wa Kampuni - [Vijana wahitajika maonesho ya ubunifu](https://habarileo.co.tz/vijana-wahitajika-maonesho-ya-ubunifu/) - SHINYANGA: WAJASIRIAMALI 600 nchini wanatarajiwa kuonesha bidhaa zao mpya za ubunifu,kubadilishana ubora na kuuza huku vijana wanaochipukia wakiombwa kuhudhuria kujifunza zaidi kwa kile walichonacho ili kujiajiri na kunyanyua vipato vyao. Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Viwanda (SIDO), Mhandisi poresa Slyvester Mpanduji kwenye hafla fupi ya kutambulisha maonesho ya tano kitaifa - [Jaji Levira: Mipango IJA iendane na Dira 2050](https://habarileo.co.tz/jaji-levira-mipango-ija-iendane-na-dira-2050/) - TANGA: Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) ambaye pia ni Jaji wa Mahakama ya Rufani, Dk Mary Levira amesema kuwa chuo kina jukumu kubwa katika kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Pia ametoa wito kwa uongozi pamoja na watumishi kuhakikisha mipango ya Chuo inaendana na - [Dk Samia azindua minara 758, Airtel juu](https://habarileo.co.tz/dk-samia-azindua-minara-758-airtel-juu/) - DODOMA: Rais Dk Samia Suluhu Hassan amezindua minara 758 ya mawasiliano nchini, ikiwa ni hatua kubwa ya kuharakisha mageuzi ya uchumi wa kidijitali. Uzinduzi huo uliofanyika jijini Dodoma umeongeza au kuboresha huduma za mawasiliano kwa takriban wananchi milioni 8.5 katika vijiji 1,400. Katika hafla hiyo, serikali ilitoa tuzo kwa kampuni za mawasiliano zilizochangia upanuzi wa - [Ulega akoshwa na miradi 81 ya dharura](https://habarileo.co.tz/ulega-akoshwa-na-miradi-81-ya-dharura/) - MOROGORO: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameridhishwa na kazi kubwa iliyofanywa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), akiupongeza kwa usimamizi thabiti wa miradi 81 ya dharura iliyotekelezwa nchini. Miradi hiyo, iliyohusisha ujenzi wa madaraja na makalvati kupitia mpango maalum wa CERC, imeelezwa kuwa mfano wa mafanikio ya kitaifa katika kukabiliana na changamoto za miundombinu hususan - [Serikali yajenga Km 1,759 za barabara mipakani](https://habarileo.co.tz/serikali-yajenga-km-1759-za-barabara-mipakani/) - NAIBU Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya, amesema Serikali inaendelea kujenga barabara za usalama mpakani kwa kiwango cha changarawe ili kurahisisha shughuli za vyombo vya ulinzi na usalama katika doria mipakani. - [TESP yaimarisha mafunzo ya ualimu nchini](https://habarileo.co.tz/tesp-yaimarisha-mafunzo-ya-ualimu-nchini/) - KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amesema Serikali imepiga hatua kubwa katika kuimarisha mafunzo ya ualimu kupitia Mradi wa Kuendeleza Elimu ya Ualimu (TESP), uliolenga kuboresha ubora wa walimu na miundombinu katika vyuo vya ualimu 34 nchini. - [Zao la Kahawa kufufuliwa](https://habarileo.co.tz/serikali-yadhamiria-kufufua-kilimo-cha-kahawa/) - SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kufufua zao la kahawa nchini, ikilitambua kama “dhahabu ya kijani” kutokana na mchango wake katika kuinua uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla. - [Uchumi Afrika watajwa kushuka](https://habarileo.co.tz/uchumi-afrika-watajwa-kushuka/) - BENKI ya Dunia imeeleza kuwa ukuaji wa uchumi katika mataifa ya Afrika yaliyopo Kusini mwa Jangwa la Sahara unatarajiwa kupungua kutoka asilimia 4.4 hadi 4.1 mwaka 2026, kutokana na athari za vita vinavyoendelea Mashariki ya Kati. - ['Ushahidi ambao haujawasilishwa hautofanyiwa kazi'](https://habarileo.co.tz/ushahidi-ambao-haujawasilishwa-hautofanyiwa-kazi/) - DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande, amesema kazi za tume zinaongozwa na ushahidi uliowasilishwa ambao katika siku za mwisho kabla ya kuongezewa muda wa ziada, Watanzania zaidi wamekuwa wakiutoa hivyo kuamua kuchukua. Akizungumza Dar es Slaam, Jaji Chande, alisema watu ambao wana ushahidi, lakini hawauwasilishi - [Jaji Chande: Asisitiza tume iko huru](https://habarileo.co.tz/jaji-chande-asisitiza-tume-iko-huru/) - DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande, amesema tume hiyo ni huru kwa asili kuanzia sheria iliyoianzisha, viapo vya wajumbe na hakuna mtu anayewaamrisha chakufanya. Jaji Chande alifichua Tume anayoiongoza ina watu makini, ambao wanajua jambo lililotokea Oktoba 29 ni kubwa linalohitaji weledi katika kushughulikia. - [Tume ya Chande yafika mikoa 11 kuchunguza ghasia](https://habarileo.co.tz/tume-ya-chande-yafika-mikoa-11-kuchunguza-ghasia/) - DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande, amesema awali tume ilipanga kutembelea mikoa sita iliyoathiriwa zaidi na ghasia, lakini baadaye iliongeza wigo na kufikia mikoa 11 pamoja na wilaya 22 ili kujifunza kwa upana maeneo yaliyoathiriwa na yasiyoathiriwa. Amesema katika zoezi la kusikiliza wananchi, tume - [Tume yazungumzia ushiriki wa vijana kutoa ushahidi](https://habarileo.co.tz/tume-yazungumzia-ushiriki-wa-vijana-kutoa-ushahidi/) - DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande, amefafanua kuwa tume ilipokea maoni ya makundi mbalimbali, likiwemo kundi la vijana maarufu Gen Z, bodaboda, wamachinga, mamalishe na mengine kupitia jumuiya zao. Kuhusu Gen Z, alisema walikutana nao katika ngazi mbalimbali ikiwemo kupitia Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo - [Jaji Chande azungumzia safari ya utendaji wa tume](https://habarileo.co.tz/jaji-chande-azungumzia-safari-ya-utendaji-wa-tume/) - DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande, amezungumzia tume itamaliza kazi Aprili 24 na kutoongezewa tena muda, alijibu ndilo lengo kwa kuwa safari imefikia ukingoni. Akizumgumza Dar es Salaam, Jaji Chande alisema kazi kubwa iliyobaki ni kuendelea kupokea na kuchambua ushahidi wa mwisho, uandishi wa - [Uzunduzi wa minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano](https://habarileo.co.tz/uzunduzi-wa-minara-758-maunganisho-ya-mkongo-wa-mawasiliano/) - RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda mbalimbali ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Mawasiliano katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma kabla ya Uzinduzi wa minara 758, maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na kukabidhi Mkongo wa Mawasiliano Serikalini, tarehe 10 Aprili, 2026. - [Jaji Chande: Ripoti itawafariji waathirika Oktoba 29](https://habarileo.co.tz/jaji-chande-ripoti-itawafariji-waathirika-oktoba-29/) - DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande Jaji Chande amesema tume inaamini ripoti itakayotoka itawafanya waathirika wa ghasia za Oktoba 29, kujihisi wametendewa haki kwa kiasi kikubwa. “Tunataka ripoti ikitoka waathirika wa matukio ya Oktoba 29 wajione wamo ndani ya ripoti. Tunataka baada ya matokeo - [Jaji Chande awahimiza watanzania kutoa ushahidi](https://habarileo.co.tz/jaji-chande-awahimiza-watanzania-kutoa-ushahidi/) - DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande, amewataka Watanzania kutumia muda wa nyongeza kutoa ushahidi zaidi, kwa kuwa anatambua matumaini yao makubwa na jumuiya ya kimataifa kwa tume hiyo. Akizungumza Dar es Salaam, Jaji Chande pia alitaja sababu nne za tume kuomba muda wa nyongeza, - [Jaji Chande ataja sababu tume kuongezewa muda](https://habarileo.co.tz/jaji-chande-ataja-sababu-tume-kuongezewa-muda/) - DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya wakati na baada ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Jaji Mstaafu Othman Chande ametaja sababu nne za tume hiyo kuongezewa muda wa siku 21. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Chande alisema sababu ya kwanza ni - [Jaji Chande: Tume iko huru](https://habarileo.co.tz/jaji-chande-tume-iko-huru/) - DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amesema tume hiyo ni huru na inajitegemea. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Aprili 8, 2026, Jaji Chande amesema tume ipo - [Wito watolewa kukabili athari pombe haramu](https://habarileo.co.tz/wito-watolewa-kukabili-athari-pombe-haramu/) - DAR ES SALAAM: Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito wa kuwepo kwa hatua za pamoja na endelevu ili kukabiliana na tatizo la pombe haramu nchini, ikionya kuwa hali hii inaendelea kuhatarisha afya ya wananchi, uchumi wa taifa pamoja na mustakabali wa biashara halali. Kampuni hiyo imepongeza juhudi zinazoendelea za serikali katika kupambana na - [Ujenzi kongani ya viwanda 150 kuanza Bagamoyo](https://habarileo.co.tz/ujenzi-kongani-ya-viwanda-150-kuanza-bagamoyo/) - DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imetangaza kuanza rasmi kwa ujenzi wa kongani ya kisasa ya viwanda zaidi ya 150 Bagamoyo Eco Maritime City (BEMC), Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Akizungumza leo Aprili 9 jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa TISEZA, Gilead Teri, alisema mradi huo - [KCMC yasaka bilioni 2 kukamilisha ujenzi kituo cha moyo](https://habarileo.co.tz/107046-2/) - DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya Rufaa Kanda ya Kaskazini (KCMC) imeanzisha mchakato wa kukusanya shilingi bilioni 2.7 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa kituo kikubwa cha magonjwa ya moyo kitakachokuwa cha pili Tanzania baada ya JKCI. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Profesa Gileard Masenga, amesema taasisi hiyo ya moyo itawasaidia wananchi - [TBS yasisitiza viwango kulinda afya, usalama](https://habarileo.co.tz/tbs-yasisitiza-viwango-kulinda-afya-usalama/) - DAR ES SALAAM: Shirika la Viwango Tanzania (TBS) imesisitiza umuhimu wa matumizi ya viwango katika kuboresha ubora wa bidhaa na huduma, kuimarisha ushindani wa kibiashara na kulinda afya na usalama wa jamii. Hayo yamejiri wakati wa sherehe za kitaifa za maadhimisho ya Siku ya Viwango Afrika yaliyokwenda sambamba na utoaji wa tuzo kwa washindi wa - [CCM Tanga wapiga marufuku viongozi kulalamika](https://habarileo.co.tz/ccm-tanga-wapiga-marufuku-viongozi-kulalamika/) - CHAMA Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kimepiga marufuku tabia ya baadhi ya viongozi kulalamika badala ya kutatua changamoto za wananchi, kikiwataka kuchukua hatua za haraka na madhubuti kumaliza kero zinazowakabili wananchi. - [Tuzo ya Nyerere mshindi kunyakua mil10](https://habarileo.co.tz/tuzo-ya-nyerere-mshindi-kunyakua-milioni-10/) - WAANDISHI bunifu kutoka ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa kuchuana kuwania Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2026, huku mshindi akitarajiwa kujinyakulia hadi Sh milioni 10 pamoja na heshima ya kitaifa katika sekta ya fasihi. - [Taifa litapata vipaji Mac D marathon - Ngoka](https://habarileo.co.tz/taifa-litapata-vipaji-mac-d-marathon-ngoka/) - DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Mkoa wa Dar es Salaam (DAA), Amani Ngoka amesema kupitia mbio za ‘Mac D’ taifa linategemea kupata vipaji vipya kwa ajili ya mashindano mbalimbali ya kimataifa hapo baadaye. Mbio za ‘Mac D’ zitafanyika Julai 04, 2026 katika viwanja vya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) Kunduchi jijini - [Shilingi mil 165.5 kukamilisha barabara kwamwarabu](https://habarileo.co.tz/shilingi-mil-165-5-kukamilisha-barabara-kwamwarabu/) - NAIBU Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Dk. Festo Dugange amesema Serikali imetenga shilingi milioni 165.5 katika bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara ya kwa Mwarabu. - [KIbadeni awahimiza vijana kulinda amani](https://habarileo.co.tz/kibadeni-awahimiza-vijana-kulinda-amani/) - MCHEZAJI wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Simba, Abdallah Kibadeni ‘Mputa’, amewataka vijana kote nchini kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali badala ya kujihusisha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani ya nchi. - [JKCI kuanza kupandikiza moyo](https://habarileo.co.tz/jkci-kuanza-kupandikiza-moyo/) - TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza mchakato wa kuanzisha huduma za upandikizaji wa moyo nchini, hatua inayolenga kuboresha huduma za matibabu ya magonjwa ya moyo na kuiweka Tanzania katika ramani ya huduma za kibingwa duniani. - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-136/) - Kibanda cha mkaa Meaning (English)Kibanda cha mkaa means “a charcoal stall” or “a small hut/shop where charcoal is sold.”Kibanda = a small structure, hut, or stall (often temporary or simple).Mkaa = charcoal So together: a small place used for selling charcoal. Origin (Etymology)The phrase comes from Swahili word formation using noun classes: Ki- (noun class - [Serikali kuimarisha shule jumuishi, yakataza tozo holela](https://habarileo.co.tz/serikali-kuimarisha-shule-jumuishi-yakataza-tozo-holela/) - WAZIRI Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya shule nchini ili kuhakikisha inakuwa rafiki kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum. - [TPSF yandaa andiko athari bei za mafuta](https://habarileo.co.tz/tpsf-yandaa-andiko-athari-bei-za-mafuta/) - DAR ES SALAAM: Shirikisho la sekta binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa andiko la kisera pamoja na mapendekezo yanayolenga kukabiliana na athari za kupanda kwa bei za mafuta katika uzalishaji na uchumi kwa ujumla. Kupitia andiko hilo, TPSF inapendekeza hatua mahsusi za kisera zitakazosaidia kulinda biashara, kuimarisha uzalishaji wa viwanda, na kuhakikisha uchumi unaendelea kukua licha ya - [Kingu: Jengeni kituo cha mafuta](https://habarileo.co.tz/kingu-jengeni-kitu-cha-mafuta/) - MBUNGE wa Jimbo la Ikungi Kaskazini Elibariki Kingu amesema Serikali imechukua hatua za makusudi za kuhakikisha taifa linabaki salama katika upatikanaji wa mafuta. Akichangia hotuba ya makadirio na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2026/2027 mjini Dodoma,Kingu amesema Serikali inatakiwa iweke mikakati endelevu ya kupunguza mzigo mkubwa wa kwa watanzania hasa katika kipindi hiki cha matatizo ya mafuta. - [Wasuluhishi wa ndoa wapigwa msasa](https://habarileo.co.tz/wasuluhishi-ndoa-wapigwa-msasa/) - KAGERA: Wizara ya Katiba na Sheria imeanza kutoa mafunzo kwa Wajumbe wa Bodi za Usuluhishi wa migogoro ya ndoa, kufuatia ongezeko la kesi za talaka nchini. Akifungua mafunzo hayo leo Aprili 8, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Franklin Rwezimula amesema mafunzo hayo yameanzia mkoani Kagera ili kutoa mbinu mpya za usuluhishi - [Rais Museveni, Kikwete wakutana Uganda](https://habarileo.co.tz/rais-museveni-kikwete-wakutana-uganda/) - UGANDA : RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika (AU) kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu. - [Bidhaa bandia za bil 4/- zanaswa, sasa kuteketezwa](https://habarileo.co.tz/bidhaa-bandia-za-bil-4-zanaswa-sasa-kuteketezwa/) - DAR ES SALAAM: Serikali imekamata na kuziondoa sokoni bidhaa bandia 99,100 zenye thamani ya Sh bilioni 4 zilizokuwa zikiuzwa kinyume cha sheria nchi nzima. Akizungumza leo Aprili 7 2026, Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga ametaja bidhaa hizo kuwa ni vipodozi, vyakula na vifaa vya umeme vya majumbani, huku ukisubiriwa utaratibu wa kuziteketeza. Waziri - [Tume ya uchunguzi yaongezewa siku 21](https://habarileo.co.tz/tume-ya-uchunguzi-yaongezewa-siku-21/) - DODOMA - Mamlaka ya Uteuzi nchini Tanzania imeongeza muda wa siku 21 kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ili kukamilisha kazi yake, na kuitaka iwasilishe ripoti kabla au ifikapo Aprili 24, 2026. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, nyongeza hiyo inalenga kuiwezesha Tume kukamilisha uchambuzi wa ushahidi, taarifa na maoni yaliyokusanywa, pamoja na - [Samia, Mwinyi kuongoza kumbukizi ya Karume leo](https://habarileo.co.tz/samia-mwinyi-kuongoza-kumbukizi-ya-karume-leo/) - RAIS Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi wanatarajiwa kuungana na viongozi wakuu pamoja na wananchi leo katika eneo la Kisiwandui kwa ajili ya dua za kitaifa za kumuenzi Abeid Amani Karume aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964. - [Kumuenzi Karume ni wajibu wa kila mwananchi](https://habarileo.co.tz/kumuenzi-karume-ni-wajibu-wa-kila-mwananchi/) - KILA ifikapo Aprili 7, ya mwaka Zanzibar huadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Abeid Amani Karume. Siku hii hujumuisha matukio mbalimbali ikiwa ni pamoja na dua maalumu, na viongozi wa vyama na serikali kutembelea kaburi lake kisiwandui. - [Wapotoshaji habari mitandaoni sasa kukiona](https://habarileo.co.tz/wapotoshaji-habari-mitandaoni-sasa-kukiona/) - WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Protabas Katambi amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IJP), Camillus Wambura kuchukua hatua kali kwa wote wanaotoa taarifa za uzushi kupitia mitandao ya kijamii. - [Auawa akitaka kumshambulia paroko](https://habarileo.co.tz/auawa-akitaka-kumshambulia-paroko-kanisani/) - MKAZI wa Kijiji cha Kagunguli wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, Renatus Silivester ameuawa na wananchi baada ya kuingia ghafla katika Kanisa Katoliki wilayani Ukerewe kwa nia ya kumjeruhi paroko wakati waumini wakiendelea na Ibada ya Pasaka - [Pasaka inawakumbusha kuishi kwa upendo](https://habarileo.co.tz/106951-2/) - WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuwa pasaka ni kipindi muhimu kinachowakumbusha Watanzania kuishi kwa upendo, mshikamano na kudumisha amani katika jamii. Dk Mwigulu amesema hayo kwenye Tamasha la Pasaka la Mtoko na Christina Shusho lililofanyika Mlimani City Dar es Salaam. - [Latra kuanza kupokea maoni ya nauli kesho](https://habarileo.co.tz/latra-kuanza-kupokea-maoni-ya-nauli-kesho/) - MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kesho itaanza mchakato wa kupokea maoni ya wadau kuhusu uwezekano wa kufanya mapitio ya nauli za usafiri wa umma, baada ya kupanda kwa bei ya mafuta na wadau kulalamika kunachangia kuongezeka kwa gharama za uendeshaji kwa watoa huduma. - [Vyombo vya ulinzi vyatajwa nguzo muhimu ya amani nchini](https://habarileo.co.tz/vyombo-vya-ulinzi-vyatajwa-nguzo-muhimu-ya-amani/) - NAFASI ya vyombo vya ulinzi na usalama inaendelea kuwa mhimili muhimu katika kulinda amani na utulivu wa muda mrefu nchini. Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano, Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria, Esaka Mugasa amesema utulivu wa nchi unatokana na juhudi za pamoja za taasisi zinazofanya kazi chini ya mifumo ya kisheria iliyowekwa, ikiwemo Sheria ya Baraza la Usalama la Taifa. - [Viongozi wa dini wataka umoja, upendo, maadili, wakemea uovu](https://habarileo.co.tz/viongozi-wa-dini-wataka-umoja-upendo-maadili-wakemea-uovu/) - VIONGOZI wa dini yaKikristo wamewataka waumini wa dini hiyo na Watanzania kuenzi umoja na kuendelea kushikamana katika upendo na kutumia Sikukuu ya Pasaka kufufua yaliyo mema huku wakipinga matendo maovu. - [Serengeti Girls inalitaka Kombe la Dunia](https://habarileo.co.tz/serengeti-girls-inalitaka-kombe-la-dunia/) - MONASTIR: TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Girls), imemaliza kambi yake ya mazoezi mjini Monastir kwa sare ya bila kufungana dhidi ya wenyeji wao Tunisia kwenye Uwanja wa MustaphaBen Jannet Monastir leo. Mechi hiyo ilikuwa ya pili kwa Serengeti Girls dhidi ya Tunisia, ya kwanza ilichezwa Machi - [Mbunge ataka umoja, mshikamano wanawake](https://habarileo.co.tz/mbunge-ataka-umoja-mshikamano-wanawake/) - DAR ES SALAAM: MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, Amina Said amewataka wanawake wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Mabibo kushikamana kwani wanawake ni kioo kwa jamii na wanamchango mkubwa kwa taifa na jamii kwa ujumla . Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam kwenye kongamano la Umoja wa Wanawake - [Ngorongoro kuwa darasa la waongoza watalii](https://habarileo.co.tz/ngorongoro-kuwa-darasa-la-waongoza-watalii/) - DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema msimu wa 11 wa mashindano ya waongoza watalii ya Safari Field Challenge utakuwa wa kipekee, ukitoa nafasi kwa washiriki kujifunza kwa vitendo utalii wa wanyamapori, historia na urithi wa eneo hilo. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Huduma na - [Wasanii wasisitizwa vyanzo vya mapato endelevu](https://habarileo.co.tz/wasanii-wasisitizwa-vyanzo-vya-mapato-endelevu/) - DAR ES SALAAM: WASANII wa filamu nchini wametakiwa kujikita kutafuta vyanzo endelevu vya mapato ili kujihakikishia maisha bora ya sasa na ya baadaye, huku wakihimizwa kuongeza ushindani wao katika soko la kimataifa. Hayo yameelezwa jijini Dar es Salaam na Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Mahudhui na Utangazaji wa Azam Media, Yahya Mohamed Kimaro, wakati wa uzinduzi - [Rais Samia mgeni rasmi mkutano mamalishe](https://habarileo.co.tz/rais-samia-mgeni-rasmi-mkutano-mamalishe/) - DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkubwa wa Mamalishe na Babalishe kutoka kote nchini utakaofanyika Aprili 11, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC). Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Mamalishe, Avijawa Omari, amesema kuwa - [Tanzania isiangukie mtego wa machafuko Afrika](https://habarileo.co.tz/tanzania-isiangukie-mtego-wa-machafuko-afrika/) - KATIKA kipindi ambacho sehemu mbalimbali za Afrika zinakumbwa na changamoto za migogoro, machafuko na mivutano ya kisiasa, Tanzania inaendelea kusimama kama mfano wa utulivu, mshikamano na uongozi wenye mwelekeo wa kujenga. - [HESLB yakusanya bil 60/- miezi mitatu](https://habarileo.co.tz/heslb-yakusanya-bil-60-miezi-mitatu/) - BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza mwaka 2026 kwa kasi ikivuka malengo kwa kukusanya zaidi ya Sh bilioni 60.83 za ukusanyaji wa marejesho ya mikopo kwa miezi mitatu mfululizo. - [Rais Samia apongezwa kuteua mpinzani](https://habarileo.co.tz/rais-samia-apongezwa-kuteua-mpinzani/) - WADAU wa siasa na wananchi wamewatwika mzigo wa majukumu viongozi wapya walioteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, wakiwataka watekeleze majukumu yao kwa weledi, uadilifu na kuweka mbele maslahi ya taifa badala ya binafsi. - [Viongozi wa dini wakataa migongano,vita](https://habarileo.co.tz/viongozi-wa-dini-wakataa-migonganovita/) - VIONGOZI wa dini ya Kikristo nchini wamewataka waumini wa dini hiyo kudumisha upendo, msamaha na kukataa migongano na vita. Wameeleza hayo katika ibada na misa za Ijumaa Kuu katika maeneo mbalimbali nchini wakisisitiza kumshukuru Mungu katika kukumbuka mateso ya Yesu Kristo. - [Umoja Ni Nguzo ya Amani](https://habarileo.co.tz/mwinyi-umoja-ni-nguzo-ya-amani-na-utulivu/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kulinda amani, umoja na mshikamano nchini, akihimiza wananchi kuondoa ubaguzi na kuimarisha upendo katika jamii. - [Tanzania yapiga hatua mifumo ya malipo kikanda](https://habarileo.co.tz/tanzania-yapiga-hatua-mifumo-ya-malipo-kikanda/) - MOROCCO: Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuunganishwa na mifumo ya malipo ya kikanda, hatua inayorahisisha upatikanaji wa huduma za kifedha ndani na nje ya nchi pamoja na kuchochea ukuaji wa uchumi. Akizungumza leo Aprili 3, 2026 jijini Tangier, nchini Morocco, wakati wa mjadala wa mawaziri - [Chege ahoji mfumo wa NEST, ataka maboresho](https://habarileo.co.tz/chege-ahoji-mfumo-wa-nest-ataka-maboresho/) - MBUNGE wa Rory, Jafari Chege amehoji Serikali kuhusu changamoto za utekelezaji wa mfumo wa manunuzi wa kielektroniki (NEST), licha ya mfumo huo kusaidia uwazi na usawa wa zabuni. - [Wakimbizi waliotoroka kambini kusakwa Kigoma](https://habarileo.co.tz/wakimbizi-waliotoroka-kambini-kusakwa-kigoma/) - SERIKALI mkoani Kigoma imetangaza kuanza operesheni maalum ya kuwasaka wahamiaji haramu wakiwemo wakimbizi wa Burundi wanaodaiwa kukimbia makambini na kuishi mtaani kinyume cha sheria za uhamiaji. - [TRA yakusanya tril 9.31/- miezi mitatu](https://habarileo.co.tz/tra-yakusanya-tril-9-31-miezi-mitatu/) - DAR ES SALAAM: Ushirikiano baina ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Walipakodi umetajwa kuwezesha Mamlaka hiyo kuandika historia mpya kwa kukusanya kiasi cha Sh trilioni 9.31 kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2025/26 sawa na ufanisi wa asilimia 106.4 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 8.75. Kwa mujibu wa taarifa - [Dk Rai aipongeza TRA utendaji saa 24](https://habarileo.co.tz/dk-rai-aipongeza-tra-utendaji-saa-24/) - MSIMAMIZI wa Bohari ya kuhifadhia Mafuta (DEPOT)ya MOIL ENERGIES Dk. Sajad Habib Rai ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa kuweka na kuanzisha utaratibu wa kufanya kazi kwa Saa 24 katika maeneo ya bohari wakidai utawasaidia kuongeza ufanisi katika utoaji wao huduma. Aidha akizungumzia kuhusu upatikanaji wa mafuta katika Bohari hiyo, Dkt Sajad ambaye pia ni - [TBS yahimiza ubora wa bidhaa](https://habarileo.co.tz/tbs-yahimiza-ubora-wa-bidhaa/) - WAWEKEZAJI na wazalishaji nchini wametakiwa kutumia huduma za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), hususan katika sekta ya vipimo, ili kuimarisha ubora wa bidhaa zinazozalishwa nchini. - [Fountain Gate yasaini dili nono na PigaBet](https://habarileo.co.tz/fountain-gate-yasaini-dili-nono-na-pigabet/) - DAR ES SALAAM; TIMU ya Fountain Gate imeingia mkataba wa miaka minne na kampuni ya michezo ya kubashiri ya PigaBet kuwa mdhamini mkuu ili kuimarisha ushindani kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa hafla hiyo Rais wa Fountain Gate, Japhet Makau alisema makubaliano hayo yana thamani ya zaidi ya shilingi - [Iran, Israel zazidisha mashambulizi ya makombora](https://habarileo.co.tz/iran-israel-zazidisha-mashambulizi-ya-makombora/) - MAPIGANO kati ya Iran na Israel yameendelea huku pande hizo zikishambuliana kwa makombora na droni. - [Vyombo vya Ulinzi na Usalama: Nguzo ya amani, utulivu na maendeleo ya taifa](https://habarileo.co.tz/vyombo-vya-ulinzi-na-usalama-nguzo-ya-amani-utulivu-na-maendeleo-ya-taifa/) - KATIKA muktadha wa maendeleo ya taifa lolote lile, amani, utulivu na usalama ni misingi isiyoweza kutenganishwa na ustawi wa jamii. Bila uwepo wa mazingira salama, ni vigumu kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii, kiuchumi na kisiasa. - [Waziri Kapinga: Kiwanda cha vifungashio kitachochea ajira](https://habarileo.co.tz/waziri-kapinga-kiwanda-cha-vifungashio-kitachochea-ajira/) - DAR ES SALAAM; WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema uanzishwaji wa kiwanda kipya cha kutengeneza vifungashio unaofanywa na Kampuni ya SBC Tanzania Ltd kutachochea ajira kwa vijana mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma. Waziri Kapinga ametoa kauli hiyo alipotembelea kiwanda cha Kampuni ya SBC Tanzania Ltd inayozalisha pia vinywaji vya Pepsi na - [Vodacom yajikita uchumi wa kidijiti](https://habarileo.co.tz/vodacom-yajikita-uchumi-wa-kidijiti/) - DAR ES SALAAM: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano Vodacom Tanzania imeendelea kujikita katikati kukuza uchumi kupitia maendeleo ya kidijiti kwa kutumia teknolojia bunifu kuongeza ujumuishwaji kifedha kwa Watanzania. Kampuni hiyo imedhihirisha hayo leo Aprili 2,2026 kupitia uwekezaji wa mabadiliko ya mifumo katika huduma zao za kifedha kwa njia ya simu yaani M-Pesa kwa kutoka katika - [Kapinga aipa FCC maagizo udhibiti bidhaa bandia](https://habarileo.co.tz/kapinga-aipa-fcc-maagizo-udhibiti-bidhaa-bandia/) - DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameiagiza Tume ya Ushindani (FCC) kuweka nguvu upya kuhusu udhibiti wa bidhaa bandia sokoni. - Pia ameitaka tume hiyo kuweka mifumo na njia bora za kupokea malalamiko kutoka kwa mlaji wa mwisho wa bidhaa au huduma ili kuongeza ufanisi na ulinzi. - Kapinga ametoa maagizo - [Uzinduzi Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 Pemba](https://habarileo.co.tz/uzinduzi-mbio-za-mwenge-wa-uhuru-2026-pemba/) - MATUKIO ya picha mbalimbali za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru katika uwanja wa Gombani Stadium Kisiwani Pemba. Tukio ambalo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi - [Mwinyi azindua mbio za mwenge 2026](https://habarileo.co.tz/mwinyi-azindua-mbio-za-mwenge-2026/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, amezindua Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 na kuwataka Watanzania kuendelea kulinda amani, kudumisha umoja na kuimarisha uzalendo kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. - [Tabora yadhibiti watoto wa mitaani](https://habarileo.co.tz/tabora-yadhibiti-watoto-wa-mitaani/) - ZAIDI ya watoto 20 wa mitaani katika Halmashauri ya Wilaya ya Tabora wamebainika na kupatiwa msaada kupitia juhudi za Serikali za kukabiliana na changamoto hiyo. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Tabora Upendo Wella wakati wa ziara yake katika Kituo cha Kulea Watoto cha Igambiro alipotoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalumu wakiwemo yatima. - [Tume ya mipango, wadau wa maendeleo wakutana Dar](https://habarileo.co.tz/tume-ya-mipango-wadau-wa-maendeleo-wakutana-dar/) - TUME ya Taifa ya Mipango imefanya mazungumzo na wadau wa maendeleo jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa maendeleo na kuendeleza mahusiano ya kimkakati. - [Uwekezaji waimarika Tanzania robo ya kwanza](https://habarileo.co.tz/uwekezaji-waimarika-tanzania-robo-ya-kwanza/) - DAR ES SALAAM: Hali ya uwekezaji nchini imeendelea kuimarika katika kipindi cha Januari hadi Machi 2026, ikichochewa na mazingira rafiki ya biashara, uboreshaji wa miundombinu na utulivu wa kisiasa. Hayo yameelezwa aprili 02 Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri, miradi ya uwekezaji - [TRA Dodoma yawafariji wenye uhitaji](https://habarileo.co.tz/tra-dodoma-yawafariji-wenye-uhitaji/) - DODOMA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imetembelea kaya za watu wenye ulemavu wa macho kwa lengo la kutoa faraja, upendo na kuwajengea matumaini kuelekeza sikukuu za pasaka. Ziara hiyo fupi imefanyika leo Aprili 2,2026 katika eneo la Matembebora wilayani Chamwino ikiongozwa na Meneja wa TRA Mkoa wa Dodoma, Pendolake Elinisafi akiongozana na - [Serikali yaokoa watoto 5,353 mitaani](https://habarileo.co.tz/serikali-yaokoa-watoto-5353-mitaani/) - WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imea imefanikiwa kuwaokoa watoto 5,353 wanaoishi na kufanya kazi mitaani nchini ikiwa ni sehemu ya jitihada za kukabiliana na changamoto hiyo inayoathiri ustawi wa watoto. - [TTFC Yaitaka Serikali Kudhibiti Tumbaku](https://habarileo.co.tz/ttfc-yaitaka-serikali-kudhibiti-tumbaku/) - CHAMA cha Kudhibiti Tumbaku Tanzania (TTFC) kimeiomba Serikali kupeleka bungeni muswada wa sheria ya kudhibiti matumizi ya tumbaku ili kupunguza madhara ya kiafya yanayosababishwa na bidhaa hiyo. - [Serikali yaahidi suluhisho kupanda mafuta](https://habarileo.co.tz/serikali-yaahidi-suluhisho-kupanda-mafuta/) - KUPANDA kwa bei ya mafuta nchini kumesababisha ongezeko la nauli za usafiri mkoani Kilimanjaro, hali ilivyowaathiri abiria na watoa huduma za usafiri. - [Rais Samia azungumza wagombea vyama vya siasa](https://habarileo.co.tz/rais-samia-azungumza-wagombea-vyama-vya-siasa/) - RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Wagombea wa Nafasi ya Urais na Wagombea Wenza kutoka vyama vya Siasa 16 vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi Oktoba, 2025. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu jijini Dar es Salaam tarehe 31 Machi, 2026. - [CCM yawapa pole serikali ya Algeria](https://habarileo.co.tz/ccm-yawapa-pole-serikali-ya-algeria/) - KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdalla Hamid, amewasilisha salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Algeria, Liamine Zeroual. - [Maofisa Michezo wasisitizwa kuibua vipaji ngazi ya chini Arusha](https://habarileo.co.tz/maofisa-michezo-wasisitizwa-kuibua-vipaji-ngazi-ya-chini-arusha/) - ARUSHA: Maofisa michezo nchini wametakiwa kuhakisha wanasimamia vyema suala la kuibua vipaji kuanzia ngazi za chini ili kuweza kuwa na wanamichezo mahiri na imara. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Maofisa Maendeleo Michezo (TASOA) Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI ) Yusuph Singo amsema lipo - [Tanzania yajipanga kuongeza ushiriki FEASSSA](https://habarileo.co.tz/tanzania-yajipanga-kuongeza-ushiriki-feasssa/) - ARUSHA: Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Yusuph Singo amewaelekeza maofisa michezo nchi kuhakikisha ushiriki katika mashindano ya FEASSSA 2026 unaongeza idadi ya washiriki tofauti na awali. Mashindano ya vyama vya Michezo kwa Shule za Msingi na Sekondari kwa nchi za Afrika Mashariki (FEASSSA) yanatarajiwa kufanyika - [Mwigulu: Dira 2050 Ni Ajenda ya Taifa](https://habarileo.co.tz/mwigulu-dira-2050-ni-ajenda-ya-taifa/) - WAZIRI Mkuu Dk.Mwigulu Nchemba ameagiza kuanza mara moja utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050 kupitia Mpango na Bajeti ya Serikali, akisisitiza ushirikishwaji wa sekta binafsi na wadau wa maendeleo ili kuharakisha ukuaji wa uchumi jumuishi na shindani. - [Makonda mgeni rasmi Kitambi Noma Bonanza](https://habarileo.co.tz/makonda-mgeni-rasmi-kitambi-noma-bonanza/) - ARUSHA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Paul Makonda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la 10 la Kimataifa la Kitambi Noma litakalofanyika siku tatu na kuhitimishwa siku ya Pasaka. Bonanza hilo litashirikisha timu 20 kutoka mikoa saba ambapo timu tatu kati ya hizo ni kutoka nchini Kenya na litachezwa kuanzia Aprili 3, 4 na - [Uhifadhi wa Historia Kipaumbele Zanzibar](https://habarileo.co.tz/uhifadhi-wa-historia-kipaumbele-zanzibar/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kuweka mkazo katika uhifadhi na uimarishaji wa maeneo ya kihistoria kwa lengo la kulinda utamaduni na kukuza uchumi wa Zanzibar. - [Wabunge BLW waapishwa, wabainisha vipaumbele](https://habarileo.co.tz/wabunge-blw-waapishwa-wabainisha-vipaumbele/) - WABUNGE kutoka Baraza la Wawakilishi (BLW) wameapishwa leo jijini Dodoma na kuahidi kusimamia maslahi ya wananchi wa pande zote za Muungano kwa kuzingatia vipaumbele vya maendeleo. - [Serikali yaongeza kasi elimu, afya na ajira](https://habarileo.co.tz/serikali-yaongeza-kasi-elimu-afya-na-ajira/) - SERIKALI imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuimarisha sekta za elimu, afya na ajira kwa lengo la kukuza maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini. - [Viongozi wamuaga Lukuvi kwa heshima](https://habarileo.co.tz/viongozi-wamuaga-lukuvi-kwa-heshima/) - VIONGOZI mbalimbali wa Serikali, siasa na wananchi wamejitokeza kumzika aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi, katika kijiji cha Idodi, mkoani Iringa. - [Lukuvi Atakumbukwa kwa Mengi](https://habarileo.co.tz/lukuvi-atakumbukwa-kwa-mengi/) - WAZIRI Mkuu Dk.Mwigulu Nchemba, amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Isimani,William Lukuvi, atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika utumishi wa umma. - [Walioacha masomo wapata fursa mpya](https://habarileo.co.tz/walioacha-masomo-wapata-fursa-mpya/) - AGIZO la mwaka 2021 la Rais, Samia Suluhu Hassan, la kuruhusu wanafunzi waliokatisha masomo, wakiwemo waliopata ujauzito, kurejea na kuendelea na elimu, limeanza kuzaa matunda. - [Wakulima Monduli watetea umiliki ekari 47,000](https://habarileo.co.tz/wakulima-monduli-watetea-umiliki-ekari-47000/) - ARUSHA: Wakulima zaidi ya 160 wanaomiliki mashamba yenye jumla ya ekari 47,000 katika eneo la Loksale, wilayani Monduli mkoani Arusha, wamesisitiza kuwa wanamiliki ardhi hiyo kihalali baada ya kupewa hati rasmi na serikali. Wakulima hao wamesema kauli za baadhi ya wanasiasa, wakiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Isack Joseph, zinazowataja kuwa ni wavamizi si - [Mashindano ya Qur’an fainali Aprili 5](https://habarileo.co.tz/mashindano-ya-quran-fainali-aprili-5/) - MASHINDANO ya Tuzo za Kimataifa za Qur’an Tukufu yanatarajiwa kufikia kilele Aprili 5, huku washiriki kutoka mataifa 25 wakianza kuwasili nchini kushiriki tukio hilo la kidini. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Othman Kaporo amesema maandalizi yamekamilika na mapokezi ya washiriki yameanza, huku ujio wao ukitarajiwa kuendelea hadi Ijumaa. - [Mashindano ya Qur'an kutamatika Aprili 5](https://habarileo.co.tz/mashindano-ya-quran-kutamatika-aprili-5/) - DAR ES SALAAM: Mashindano ya Tuzo za Kimataifa za Qur’an Tukufu yanatarajiwa kufikia kilele chake Jumapili, Aprili 5, huku washiriki kutoka mataifa 25 wakianza kuwasili nchini kushiriki tukio hilo kubwa la kidini linaloendelea kupata umaarufu kimataifa. Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Othman Kaporo, amesema maandalizi ya mashindano hayo yamekamilika, na - [Polisi yakemea propaganda ajali mgodi Msasa -Geita](https://habarileo.co.tz/polisi-yakemea-propaganda-ajali-ya-mgodi-msasa-geita/) - JESHI la Polisi mkoani Geita limewatahadharisha wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Msasa wilayani Bukombe mkoani Geita kuepuka propaganda za uchochezi wa uvunjifu wa amani. Kauli ya Jeshi la Polisi inakuja kufuatia kusambaa wa taarifa za upotoshaji katika mitandao ya kijamii juu ya athari za ajali ya kuporomoka kwa maduara(mashimo) manne katika mgodi huo. Kamanda wa - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-135/) - Kizingiti cha mlango (Swahili → English) Meaning (Maana)“Kizingiti cha mlango” in English is called a “door threshold”or simply “threshold.”It is the bottom part of a doorway that you step over when entering or leaving a room or house. Origin (Asili ya neno) The word “kizingiti”comes from the Swahili verb “zingia”or “zingiti.” It carries the idea - [Fedha za SGR zaipa tuzo Tanzania](https://habarileo.co.tz/fedha-za-sgr-zaipa-tuzo-tanzania/) - SERIKALI ya Tanzania imeibuka mshindi wa tuzo ya kimataifa ya fedha za miundombinu kwa mwaka 2026, kufuatia mafanikio yake katika kupata mkopo wa masharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya Umeme (SGR). - [Ugomvi nyumbani, ugoni vyaongoza mauaji 2025](https://habarileo.co.tz/ugomvi-nyumbani-ugoni-vyaongoza-mauaji-2025/) - MIKOA ya Kagera, Singida na Dodoma imeibuka vinara wa matukio ya mauaji nchini kwa mwaka 2025, kwa mujibu wa takwimu mpya za Jeshi la Polisi. - [CAG: Hati 1,326 zinaridhisha](https://habarileo.co.tz/cag-hati-1326-zinaridhisha/) - MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema kuwa mwenendo wa hati za ukaguzi kwa mashirika na taasisi za serikali umeendelea kuimarika, ambapo hati 1,326 kati ya 1,339 zimeridhisha. - [TAKUKURU Yaokoa Sh Bilioni 14.5](https://habarileo.co.tz/takukuru-yaokoa-sh-bilioni-14-5/) - TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema imefanikiwa kuokoa shilingi bilioni 14.5 kupitia operesheni mbalimbali za uchunguzi. Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Crispin Chalamila, ameeleza hayo Ikulu, Dar es Salaam, alipokuwa akimkabidhi Rais Samia Suluhu Hassan taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo kwa mwaka 2024/2025. - [Tanzania kuwa kitovu uzalishaji viwandani Afrika](https://habarileo.co.tz/tanzania-kuwa-kitovu-uzalishaji-viwandani-afrika/) - DODOMA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amesema Tanzania ina utajiri wa rasilimali za madini ya chuma aina ya vanadiamu na titaniamu, ambayo yatachimbwa na kusindikwa hapa nchini ili kutosheleza mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchi. Balozi Salum amezungumza hayo leo Machi 30, 2026, jijini Dodoma wakati - [Serikali yawekeza trilioni 6 barabara,madaraja](https://habarileo.co.tz/trilioni-6-zawekezwa-kwenye-miradi-mikubwa-barabaramadaraja/) - SERIKALI imeongeza kasi ya uwekezaji katika miundombinu ya barabara na madaraja nchini, ikiwekeza zaidi ya Shilingi trilioni 6 katika miradi mikubwa 79 inayoendelea kutekelezwa, hatua inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi, kurahisisha usafiri na kuimarisha biashara za ndani na kikanda. - [SMZ kuongeza thamani zao la mwani](https://habarileo.co.tz/smz-kuongeza-thamani-zao-la-mwani/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea na mikakati mbalimbali ya kuhakikisha zao la mwani linaongezewa thamani ili kuwanufaisha wakulima wake. - [Shule 19 zapatiwa vifaa vya Tehama](https://habarileo.co.tz/shule-19-zapata-vifaa-vya-tehama/) - SHULE 19 za msingi na sekondari katika mikoa tisa nchini zimepokea vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya Shilingi milioni 769, hatua inayotarajiwa kuboresha ufundishaji wa masomo ya sayansi na teknolojia pamoja na kuongeza uelewa wa wanafunzi kupitia ujifunzaji wa vitendo. - [Masauni ataka NEMC ipewe helkopta, awaonya wanaochafua mazingira ](https://habarileo.co.tz/masauni-ataka-nemc-ipewe-helkopta-awaonya-wanaochafua-mazingira/) - DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Rais; Muungano na Mazingira, Hamad Yusuf Masauni, amesema Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linatakiwa kupatiwa vitendea kazi vya kisasa kama helkopta pamoja na drones kwaajili ya kufanikisha utendaji kazi wao. Masauni amesema hayo leo machi 30, 2026, katika kilele cha - [Teknolojia kuchangia mapinduzi ya elimu](https://habarileo.co.tz/prof-nombo-teknolojia-ni-msingi-wa-elimu-bora/) - KATIBUMkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amesema kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo inaendelea kuimarisha sekta ya elimu nchini kupitia matumizi ya teknolojia za kidijitali. - [Mshindi wa mil 10/- aahidi kujenga msikiti](https://habarileo.co.tz/mshindi-wa-mil-10-aahidi-kujenga-msikiti/) - DAR ES SALAAM: Mshindi wa hundi ya Sh milioni 10 Umriya Omari amesema fedha hizo atazielekeza katika ujenzi wa kujenga Msikiti. Amesema msikitini ambao alishaanza kujenga na sasa anaenda kukamilisha ujenzi wa msikiti aliouanza kupitia pesa za ushindi. Akizungumza na habari leo baada ya kushinda Umriya Omari amesema anafurahia ushindi huo kwakuwa umekuja kwa wakati - [Samia: Tudhibiti ubadhirifu wa fedha za umma](https://habarileo.co.tz/samia-tudhibiti-ubadhirifu-wa-fedha-za-umma/) - RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kusisitiza uzingatiaji wa sheria katika shughuli zake ili kudhibiti mianya ya ubadhirifu wa fedha za umma. - [TRA yasisitiza makadirio kwa wakati](https://habarileo.co.tz/tra-yasisitiza-makadirio-kwa-wakati/) - DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amewataka walipakodi ambao bado hawajafanyiwa makadirio ya kodi kwa nchi nzima kutumia siku mbili zilizosalia kufanya makadirio yao kabla ya kufika kwa muda wa mwisho wa kufanya makadirio ambao ni Machi 31, 2026. Akizungumza na baadhi ya walipakodi pamoja na waandishi wa - [Wanolewa kukabili uhalifu wa mazingira](https://habarileo.co.tz/wanolewa-kukabili-uhalifu-wa-mazingira/) - DAR ES SALAAM: Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Italia ( Sant’Anna School of Advanced Studies -Scuola) wanatoa mafunzo ya siku tatu kwa maofisa wa mahakama na waendesha mashtaka wa Tanzania ili kukabiliana na uhalifu wa mazingira na kuimarisha ushirikiano. Mafunzo hayo yamefadhiliwa na Wizara ya Mambo ya - [DC Kinondoni aisifu kampuni ajira kwa vijana](https://habarileo.co.tz/dc-kinondoni-aisifu-kampuni-ajira-kwa-vijana/) - DAR ES SALAAM: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya Dough Works Ltd umesaidia kuiunga mkono serikali kwa kuwapa vijana ajira zaidi ya 800 jambo ambalo limesaidia kukua kwa uchumi katika wilaya hiyo. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa mgahawa wake katika eneo la - [Walioathirika mafuriko wapatiwa msaada wa vyakula](https://habarileo.co.tz/walioathirika-mafuriko-wapatiwa-msaada-wa-vyakula/) - MANYARA: WATU zaidi ya 1,163 walioathirika na mafuriko baada ya nyumba zao kusombwa na maji katika Tarafa ya Moipo Wilaya ya Simanjiro mkoani Arusha, wamepatiwa msaada wa vyakula vya Sh milioni 20 na kampuni ya kuchimba madini ya Permanet Mineral. Akipokea msaada huo Machi 29, Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Fakii Lulandana ameishukuru kampuni hiyo - [Serikali yathibitisha hakuna vifo mgodi uliotitia Geita](https://habarileo.co.tz/serikali-yathibitisha-hakuna-vifo-mgodi-uliotitia-geita/) - JESHI la Polisi mkoani Geita limethibitisha kuwa hakuna madhara ya binadamu yaliyotokana na ajali ya kutitia kwa maduara manne ya uchimbaji madini katika mgodi wa Msasa, wilayani Bukombe mkoani humo. - [Wanawake 39.5% wamekutana na ukatili kijinsia](https://habarileo.co.tz/wanawake-39-5-wamekutana-na-ukatili-kijinsia/) - DAR ES SALAAM: Serikali imesema ukatili wa kijinsia unaendelea kuwa moja ya changamoto kubwa za haki za binadamu nchini, huku takwimu za kitaifa zikionesha kuwa asilimia 39.5 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 wamewahi kukumbwa na ukatili wa aina mbalimbali, ikiwemo wa kimwili, kihisia na kingono kutoka kwa wenza wao. Aidha, - [Kill Marathon 2026 yatikisa Moshi](https://habarileo.co.tz/kill-marathon-2026-yatikisa-moshi/) - MOSHI: Moshi ilichangamka kwa mara nyingine tena huku maelfu ya wakimbiaji, mashabiki, na watazamaji wakikusanyika kushuhudia toleo la mwaka 2026 la Kilimanjaro Marathon. Mbio hizo zimekuwa moja ya majukwaa yenye nguvu zaidi kitaifa nchini Tanzania, yakileta pamoja michezo, utalii, utamaduni, na jamii kwa namna ya kipekee. Mbio za mwaka huu zilivutia ushiriki mkubwa kutoka kote - ['Karibu hapa ni nyumbani'](https://habarileo.co.tz/karibu-hapa-ni-nyumbani/) - DAR ES SALAAM: Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imemkaribisha rasmi Mkurugenzi Mtendaji mpya, CPA Prof. Siasa Issa Mzenzi, ambaye ameingia kwenye nafasi baada ya kustaafu kwa Mkurugenzi wa awali, CPA Pius Maneno. Prof. Sylvia Temu, Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, akizungumza wakati wa hafla ya kumkaribisha Prof. Mzenzi, amesema - [Madaktari wanawake 400 Afrika kukutana Zanzibar 2027](https://habarileo.co.tz/madaktari-wanawake-400-kukutana-zanzibar-2027/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na uongozi wa Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA) uliofika Ikulu, Zanzibar, leo Machi 30, 2026. - [Wanasiasa wanaimani Tume ya Jaji Chande](https://habarileo.co.tz/wanasiasa-wameleza-imani-yao-tume-ya-jaji-chande/) - BAADHI ya wanasiasa wameeleza imani yao kuwa majibu sahihi kuhusu chanzo cha vurugu zilizotokea Oktoba 29 mwaka jana yatapatikana kupitia Tume Huru ya Uchunguzi iliyoundwa na Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan. - [Serengeti girls ya motooo!](https://habarileo.co.tz/serengeti-girls-ya-motooo/) - MONASTIR: TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Girls), imeanza vyema kambi yake ya mazoezi kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tunisia kwenye Uwanja wa Mustapha Ben Jannet Monastir nchini Tunisia jana. Serengeti Girls imeweka kambi mjini Monastir nchini Tunisia kwa ajili ya maandalizi ya mechi za - [Utaratibu mpya TRA waharakisha usambazaji mafuta](https://habarileo.co.tz/utaratibu-mpya-tra-waharakisha-usambazaji-mafuta/) - DAR ES SALAAM: Utaratibu mpya wa kutoa mafuta kwenye vituo vya kuhifadhia mafuta ya dizeli na petroli kwenda sokoni uliowekwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), umetajwa kuharakisha utoaji wa mafuta kwenye vituo vya kuhifadhia kwenda sokoni. Utaratibu huo wa kikodi unawataka wamiliki wa mafuta hayo kuyalipia kodi kabla ya kuyaingiza sokoni ili yanapoingizwa sokoni - [Serikali yaeleza hali ya upatikanaji mafuta](https://habarileo.co.tz/serikali-yaeleza-hali-ya-upatikanaji-mafuta/) - DAR ES SALAAM: Serikali imeeleza kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta nchini bado ni shwari, huku bei zikiwa himilivu, ambapo mafuta yaliyopo yanatosheleza kwa kipindi cha miezi miwili hadi mitatu. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dk James Mataragio, wakati akitoa taarifa ya hali ya upatikanaji wa mafuta - [Mbunge aanzisha mfuko maalumu kusaidia wanafunzi Ngorongoro](https://habarileo.co.tz/mbunge-aanzisha-mfuko-maalumu-kusaidia-wanafunzi-ngorongoro/) - ARUSHA: Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Yannick ameanzisha mpango maalumu wa kuanzisha mfuko wa elimu utakaowanufaisha wanafunzi 280 kutoka wilayani Ngorongoro wanaotoka katika familia zisizo na uwezo wa kuwapeleka sekondari. Hatua hiyo ni katika kuunga mkono juhudi za Serikali kusukuma mbele ajenda ya elimu bure kuanzia darasa la awali hadi kidato cha sita. - [Mkumbo: Changamkieni matibabu bure](https://habarileo.co.tz/tanzania-yaandika-historia-mpya/) - DAR ES SALAAM:WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof,Kitila Mkumbo amewataka wananchi kuchangamkia kambi ya matibabu bure na ushauri wa kitabibu unaotolewa katika Kituo cha Biashara Cha Afrika Mashariki (EACLC) kwani ina lengo la kiwasaidia matibabu wananchi bila malipo. Hayo ameyasema jana wakati alipotembelea katika kituo hicho cha kibiashara ambapo kambi hiyo imeanza - [Wanafunzi 18 watua Korea kimasomo](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-18-watua-korea-kimasomo/) - DAR ES SALAAM :ZAIDI ya wanafunzi wa Kitanzania 18 wamepelekwa nchini korea kwa ajili ya masomo ikiwa ni matokeo ya uhusiano mzuri baina ya tanzania na korea ambao umedumu kwa miaka mingi Wakizungumza jijini Dar es Salaam katika Chuo cha United African University Of Tanzania (UAUT)mradi wa elimu ambao ni matokeo ya uwekezaji wa nchi - [UNCDF yaunga mkono matumizi nishati safi shuleni](https://habarileo.co.tz/uncdf-yaunga-mkono-matumizi-nishati-safi-shuleni/) - SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Mitaji (UNCDF) limesema kuwa linaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhakikisha zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2030. Mshauri Mkuu wa Kiufundi wa UNCDF, Peter Malika amesema baada ya shirika hilo kutoa majiko ya kisasa katika shule ya Msingi - [Madaktari 30 raia wa China kutoa huduma za afya bure Ubungo](https://habarileo.co.tz/madaktari-30-raia-wa-china-kutoa-huduma-za-afya-bure-ubungo/) - DAR ES SALAAM: Madaktari 30 kutoka China wanatarajiwa kuendesha kambi maalum ya siku mbili ya kutoa huduma za afya bure kwa wananchi wa Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam. Kambi hiyo itafanyika katika Kituo cha Biashara cha EACLC Machi 28 na 29, 2026, ikiwa na lengo la kuwasaidia wananchi kupata uchunguzi na matibabu ya - [Mbio zatoa hamasa AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/mbio-zatoa-hamasa-afcon-2027/) - ARUSHA: Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Yusuph Singo, ameipongeza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa maandalizi na mafanikio mazuri ya tukio la mbio za Arusha Night Jogging lililofanyika jijini Arusha. Arusha night Jogging ilibeba kauli mbiu ya “Utamaduni wetu fahari - [TET, taasisi kuboresha mitaala wanafunzi wenye mahitaji maalumu](https://habarileo.co.tz/tet-taasisi-kuboresha-mitaala-wanafunzi-wenye-mahitaji-maalumu/) - DAR ES SALAAM: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana na Jenga Hub chini ya Miss Tanzania 2006, Nancy Sumari, imeanza maboresho ya maudhui ya mitaala ya somo la hesabu kwa wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la tatu. Lengo kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalumu, hususan viziwi, wanapata fursa sawa ya kujifunza kupitia mbinu rafiki - ['Maadili ni msingi uongozi bora'](https://habarileo.co.tz/maadili-ni-msingi-uongozi-bora/) - MOROGORO: OFISI ya Rais ,Sekretarieti ya Maasili ya viongozi wa Umma imewataka viongozi kuzingatia misingi ya maadili kwenye utumishi wao kwani huimarisha imani ya wananchi kwa Serikali na taasisi zake kitendo kinachoongeza ushirikiano, utiifu wa sheria na mshikamano wa jamii. Kamishna wa Maadili katika Ofisi hiyo, Jaji Mstaafu, Sivangilwa Mwangesi amesema hayo kupitia hotuba ya - [Filamu yaibua mjadala haki za waafrika](https://habarileo.co.tz/filamu-yaibua-mjadala-haki-za-waafrika/) - KAMPUNI za Afric Media Group na Genesis Entertainment Agency kutoka Cameroon zimefanya leo onesho la makala fupi iitwayo Universal Justice Without Universality, inayolenga kuangazia masuala ya haki za kimahakama barani Afrika. - [Madaktari 30 kutoa huduma bure Ubungo](https://habarileo.co.tz/madaktari-30-kutoa-huduma-bure-ubungo/) - MADAKTARI 30 kutoka China wanatarajiwa kuendesha kambi maalum ya siku mbili ya kutoa huduma za afya bure kwa wananchi wa Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, mnamo Machi 28 na 29, 2026. Kambi hiyo itafanyika katika Kituo cha Biashara cha EACLC na inalenga kuwasaidia wananchi kupata uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali bila malipo. - [Wivu wa mapenzi wapelekea mauaji Igunga](https://habarileo.co.tz/wivu-wa-mapenzi-wapelekea-mauaji-igunga/) - MWANAUME mmoja anayefahamika kwa jina la Bunzali Jidola (30), mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu, Kata ya Mwamakona, Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, anadaiwa kumuua mtoto wake mchanga wa miezi miwili, - [Diarra : Afungiwa mechi 3 , faini milioni 4](https://habarileo.co.tz/diarra-afungiwa-mechi-3-faini-milioni-4/) - KIPAwa Young Africans SC, Djigui Diarra, amekumbana na adhabu ya kufungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya shilingi milioni nne kutokana na utovu wa nidhamu katika mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar FC uliopigwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. - [Wasira awaonya walioanza mbio za Urais](https://habarileo.co.tz/wasira-awaonya-walioanza-mbio-za-urais/) - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 akisema muda wa kufanya hivyo bado haujawadia. - [Umeme: Mkakati mpya kuanza Julai](https://habarileo.co.tz/matumizi-bora-nishati-ya-umeme-kuanza-julai/) - SERIKALI itaanza utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Ufanisi wa Nishati, Julai Mosi mwaka huu ili kuimarisha matumizi bora ya umeme na kupunguza gharama kwa watumiaji. - [Polisi wamkamata kijana kwa mauaji](https://habarileo.co.tz/kijana-atuhumiwa-kumuua-baba-yake-mbeya/) - JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Gilbert Edwin Mwabulesi (26), mkazi wa Kijiji cha Ibililo, Wilaya ya Rungwe, kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Edwin Mwabulesi (65), kwa kumpiga sehemu mbalimbali za mwili. - [Wakulima wazuiwa kuuza korosho nje](https://habarileo.co.tz/wella-apiga-marufuku-kuuza-korosho-nje-ya-tabora/) - MKUU wa Wilaya ya Tabora Upendo Wella, amepiga marufuku wakulima wa zao la korosho kuuza mazao yao nje ya mkoa huo, akiwataka kutumia mfumo wa stakabadhi ya ghala pamoja na minada ya kidijitali. - [Tozo 628 zapunguzwa kuinua biashara](https://habarileo.co.tz/tozo-628-zapunguzwa-kuinua-biashara/) - RAIS wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mazingira ya biashara nchini Tanzania yameendelea kuimarika kwa kiwango kikubwa kufuatia hatua za serikali kuondoa vikwazo vya kisheria na kikodi vilivyokuwa vikiwakwamisha wafanyabiashara. - [Watendaji watajwa kikwazo cha biashara](https://habarileo.co.tz/watendaji-serikalini-watajwa-kikwazo-cha-biashara/) - WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo amesema juhudi za kuboresha mazingira ya biashara nchini Tanzania zinakabiliwa na changamoto kubwa ya kubadili mitazamo ya watendaji wa serikali. - [TBL yaja na mpango kulinda rasilimaji za maji](https://habarileo.co.tz/tbl-yaja-na-mpango-kulinda-rasilimaji-za-maji/) - DAR ES SALAAM: Kiwanda cha Tanzania Breweries Limited (TBL) kimeweka mkakati wa kupunguza matumizi ya maji katika uzalishaji wa bia na kuhakikisha maji yote yanayotumika yanachakatwa kabla ya kurejeshwa kwenye mazingira. Mpango huo unalenga kulinda rasilimali za maji na viumbe hai, pamoja na kuhakikisha vyanzo vinaendelea kuwa salama na endelevu kwa manufaa ya kizazi cha - [DC Ileje asisitiza uwajibikaji malezi kwa watoto](https://habarileo.co.tz/dc-ileje-asisitiza-uwajibikaji-malezi-kwa-watoto/) - SONGWE: Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, leo Machi 26, 2026 ameongoza tukio la Siku ya Afya na Lishe katika kijiji cha Isongole, likilenga kuimarisha uelewa wa jamii kuhusu afya bora na lishe sahihi. Katika tukio hilo, wakina mama walipata elimu ya afya na lishe kutoka kwa wataalamu wa afya, huku watoto wakipata fursa - [Dola milioni 1.94 kulinda maji Wami - Ruvu](https://habarileo.co.tz/dola-milioni-1-94-kulinda-maji-wami-ruvu/) - KAMPUNI ya Coca-Cola Tanzania kwa kushirikiana na Umoja wa Kimataifa wa Uhifadhi wa Mazingira (IUCN) na Serikali kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imezindua mradi wa zaidi ya Dola milioni 1.94 zitakazotumika kurejesha vyanzo vya maji katika kidakio cha Ngerengere mkoani Morogoro. Mradi huo unaojulikana kama Uhifadhi wa Vyanzo vya maji kidakio cha - ['Muwe mabalozi wa amani'](https://habarileo.co.tz/wasira-amani-ya-ccm-ndiyo-msingi-wa-amani-ya-taifa/) - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira amewataka wanachama wa chama hicho kuwa mabalozi wa amani ndani na nje ya chama kwa kuepuka mivutano isiyo ya lazima. - [Mwinyi afungua fursa sekta ya anga](https://habarileo.co.tz/zanzibar-yafungua-fursa-mpya-ya-anga/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha sekta ya usafiri wa anga pamoja na kuendeleza mageuzi ya kidijitali ili kuvutia uwekezaji na kukuza uchumi. - [Filamu ya ICC kuzinduliwa Dar, yazua mjadala wa haki ya kimataifa](https://habarileo.co.tz/filamu-ya-icc-kuzinduliwa-dar-yazua-mjadala-wa-haki-ya-kimataifa/) - DAR ES SALAAM — Onyesho la filamu “Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu: Haki ya Kimataifa Bila Universali?” linatarajiwa kufanyika Machi 27 katika Hoteli ya Crowne Plaza jijini Dar es Salaam, likileta mjadala mpana kuhusu nafasi ya haki ya kimataifa barani Afrika. Filamu hiyo, iliyotengenezwa na mtayarishaji kutoka Guinea, Bakari Kante, tayari ilionyeshwa kwa mara ya - [Atiki Ally, mastaa wa Ulaya kuipambania Dar City kesho](https://habarileo.co.tz/atiki-ally-mastaa-wa-ulaya-kuipambania-dar-city-kesho/) - DAR CITY itaanza rasmi safari yake ya kusaka mafanikio kwenye michuano ya Basketball Africa League (BAL) Kalahari Conference kesho, itakapomenyana na Johannesburg Giants nchini Afrika Kusini. - [Wakusanya taarifa watakiwa kujisajili](https://habarileo.co.tz/wakusanya-taarifa-watakiwa-kujisajili/) - TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetoa onyo la mwisho kwa taasisi zote zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi kujisajili kabla ya Aprili 8, 2026 ikibainisha kuwa hatua kali za kisheria zitaanza kuchukuliwa kuanzia Aprili 9 mwaka huu. - [Wanu akutana na Watanzania 16 wanaosoma Afrika Kusini](https://habarileo.co.tz/wanu-akutana-na-watanzania-16-wanaosoma-afrika-kusini/) - Naibu Waziri Wanu aliambatana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, James Bwana pamoja na viongozi na waratibu wa Samia Scholarship Extended (SSE)........ - [Tanzania yazindua mfumo kidijitali kurahisisha biashara](https://habarileo.co.tz/tanzania-yazindua-mfumo-kidijitali-kurahisisha-biashara/) - SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi ripoti ya uchambuzi wa mifumo ya kidijitali ya utoaji huduma za biashara na udhibiti (CART.IS), ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupunguza urasimu na gharama za kufanya biashara. - [Tanzania, ATIDI kuendelea kuimarisha uwekezaji](https://habarileo.co.tz/tanzania-atidi-kuendelea-kuimarisha-uwekezaji/) - DAR ES SALAAM :TANZANIA inaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia ushirikiano wake na Shirika la Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Barani Afrika (ATIDI). Shirika hilo limekuwa likidhamini miradi mikubwa ya sekta ya umma na binafsi, ikiwemo reli ya kisasa (SGR) na miradi mingine yenye thamani ya takriban dola - [Mwongozo mpya BMUs kulinda rasilimali za uvuvi](https://habarileo.co.tz/mwongozo-mpya-bmus-kulinda-rasilimali-za-uvuvi/) - DODOM: WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Dk Bashiru Ally amezindua Mwongozo wa Kitaifa wa Usimamizi Shirikishi wa Rasilimali za Uvuvi Nchini (BMUs) ili kulinda rasilimali hizo ambazo ni muhimu katika kukuza uchumi na kuimarisha usalama wa chakula. Dk Bashiru alizindua mwongozo huo jana Machi 25, 2026 wakati akifunga mkutano wa siku mbili wa ngazi ya - [Wafanyabiashara marufuku kupandisha mafuta](https://habarileo.co.tz/serikali-yatoa-onyo-kali-kupandisha-mafuta/) - KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia James Mataragio leo amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala ya kuhifadhi mafuta yaliyopo Kurasini, jijini Dar es Salaam - [Serikali yasisitiza elimu kwa umma kuongeza ushiriki soko la mitaji](https://habarileo.co.tz/serikali-yasisitiza-elimu-kwa-umma-kuongeza-ushiriki-soko-la-mitaji/) - WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ametaka wadau kuimarisha elimu kwa umma kuhusu masoko ya mitaji na dhamana ili kuongeza uelewa na ushiriki. Balozi Omar aliyasema hayo wakati wa mahafali ya 5 ya kuhitimu kozi ya wiki sita ya uthibitisho wa Viwango vya Sekta ya Dhamana pamoja na sherehe ya tuzo ya Shindano la - [Dira 2050 yalenga kasi ya maendeleo](https://habarileo.co.tz/mwigulu-aeleza-mafanikio-ya-miaka-25/) - WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema Dira Mpya ya Taifa ya Maendeleo inatarajiwa kuanza kutumika hadi mwaka 2050, huku akiwahimiza wadau kuandaa vipindi vitakavyoelezea historia na hatua za maendeleo zilizofikiwa na Serikali ya Tanzania. - [Timu ya tenesi walemavu yaomba Mil 40](https://habarileo.co.tz/timu-ya-tenesi-walemavu-yaomba-mil-40/) - TIMU ya Taifa ya wachezaji wa tenesi kwa watu wenye ulemavu (Wheelchair Tennis) imeomba msaada wa Shilingi milioni 40 ili kufanikisha safari ya kushiriki mashindano ya kimataifa yatakayofanyika nchini Morocco kuanzia Machi 30 hadi Aprili 3, 2026. - [Jamii yahakikishiwa usalama chanjo ya polio](https://habarileo.co.tz/jamii-yahakikishiwa-usalama-chanjo-ya-polio/) - GEITA: SERIKALI imeihakikishia jamii mkoani Geita kuwa chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa polio ni salama na imethibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na Wizara ya Afya Nchini. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mkuu wa wilaya ya Geita Hashimu Komba ametoa taarifa hiyo katika uzinduzi rasmi wa chanjo ya polio katika - [Wanawake kupatiwa matiti bandia Muhimbili](https://habarileo.co.tz/wanawake-kupatiwa-matiti-bandia-muhimbili/) - WANAWAKE wanaokumbwa na changamoto ya kuondolewa matiti kufuatia ugonjwa wa Saratani ya Matiti sasa wanatarajiwa kunufaika na msaada wa matiti bandi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). - [Rais Samia: Taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri](https://habarileo.co.tz/rais-samia-taifa-limepoteza-kiongozi-shupavu-mahiri/) - DAR ES SALAAM — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi. Katika salamu zake za rambirambi, Rais Samia alisema Lukuvi alikuwa mtumishi wa umma mwenye uzoefu mkubwa aliyelitumikia taifa kwa uadilifu, weledi na kujitolea, huku mchango wake katika - [Spika Zungu aitisha kikao cha dharura](https://habarileo.co.tz/spika-zungu-aitisha-kikao-cha-dharura/) - SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi. - [Vijana 100 wanufaika FDC Sikonge](https://habarileo.co.tz/vijana-100-wanufaika-fdc-sikonge/) - SERIKALI chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kuleta mabadiliko chanya kupitia elimu ya ufundi stadi. Mafanikio hayo yanaonekana katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Sikonge kilichopo Tabora, ambapo takriban vijana 100 wamepata mafunzo ya fani mbalimbali ikiwemo umeme, ushonaji, uchomeleaji na ufundi bomba. - [Waziri Lukuvi afariki dunia](https://habarileo.co.tz/waziri-lukuvi-afariki-dunia/) - Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, William Vangimembe Lukuvi akiwa na umri wa miaka 70. - [Vangimembe Lukuvi: Jabali la Siasa Mbunge Mkongwe Aaga Dunia](https://habarileo.co.tz/vangimembe-lukuvi-jabali-la-siasa-mbunge-mkongwe-aaga-dunia/) - TANZANIA imepoteza mmoja wa wanasiasa wake wakongwe na waliolitumikia taifa kwa muda mrefu, William Vangimembe Lukuvi, aliyefariki dunia leo, Machi 25, 2026, katika Hospitali ya Dodoma. Kifo chake kimetangazwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kupitia tanzia kwa taifa, akimtaja Lukuvi kuwa kiongozi aliyelitumikia taifa kwa uaminifu, uzoefu na uzalendo wa hali ya juu. - [Tanzania, A. Kusini zaweka mkazo ufundishaji Kiswahili](https://habarileo.co.tz/tanzania-a-kusini-zaweka-mkazo-ufundishaji-kiswahili/) - Agosti 2022, nchi hizo mbili ambazo ni wanachama wa SADC zilitia saini makubaliano hayo kama sehemu ya juhudi za kukuza lugha hiyo na ushirikiano wa kikanda.... - [Watengeneza maudhui ya Kiswahili kulipwa](https://habarileo.co.tz/serikali-yaanza-kulipa-watengeneza-maudhui-ya-kiswahili/) - SERIKALI imesema imeanza mazungumzo na UNESCO pamoja na Meta Platforms ili kuhakikisha lugha ya Kiswahili inatambuliwa rasmi kwenye majukwaa ya kimtandao, hatua itakayowawezesha watengeneza maudhui kulipwa stahiki kulingana na kazi zao. - [Kifua Kikuu kinavyoathiriwa na migogoro ya Dunia](https://habarileo.co.tz/kifua-kikuu-kinavyoathiriwa-na-migogoro-ya-dunia/) - KILA mwaka ifikapo Machi 24, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kifua Kikuu, ikiangazia ugonjwa wa kifua kikuu (TB) unaoendelea kuwa kinara wa vifo miongoni mwa magonjwa ya kuambukiza. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, takwimu za mwaka 2024 zinaonesha kuwa watu milioni 10.7 waliambukizwa TB duniani, huku zaidi ya watu 1,230,000 wakipoteza maisha, wakiwemo 150,000 waliokuwa wanaishi na Virusi vya UKIMWI. - [Makakala: Nidhamu, uadilifu nguzo mafanikio uhamiaji](https://habarileo.co.tz/makakala-nidhamu-uadilifu-nguzo-mafanikio-uhamiaji/) - MOROGORO: KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji, Dk Anna Makakala amesema mafanikio ya idara hiyo yanatengemea kwa kiasi kikubwa nidhamu, uadilifu na uweledi wa watumishi wake Dk Makakala amesema hayo leo Machi 24, 2026 katika hotuba ya ufunguzi wa mkutano mkuu wa siku mbili wa Tawi la Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania ( TUGHE ) - [Malima aonya matumizi yasiyo sahihi vyandarua](https://habarileo.co.tz/malima-aonya-matumizi-yasiyo-sahihi-vyandarua/) - MOROGORO: MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaonya wananchi wa mkoa huo wanaotumia vyandarua kwa malengo tofauti zikiwemo kufugia kuku, kuzungushia bustani na kuvulia samaki badala ya matumizi sahihi ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa malaria. Malima ametoa onyo hilo wakati katika uzindua kampeni ya usambazaji na ugawaji wa vyandarua vyenye dawa uliofanyika - [Serikali yaimarisha upatikanaji mafuta Malawi](https://habarileo.co.tz/serikali-yaimarisha-upatikanaji-mafuta-malawi/) - DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi jirani ya Malawi, hatua inayochochea shughuli za kiuchumi na kuboresha maisha ya wananchi wa nchi hizo mbili. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua miundombinu ya mafuta katika Kituo cha Kurasini Oil Jet (KOJ-1), kilichopo katika bandarini hapo - [Mrajisi aviagiza vyama vya ushirika kutumia mizani za kidijiti](https://habarileo.co.tz/mrajisi-aviagiza-vyama-vya-ushirika-kutumia-mizani-za-kidijiti/) - Hata hivyo, Mrajisi amewataka wakulima kuhakikisha mazao yao yanapimwa kwa kutumia Mizani zilizounganishwa na Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU). - [Wananchi kuelimishwa taka kuwa fursa kiuchumi](https://habarileo.co.tz/wananchi-kuelimishwa-taka-kuwa-fursa-kiuchumi/) - DAR ES SALAAM: BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wadau wa mazingira, linatarajia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupunguza Taka “Taka Sifuri” kwa kutoa elimu kwa wananchi juu ya mbinu za kubadilisha taka kuwa malighafi au bidhaa - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-134/) - Meaning of “kiti mwendo” in English “Kiti mwendo”means wheelchair in English. A wheelchair is:a chair with wheels used by someone who cannot walk or has difficulty walking. Origin The phrase comes from two Swahili words: kiti = chair mwendo= movement So, it literally means “a moving chair”, which fits the idea of a wheelchair. Example - [Bil 2.6/- kukamilisha kituo cha afya Makere](https://habarileo.co.tz/bil-2-6-kukamilisha-kituo-cha-afya-makere/) - KIGOMA: KIASI cha fedha Sh bilioni 2.6 kitatumika kutekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Makere katika kijiji cha Makere Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Kukamilika kwa kituo hicho kutaondoa changamoto kwa wananchi wa kata hiyo kutegemea huduma za matibabu kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo wilayani humo. Meneja wa Wakala wa barabara - [Tanzania, Austria kuimarisha usalama, uhamiaji](https://habarileo.co.tz/tanzania-austria-kuimarisha-usalama-uhamiaji/) - DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Austria anayeshughulikia masuala ya siasa, Balozi Dk Hannah Liko, ambapo wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika masuala ya uhamiaji, fursa za ajira, usalama pamoja na masuala ya wakimbizi. Akizungumza baada ya - [Ulega aeleza mafanikio ujenzi](https://habarileo.co.tz/ulega-aeleza-mafanikio-ujenzi/) - DODOMA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa hadi kufikia Machi 2026 jumla ya Sh trilioni 1.319 zimetolewa kwa ajili ya miradi iliyoidhinishwa katika mwaka wa fedha 2025/2026. Ulega ameeleza hayo leo Machi 23 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa mpango na bajeti kwa mwaka wa - [TRA yazionya kampuni zinazokwepa kodi](https://habarileo.co.tz/tra-yazionya-kampuni-zinazokwepa-kodi/) - DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema TRA itaendelea kuwezesha biashara kwa kampuni kutoka nchini China na kushirikiana nayo katika masuala ya kodi huku akionya kampuni na wafanyabiashara wanaojihusisha na ukwepaji wa kodi. Akizungumza jijini Dar es Salaam Machi 23.2026 wakati wa Mkutano wa Kikodi kwa wafanyabiashara wa - [SMZ, TTCL kuimarisha mawasiliano Zanzibar](https://habarileo.co.tz/smz-ttcl-kuimarisha-mawasiliano-zanzibar/) - ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amelihakikishia Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) itaendelea kushirikiana nalo kuimarisha huduma za mawasiliano visiwani Zanzibar. Dk. Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Machi 23, 2026, alipokutana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TTCL, David - [MtumiajiApp kuboresha huduma za mawasiliano](https://habarileo.co.tz/mtumiajiapp-kuboresha-huduma-za-mawasiliano/) - WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amezindua mfumo wa kidijitali wa kuwahudumia watumiaji wa huduma za mawasiliano unaojulikana kama MtumiajiApp, ulioandaliwa na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA CCC). - [IEA : Tudhibiti mgogoro wa nishati](https://habarileo.co.tz/iea-uchumi-wa-dunia-uko-hatarini-kushuka/) - MKUU wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA), Fatih Birol ametahadharisha kuwa mgogoro unaoendelea wa nishati Mashariki ya Kati unaweza kushusha uchumi wa dunia ikiwa hali hiyo haitatatuliwa haraka. - [Mtoto ajinyonga kisa kukanywa na wazazi](https://habarileo.co.tz/mtoto-ajinyonga-kisa-kukanywa-na-wazazi/) - POLISI mkoani Morogoro wanachunguza kifo cha Rajabu Ally Mohammed (12), mtoto wa nyumbani na mkazi wa Ijava, Kata ya Italagwe, Wilaya ya Gairo aliyekutwa amejinyonga nyuma ya nyumba yao kwa kutumia mkanda wa suruali. - [Serikali yapanga kuongeza ndege kuchochea uchumi](https://habarileo.co.tz/serikali-yapanga-kuongeza-ndege-kuchochea-uchumi/) - CAPE TOWN: SERIKALI imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya ndege 24 ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usafiri wa anga na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa. Taarifa hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, kwa niaba ya Waziri - [Mafuriko yauwa watu 81](https://habarileo.co.tz/mafuriko-kenya-yauwa-watu-81/) - MAMLAKA ya Hali ya Hewa Kenya (KMD) imesema mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi imesababisha mafuriko makubwa na kusababisha vifo vya watu 81 ndani ya mwezi huu. - [TTCL kuimarisha huduma za mawasialiano Zanzibar](https://habarileo.co.tz/ttcl-kuimarisha-huduma-za-mawasialiano-zanzibar/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) David Nchimbi Ikulu Zanzibar. - [Zanzibar, Marekani kuimarisha ushirikiano](https://habarileo.co.tz/zanzibar-marekani-kuimarisha-ushirikiano/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz, na kufanya mazungumzo yaliyojikita katika kuimarisha ushirikiano kati ya Zanzibar na Marekani. - [Kida: Tafiti zisaidie kuimarisha uchumi](https://habarileo.co.tz/kida-tafiti-zisaidie-kuimarisha-uchumi/) - KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji anayeshughulikia Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dk. Tausi Kida amewataka watafiti nchini kuelekeza tafiti zao katika kutatua changamoto halisi za kiuchumi na kijamii ili kuchochea maendeleo jumuishi na endelevu. - [Waislamu watoa wito kudumisha maadili](https://habarileo.co.tz/waislamu-watoa-wito-kudumisha-maadili/) - DAR ES SALAAM: WAUMINI wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kuishi kwa kuzingatia maadili mema waliyojifunza katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, kwa kudumisha matendo mema na kujiepusha na maovu katika maisha yao ya kila siku. Wito huo umetolewa leo na Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Walid Alhad Omari, alipokuwa mgeni rasmi katika - ['Tumieni taarifa sahihi za hali ya hewa'](https://habarileo.co.tz/tumieni-taarifa-sahihi-za-hali-ya-hewa/) - KATIKA kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi zinazoendelea kuathiri maisha na uchumi, wananchi wametakiwa kuzingatia na kutumia taarifa sahihi za hali ya hewa ili kujikinga na majanga na kufanya maamuzi yenye tija katika shughuli zao za kila siku. - [Makonda ataka historia Dar City](https://habarileo.co.tz/makonda-ataka-historia-dar-city/) - DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameikabidhi bendera timu ya mpira wa kikapu ya Dar City na kuitaka kwenda kufanya vizuri katika michuano ya Afrika BAL Kalahari Conference 2026, akisema mafanikio yao yamefungua ukurasa mpya kwa mchezo huo nchini. Akizungumza leo wakati akiiaga timu hiyo inayokwenda Pretoria, Afrika Kusini, - [JKCI yazindua kampeni magonjwa yasiyoambukiza](https://habarileo.co.tz/jkci-yazindua-kampeni-magonjwa-yasiyoambukiza/) - DAR ES SALAAM: TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanzisha kampeni maalumu ya “Jua Namba Zako” katika kliniki ya Kariakoo, ikiwa na lengo la kuwahamasisha wananchi kupima na kutambua mapema magonjwa ya moyo pamoja na magonjwa yasiyoambukiza. Kupitia kampeni hiyo, wananchi wanapata fursa ya kupima viashiria muhimu vya afya ikiwemo presha ya damu, mapigo - [Kapinga ataja mafanikio ushirikiano Tanzania, China](https://habarileo.co.tz/kapinga-ataja-mafanikio-ushirikiano-tanzania-china/) - CHINA: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema kuwa mafanikio ya ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na China yanaendelea kuimarika kwa kasi ndani ya kipindi cha miaka minne iliyopita. Akizungumza leo Machi 22, 2026, katika ziara yake ya siku tatu nchini China, Kapinga amesema jumla ya miradi 876 ya uwekezaji kutoka China imetekelezwa - [Tanzania, Afrika Kusini kushirikiana usimamizi wa majanga](https://habarileo.co.tz/tanzania-afrika-kusini-kushirikiana-usimamizi-wa-majanga/) - JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea ofisi za Red Cross jijini Johannesburg, ambako alikutana na viongozi wakuu wa Southern African Red Cross Society akiwemo rais na katibu mkuu, na kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Afrika Kusini, hususan katika kuendeleza shughuli za kujitolea (voluntia) na kuimarisha mahusiano ya kimataifa. - [Watoto yatima Busara Orphanage wapewa tabasamu Eid El-Fitr](https://habarileo.co.tz/watoto-yatima-busara-orphanage-wapewa-tabasamu-eid-el-fitr/) - DAR ES SALAAM: Watoto yatima wapatao 30 kutoka kituo cha Busara Orphanage Center kilichopo Kibada, Kigamboni, wamepata fursa ya kipekee ya kusherehekea Sikukuu ya Eid baada ya kualikwa na uongozi wa Fun City jijini Dar es Salaam. Mwaliko huo ulikuwa na lengo la kuwapa watoto hao nafasi ya kufurahia sikukuu kama ilivyo kwa watoto wengine - [Mbunge Kyela akabidhi gari huduma za jamii](https://habarileo.co.tz/mbunge-kyela-akabidhi-gari-huduma-za-jamii/) - MBEYA: Mbunge wa Jimbo la Kyela, Baraka Mwamengo, amenunua gari lenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 50 na kulikabidhi kwa wananchi wa jimbo hilo kwa ajili ya huduma za kijamii, ikiwemo kusaidia wagonjwa na shughuli za misiba. - Akizungumza wakati wa kukabidhi gari hilo, Mwamengo amesema uamuzi wa kununua chombo hicho umetokana na changamoto - [TFS yapanda miti sekondari Shinyanga](https://habarileo.co.tz/tfs-yapanda-miti-sekondari-shinyanga/) - SHINYANGA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeeleza kupoteza hekta 4069 za misitu kwa mwaka Tanzania Bara huku wakielekeza kupanda miti ya aina mbalimbali 350 kwenye Shule ya Sekondari Wasichana Shinyanga Ofisa Misitu Mwandamizi ambaye ni Mkuu wa Operesheni Kanda ya Magharibi, Shadrack Msilu amesema hayo leo katika kuazimisha siku ya misitu duniani na - [Maandalizi Kill Marathon yaiva](https://habarileo.co.tz/maandalizi-kill-marathon-yaiva/) - MOSHI: Maandalizi ya Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2026 yamekamilika, huku jiji la Moshi likijaa washiriki na wageni kutoka nchi mbalimbali. Tukio litafanyika Jumapili, Machi 22, katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU), huku Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda akitarajiwa kushiriki kama mgeni rasmi. Mbio za mwaka huu zitahusisha - [Kihenzile akoshwa uwekezaji bandari ya Durban](https://habarileo.co.tz/kihenzile-akoshwa-uwekezaji-bandari-ya-durban/) - DURBAN: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea Bandari ya Durban iliyopo nchini Afrika Kusini, kwaajili ya kujionea utendaji na uwekezaji mkubwa katika bandari hiyo inayohesabika miongoni mwa bandari kuu za kontena barani Afrika. Bandari ya Durban ina jumla ya gati 58 zinazohudumia aina mbalimbali za mizigo ikiwemo makasha (containers), magari, mizigo ya kawaida (break - [Shemdoe ataka miradi inayozunguka uwanja AFCON ituzwe](https://habarileo.co.tz/shemdoe-ataka-miradi-inayozunguka-uwanja-afcon-ituzwe/) - ARUSHA: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Professa Riziki Shemdoe amesema kuwa fedha za mradi wa Sh bilioni 82.5 za ujenzi wa miundombinu ya barabara inayozunguka uwanja wa mpira utakaocheza mashindano ya Afrika (AFCON) ni fedha za mapato ya ndani hivyo wananchi wa Mkoa wa Arusha - [RC Mtaka atembelea TSN, ataja mikakati mipya](https://habarileo.co.tz/rc-mtaka-atembelea-tsn-ataja-mikakati-mipya/) - DAR ES SALAAM; Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, ametembelea Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) jijini Dar es Salaam kujadili ushirikiano wa kimawasiliano kuelekea Mei Mosi 2026. Ziara hiyo inalenga kutumia vyombo vya habari kufikisha kwa umma fursa za kiuchumi zilizopo Njombe, hususan katika sekta za uchumi wa kijani kama parachichi, chai na - [Watoto milioni moja kupatiwa chanjo ya polio Geita](https://habarileo.co.tz/watoto-milioni-moja-kupatiwa-chanjo-ya-polio-geita/) - JUMLA ya watoto 1,114,918 wenye umri chini ya miaka 10 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya matone ya polio mkoani Geita kupitia awamu ya kwanza ya utekelezaji wa kampeni ya chanjo hiyo. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita, Dk Omary Sukari ametoa taarifa hiyo hiyo katika hafla ya kutambulisha kampeni hiyo na kueleza awamu hiyo ya kwanza - [Ligi ya vijana Arumeru kuendelea kesho](https://habarileo.co.tz/ligi-ya-vijana-arumeru-kuendelea-kesho-2/) - ARUSHA: MZUNGUKO wa pili wa ligi ya vijana wenye umri chini ya miaka 11-13 wilayani Arumeru mkoani Arusha unaendelea kesho Machi 21 kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti. Ligi hiyo inaendelea kuwa chachu ya kukuza vipaji vya vijana huku ikiwapa nafasi ya kuonyesha uwezo wao na kufungua milango ya kuchezwa soka la ushindani katika - [Polisi yajipanga Sikukuu Eid Fitri](https://habarileo.co.tz/polisi-yajipanga-sikukuu-eid-fitri/) - JESHI la Polisi limesema limejipanga kuimarisha hali ya usalama wakati wa maadhimisho ya Eid al-Fitr nchini. Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, amesema hali ya usalama nchini ni shwari na maandalizi yamekamilika kuhakikisha wananchi wanasherehekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu. - [Dk Nchimbi: Tulinde Misitu](https://habarileo.co.tz/dk-nchimbi-misitu-ni-muhimu-kukuza-uchumi/) - MAKAMU wa Rais, Emmanuel Nchimbi amesema sekta ya misitu ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi, akibainisha kuwa sekta hiyo inachangia takribani asilimia 20 ya Pato la Taifa. Dk Nchimbi alitoa kauli hiyo wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani pamoja na kampeni ya kitaifa ya upandaji miti iliyofanyika katika Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi. - [TRA Dodoma yawapa tabasamu wenye uhitaji](https://habarileo.co.tz/tra-dodoma-yawapa-tabasamu-wenye-uhitaji/) - DODOMA: Kaimu Meneja wa Mkoa wa TRA Dodoma, Obrey Sillayo, akiambatana na Kaimu Meneja wa Huduma kwa Mlipakodi pamoja na maafisa wengine wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wametoa mkono wa Eid Fitri kwa watoto yatima na wenye mahitaji maalumu katika Kituo cha Kulelea Watoto Yatima Rahmani, ikiwa ni sehemu ya kuonesha upendo na kuimarisha - [Wananchi 35,000 wanufaika majisafi Babati](https://habarileo.co.tz/wananchi-35000-wanufaika-majisafi-babati/) - MANYARA: Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Babati (BAWASA) mkoani Manyara imekamilisha mradi wa maji wa Darakuta hadi Minjingu ambao utasaidia kusambaza maji kwa wananchi zaidi ya 35,000 wa kata ya Nkaiti wilayani Babati mkoani humo. Wakazi hao wameanza kunufaika na huduma ya majisafi na salama baada ya kuanza kusambaza kama sehemu ya Maadhimisho - [Takukuru yawagusa wenye uhitaji Manyara](https://habarileo.co.tz/takukuru-yawagusa-wenye-uhitaji-manyara/) - ‎MANYARA: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara imekabidhi vyakula na zawadi mbalimbali kwa watoto yatima wanaoishi katika kituo cha kulelea watoto cha Hosana kilichopo wilaya ya Babati mkoani Manyara. ‎Kamanda wa TAKUKURU Manyara, Bahati Haule amesema vyakula na misaada ni michango ya watumishi na kwamba Iftar ni kiungo kati ya - [Tanzania yashiriki mkutano wa uchukuzi Afrika Kusini](https://habarileo.co.tz/tanzania-yashiriki-mkutano-wa-uchukuzi-afrika-kusini/) - JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Masuala ya Uchukuzi (NCT) uliofanyika katika ukumbi wa Gallagher Estate jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Mkutano huo ulifunguliwa rasmi na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. Sambamba na ushiriki huo, Kihenzile pia alishiriki mjadala wa mawaziri wa uchukuzi uliokuwa na mada isemayo: “Uongozi na - [Tume kutumia wiki mbili kuamua rufaa za watumishi](https://habarileo.co.tz/tume-kutumia-wiki-mbili-kuamia-rufaa-za-watumishi/) - DODOMA: TUME ya Utumishi wa Umma inatarajia kutumia takribani wiki mbili kwa ajili ya kujadili na kutoa uamuzi wa rufaa na malalamiko yaliyowasilishwa na watumishi wa umma kwa tume hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dodoma, Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, John Mbisso alisema kazi hiyo itafanyika katika mkutano wa - [VETA, vituo vya malezi kushirikiana kutoa ujuzi](https://habarileo.co.tz/veta-vituo-vya-malezi-kushirikiana-kutoa-ujuzi/) - DODOMA: MKURUGENZI wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Anthony Kasore amesema mamlaka itaendelea kushirikiana na vituo vya malezi ya watoto ili kuhakikisha vijana wanapata ujuzi utakaowawezesha kujitegemea na kuchangia maendeleo ya taifa. Akizungumza wakati wa kuwafuturisha watoto kutoka kwenye vituo viwili vya malezi ya watoto vya jijini Dodoma, Kasore alisema ushirikiano - [Waafrika na hoja ya haki kwa viongozi wao ICC](https://habarileo.co.tz/waafrika-na-hoja-ya-haki-kwa-viongozi-wao-icc/) - DAR ES SALAAM, Tanzania — Mjadala kuhusu nafasi ya Afrika ndani ya mfumo wa haki wa kimataifa umeibuka upya, huku Tanzania ikijikuta katikati ya hoja pana kuhusu uhalali wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Miezi sita baada ya muungano wa wanasheria wa kimataifa na mashirika ya haki za binadamu kuwasilisha ombi kwa ICC kuchunguza - [Kwahani FC mabingwa Masauni Cup](https://habarileo.co.tz/kwahani-fc-mabingwa-masauni-cup/) - ZANZIBAR: Timu ya Kwahani FC imetwaa ubingwa wa Masauni Cup baada ya kuichapa Mwembeladu FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati 1-0 baada ya sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 90 na kujinyakulia kombe pamoja na kitita cha Sh milioni tano. Kwahani FC walitangulia kupata bao lililofungwa na Abdalla Himidi kabla ya dakika za - [Equity yatangaza matokeo ya kifedha 2025, yapata faida 55%](https://habarileo.co.tz/equity-yatangaza-matokeo-ya-kifedha-2025-yapata-faida-55/) - DAR ES SALAAM: Equity Bank Group Holdings Plc imetangaza matokeo yake ya mwaka mzima ya mwaka 2025, yakiwa ni ya kihistoria na yenye kuashiria mafanikio makubwa baada ya faida yake baada ya kodi kuongezeka kwa asilimia 55 na kufikia Kshs bilioni 75.5. Ukuaji huu wa rekodi unathibitisha mafanikio ya mkakati wa mageuzi ya kampuni hii, - [Mbunge Bukoba Mjini awafikia wenye uhitaji](https://habarileo.co.tz/mbunge-bukoba-mjini-awafikia-wenye-uhitaji/) - BUKOBA: Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Johnston Mutasingwa, ametoa msaada kwa makundi maalumu pamoja na wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Kata ya Kibeta katika kipindi mwezi wa Ramadhan na Kwaresma. Mahitaji yaliyotolewa ni sukari, sabuni na vyakula mbalimbali vya kusaidia familia kipindi cha mfungo. Msaada huo ulikabidhiwa na katibu wake Hamada - [Ahmadiyya yawafariji wenye uhitaji Moro](https://habarileo.co.tz/ahmadiyya-yawafariji-wenye-uhitaji-moro/) - MOROGORO: JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imetoa vyakula katikakaya zaidi ya 200 zenye uhitaji zinazoishi Kata ya Kihonda Maghorofani Manispaa ya Morogoro ikiwa ni zawadi ya mkono wa Eid El- Fitri. Naibu Amiri wa Jumuiya hiyo nchini , Sheikh Abid Mahmood Bhatti , amesema hayo wakati wa kugawa vyakula hivyo ambayo ni mchele na - [Zambia yakamata kilo 550 za pembe za ndovu](https://habarileo.co.tz/zambia-yakamata-kilo-550-za-pembe-za-ndovu/) - LUSAKA: Mamlaka za Zambia zimekamata karibu kilo 550 za pembe za ndovu na kuwakamata watu tisa wanaodaiwa kuhusika na mtandao wa kimataifa wa magendo ya wanyamapori. Operesheni hiyo ilifanyika Machi 9 jijini Lusaka baada ya taarifa za kijasusi kutoka Shirika la Environmental Investigation Agency (EIA) lenye makao yake London. Waliohifadhiwa ni raia wa Zambia pamoja - [Serikali yataka tija kampuni zenye hisa chache](https://habarileo.co.tz/serikali-yataka-tija-kampuni-zenye-hisa-chache/) - ARUSHA: Serikali imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache kuhakikisha uwekezaji huo unaleta matokeo yanayopimika kwa taifa na wananchi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Dk. Pius Chaya, wakati akifunga mkutano wa siku tatu wa wakurugenzi wa kampuni zenye hisa chache za - [Mchechu azibana bodi ataka uongozi kimkakati](https://habarileo.co.tz/mchechu-azibana-bodi-ataka-uongozi-kimkakati/) - ARUSHA: Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amewataka wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye uongozi wa kimkakati unaotazama mbele. Akizungumza katika Mkutano wa Wakurugenzi wa Kampuni zenye hisa chache za Serikali (MIF 2026) unaofanyika kwa siku tatu jijini Arusha - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-133/) - *Kisima cha maji ni neno la Kiswahili linalomaanisha “water well”kwa Kiingereza. Meaning (Maana) Kisima = well (shimo linalochimbwa ardhini kupata maji) cha maji = of water Hivyo, kisima cha maji= water well(sehemu ya kuchimba maji ardhini kwa matumizi ya binadamu au mifugo) Origin (Asili ya neno) Neno kisima linatokana na lugha ya Kiswahili yenye mizizi - [Serikali yatoa maagizo 8 utendaji kampuni zake](https://habarileo.co.tz/serikali-yatoa-maagizo-8-utendaji-kampuni-zake/) - SERIKALI imetoa maagizo manane kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa ndogo ikiwa ni se hemu ya jitihada za kufi kia uchumi wa kipato cha juu cha kati kupitia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mpango huo unalenga kukuza uchumi wa Tanzania kutoka Dola za Marekani bilioni 85 za sasa hadi Dola za - [Kamati yashauri kuharakisha ujenzi mkongo wa taifa](https://habarileo.co.tz/kamati-yashauri-kuharakisha-ujenzi-mkongo-wa-taifa/) - DAR ES SALAAM: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kuharakisha ujenzi wa Mkongo wa Taifa unaounganisha Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Hatua hiyo itarahisisha Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kupanua huduma zake, kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuwanufaisha wananchi kupitia huduma bora za mawasiliano. Akizungumza wakati wa ziara ya - [Naibu mufti Zanzibar ataka malezi bora jamii yenye maadili](https://habarileo.co.tz/naibu-mufti-zanzibar-ataka-malezi-bora-jamii-yenye-maadili/) - ZANZIBAR: Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Mahmoud Mussa Wadi amesema ili kupata maelezi bora ya jamii inatokana na malezi bora ya pamoja kwa watoto na vijana katika kujenga misingi kwenye dini tangu wakiwa wenye umri mdogo. Ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye mashindano ya Kuhifadhi Qur An yaliyofanyika Wilaya ya Mjini Unguja, Zanzibar, Machi 18, - [Huduma za kijamii zaboreshwa Mtama](https://habarileo.co.tz/huduma-za-kijamii-zaboreshwa-mtama/) - LINDI: SERIKALI za vijiji vya halmashauri ya Wilaya ya Mtama mkoani Lindi zimepatiwa misaada ya vifaa vya ujenzi wa miundombinu ya shule, zahanati na kituo cha polisi ambao umegharimu zaidi ya Sh milioni 54 kupitia Shamba la Miti la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) lililopo Rondo. Ofisa Mhifadhi Mwandamizi wa TFS wa Shamba - [Serikali yazindua jukwaa la B2B Lindi](https://habarileo.co.tz/serikali-yazindua-jukwaa-la-b2b-lindi/) - LINDI: SERIKALI imezindua Jukwaa la Majadiliano ya Biashara kwa Biashara (B2B) likiwa na lengo la kuchochea uwekezaji, kuongeza thamani ya rasilimali za misitu na kuimarisha uhifadhi nchini, huku ikisisitiza kuwa misitu ni msingi wa maisha na uchumi endelevu. Uzinduzi huo umefanyika Machi 18, 2026 katika Uwanja wa Ilulu, Manispaa ya Lindi, ukiwa sehemu ya maadhimisho - [Wanafunzi watatu wafa kwa radi Dar](https://habarileo.co.tz/wanafunzi-watatu-wafa-kwa-radi-dar/) - DAR ES SALAAM; Wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Msongola wilayani Ilala, Dar es Salaam wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi, huku wengine wawili wakijeruhiwa. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro amesema tukio hilo lilitokea Machi 18, 2026 majira ya saa 5:00 asubuhi katika eneo la Msongola. Amesema - ['Hakuna misaada tukusanye kodi'](https://habarileo.co.tz/hakuna-misaada-tukusanye-kodi/) - RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi ili kuharakisha ukuaji wa uchumi wa nchi. - [Serikali kupitia mapenddekezo 284 ya kodi](https://habarileo.co.tz/serikali-kupitia-mapenddekezo-284-ya-kodi/) - RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itayafanyia uchambuzi wa kina mapendekezo 284 ya maboresho ya mifumo ya kodi nchini kabla ya kuanza utekelezaji wake. - [Mtaalamu: Msongo wa mawazo huathiri zaidi wanawake](https://habarileo.co.tz/mtaalamu-msongo-wa-mawazo-huathiri-zaidi-wanawake/) - Dar es Salaam : MTAALAMU wa Saikolojia, Sophia Sanga amesema tafiti zinaonesha kwamba msongo wa mawazo huathiri wanawake karibu mara mbili zaidi kuliko wanaume. Ameanisha kuwa miongoni mwa sababu ni kuwa na majukumu ya kulea watoto, changamoto za kifamilia, matatizo ya kifedha, na wakati mwingine shinikizo kutoka kwa jamii. Akizungumza wakati akitoa mada katika hafla - [Rais Samia apokea mapendekezo 284 maboresho mifumo ya kodi](https://habarileo.co.tz/rais-samia-apokea-mapendekezo-284-maboresho-mifumo-ya-kodi/) - DAR ES SALAAM; RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itafanyia uchambuzi wa kina mapendekezo 284 ya maboresho ya mifumo ya kodi nchini kabla ya kuanza utekelezaji wake. Rais Samia amesema utekelezaji wa mapendekezo hayo utafanyika baada ya maandalizi na tathmini ya kina, ili kuhakikisha maboresho hayo yanaboresha ukusanyaji wa kodi na kupunguza - ['Samia Legal Aid' yaleta matumaini kwa wananchi](https://habarileo.co.tz/samia-legal-aid-yaleta-matumaini-kwa-wananchi/) - Naye Msusa alisema kupitia timu ya msaada wa kisheria, waliweza kuwakutanisha watoto 11 ambao walikubaliana kuuza mali za marehemu - ['Tumeimarisha mazingira ya biashara, uwekezaji kukuza viwanda'](https://habarileo.co.tz/tumeboresha-mazingira-ya-biashara-uwekezaji-kukuza-viwanda/) - DODOMA; Serikali imesisitiza azma yake ya kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini, ili kuchochea ukuaji wa sekta za viwanda, kuongeza fursa za ajira, na kukuza mchango wa kiuchumi wa sekta binafsi. Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa viwanda vya ndani vinazalisha kwa tija, vinatumia teknolojia ya kisasa, na bidhaa zake zinatambulika kimataifa - [Tanzania, Italia kuimarisha uwekezaji kilimo](https://habarileo.co.tz/tanzania-italia-kuimarisha-uwekezaji-kilimo/) - DAR ES SALAAM: Serikali ya Tanzania na Serikali ya Italia zimeanza hatua mpya ya kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo kwa lengo la kuongeza thamani ya mazao ya kibiashara, hususan zao la kahawa, pamoja na kuinua kipato cha wakulima nchini. Ushirikiano huo unatarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika uzalishaji, uchakataji na upatikanaji wa masoko ya mazao - [Kanisa laadhimisha miaka 42](https://habarileo.co.tz/kanisa-laadhimisha-miaka-42/) - Shincheonji Kanisa la Yesu, dhehebu linalokua kwa kasi nchini Korea Kusini, limeadhimisha miaka 42 ya kuanzishwa kwake. Ibada ya ukumbusho ilifanyika katika Kanisa la Cheongju, Shincheonji Kanisa la Yesu, ambapo Mwenyekiti Lee Man-hee alisisitiza umuhimu wa imani inayozingatia Neno la Mungu. Katika hotuba yake, Mwenyekiti Lee Man-hee aliwahimiza waumini kuelekea imani ya kweli, akisema kuwa - [Tushikamane - Chalamila](https://habarileo.co.tz/tushikamane-chalamila/) - DAR ES SALAAM: wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na kuimarisha mshikamano bila kujali tofauti za kidini zilizopo kati yao ili kujenga taifa la kesho lilio bora. Chalamila ameeleza hayo Machi 17 Dar es Salaam katika hafla ya Iftari iliyokutanisha watu wa makundi mbalimbali yenye uhitaji wakiwemo watoto yatima, - [Bajeti barabara MUHAS kutua bungeni, kamati yatoa maagizo](https://habarileo.co.tz/bajeti-barabara-muhas-kutua-bungeni-kamati-yatoa-maagizo/) - DAR ES SALAAM: KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeahidi kuwasilisha bungeni suala la ujenzi wa barabara zinazoingia na kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kampasi ya Mloganzila ili itengwe bajeti maalumu kuboresha miundombinu hiyo. Pia kamati imekiagiza chuo hicho kuhakikisha majengo mapya ya tiba yanayoendelea kujengwa - [Watoto kupewa chanjo ya polio Shinyanga](https://habarileo.co.tz/watoto-kupewa-chanjo-ya-polio-shinyanga/) - SHINYANGA: WATOTO wenye umri wa kuanzia miaka 0 hadi 10 mkoani Shinyanga wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya Polio ili kuwazuia kupata virusi vya ugonjwa huo nakuweza kuwaepusha na ulemavu wa kudumu au vifo. Hayo yamesemwa leo na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dk Yudas Ndungile alipokuwa akifungua kikao na waandishi wa habari huku akieleza kampeni - [Serikali yatoa Sh bil 4 ujenzi wa wodi binafsi Muhimbili](https://habarileo.co.tz/serikali-yatoa-sh-bil-4-ujenzi-wa-wodi-binafsi-muhimbili/) - DAR ES SALAAM: SERIKALI imetoa kiasi cha Sh bilioni 4 kuendeleza ujenzi wa jengo la gharofa nne la wodi ya binafsi inayogharimu kiasi cha Sh bilioni 21 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Akizungumza leo wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi ilipotembelea hospitali hiyo, Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, - [Mradi Mzizima Tower wafikia asilimia 91](https://habarileo.co.tz/mradi-mzizima-tower-wafikia-asilimia-91/) - DAR ES SALAAM: MRADI wa ujenzi wa jengo la kitega uchumi la Mzizima Towers unaotekelezwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umefikia asilimia 91 ya utekelezaji na unatarajiwa kukamilika rasmi ifikapo Desemba 31, 2026. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano,Deus Sangu alieleza hayo Machi 16,2025 Dar es - [Kamati yatoa maelekezo miradi iliyokwama](https://habarileo.co.tz/kamati-yatoa-maelekezo-miradi-iliyokwama/) - KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, imeitaka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu kuunga mkono kwa kutoa fedha ili kukamilisha miradi inayoendelea kutekelezwa katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW) ikiwemo mradi wa ujenzi wa ukumbi. Akizungumza wakati kamati hiyo ilipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar - [Chande ataka ushirikiano uhifadhi misitu](https://habarileo.co.tz/chande-ataka-ushirikiano-uhifadhi-misitu/) - KATAVI: Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande amewataka w Watanzania kushirikiana na taasisi za uhifadhi nchini katika uhifadhi wa misitu kuongeza chachu ya maendeleo endelevu kupitia misitu iliyopo hapa nchini. Kauli hiyo inakuja wakati Tanzania ikijiandaa kuadhimisha Siku ya Misitu Duniani. Chande amebainisha hayo Mkoani Katavi katika mkutano wa hadhara ikiwa ni - [Mchechu asifu mafanikio kuongezeka uwekezaji](https://habarileo.co.tz/mchechu-asifu-mafanikio-kuongezeka-uwekezaji/) - ARUSHA; MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu amesema kuwa katika miaka mitano iliyopita uwekezaji wa serikali katika kampuni umeongezeka kutoka Sh bilioni 821 hadi kufikia Sh trilioni 3.6, huku gawio likiongezeka kwa asilimia 357 kutoka Sh bilioni 58 hadi Sh bilioni 266. Mchechu amesema hayo Jijini Arusha kwenye mkutano wa wakurugenzi wa kampuni zenye hisa ndogo - [RC Kigoma ataka umeme utekeleze diplomasia ya uchumi](https://habarileo.co.tz/rc-kigoma-ataka-umeme-utekeleze-diplomasia-ya-uchumi/) - KIGOMA; MKUU wa mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amesema kupatikana umeme wa uhakika mkoani Kigoma ni kichocheo cha utekelezaji wa mpango mkakati wa serikali kuufanya mkoa huo kuwa wa kimkakati kwa uchumi na biashara. Balozi Sirro alisema hayo akikabidhi magari matano, bajaji tatu na pikipiki nne kwa uongozi wa Shirika la Umeme (TANESCO) Mkoa Kigoma, - [TIB, UNDP wasaini makubaliano kuchochea ukuaji uchumi jumuishi](https://habarileo.co.tz/tib-yasaini-makubaliano-kuchochea-ukuaji-uchumi-jumuishi/) - DAR ES SALAAM: BENKI ya Maendeleo TIB imesaini hati ya makubaliano (MoU) ya miaka minne na Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa, kwa lengo la kuimarisha mifumo ya ufadhili wa maendeleo itakayochochea ukuaji wa uchumi jumuishi na endelevu nchini. Hafla ya utiaji saini imefanyika Machi 17, 2026, jijini Dar es Salaam katika - [Homera aja na 'Sema na Waziri', asisitiza Katiba kipaumbele](https://habarileo.co.tz/homera-aja-na-sema-na-waziri-asisitiza-katiba-kipaumbele/) - Sema na Waziri ni muendelezo kutekeleza maelekezo ya Rais kwamba lazima tuweze kusikiliza changamoto za wananchi na kutoa ufumbuzi hasa kwa masuala ya kisheria. - [Meli mpya Bandari ya Karema kuchochea ukuaji uchumi Katavi](https://habarileo.co.tz/meli-mpya-bandari-ya-karema-kuchochea-ukuaji-uchumi-katavi/) - KUKAMILIKA kwa ujenzi wa meli nne kubwa za mizigo katika Bandari ya Karema mkoani Katavi, kunatajwa kuwa kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi kwa wananchi wa mikoa inayozunguka Ziwa Tanganyika pamoja na taifa kwa ujumla. Mradi huo ulioanza Aprili 2025 unatarajiwa kukamilika Julai 2026 ukiwa umefikia zaidi ya asilimia 95, huku meli zote zikiwa tayari - [Ruangwa yaendelea kunufaika na misitu](https://habarileo.co.tz/ruangwa-yaendelea-kunufaika-na-misitu/) - LINDI: VIJIJI vya Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi vinaendelea kunufaika na rasilimali za misitu kwa kujipatia mapato ambayo yanachangia katika ujenzi wa shule za msingi, nyumba za walimu, zahanati na maghala ya kuhifadhi mazao. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Solomon Massangya amesema hayo katika wiki ya maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani - [Waipongeza serikali ulinzi rasilimali za misitu](https://habarileo.co.tz/waipongeza-serikali-ulinzi-rasilimali-za-misitu/) - MTWARA: WAFANYABIASHARA wa mazao ya misitu Kanda ya Kusini wameipongeza Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa kuweka mikakati thabiti ya uhifadhi na ulinzi wa rasiliamali za misitu nchini. Mmoja wa wafanyabiashara wa kiwanda cha utengenezaji wa samani zitokanazo na mazao ya misitu kutoka mkoani Mtwara, Zaidi Hamad amesema wakala huo - [TTCL waja kivingine huduma intaneti](https://habarileo.co.tz/ttcl-waja-kivingine-huduma-intaneti/) - DAR ES SALAAM: Shirika la Mawasiliano Tanzania, (TTCL) limezindua huduma mpya ya intaneti yenye kasi ijulikanayo kama “Faiba Supersonic Experience. Lengo ni kuwapatia Watanzania huduma bora, ya uhakika na gharama nafuu katika katika kukuza uchumi wa kidijitali. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Machi 16, 2026, Mkurugenzi wa Biashara wa TTCL, Vedastus Mwita amesema huduma hiyo - [Chuo cha Nyerere chajivunia mifumo bora Tehama](https://habarileo.co.tz/chuo-cha-nyerere-chajivunia-mifumo-bora-tehama/) - DAR ES SALAAM: Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kimeboresha mifumo ya Tehama ambayo itasaidia kufundisha kwa njia ya mtandao ndani na nje ya chuo. Akizungumza leo Machi 16, jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Chuo, Prof. Haruni Mapesa amesema wameboresha mifumo yote ambapo kupitia mfumo wa 'smart board' wanafunzi watajifunza bila ya kuonana na - [Kairuki ataka ulinzi nyanzo vya maji](https://habarileo.co.tz/kairuki-ataka-ulinzi-nyanzo-vya-maji/) - MOROGORO: WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki amesema bila majisafi na salama jamii haiwezi kustawi, uchumi hauwezi kukua na mazingira hayawezi kuendelea. Kufuatia umuhimu huo jamii inalo jukumu kubwa la utayari kwa kila mmoja kuhakisha nawajibika kulinda vyanzo vya maji na uhifadhi mazingira. Waziri Kairuki alitoa wito huo mjini Morogoro kwenye ufunguzi - [Wadau wakutana kujadili biashara, uchumi Kigoma](https://habarileo.co.tz/wadau-wakutana-kujadili-biashara-uchumi-kigoma/) - KIGOMA; Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amesema mkoa huo utatumia nafasi yake ya kuwa mkoa wa kimkakati kama lango la biashara ya kikanda nchi za maziwa makuu kutekeleza dhamira ya serikali ya kujenga uchumi imara na wenye ushindani unaochochewa na uwekezaji wa sekta binafsi. Balozi Sirro amesema hayo katika mkutano na viongozi - [Uwezeshaji wa rasilimali unavyoongeza ujumuishaji wa kifedha](https://habarileo.co.tz/uwezeshaji-wa-rasilimali-unavyoongeza-ujumuishaji-wa-kifedha/) - JUHUDI za kupanua ujumuishaji wa kifedha nchini Tanzania zinaendelea kuimarika huku serikali na wadau wa sekta ya fedha wakitafuta njia mbalimbali za kuwafikia wananchi wengi zaidi wanaofanya shughuli zao katika sekta isiyo rasmi. Hatua hizi zinaonekana kuwa muhimu katika kuhakikisha kuwa Watanzania wengi wanapata fursa ya kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi na kunufaika na - [Kamati yaguswa mafanikio umeme vijijini](https://habarileo.co.tz/kamati-yaguswa-mafanikio-umeme-vijijini/) - GEITA: MWENYEKITIi wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, amesema serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kusambaza umeme ili kuhakikisha wananchi wanaoishi pembezoni mwa miji na vijiji wanapata huduma hiyo muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Akizungumzia mafanikio ya miradi ya kusambaza umeme - [Marufuku hospitali za serikali kuelekeza ununuzi dawa mitaani](https://habarileo.co.tz/marufuku-hospitali-za-serikali-kuelekeza-ununuzi-dawa-mitaani/) - WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba ameonya vituo vya afya na hospitali za serikali kuacha tabia ya kuwaelekeza wananchi kununua dawa katika maduka ya dawa mitaani. Onyo hilo amelitoa wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Nsimbo District katika viwanja vya Shule ya Msingi Songambele mkoani Katavi Region. - [Mpaka wa Tanzania-Kenya wawekwa alama](https://habarileo.co.tz/75-mpaka-wa-tanzania-na-kenya-wawekwa-alama/) - KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeeleza kuridhishwa na maendeleo ya kazi ya uimarishaji wa mpaka wa kimataifa kati ya Tanzania na Kenya. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Timotheo Mzava, amesema kuwa hadi sasa jumla ya kilometa 564 sawa na asilimia 75 ya mpaka wa nchi kavu tayari zimewekewa alama kati ya kilometa 758 za mpaka mzima. - [Wapewa somo uzalishaji korosho wenye tija](https://habarileo.co.tz/wapewa-somo-uzalishaji-korosho-wenye-tija/) - MTWARA; WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wameshauri wakulima kuanza kuandaa mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu ili kuleta tija kwenye uzalishaji wa zao hilo. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Mtwara, Mtafiti na Mtaalamu wa Sayansi ya Udogo na Mimea kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Nchini (TARI) kituo cha Naliendele, Abdallah Makale - [Soko Kariakoo lazidi kunoga](https://habarileo.co.tz/soko-kariakoo-lazidi-kunoga/) - UONGOZI wa Soko Kuu la Kariakoo umesema takribani asilimia 70 ya wafanyabiashara waliopangiwa vizimba na maduka katika soko jipya tayari wameanza kufanya biashara zao. Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, Ashraph Abdulkarim, amesema wafanyabiashara wote 1,520 waliokuwa wakifanya biashara katika soko la zamani lililoungua wamepatiwa nafasi katika soko jipya. - [Tiseza simamieni kongani BuzwagI](https://habarileo.co.tz/wabunge-waagiza-tiseza-isimamie-kongani-buzwagi/) - KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeelekeza Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji kuhakikisha Kongani Maalumu ya Uwekezaji ya Buzwagi (BSEZ) inakabidhiwa kwa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ili isimamiwe ipasavyo. - [UWAA yashauriwa kuchangamkia fursa utalii](https://habarileo.co.tz/uwaa-yashauriwa-kuchangamkia-fursa-utalii/) - ARUSHA: Meya wa Jiji la Arusha, Maxmillan Iraghye ameutaka Umoja wa Washereheshaji Mkoa wa Arusha (UWAA) kuchangamkia fursa za utalii zilizopo mkoani. Pia ameutaka umoja huo kuacha kujikita katika kusherehesha harusi na ubarikio kwa kufanya hivyo ni kujirudisha nyuma katika maendeleo ya karne hii ya sayansi na teknolojia. Iraghye alisema hayo Machi 13 katika Iftar - [Paresso achangia ujenzi nyumba za watumishi CCM Karatu](https://habarileo.co.tz/paresso-achangia-ujenzi-nyumba-za-watumishi-ccm-karatu/) - ARUSHA: Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha na Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Cecilia Paresso, ametoa mchango wa mbao zenye thamani ya Sh milioni 2.5 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Karatu mkoani hapa. Mbao hizo zimekabidhiwa rasmi leo mbele ya - [TFS yagawa miche milioni 1.4 kusini](https://habarileo.co.tz/tfs-yagawa-miche-milioni-1-4-kusini/) - MTWARA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupitia Kanda ya Kusini imezalisha miche zaidi ya 2,000,000 na kugawa kwa jamii, taasisi za umma, Shule za msingi na sekondari na sekta binafsi wakiwemo na wawekezaji viwanda wanajihusisha na biashara za mbao katika ukanda huo. Mhifadhi Misitu wa Wakala huo kutoka kitengo cha ugani na uenezi - [Sekondari yapongezwa upandaji miti](https://habarileo.co.tz/sekondari-yapongezwa-upandaji-miti/) - MTWARA: SHULE ya Sekondari Shangani iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara- Mikindani imetajwa ni miongoni mwa vinara katika suala la utunzaji wa mazingira na upandaji miti ya mbao na matunda. Kaimu Mhifadhi Wilaya ya Mtwara, Ashraf Hussein amesema hayo baada ya kulitembelea shule hiyo ili kuona shughili za uendelezaji upandaji miti pamoja na utunzaji wa - [Serikali yadhamiria wananchi kupata makazi bora, nafuu](https://habarileo.co.tz/serikali-yadhamiria-wananchi-kupata-makazi-bora-nafuu/) - DAR ES SALAAM: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameeleza dhamira ya Serikali ni kuhakikisha Watanzania hususan vijana, wanapata makazi bora na ya gharama nafuu kupitia miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Majengo (TBA). Ulega ameyasema hayo jijini Dar es Salaam mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakati ilipotembelea - [Kamati yaitaka WMA kuhakiki mita za umeme](https://habarileo.co.tz/kamati-yaagiza-wma-kuhakiki-mita-za-umeme/) - Pwani; Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeagiza Wakala wa Vipimo (WMA) kuhakikisha mita za umeme zinahakikiwa kikamilifu kabla ya kufungwa kwa ajili ya matumizi, kwa kuzingatia sheria zilizopo ili kulinda haki za watumiaji. Aidha, Kamati hiyo imeipongeza WMA kwa jitihada za uhakiki na ukaguzi wa vipimo mbalimbali, ikiwemo mita - [Vilio kuaga watumishi 7 waliokufa ajali ya boti](https://habarileo.co.tz/vilio-kuaga-watumishi-7-waliokufa-ajali-ya-boti/) - KIGOMA; MKUU wa Mkoa Kigoma, Balozi Simon Sirro ameongoza viongozi wa serikali na mamia ya wananchi wa Mkoa Kigoma kuaga miili ya watumishi 7 wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma waliofariki kwa kuzama na boti Ziwa Tanganyika jana, huku vilio vikitawala wakati wa kuaga miili hiyo. Akizungumza wakati wa kuaga miili hiyo, Balozi Sirro alisema kuwa - [Sheikh ahimiza umoja kusimamia haki duniani](https://habarileo.co.tz/sheikh-ahimiza-umoja-kusimamia-haki-duniani/) - DAR ES SALAAM: SHEIKH Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Shia nchini, Hemed Jalala, ametoa wito kwa Waislamu duniani kote kuimarisha umoja ili kusimamia haki za watu, akisisitiza kuwa mshikamano ni muhimu kupinga dhuluma maeneo mbalimbali duniani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya ya kimataifa ya Quds, ambayo - ['Kill Marathon' watoa taarifa barabara zitazotumika Machi 22](https://habarileo.co.tz/watoa-taarifa-barabara-zitazotumika-siku-ya-mbio/) - DAR ES SALAAM: WANDAAJI wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager wametoa taarifa kuhusu kufungwa kwa barabara zitakazotumika siku ya mbio hizo ambazo zimebaki wiki moja kabla ya kufanyika. Taarifa iliyotolewa na waandaaji hao imesema kuwa taarifa hiyo itawasaidia wakazi wa Moshi na wageni kupanga safari zao mapema au kutumia njia mbadala wakati barabara zilizoainishwa zitakapofungwa - [DC Handeni ataka umoja, mshikamano](https://habarileo.co.tz/dc-handeni-ataka-umoja-mshikamano/) - TANGA: MKUU wa Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, Salum Nyamwese, amewataka wananchi wa wilaya hiyo kudumisha mshikamano na utamaduni wa kusaidiana, huku akiongoza harambee maalum ya kuchangia makundi yenye uhitaji kuelekea sikukuu ya Eid al-Fitr. ​Katika hafla hiyo ya Iftar iliyoandaliwa na ofisi yake na kuwakutanisha viongozi wa dini, serikali na wananchi, Mkuu wa Mkoa - [Kamati yataka kasi uboreshaji Bandari ya Tanga](https://habarileo.co.tz/kamati-yataka-kasi-uboreshaji-bandari-ya-tanga/) - TANGA: KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuharakisha utatuzi wa changamoto za miundombinu wezeshi katika Bandari ya Tanga, ili kuendana na kasi ya ongezeko la meli kubwa na shehena inayopokelewa bandarini hapo kwa sasa. ​Hayo yamebainishwa leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Profesa Joyce Ndalichako, wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua - [Mvua ziongeze uzalishaji kilimo - Batilda](https://habarileo.co.tz/mvua-ziongeze-uzalishaji-kilimo-batilda/) - TANGA: MKUU wa Mkoa wa Tanga, Dk Batilda Burian, amewahimiza wananchi wa Wilaya ya Handeni kutumia fursa ya mvua zinazoendelea kunyesha kufanya shughuli za kilimo ili kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha kipato cha familia. Wito huo ameutoa wakati wa hafla ya Iftar maalumu iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese, iliyowakutanisha viongozi - [Ayoub ashiriki mkutano JPC Tanzania, Uganda](https://habarileo.co.tz/ayoub-ashiriki-mkutano-jpc-tanzania-uganda/) - DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, ameshiriki Mkutano wa Tano wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission - JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Uganda uliofanyika ili kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali za maendeleo jijini Dar es Salaam jana. Katika - [Wizara, PURA waweka mikakati utafitaji mafuta, gesi asilia](https://habarileo.co.tz/wizara-pura-waweka-mikakati-utafitaji-mafuta-gesi-asilia/) - Kwa mujibu wa Sangweni, PURA imeingia mikataba na kampuni za kijiofizikia zilizobobea katika ukusanyaji wa data za petroli (Multi Client Geophysical Companies). - [Sitasahau yaliyotukuta kulipa kwa simu Baa!](https://habarileo.co.tz/sitasahau-yaliyotukuta-kulipa-kwa-simu-baa/) - DAR ES SALAAM; Ucheshi! Mdau ametuandikia ujumbe akielezea kisa kilichomtokea na wenzake maeneo ya Sinza, Dar es Salaam walipoenda kujinafasi kwenye Baa moja huku yeye akiwa ndiye ‘tajiri’ wao. “Ulipaji wa simu kwa mahitaji mbalimbali ni mzuri sana, ila kuna siku mtandao ulitudhalilisha. Niikuwa na wenzangu pale (anaitaja Baa), tukanywa vya kutosha na kwa kweli - [Makonda aonya viongozi wa michezo wasiowajibika](https://habarileo.co.tz/makonda-aonya-viongozi-wa-michezo-wasiowajibika/) - DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amewaonya viongozi wa mashirikisho ya michezo nchini wanaoshindwa kutekeleza ahadi walizozitoa kwa wanachama wao kuwa wako hatarini kung’olewa madarakani. Makonda amesema ofisi yake itaanza kufuatilia utekelezaji wa ahadi hizo na endapo itabainika kuwa hazijafikia hata asilimia 20 ya yale waliyoahidi wakati wa uchaguzi, - [Tanzania kuuza mahindi DRC](https://habarileo.co.tz/tanzania-kuuza-mahindi-drc/) - SERIKALI ya Tanzania inatarajia kuiuzia mahindi Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ili kusaidia nchi hiyo kukabiliana na uhaba wa chakula. - [Boti yapinduka yaua watumishi 6 Kigoma](https://habarileo.co.tz/boti-yapinduka-yaua-watumishi-6-kigoma/) - KIGOMA; WATUMISHI sita wa Idara ya Afya halmashauri ya Wilaya Kigoma mkoani Kigoma wamekufa, baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Kagunga, Halmashauri ya Wilaya Kigoma kwa shughuli ya kutoa chanjo kukumbwa na dhoruba Ziwa Tanganyika na kupinduka. Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa Kigoma, Michael Maganga alisema kuwa - [Serikali yapewa kongole ulinzi haki za watoto](https://habarileo.co.tz/serikali-yapewa-kongole-ulinzi-haki-za-watoto/) - MOROGORO: Serikali imepongezwa kwa kuendelea kuongeza juhudi katika kulinda haki za watoto pamoja na kuimarika kwa usajili wa vizazi na mifumo ya ulinzi wa mtoto. Pongezi hizo zimetolewa na Shirika la Save the Children Tanzani kupitia Mkurugenzi wake, Angela Kauleni mbele ya Mkurugenzi wa Wizara ya Katiba na Sheria, Kamishna Neema Mwanga. Kamishna Mwanga alimwakilisha - [Kamati yaagiza usimamizi ujenzi jengo la ICoT](https://habarileo.co.tz/kamati-yaagiza-usimamizi-ujenzi-jengo-la-icot/) - MOROGORO: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuhakikisha inamsimamia kwa karibu mkandarasi anayejenga jengo la taaluma katika makao makuu ya taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT) ili mradi huo ukamilike kwa ubora unaotakiwa. Agizo hilo limetolewa mkoani Morogoro jana Machi 11, 2026 na Kaimu - [Serikali yaja mpango wa kitaifa wa maridhiano](https://habarileo.co.tz/serikali-yaja-mpango-wa-kitaifa-wa-maridhiano/) - SERIKALI ya Tanzania imeeleza nia ya kuanzisha Mpango wa Kitaifa wa Maridhiano ili kuponya mipasuko ya kijamii na kuimarisha majadiliano miongoni mwa wananchi. Pendekezo hilo liliwasilishwa na Beatrice Mpembo, Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Kutoa Taarifa ya Haki za Binadamu katika Wizara ya Katiba na Sheria, wakati wa kikao cha 61 cha Baraza la Haki za - [Ukanda wa Nyasa mbioni kufaidi umeme REA](https://habarileo.co.tz/ukanda-wa-nyasa-mbioni-kufaidi-umeme-wa-rea/) - WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) inakamilisha mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya ukanda wa Nyasa, baadhi vikiwa ndani ya Ziwa Nyasa. Vitongoji hivyo viko Ludewa, mkoani Njombe, na vingine Kyela, mkoani Mbeya, ambavyo ndani ya mwezi ujao vitafaidika na umeme wa uhakika. - [Tume yabaini ongezeko la mifugo, makazi Ngorongoro](https://habarileo.co.tz/tume-yabaini-ongezeko-la-mifugo-makazi-ngorongoro/) - TUME ya Rais ya Kutathmini Matumizi ya Ardhi katika Wilaya ya Ngorongoro imebaini ongezeko la watu, mifugo na makazi ndani ya hifadhi, jambo linaloongeza shinikizo kwenye ardhi na kuathiri mfumo wa ikolojia. Mwenyekiti wa tume, Jaji mstaafu Dk Gerald Ndika, amesema uhamaji wa hiari na hatua za kuondoa uvamizi zimetumika kwa nia njema, lakini changamoto - ['Uamuzi kuhamisha wananchi ulikuwa sahihi’](https://habarileo.co.tz/uamuzi-kuhamisha-wananchi-ulikuwa-sahihi/) - TUME ya Rais ya Kutathmini Uhamaji wa Hiari ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro imesema uamuzi wa serikali wa kuhamisha wananchi kwa hiari ulikuwa sahihi, ingawa utekelezaji wake haukufikia matarajio kutokana na changamoto za uratibu, ushirikishwaji wa wananchi na mabadiliko ya miongozo. - [Samia aagiza Ngorongoro ilindwe](https://habarileo.co.tz/samia-aagiza-ngorongoro-ilindwe/) - RAIS Samia Suluhu Hassan amehimiza Watanzania washirikiane kulinda na kuhifadhi Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kwa manufaa ya taifa na dunia. Kauli hiyo aliitoa jana Ikulu ya Chamwino, Dodoma, baada ya kupokea taarifa za Tume ya Kutathmini Mgogoro wa Ardhi katika eneo la hifadhi na utekelezaji wa zoezi la uhamaji wa hiari kwa wakazi wa eneo hilo. - ['Tuongeze uzalishaji wa nguzo za zege'](https://habarileo.co.tz/tuongeze-uzalishaji-wa-nguzo-za-zege/) - KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea na kukagua mradi wa kiwanda cha uzalishaji wa nguzo za zege (TCPM) kilichopo mkoani Tabora kwa lengo la kujiridhisha na utekelezaji wake. Kamati hiyo imeishauri Serikali kuongeza idadi ya viwanda vya uzalishaji wa nguzo hizo ili kusaidia kukidhi mahitaji ya miundombinu ya umeme nchini. - [Kamati ya Bunge yapongeza huduma za mama na mtoto](https://habarileo.co.tz/hospitali-zahimizwa-kuboresha-huduma-za-uzazi/) - KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imetoa maelekezo kwa hospitali zote nchini kufuata miongozo ya Bunge katika kuimarisha programu za afya ya mama na mtoto. - [Ushirikiano wahitajika chakula shuleni](https://habarileo.co.tz/ushirikiano-wahitajika-chakula-shuleni/) - NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidhi Ameir ametoa wito kwa wadau wa elimu, wazazi na jamii kwa ujumla kushirikiana na Serikali kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula bora na maji safi wakiwa shuleni ili kuboresha afya zao na kuongeza ufaulu wa kitaaluma. - [Wakazi wa Pemba dumisheni amani](https://habarileo.co.tz/wakazi-wa-pemba-dumisheni-amani/) - RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika futari ya pamoja aliyowaandalia. - [Kamati ya Bunge yaridhishwa kasi ujenzi jengo jipya CBE](https://habarileo.co.tz/kamati-ya-bunge-yaridhishwa-kasi-ujenzi-cbe/) - DAR ES SALAAM; Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deodatus Mwanyika, ameeleza kuridhishwa kwake na hatua ya ujenzi wa jengo la kisasa la Vipimo na Viwango katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) jijini Dar es Salaam. Akizungumza Machi 12, 2026, Mwanyika amebainisha kuwa mradi huo wa ghorofa - [CCM kuzingatia mgawanyo walimu sekondari Kahasa](https://habarileo.co.tz/ccm-kuzingatia-mgawanyo-walimu-sekondari-kahasa/) - MWANZA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema atahakikisha mgawanyo wa walimu unazingatia Shule ya Sekondari Kahasa ili kuhakikisha wanafunzi wanapata walimu wa kutosha na mazingira bora ya kujifunza. Kihongosi ameeleza hayo leo Machi 12,2026 alipotembelea na kukagua mradi huo wa shule uliopo katika Kata ya Ilemela - ['Kuna ongezeko kubwa wagonjwa wa figo nchini'](https://habarileo.co.tz/kuna-ongezeko-kubwa-wagonjwa-wa-figo-nchini/) - DAR ES SALAAM : Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imeadhimisha siku ya Figo Duniani inayofanyika Alhamisi ya pili ya mwezi Machi kila mwaka na kueleza uwepo wa ongezeko kubwa la wagonjwa wa figo nchini, wengi wao wakiwa na umri kuanzia miaka 40 hadi 50, huku wagonjwa 100 wakipandikizwa figo. Akizungumza katika maadhimisho hayo jijni - [Samia kuzindua mfuko kuwezesha vijana sekta ubunifu](https://habarileo.co.tz/samia-kuzindua-mfuko-kuwezesha-vijana-sekta-ubunifu/) - ARUSHA; WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetangaza kuzindua rasmi Mfuko wenye jumla ya Sh Bilioni 50 kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu nchini. Akizungumza jijini Arusha Machi 11, 2026, Waziri wa wizara hiyo, Paul Makonda amesema mfuko huo unatarajiwa kuzinduliwa na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, ukiwa - [TGNP yajadili ukombozi wa mwanamke](https://habarileo.co.tz/tgnp-yajadili-ukombozi-wa-mwanamke/) - DAR ES SALAAM: Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kukutanisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwa lengo la kujadili namna ya kumkomboa mwanamke kiuchumi, kupambana na unyanyasaji wa kijinsia pamoja na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake. Maadhimisho hayo yamefanyika jijini Dar es Salaam na yanatarajiwa kuendelea kwa kipindi cha mwezi - [Tanzania, Uganda kuimarisha ushirikiano sekta mbalimbali](https://habarileo.co.tz/tanzania-uganda-kuimarisha-ushirikiano-sekta-mbalimbali/) - DAR ES SALAAM; KATIKA jitihada za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kukuza maendeleo ya pamoja ukanda wa Afrika Mashariki, serikali za Tanzania na Uganda zimeanza majadiliano ya pamoja yanayolenga kuimarisha ushirikiano wa sekta mbalimbali ikiwemo siasa, elimu, uchumi, biashara na kilimo. Mazungumzo hayo yanatarajiwa kufungua fursa mpya za maendeleo na kuongeza ushirikiano wa kiuchumi kati - [Idd kitaifa Dar, Samia mgeni kwenye Baraza](https://habarileo.co.tz/idd-kitaifa-dar-samia-mgeni-kwenye-baraza/) - DAR ES SALAAM: SHEREHE za Sikukuu ya Eid el-Fitri zinatarajiwa kuwa Machi 20 au 21. 2026 kutegemea mwandamo wa mwezi. Taarifa iliyotolewa leo Machi 12, 2026 na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Alhaji Nuhu Mruma imesema swala ya Idd kitaifa itaswaliwa Msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni, Dar es Salaam. “Swala - ['Serikali imeanza ujenzi wodi mpya 35 za watoto'](https://habarileo.co.tz/serikali-imeanza-ujenzi-wodi-mpya-35-za-watoto/) - DAR ES SALAAM; NAIBU Waziri wa Afya,Dk Florence Simizi, amesema serikali imeanza hatua ya utekelezaji wa ujenzi wodi mpya 35 za watoto wachanga nchini, ambapo 15 zitakuwa katika hospitali za mikoa na 20 katika hospitali za halmashauri. Akizungumza wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, ilipotembelea Hospitali ya Rufaa ya - [Programu kuharakisha mfumo ubunifu yazinduliwa](https://habarileo.co.tz/programu-kuharakisha-mfumo-ubunifu-yazinduliwa/) - DAR ES SALAAM; TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kushirikiana na Sahara Ventures, imezindua rasmi programu ya kitaifa ya kuharakisha ukuaji wa biashara changa na kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini (Tanzania Ventures Lab). Mfumo huo utalenga kuunganisha wabunifu, watafiti, wawekezaji kutoka sekta binafsi, na taasisi za serikali ili kuboresha uhusiano wa kijamii - [Vijana washauriwa kuwasilisha bunifu zao kujiwekeza](https://habarileo.co.tz/vijana-washauriwa-kuwasilisha-bunifu-zao-kujiwekeza/) - DAR ES SALAAM: VIJANA ambao wanamiliki kampuni changa wameshauriwa kuwasilisha mawazo yao ya ubunifu, ili kuendelea kujiimarisha kwenye uwekezaji. Akizungumza jana, Rodrique Msechu, mwanzilishi wa kampuni ya Serengeti Business Angels Network, alisema lengo ni kuwapa wawekezaji fursa ya kufanya nao biashara na uwekezaji. "Wito wangu kwa vijana, wajaribu kujitolea kwenye kampuni kama hizi, utajifunza mambo - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-132/) - Waridi Maana (Meaning in English):Waridi ni ua zuri lenye harufu nzuri.Kwa Kiingereza huitwa rose. Asili (Origin): Neno waridi lina asili ya Kiarabu “ward”, ambalo pia linamaanisha rose flower. Mfano wa sentensi: Kiswahili:Bustanini kuna waridi wengi wenye harufu nzuri. English:There are many roses in the garden with a nice smell. Asumini Maana (Meaning in English): Asumini - [Polisi wanawake Geita waipa tano Magereza Chato](https://habarileo.co.tz/polisi-wanawake-geita-waipa-tano-magereza-chato/) - GEITA; MTANDAO wa Polisi Wanawake (PFT-NET) mkoa wa Geita, umeeleza kuridhishwa na kuunga mkono programu ya ustadi, uwezo na maarifa inayotolewa na Jeshi la Magereza wilayani Chato kwa wafungwa. Programu hiyo inahusisha utekelezaji kwa vitendo mkakati wa Kisayansi wa kuwajengea umahiri katika Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wafungwa na mahabusu. Hayo yameelezwa na Kamishina - ['Timiza Fund imekuwa chachu ya mafanikio'](https://habarileo.co.tz/timiza-fund-wajivunia-mafanikio-waliyopata/) - DAR ES SALAAMM; Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Zan Securities Limited, Raphael Masumbuko, amesema uwekezaji wa pamoja umeanza kuwa chachu ya kuwainua kiuchumi Watanzania wengi. Amesema hatua hiyo inatokana na mafanikio makubwa ambayo Timiza Fund imeyapata kwa kuwa na ongezeko kubwa la wawekezaji na thamani ya mfuko tangu ulipoanzishwa mwaka 2024. Ameeleza kuwa Zan Securities - [Sekta binafsi kuchangia tril 60/- Mpango wa Maendeleo](https://habarileo.co.tz/sekta-binafsi-kuchangia-tril-60-mpango-wa-maendeleo/) - SERIKALI imesema sekta binafsi inatarajiwa kuchangia Sh trilioni 60.1 katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2026/2027 ambazo ni sawa na asilimia 69.6 ya kiasi kitakachotumika. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo alisema hayo wakati akiwasilisha kwa wabunge mapendekezo ya serikali ya mpango huo Dodoma jana. Profesa Kitila - [Samia: Tutaendelea kulinda amani](https://habarileo.co.tz/samia-tutaendelea-kulinda-amani/) - RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kulinda amani, umoja wa kitaifa na utulivu wa kisiasa. Alisema hayo alipopokea salamu za Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres zilizowasilishwa kwake na Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa UN, Parfait Onanga-Anyanga, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma jana na akasema utulivu kisiasa umekuwa msingi wa maendeleo - [Serikali yapendekeza bajeti tril 62/-, vipaumbele vitano](https://habarileo.co.tz/serikali-yapendekeza-bajeti-tril-62-vipaumbele-vitano/) - SERIKALI imetaja vipaumbele vitano katika mapendekezo ya mfumo na ukomo wa bajeti kwa mwaka 2026/2027. Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar alisema hayo wakati wa kuwasilisha mapendekezo ya Mfumo na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2026/2026 katika mkutano wa wabunge wote Dodoma jana. Balozi Omar alisema serikali inakadiria kukusanya na - [Wajishindia mil 17 na kuinua uchumi wao](https://habarileo.co.tz/wajishindia-mil-17-na-kuinua-uchumi-wao/) - Wajasiriamali watatu wenye ulemavu wamejishindia jumla ya Sh milioni 17 kama mtaji wa kuendeleza biashara zao baada ya kuibuka washindi katika mashindano ya Wazo Bora Pitch yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yaliwashirikisha wajasiriamali 15 waliopitia mafunzo maalumu ya kuboresha mifumo ya biashara, usimamizi wa fedha pamoja na maandalizi ya kupata uwekezaji. Katika matokeo - [Elimu ya faragha yafikishwa kwa wasioona](https://habarileo.co.tz/pdpc-yazindua-elimu-ya-faragha-kwa-watu-wasioona/) - TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeanza mkakati maalum wa kuwafikia watu wenye mahitaji maalum kwa kuwapa elimu ya faragha na kuelimisha kuhusu haki zao wanapokuwa kwenye mitandao ya kijamii. TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeanza mkakati maalum wa kuwafikia watu wenye mahitaji maalum kwa kuwapa elimu ya faragha na kuelimisha kuhusu haki zao wanapokuwa kwenye mitandao ya kijamii. - [Tume yakutana na mwakilishi UN](https://habarileo.co.tz/tume-yakutana-na-mwakilishi-un/) - TUME ya Uchunguzi ya matukio ya uvunjifu wa amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Parfait Onanga Anyanga. TUME ya Uchunguzi ya matukio ya uvunjifu wa amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Parfait Onanga Anyanga. - ['Matumizi ya Kiswahili sekondari yanajitaji tafiti za kina'](https://habarileo.co.tz/matumizi-ya-kiswahili-sekondari-yanajitaji-tafiti-za-kina/) - MWANZA: KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amesema wazo la kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia kuanzia shule za msingi hadi sekondari ni zuri, lakini utekelezaji wake unahitaji tafiti za kina ili kuhakikisha wataalamu wa Tanzania wanaendelea kushindana kimataifa. Kihongosi ameyasema hayo leo Machi 11,2026 alipokuwa akizungumza na - [Tanzania yapongezwa kukabili magonjwa mlipuko](https://habarileo.co.tz/tanzania-yapongezwa-kukabili-magonjwa-mlipuko/) - KAGERA: Ubalozi wa Uingereza nchini umeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mikakati na jitihada za kukabiliana na magonjwa ya mlipuko hasa ugonjwa wa Marburg uliotokea mkoani Kagera kwa vipindi viwili tofauti. Naibu Kamishna wa Ubalozi huo, Sally Hedley ametoa pongezi hizo leo Machi 11, wakati wa ziara yake ya siku tatu mkoani Kagera ambapo alisema lilikuwa - [PBPA yasisitiza ushirikiano, uwajibikaji kuongeza tija kazini](https://habarileo.co.tz/pbpa-yasisitiza-ushirikiano-uwajibikaji-kuongeza-tija-kazini/) - PWANI: Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wametakiwa kuzingatia uadilifu, uwazi na weledi katika kuwasilisha na kushughulikia changamoto za watumishi wanaowawakilisha, ili kuongeza ufanisi na tija katika utendaji kazi wa taasisi. Wito huo umetolewa leo Machi 11, 2026 na Meneja wa Fedha na Mipango wa PBPA, Kedron Mbwilo, - [Rais Samia amuasili mtoto aliyetelekezwa Nzega](https://habarileo.co.tz/rais-samia-amuasili-mtoto-aliyetelekezwa-nzega/) - DODOMA: Rais Dk Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo Machi 11, 2026 Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Mtoto huyo alipewa jina la Grace Samia Suluhu, alitelekezwa mjini Nzega, mkoani Tabora, na amekabidhiwa kwa Rais Dk Samia na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Naitapwaki Tukai. Akizungumza wakati wa kumkabidhi mtoto huyo, Mkuu wa Wilaya - [Kihongosi: Msibebe ajenda, msitumike](https://habarileo.co.tz/kihongosi-msibebe-ajenda-msitumike/) - MWANZA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amewataka wananchi kutokubali kutumika vibaya kwa kubeba ajenda za watu wasizozijua. Kihongosi ameeleza hayo leo Machi 10,2026 alipohudhuria kikao cha Shina namba mbili Tawi la Mashineni Kata ya Itumbili Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, ikiwa ni mwendelezo wa zoara yake - [JKCI, Selian wajipanga AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/jkci-selian-wajipanga-afcon-2027/) - FAINALI za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) zitafanyika mwaka 2027 kwa ushirikiano wa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Kutokana na hali hiyo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Hospitali ya Selian (ALMC) ya jijini Arusha, zimeunda kamati maalumu ya kuboresha miundombinu na huduma mbalimbali za afya. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha - [Mkumbo, SBL wateta mageuzi ya uchumi kupitia PPP](https://habarileo.co.tz/mkumbo-sbl-wateta-mageuzi-ya-uchumi-kupitia-ppp/) - Katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo Jumanne, kampuni hiyo iliwakilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Paul Makanza............... - ['Elite', matumizi ya kadi yaipaisha Exim](https://habarileo.co.tz/elite-matumizi-ya-kadi-yaipaisha-exim/) - “Tuzo za Mastercard ni uthibitisho wa mkakati wetu wa kubadilisha na kuinua viwango vya huduma za kibenki za hadhi ya juu nchini Tanzania, anasema Lyimo - [Mamkwe ahimiza ushiriki wa wanawake sekta za maendeleo](https://habarileo.co.tz/mamkwe-ahimiza-ushiriki-wa-wanawake-sekta-za-maendeleo/) - Kongwa, Dodoma: Wajiriwa wanawake wanaofanya kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliungana na wenzao kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani katika maadhimisho yaliyofanyika wilayani Kongwa, mkoani Dodoma huku wakisisitiza ushiriki wa kundi hilo katika mnyororo wa thamani katika sekta za maendeleo. Akizungumza mara baada ya maadhimisho hayo, Kaimu Mwenyekiti wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa - ['Drone' kutumika kudhibiti tembo Bariadi Vijijini](https://habarileo.co.tz/drone-kutumika-kudhibiti-tembo-bariadi-vijijini/) - SIMIYU: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeahidi kuwa serikali itapeleka ndege nyuki (Drone) kwa ajili ya kufukuza Tembo ambao wamekuwa changamoto kwa wananchi wa jimbo la Bariadi Vijijini. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenan Kihongosi ameyasema hayo wakati akizungumzia changamoto hiyo iliyotolewa na Mbunge wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa. Kihongosi - [Wadau wataka mazungumzo kumaliza migogoro ya dunia](https://habarileo.co.tz/wadau-wataka-mazungumzo-kumaliza-migogoro-ya-dunia/) - DAR ES SALAAM: WADAU wa masuala ya amani na viongozi wa dini wameguswa na kile kinachoendelea kati ya Iran, Marekani na Israel na kuzihimiza nchi hizo zinazokinzana kukaa mezani na kufanya mazungumzo ili kumaliza migogoro inayoendelea na kurejesha amani ya dunia. Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam wakati wa kongamano la kumbukumbu ya kiongozi - [Wabunge Chato kortini tuhuma za rushwa](https://habarileo.co.tz/wabunge-chato-kortini-tuhuma-za-rushwa/) - GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, wabunge wa majimbo ya Chato Kaskazini na Chato Kusini wakituhumiwa vitendo vya rushwa. Washitakiwa wengine ni madiwani wanne wa kata tofauti katika Halmashauri ya Wilaya ya Chato, ambao wanadaiwa kushirikiana na wabunge haokupanga na kutekeleza vitendo vya - [Wataalamu wajadili vifo wajawazito, watoto](https://habarileo.co.tz/wataalamu-wajadili-vifo-wajawazito-watoto/) - KIGOMA: WATAALAMU wa afya ya uzazi wamekutana mkoani Kigoma kufanya tathmini kufuatia changamoto mbalimbali zinazochangia kuendelea kwa vifo vya wajawazito na watoto. Kikao hicho kinafanyika ikiwa utekelezaji wa awamu ya pili ya mradi wa kunusuru vifo vya wajawazito na watoto unaotekelezwa na Shirika la Thamini Uhai. Aidha, ukaguzi uliofanywa kwenye vituo 138 vya kutoa huduma - [Waliopisha ujenzi soko kuu Bariadi kupewa kipaumbele](https://habarileo.co.tz/waliopisha-ujenzi-soko-kuu-bariadi-kupewa-kipaumbele/) - SIMIYU: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza serikali ya Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu kuhakikisha wafanyabishara waliopisha ujenzi wa Soko Kuu la Bariadi wapewe vipaumbele kabla kuruhusu watu wapya. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenan Kihongosi ameelekeza hayo leo Machi 9,2026 alipokagua mradi wa ujenzi wa soko hilo linalojengwa wilayani - [Bil 5.3/- zawezesha wanawake Moro](https://habarileo.co.tz/bil-5-3-zawezesha-wanawake-moro/) - MOROGORO: WANAWAKE 8,248 wa Mkoa wa Morogoro wamepata mipoko yenye thamani ya Sh bilioni 5.3 kupitia vikundi vyao kwa ajili ya kuwainua kiuchumi katika kipindi cha mwaka 2025 . Mwenyekiti wa Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Mkoa wa Morogoro, Sharifa Bofu, amesema hayo kupitia risala ya wanawake wa mkoa huo kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani - [RC Shinyanga anogesha siku ya wanawake duniani](https://habarileo.co.tz/rc-shinyanga-anogesha-siku-ya-wanawake-duniani/) - SHINYANGA: KIKUNDI cha Mwanamke Chuma wilayani Kahama kimemkabidhi keki mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa niaba ya wanawake wote katika kusherekea Siku ya Wanawake Duniani. Mkuu wa Mkoa Mhita amekabidhiwa keki hiyo na Mkurugenzi wa kituo cha Redio Gold FM, Neema Mgheni ambaye anaratibu shughuli za mwanamke chuma katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani iliyofanyika - [Sh bil 1 kuwezesha wanawake kiuchumi Ushetu](https://habarileo.co.tz/sh-bil-1-kuwezesha-wanawake-kiuchumi-ushetu/) - SHINYANGA: Vikundi viwili vya wanawake halmashauri za wilaya ya Ushetu na Shinyanga vimekabidhiwa hundi yenye zaidi ya Sh bilioni 1.6 kutoka mapato ya ndani kwa ajili ya kujiwezesha kiuchumi. Hundi hizo zilikabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo kimkoa yalifanyika kata ya Uyogo Halmshauri ya - [Wanawake washauriwa kuzingatia vigezo mikopo](https://habarileo.co.tz/wanawake-washauriwa-kuzingatia-vigezo-mikopo/) - DAR ES SALAAM: WATAALAMU na washauri wa masuala ya fedha kutoka Brac Tanzania Limited wamewataka wanawake kuacha kutanguliza shida binafsi wanapohitaji mikopo, badala yake kuzingatia vigezo na masharti ya kisheria. Wakizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, wataalamu hao wamewataka wanawake kuzingatia elimu ya fedha kabla ya kuchukua mikopo. - [WLF yajizatiti kumaliza tofauti za kiitikadi kwa wanawake](https://habarileo.co.tz/wlf-yajizatiti-kumaliza-tofauti-za-kiitikadi-kwa-wanawake/) - GEITA: JUKWAA la Viongozi Wanawake (WLF) limetangaza kuja na mipango mikakati inayoazimia kuunganisha makundi yote ya wanawake pasipo kujali tofauti za kiitikadi za dini, siasa na elimu. Mwakilishi wa WLF, Evelyne Munisi amebainisha hayo katika hafla ya kilele cha siku ya wanawake duniani mkoa wa Geita iliyoambatana na uzinduzi wa mradi wa PAMOJA kitaifa. Amesema - [Malima ataka uwajibikaji changamoto za wanawake](https://habarileo.co.tz/malima-ataka-uwajibikaji-changamoto-za-wanawake/) - MOROGORO: MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaagiza watendaji wa mitaa, vijiji na kata za mkoa huo kushughulikia kikamilifu migogoro ya ardhi inayowakabili wanawake wanaponyang’anywa umiliki baada ya wanaume wao kufariki au kutengena pamoja na kudhibiti unyanyasaji wa kijinsia Malima ametoa agizo hilo katika hotuba yake kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoanzimishwa - [Kihongosi: CCM baba wa demokrasia](https://habarileo.co.tz/kihongosi-ccm-baba-wa-demokrasia/) - TILIMA: KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema CCM ndiyo baba wa demokrasia nchini kwani ndiyo chanzo cha kuzaliwa kwa vyama vingine vya siasa na utawala wa vyama vingi. Kihongosi ameeleza hayo leo Machi 8, 2026 wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata - [Sh mil 250 kujenga zahanati Mwamapalala](https://habarileo.co.tz/sh-mil-250-kujenga-zahanati-mwamapalala/) - SIMIYU: SERIKALI imetoa fedha kiasi cha Sh milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati ya Mwamapalala iliyopo katika Kata ya Mwamapalala wilayani Itilima mkoani Simiyu. Lengo likiwa ni kuwezesha kata hiyo kupata huduma za afya katika maeneo ya karibu na nafuu kwani hapo awali kata hiyo haikuwa na kituo cha afya pia kusogeza upatikanaji - [Tanesco yapewa siku 7 kufikisha umeme bweni la Shishiyu](https://habarileo.co.tz/tanesco-yapewa-siku-7-kufikisha-umeme-bweni-la-shishiyu/) - SIMIYU: KATIBU wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametoa siku saba kwa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuhakikisha umeme umefika katika bweni ya wasichana katika Shule ya Sekondari Shishiyu wilayani Maswa mkoani Simiyu. Kihongosi ametoa agizo hilo alipofika katika shule hiyo na kukagua bweni hilo mkoani himo ikiwa ni - [IGP mstaafu Mahita atimiza umri wa miaka 80](https://habarileo.co.tz/igp-mstaafu-mahita-atimiza-miaka-80/) - MOROGORO; MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Omari Mahita (kulia), akiwa na Diwani wa Kata ya Kariakoo Dar es Salaam na msemaji wa zamani wa klabu za Simba na Yanga, Haji Manara, wakati wa dua maalumu na futari ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya IGP Mahita, ambaye ametimiza umri wa - [BUWASA yawakumbuka wenye uhitaji](https://habarileo.co.tz/buwasa-yawakumbuka-wenye-uhitaji/) - BUKOBA: MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA) imetoa msaada na vifaa vya shule katika kituo cha watoto wenye uhitaji cha Tumaini Children Center kilichopo mtaa wa Kyakairwabwa, kata ya Nyanga, Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera. Ofisa Uhusiano wa BUWASA, Juliethi Shangali amesema wafayakazi wanawake wa taasisi hiyo na wadau wa maji wameona - [CCM yagusia zao la pamba](https://habarileo.co.tz/ccm-yagusia-zao-la-pamba/) - MASWA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kuisimamia na kusisitiza serikali kuhakikisha bei ya pamba inamnufaisha mkulima. Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ameeleza hayo leo Maci 7,2026 alipotembelea mradi wa shamba la pamba lililopo katika Kijiji cha Mwantumbe Kata Shishiyu wilayani Maswa mkoani Simiyu. Kihongosi amesema Mkoa - [Wananchi Simiyu wakumbushwa fursa](https://habarileo.co.tz/wananchi-simiyu-wakumbushwa-fursa/) - MASWA: WANANCHI wa Mkoa wa Simiyu wametakiwa kutumia fursa zinazopatikana kwatika mkoa huo ili kuharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwao binafsi na taifa kwa ujumla. Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ameeleza hayo leo Machi 7,2026 katika kikao cha Shina namba mbili Kijiji cha Njiapanda Kata - [Museveni ateuliwa Mwenyekiti EAC](https://habarileo.co.tz/museveni-ateuliwa-kuwa-mwneyekiti-mpya-eac/) - RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja katika mkutano wa 25 wa kawaida wa Wakuu wa Nchi wa jumuiya hiyo. RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja katika mkutano wa 25 wa kawaida wa Wakuu wa Nchi wa jumuiya hiyo. - [Wanachuo 17 mbaroni kumng’oa meno mlinzi](https://habarileo.co.tz/wanachuo-17-mbaroni-kumngoa-meno-mlinzi/) - MKUU wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amethibitisha kukamatwa kwa wanachuo 17 wa Chuo cha Ardhi tawi la Tabora kwa tuhuma za kumpiga mlinzi wa chuo hicho na kumng’oa meno manne. MKUU wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amethibitisha kukamatwa kwa wanachuo 17 wa Chuo cha Ardhi tawi la Tabora kwa tuhuma za kumpiga mlinzi wa chuo hicho na kumng’oa meno manne. - [TPF-NET yatua wodi ya waliojifungua Katoro](https://habarileo.co.tz/tpf-net-yatua-wodi-ya-waliojifungua-katoro/) - GEITA: Mtandao wa Polisi Wanawake (TPF-NET) mkoa wa Geita umetembelea na kutoa zawadi kwa kina mama waliojifungua katika wodi ya wanawake iliyopo kituo cha afya Katoro wilayani Geita. Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polis (SACP) Safia Jongo ameongoza ziara hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani. - [Wanawake wahimizwa kupima afya mapema](https://habarileo.co.tz/wanawake-wahimizwa-kupima-afya-mapema/) - KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, wanawake wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao mapema, hususan kwa magonjwa yanayoathiri zaidi kundi hilo kama saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti. KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, wanawake wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao mapema, hususan kwa magonjwa yanayoathiri zaidi kundi hilo kama saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti. - [TAHEA yahamasisha jamii Iringa kupinga ukatili wa kijinsia](https://habarileo.co.tz/tahea-yahamasisha-jamii-iringa-kupinga-ukatili-wa-kijinsia/) - IRINGA: Wakati jitihada za kupinga ukatili wa kijinsia zikiendelea nchini, wadau wa maendeleo wanaendelea kuhamasisha jamii kuongeza uelewa na kuchukua hatua za kukomesha vitendo hivyo vinavyoathiri zaidi wanawake na wasichana. Katika kuunga mkono juhudi hizo, Shirika la TAHEA Tanzania kupitia Mradi wa REST limeendesha mdahalo wa wazi kwa wananchi wa Kata ya Mseke, Wilaya ya - [Dar yaomba bajeti Sh bil 992 miradi, mishahara](https://habarileo.co.tz/dar-yaomba-bajeti-sh-bil-992-miradi-mishahara/) - DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema mkoa huo unaomba kuidhinishiwa bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2027 yenye jumla ya Sh bilioni 992 na milioni 601 kwa ajili ya kugharamia shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na mishahara ya watumishi. Akizungumza jana jijini humo katika kikao cha RCC, Chalamila amewashukuru - [Ujenzi waiva kituo cha polisi Mchinga](https://habarileo.co.tz/ujenzi-waiva-kituo-cha-polisi-mchinga/) - LINDI: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema Serikali itaanza ujenzi wa kituo kipya cha Polisi cha Mchinga kwa lengo la kuboresha mazingira ya kazi kwa askari na kuongeza ubora wa huduma za usalama kwa Wananchi kufuatia ukuaji wa shughuli za kiuchumi katika eneo hilo. Akizungumza leo mara baada ya - ['Vyombo vya ulinzi na usalama viheshimiwe'](https://habarileo.co.tz/vyombo-vya-ulinzi-na-usalama-viheshimiwe/) - SHINYANGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCMA), Kenani Kihongosi amewataka wananchi kuheshimu vyombo vya ulinzi na usalama, kwani wamekula kiapo cha kulilinda taifa hadi kufa. Kihongosi ameeleza hayo Machi 6,2026 jioni wakati akizungumza na wananchi katika viwanja vya shule ya Msingi Town Halmashauri ya Shinyanga Mjini mkoani Shinyanga, ikiwa - [Shinyanya kuwa kitovu uchumi kanda ya ziwa](https://habarileo.co.tz/shinyanya-kuwa-kitovu-uchumi-kanda-ya-ziwa/) - SERIKALI ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imejipanga kuhakikisha Mkoa wa Shinyanga unakuwa kitovu cha uchumi katika Kanda ya Ziwa. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema hayo leo Machi 6,2026 alipokuwa akikagua mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege - [Masauni atoa maagizo matano bodi ya NCMC](https://habarileo.co.tz/masauni-atoa-maagizo-matano-bodi-ya-ncmc/) - DAR ES SALAAM: Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ametoa maagizo matano kwa Bodi ya Kituo Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC) kilichopo Morogoro mara baada ya kuizindua bodi hiyo. Waziri Masauni ametoa maagizo hayo Machi 6, 2026 wakati wa uzinduzi wa Bodi hiyo jijini Dar es - [Vijana kupewa nafasi ushirikiano CCM, Frelimo](https://habarileo.co.tz/vijana-kupewa-nafasi-ushirikiano-ccm-frelimo/) - DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Frelimo cha Msumbiji vimekubaliana kuwashirikisha vijana ili wafahamu uhusiano uliopo kati ya vyama hivyo na kuhakikisha wananchi wa mataifa hayo wanakuwa na uhuru wa kiuchumi. Pia, vimekubaliana kutengeneza fursa za ajira, hasa kwa kundi la vijana ambalo baada ya kupata elimu kupitia shule na vyuo - [Mkandarasi aelekezwa kuongeza kasi ujenzi stendi](https://habarileo.co.tz/mkandarasi-aelekezwa-kuongeza-kasi-ujenzi-stendi/) - SINYANGA: MKANDARASI aliyepewa kazi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya Katunda mkoani shinyanga ameelekezwa kuongeza kasi ya utekelezaji ili mradi uweze kukamilika na kutoa hudu kwa wakati. Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi an Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCMA, Kenani Kihongosi ametoa agizo hilo leo Machi 6,2026 alipotembelea na - [Mkurugenzi Mtendaji TSN asifu mchango wanawake](https://habarileo.co.tz/mkurugenzi-mtendaji-tsn-asifu-mchango-wanawake/) - DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Asha Dachi, amepongeza kuongezeka kwa ushiriki wa wanawake katika nafasi za uongozi na maendeleo ya taifa, akisema mchango wao unaendelea kukua katika sekta mbalimbali za uchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Machi 6, 2027 kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani - [Kampuni yaiunga mkono serikali suala la ajira](https://habarileo.co.tz/105108-2/) - DAR ES SALAAM: Katika kuunga mkono juhudi za serikali pamoja na kutanua fursa ya viwanda ili kuendana na Dira 2050, Kampuni ya Sika Tanzania imewaajiri watanzania katika viwanda lengo ni kuimarisha uchumi wa nchi na maisha ya Watanzania kwa ujumla . Hayo ameyasema Mkuu wa Kitengo Cha Masoko na Usambazaji Kampuni ya Sika Tanzania Sophia - [Ayoub ahimiza ufanisi huduma zimamoto](https://habarileo.co.tz/ayoub-ahimiza-ufanisi-huduma-zimamoto/) - MWANZA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahomud amewahimiza askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuongeza uwajibikaji katika utoaji huduma kwa kufika kwa wakati katika maeneo ya matukio. Amesema Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika kuboresha miundombinu na vitendea kazi ili kuongeza ufanisi wa jeshi hilo. Naibu Waziri Ayoub - [Wanawake Handeni Mji wafundwa teknolojia kiuchumi](https://habarileo.co.tz/wanawake-handeni-mji-wafundwa-teknolojia-kiuchumi/) - HANDENI, Tanga; Wanawake katika Halmashauri ya Mji Handeni wametakiwa kutumia simu janja na teknolojia ya kidijitali kwa kuwa ni nyenzo muhimu ya kukuza biashara na kujikwamua kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatikana mtandaoni. Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese amesema hayo wakati akizindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi katika kongamano la wanawake lililofanyika mjini Handeni. - [Dk Gwajima ataka wanawake kutumia nishati safi kupikia](https://habarileo.co.tz/dk-gwajima-ataka-wanawake-kutumia-nishati-safi-kupikia/) - WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewataka wanawake kuwa mstari wa mbele kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia umeme ili kulinda afya za familia, mazingira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika jamii. WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewataka wanawake kuwa mstari wa mbele kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia umeme ili kulinda afya za familia, mazingira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika jamii. - [Utangazaji redio kidijiti kuanza mikoa mitano](https://habarileo.co.tz/utangazaji-redio-kidijiti-kuanza-mikoa-mitano/) - MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema huduma za maudhui ya redio kidijiti (DSB) Tanzania zitaanza mikoa mitano. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk Jabiri Bakari amesema kila mtoa huduma za urushaji maudhui hayo amepangiwa eneo moja la huduma katika Mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Dodoma, Mwanza na Mbeya. “Watoa huduma hao wameshinda zabuni iliyotangazwa na TCRA mwaka jana kwa urushaji kutumia bendi mbili za kimataifa za radio kidijiti,” alisema Dk Bakari. MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema huduma za maudhui ya redio kidijiti (DSB) Tanzania zitaanza mikoa mitano. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk Jabiri Bakari amesema kila mtoa huduma za urushaji maudhui hayo amepangiwa eneo moja la huduma katika Mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Dodoma, Mwanza na Mbeya. “Watoa huduma hao wameshinda zabuni iliyotangazwa na TCRA mwaka jana kwa urushaji kutumia bendi mbili za kimataifa za radio kidijiti,” alisema Dk Bakari. - [Mwigulu awaonya watumishi wazembe](https://habarileo.co.tz/mwigulu-angangana-na-watumishi-wazembe/) - WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameonya watumishi wezi na wazembe. Dk Mwigulu alitoa onyo hilo aliposimama kusikiliza kero za wafanyabiashara katika Soko la Machinga jijini Dodoma. WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameonya watumishi wezi na wazembe. Dk Mwigulu alitoa onyo hilo aliposimama kusikiliza kero za wafanyabiashara katika Soko la Machinga jijini Dodoma. - [TMRC kuwawesha wananchi kupata makazi](https://habarileo.co.tz/wakipato-cha-chini-kuwezeshwa-kumiliki-makazi/) - SERIKALI imesema itaendelea kushirikiana na taasisi za fedha kuiwezesha sekta ya fedha kupata mikopo yenye gharama nafuu ili kuisaidia jamii ya kipato cha chini kumiliki makazi bora. Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Ali Munde alisema hayo hayo Dar es Salaam akizindua huduma ya mikopo midogo ya makazi Dar es Salaam kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar. SERIKALI imesema itaendelea kushirikiana na taasisi za fedha kuiwezesha sekta ya fedha kupata mikopo yenye gharama nafuu ili kuisaidia jamii ya kipato cha chini kumiliki makazi bora. Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Ali Munde alisema hayo hayo Dar es Salaam akizindua huduma ya mikopo midogo ya makazi Dar es Salaam kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar. - [SMZ kuboresha usafiri wa anga](https://habarileo.co.tz/zbar-yaweka-mikakati-kuboresha-usafiri-anga/) - SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeeleza mikakati ya kuimarisha usafiri wa anga ikiwamo kuboresha Kiwanja cha Ndege cha Pemba. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amesema hayo wakati akitoa taarifa kuhusu mafanikio ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi katika siku 100 madarakani juzi. SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeeleza mikakati ya kuimarisha usafiri wa anga ikiwamo kuboresha Kiwanja cha Ndege cha Pemba. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amesema hayo wakati akitoa taarifa kuhusu mafanikio ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi katika siku 100 madarakani juzi. - [Mkandarasi kiwanda cha TSN aongezewa miezi 3](https://habarileo.co.tz/mkandarasi-kiwanda-cha-tsn-aongezewa-miezi-3/) - MKANDARASI anayejenga Kiwanda cha Uchapaji cha Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) ameongezewa miezi mitatu akamilishe kazi hiyo. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amesema hayo alipotembelea mradi huo uliopo Makao Makuu ya TSN, Tazara katika Barabara ya Mandela, Dar es Salaam jana. MKANDARASI anayejenga Kiwanda cha Uchapaji cha Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) ameongezewa miezi mitatu akamilishe kazi hiyo. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amesema hayo alipotembelea mradi huo uliopo Makao Makuu ya TSN, Tazara katika Barabara ya Mandela, Dar es Salaam jana. - [Mradi wa Pamoja kunufaisha watu 41,000](https://habarileo.co.tz/wanufaika-41000-kunufaika-na-mradi-wa-pamoja-zanzibar/) - KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mhandisi Zena Ahmed Said, amesema jumla ya wanufaika 41,000 kutoka makundi mbalimbali ya kijamii wanatarajiwa kunufaika na Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia (PAMOJA) unaotekelezwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mhandisi Zena Ahmed Said, amesema jumla ya wanufaika 41,000 kutoka makundi mbalimbali ya kijamii wanatarajiwa kunufaika na Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia (PAMOJA) unaotekelezwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. - [Sekta ya huduma kipaumbele uchumi SADC](https://habarileo.co.tz/105049-2/) - DAR ES SALAAM :Sekta ya huduma imetajwa kuwa nguzo muhimu ya kukuza uchumi ndani ya Tanzania na Ukanda wa nchi wanachama wa SADC ambapo maboresho ya sera ni lazima ili kuondoa vikwazo vya kibiashara,hatua ambazo zinalenga kuongeza ushindani wa kikanda nili kunufaika na fursa za itifaki ya huduma ya SADC. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu - [Serikali yazungumzia ushirikiano na sekta binafsi](https://habarileo.co.tz/serikali-yazungumzia-ushirikiano-na-sekta-binafsi/) - FISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesema serikali iliamua kushirikiana na sekta binafsi katika uendeshaji wa baadhi ya mashirika ili kuongeza ufanisi, mtaji na matumizi ya teknolojia katika kuendeleza uchumi wa nchi. Mkurugenzi wa Usimamizi wa Utendaji, Ufuatiliaji na Tathmini ya Mashirika ya Kibiashara kutoka OMH, Lightness Mauki, amesema kuwa ushirikiano huo ni sehemu ya - [Kihongosi: Tunzeni miradi ya maendeleo](https://habarileo.co.tz/kihongosi-tunzeni-miradi-ya-maendeleo/) - SHINYANGA: KATIBU Wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi kutunza miundombinu na miradi ya maendeleo inayojengwa kwani ni urithi wao. Kihongosi ameeleza hayo leo Machi 5,2026 alitembelea katika mradi wa ujenzi wa daraja la Ubagwe lililopo katika barabara ya mto Mwabomba-Igombe yenye urefu wa mita 60 - [Mambo yameiva mradi kiwanda cha uchapaji TSN](https://habarileo.co.tz/mambo-yameiva-mradi-kiwanda-cha-uchapaji-tsn/) - DAR ES SALAAM: MRADI wa ujenzi wa jengo la kiwanda cha uchapaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), umefikia asilimia 71., huku mitambo ambayo imeshawasili imefikia asilimia 85.6. Taarifa hiyo imetolewa leo Machi 5, 2026 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa TSN, Asha Dachi, mbele ya Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa - [Maendeleo vitendo sio propaganda](https://habarileo.co.tz/maendeleo-vitendo-sio-propaganda/) - SHINYANGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema maendeleo ya kweli yanahitaji vitendo na si propaganda, kikieleza kudhihirisha hayo kupitia utekelezaji wa yale yote waliyoyaeleza katika Ilani ya uchaguzi 2025/30. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi an Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongozi ameeleza hayo leo Machi 5,2026 alipotembelea mradi wa kufua umeme wa jua (REA) katika kijiji - [Migogoro 60 yapatiwa ufumbuzi Samia Ardhi Kliniki](https://habarileo.co.tz/migogoro-60-yapatiwa-ufumbuzi-samia-ardhi-kliniki/) - KIGOMA: MIGOGORO 60 ya Ardhi imetatuliwa katika siku tatu za mpango wa kusikiliza malalamiko ya ardhi maarufu kama 'Samia Ardhi Kliniki' katika Manispaa ya Kigoma Ujiji ikiwani sehemu ya maadhimisho kuekelea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani. Mkuu wa Wilaya Kigoma, Dk Rashid Chuachua amesema hayo katika uwanja wa Kawawa Ujiji Mjini Kigoma ambako kliniki - [Eng. Rose Mayembe: Sauti ya Tanzania Kimataifa katika Sekta ya Madini](https://habarileo.co.tz/eng-rose-mayembe-sauti-ya-tanzania-kimataifa-katika-sekta-ya-madini/) - KATIKA juhudi za Tanzania kuendelea kujitangaza kimataifa kupitia sekta ya madini, wanawake wa Kitanzania wameendelea kung’ara katika majukwaa mbalimbali ya madini barani Afrika na duniani. - [CCM yapawa neno watumishi wa serikali](https://habarileo.co.tz/ccm-yapawa-neno-watumishi-wa-serikali/) - SHINYANGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kama kuna mtumishi wa serikali anaona hawezi kuwajibika aache kazi na kuwapisha wanaoweza kuwajibika wafanye kazi. Katibu NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi alieleza hayo akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Nyasubi Kahama Mjini mkoani Shinyanga ikiwa ni mwanzo wa ziara - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/jifunze-kiswahili-131/) - Kitambaa cha gauni is a Swahili phrase made of two words: Kitambaa – cloth or piece of fabric. Gauni – a dress (usually a long women’s dress). Meaning Kitambaa cha gauni means fabric used for making a dress or dress material in English. Origin Kitambaa comes from the Swahili word tamba/tambaa, which refers to cloth - [Hati 40 zatolewa Samia Ardhi Kliniki](https://habarileo.co.tz/hati-40-zatolewa-samia-ardhi-kliniki/) - ARUSHA: NDANI ya siku mbili Ofisi ya Kamishina Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Arusha imefanikiwa kutoa hati 40 katika siku saba za ''Samia Ardhi Kliniki'' iliyoanza marchi 2 mwaka huu. Katika Kliniki hiyo ambayo inatarajia kumalizika Machi 7 mwaka huu, wananchi 117 wamepokelewa na kusikilizwa changamoto zao za ardhi na kutatuliwa katika kliniki hiyo. Kwa - [Ridhiwani : Tudumishe amani ya nchi](https://habarileo.co.tz/ridhiwani-atoa-wito-wa-amani-na-uwajibikaji/) - WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais , Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Ridhiwani Kikwete, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani, mshikamano na uwajibikaji ili kuimarisha maendeleo ya uchumi na ustawi wa jamii. WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais , Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Ridhiwani Kikwete, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani, mshikamano na uwajibikaji ili kuimarisha maendeleo ya uchumi na ustawi wa jamii. - [Serikali yaitaka MUHAS kujizatiti tafiti magonjwa adimu](https://habarileo.co.tz/serikali-yaitaka-muhas-kujizatiti-tafiti-magonjwa-adimu/) - DAR ES SALAAM: Serikali imewataka wataalamu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kujizatiti kusoma na kufanya tafiti za kina kuhusu magonjwa adimu ili kusaidia kubaini chanzo chake, njia za matibabu na namna ya kuyadhibiti kwa ufanisi nchini. Hatua hiyo itaimarisha mifumo ya huduma za afya kupitia tafiti ili kuhakikisha wagonjwa wenye - [Madiwani waonywa vurugu kwenye halmashauri](https://habarileo.co.tz/madiwani-waonywa-vurugu-kwenye-halmashauri/) - KIGOMA: MADIWANI katika halmashauri za wilaya, miji na majiji wametakiwa kutokuwa chanzo cha vurugu zinazoweza kuchangia kuzorotesha uhusiano baina ya watendaji na madiwani na kukwamisha shughuli za maendeleo nchini na ukusanyaji mapato. Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Sospeter Mtwale amesema hayo akifunga mafunzo kwa madiwani wa Halmshauri ya wilaya Kigoma na manispaa - [Dk Gwajima kuongoza maadhimisho Siku ya Wanawake Geita](https://habarileo.co.tz/dk-gwajima-kuongoza-maadhimisho-siku-ya-wanawake-geita/) - GEITA: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Dorothy Gwajima anatarajia kuongoza maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani yatakayofanyika mkoani Geita. Maadhimisho hayo yanatarajiwa kuambatana na uzinduzi wa mradi wa PAMOJA unaolenga kukuza usawa na kutokomeza ukatili wa kijinsia kupitia uwezeshaji wanawake kiuchumi na kijamii. Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine - [Asilimia 80 nishati safi fursa kiuchumi](https://habarileo.co.tz/asilimia-80-nishati-safi-fursa-kiuchumi/) - DAR ES SAAM: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dorothy Gwajima, amesema upatikanaji wa nishati safi ya kupikia ni ajenda ya kimkakati inayochochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Amesisitiza kuwa Shirika la Umeme Tanzania, lina wajibu wa kuhakikisha umeme unapatikana kwa uhakika ili kupunguza gharama za kaya, kuongeza uzalishaji na kuwawezesha - [Kilo 900 za mahindi zakabidhiwa Liwelyangula](https://habarileo.co.tz/kilo-900-za-mahindi-zakabidhiwa-liwelyangula/) - SHINYANGA: WANAWAKE manispaa ya Shinyanga wameadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa vyakula mbalimbali ikiwemo kilo 900 za mahidi na sukari kilo 145 katika shule ya msingi Liwelyangula. Mgeni rasmi wa maadhimisho hayo Mkurugenzi wa Shirika la Rafiki SDO Gerald Ng'ong'a kwa niaba ya wadau waliochangia vyakula hivyo ikiwa amezindua rasmi upatikanaji wa - [Alama isiyofutika filamu za bongo](https://habarileo.co.tz/lamata-alama-isiyofutika-katika-filamu-za-bongo/) - LEAH Mwendamseke maarufu kama Lamata alizaliwa na kukulia mkoani Mbeya, Tanzania, na tangu utotoni alionyesha kipaji cha kipekee cha kuandika na kusimulia hadithi zinazogusa maisha ya kila siku ya jamii yake. LEAH Mwendamseke maarufu kama Lamata alizaliwa na kukulia mkoani Mbeya, Tanzania, na tangu utotoni alionyesha kipaji cha kipekee cha kuandika na kusimulia hadithi zinazogusa maisha ya kila siku ya jamii yake. - [Takukuru yasaidia TRA kuokoa Sh mil 57](https://habarileo.co.tz/takukuru-yasaidia-tra-kuokoa-sh-mil-57/) - KAGERA: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesaidia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukusanya zaidi ya Sh milioni 57 kutoka kwa wafanyabaishara waliokwepa kodi na kuingiza bidhaa bila vibali. Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Kagera, Vangisada Mkalimoto ametoa kauli hiyo leo Machi 4, alipotoa taarifa ya utenda kazi wa taasisi hiyo kuanzia Oktoba - [Takukuru yaokoa vifaa vya mil 51/-ujenzi nyumba ya mwalimu](https://habarileo.co.tz/takukuru-yaokoa-vifaa-vya-mil-51-ujenzi-nyumba-ya-mwalimu/) - SHINYANGA: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga imeokoa vifaa vya zaidi ya Sh milioni 51.2 ambavyo vilikuwa vitumike kwenye mradi wa ujenzi wa nyumba ya mwalimu wa Shule ya msingi Magongwa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama. Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Shinyanga, Donasian Kessy alipozungumza na - [Madini ya vito yavutia fursa ya uwekezaji](https://habarileo.co.tz/spinel-ya-mahenge-yavutia-uwekezaji/) - SPINEL ni mojawapo ya madini ya vito yenye thamani kubwa duniani, inayojipatia umaarufu mkubwa kimataifa kutokana na ubora wake, rangi adimu na uimara wa hali ya juu. Tanzania ni miongoni mwa nchi chache zilizojaa rasilimali hii adimu, hasa katika Mahenge, Kijiji cha Epanko, Wilaya ya Ulanga, mkoa wa Morogoro, eneo linalojulikana kwa kutoa spinel bora zaidi duniani. SPINEL ni mojawapo ya madini ya vito yenye thamani kubwa duniani, inayojipatia umaarufu mkubwa kimataifa kutokana na ubora wake, rangi adimu na uimara wa hali ya juu. Tanzania ni miongoni mwa nchi chache zilizojaa rasilimali hii adimu, hasa katika Mahenge, Kijiji cha Epanko, Wilaya ya Ulanga, mkoa wa Morogoro, eneo linalojulikana kwa kutoa spinel bora zaidi duniani. ## Pages - [Home](https://habarileo.co.tz/) - [Kuhusu HabariLEO](https://habarileo.co.tz/1326-3/) - HabariLEO ni gazeti la kila siku la Kiswahili ambalo limejikita katika kuchapisha Habari za kweli, na ukweli mtupu kwa kuzingatia misingi na viwango vya juu vya taaluma ili kupasha habari, kuburudisha na kuelimisha wasomaji mijini na vijijini. Gazeti la HabariLEO limekuwa likichapishwa tangu toleo lake la kwanza la Desemba 21, 2006 likiwa ni sehemu ya - [](https://habarileo.co.tz/1326-4/) - [Homepage](https://habarileo.co.tz/homepage/) - Za Karibuni Serikali yaonya utapeli misaada Kariakoo RC Kigoma asifu uhusiano Tanzania, Burundi Dk Mwinyi kumwakilisha Rais Samia mkutano SADC Waliofia Kariakoo kuangwa mchana huu Picha| Jengo la poromoka Kariakoo na kuua Serikali yaonya utapeli misaada Kariakoo RC Kigoma asifu uhusiano Tanzania, Burundi Dk Mwinyi kumwakilisha Rais Samia mkutano SADC Waliofia Kariakoo kuangwa mchana huu - [Matangazo](https://habarileo.co.tz/matangazo/) - [Coming Soon](https://habarileo.co.tz/coming-soon/) - I'm working on something amazing!But don't worry, I'll back soon. - [Terms of Use](https://habarileo.co.tz/terms-of-use/) - Introduction Welcome to The Newsreader. By accessing our website, you agree to these Terms of Use, our Privacy Policy, and any other legal notices published by us on the website. These terms govern your use of our website and its content. If you do not agree with any of these terms, you are prohibited from - [Privacy Policy](https://habarileo.co.tz/privacy-policy-2/) - Who we are Our website address is: https://codesupply.co. What personal data we collect and why we collect it Comments When visitors leave comments on the site we collect the data shown in the comments form, and also the visitor’s IP address and browser user agent string to help spam detection. An anonymized string created from - [Daily News Digital](https://habarileo.co.tz/daily-news-digital/) - [Privacy Policy](https://habarileo.co.tz/privacy-policy/) - Who we are Suggested text: Our website address is: https://habarileo.co.tz/. Comments Suggested text: When visitors leave comments on the site we collect the data shown in the comments form, and also the visitor’s IP address and browser user agent string to help spam detection. An anonymized string created from your email address (also called a ## Downloads - [Hongera Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan](https://habarileo.co.tz/download/hongera-mhe-dkt-samia-suluhu-hassan/) - [#Ad: Study in Turkiye | YeniSafak University Guide-2025](https://habarileo.co.tz/download/ad-study-in-turkiye-yenisafak-university-guide-2025/) - [BEI ZA MATANGAZO MTANDAONI KUTOKA JULAI 2024](https://habarileo.co.tz/download/bei-za-matangazo-mtandaoni-tsh/) - [BEI ZA KWENYE GAZETI KUTOKA JULAI 2024](https://habarileo.co.tz/download/bei-za-kwenye-gazeti-tsh/) - [BEI ZA KWENYE TOVUTI (TSH)](https://habarileo.co.tz/download/bei-za-kwenye-tovuti-tsh/) - [BEI ZA KWENYE GAZETI (USD)](https://habarileo.co.tz/download/bei-za-kwenye-gazeti-usd/) ## Categories - [Infographics](https://habarileo.co.tz/category/infographics/) - [Madini](https://habarileo.co.tz/category/madini-main/) - WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here. - [Gesi](https://habarileo.co.tz/category/madini-main/gesi/) - WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here. - [Mafuta](https://habarileo.co.tz/category/madini-main/mafuta/) - WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here. - [Madini](https://habarileo.co.tz/category/madini-main/madini/) - WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here. - [Biashara](https://habarileo.co.tz/category/biashara/) - WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here. - [Sayansi & Teknolojia](https://habarileo.co.tz/category/sayasi-na-teknolojia/) - WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here. - [Michezo na Burudani](https://habarileo.co.tz/category/michezo-na-burudani/) - WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here. - [Maisha ya Vijijini](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/maisha-ya-vijijini/) - [Dini](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/dini/) - [Safari](https://habarileo.co.tz/category/jamii/safari/) - [Utalii](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/utalii/) - [Jifunze Kiswahili](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/jifunze-kiswahili/) - [Maoni](https://habarileo.co.tz/category/maoni/) - [Tahariri](https://habarileo.co.tz/category/maoni/tahariri/) - [Safu](https://habarileo.co.tz/category/maoni/safu/) - [Picha](https://habarileo.co.tz/category/picha/) - [Tv](https://habarileo.co.tz/category/tv/) - [Podcast](https://habarileo.co.tz/category/podcast/) - [Magazeti](https://habarileo.co.tz/category/magazeti/) - [Tanzania](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/) - [Jamii](https://habarileo.co.tz/category/jamii/) - [Utamaduni](https://habarileo.co.tz/category/jamii/utamaduni/) - [Historia](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/history/) - [Fasihi](https://habarileo.co.tz/category/jamii/fasihi/) - [Urithi](https://habarileo.co.tz/category/jamii/urithi/) - [Sanaa](https://habarileo.co.tz/category/jamii/sanaa/) - [Siasa](https://habarileo.co.tz/category/siasa/) - [Habari Kwa Kina](https://habarileo.co.tz/category/habari-kina/) - [Dodoma](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/dodoma/) - [Zanzibar](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/zanzibar/) - [Kanda](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/kanda/) - [Kimataifa](https://habarileo.co.tz/category/kimataifa/) - [Ulaya](https://habarileo.co.tz/category/kimataifa/ulaya/) - [Africa](https://habarileo.co.tz/category/kimataifa/africa/) - [Asia](https://habarileo.co.tz/category/kimataifa/asia/) - [Amerika](https://habarileo.co.tz/category/kimataifa/amerika/) - [Diplomasia](https://habarileo.co.tz/category/siasa/diplomasia/) - [Bunge](https://habarileo.co.tz/category/siasa/bunge/) - [Chaguzi](https://habarileo.co.tz/category/siasa/chaguzi/) - [Uwekezajia](https://habarileo.co.tz/category/biashara/uwekezajia/) - [Uchumi](https://habarileo.co.tz/category/biashara/uchumi/) - [Fedha](https://habarileo.co.tz/category/biashara/fedha/) - [Uchambuzi](https://habarileo.co.tz/category/maoni/uchambuzi/) - [OPD](https://habarileo.co.tz/category/maoni/opd/) - [Muziki](https://habarileo.co.tz/category/jamii/muziki/) - [Mitindo & Urembo](https://habarileo.co.tz/category/jamii/mitindo/) - [Chakula & Vinywaji](https://habarileo.co.tz/category/jamii/chakula/) - [Mahusiano](https://habarileo.co.tz/category/jamii/mahusiano/) - [Wanawake](https://habarileo.co.tz/category/jamii/wanawake/) - [Mafumbo](https://habarileo.co.tz/category/jamii/mafumbo/) - [Afya](https://habarileo.co.tz/category/afya/) - [Fursa](https://habarileo.co.tz/category/tanzania/fursa/) - [Featured](https://habarileo.co.tz/category/featured/) - Featured posts - [Uncategorized](https://habarileo.co.tz/category/uncategorized/) ## Tags - [Uhuru](https://habarileo.co.tz/tag/uhuru/) - [Kenyatta](https://habarileo.co.tz/tag/kenyatta/) - [Uchaguzi](https://habarileo.co.tz/tag/uchaguzi/) - [Kenya](https://habarileo.co.tz/tag/kenya/) - [Raila](https://habarileo.co.tz/tag/raila/) - [Odinga](https://habarileo.co.tz/tag/odinga/) - [IEBC](https://habarileo.co.tz/tag/iebc/) - [Apple](https://habarileo.co.tz/tag/apple/) - [iPhone](https://habarileo.co.tz/tag/iphone/) - [iPad](https://habarileo.co.tz/tag/ipad/) - [Shilingi](https://habarileo.co.tz/tag/shilingi/) - [Tanzania](https://habarileo.co.tz/tag/tanzania/) - [Sh](https://habarileo.co.tz/tag/sh/) - [tff](https://habarileo.co.tz/tag/tff/) - [stars](https://habarileo.co.tz/tag/stars/) - [beno](https://habarileo.co.tz/tag/beno/) - [kim](https://habarileo.co.tz/tag/kim/) - [China](https://habarileo.co.tz/tag/china/) - [Msaada](https://habarileo.co.tz/tag/msaada/) - [Mkopo](https://habarileo.co.tz/tag/mkopo/) - [kahawa](https://habarileo.co.tz/tag/kahawa/) - [chalamila](https://habarileo.co.tz/tag/chalamila/) - [kagera](https://habarileo.co.tz/tag/kagera/) - [nasa](https://habarileo.co.tz/tag/nasa/) - [ccm](https://habarileo.co.tz/tag/ccm/) - [shaka](https://habarileo.co.tz/tag/shaka/) - [tabora](https://habarileo.co.tz/tag/tabora/) - [Ujerumani](https://habarileo.co.tz/tag/ujerumani/) - [Veta](https://habarileo.co.tz/tag/veta/) - [tid](https://habarileo.co.tz/tag/tid/) - [Mandonga](https://habarileo.co.tz/tag/mandonga/) - [Dodoma](https://habarileo.co.tz/tag/dodoma/) - [Ajali](https://habarileo.co.tz/tag/ajali/) - [Mafuta](https://habarileo.co.tz/tag/mafuta/) - [Sensa](https://habarileo.co.tz/tag/sensa/) - [Mpanda](https://habarileo.co.tz/tag/mpanda/) - [mapigano](https://habarileo.co.tz/tag/mapigano/) - [tigray](https://habarileo.co.tz/tag/tigray/) - [ethiopia](https://habarileo.co.tz/tag/ethiopia/) - [gesi](https://habarileo.co.tz/tag/gesi/) - [tanzaniate](https://habarileo.co.tz/tag/tanzaniate/) - [Diana](https://habarileo.co.tz/tag/diana/) - [William](https://habarileo.co.tz/tag/william/) - [Ruto](https://habarileo.co.tz/tag/ruto/) - [askofu](https://habarileo.co.tz/tag/askofu/) - [st john's](https://habarileo.co.tz/tag/st-johns/) - [tanga](https://habarileo.co.tz/tag/tanga/) - [panya road](https://habarileo.co.tz/tag/panya-road/) - [polisi](https://habarileo.co.tz/tag/polisi/) - [jeshi](https://habarileo.co.tz/tag/jeshi/) - [usalama](https://habarileo.co.tz/tag/usalama/) - [habari kuu](https://habarileo.co.tz/tag/habari-kuu/) - [podcast](https://habarileo.co.tz/tag/podcast/) - [habarileo](https://habarileo.co.tz/tag/habarileo/) - [utafiti](https://habarileo.co.tz/tag/utafiti/) - [elimu](https://habarileo.co.tz/tag/elimu/) - [family planning](https://habarileo.co.tz/tag/family-planning/) - [uzazi wa Mpango](https://habarileo.co.tz/tag/uzazi-wa-mpango/) - [malkia](https://habarileo.co.tz/tag/malkia/) - [elizabeth](https://habarileo.co.tz/tag/elizabeth/) - [aseri katanga](https://habarileo.co.tz/tag/aseri-katanga/) - [award](https://habarileo.co.tz/tag/award/) - [uingereza](https://habarileo.co.tz/tag/uingereza/) - [london](https://habarileo.co.tz/tag/london/) - [maziwa](https://habarileo.co.tz/tag/maziwa/) - [who](https://habarileo.co.tz/tag/who/) - [fao](https://habarileo.co.tz/tag/fao/) - [letshego](https://habarileo.co.tz/tag/letshego/) - [akaunti](https://habarileo.co.tz/tag/akaunti/) - [wastaafu](https://habarileo.co.tz/tag/wastaafu/) - [wazee](https://habarileo.co.tz/tag/wazee/) - [ruangwa](https://habarileo.co.tz/tag/ruangwa/) - [lindi](https://habarileo.co.tz/tag/lindi/) - [kabarata](https://habarileo.co.tz/tag/kabarata/) - [walimu](https://habarileo.co.tz/tag/walimu/) - [cwt](https://habarileo.co.tz/tag/cwt/) - [waziri mkuu](https://habarileo.co.tz/tag/waziri-mkuu/) - [kassim majaliwa](https://habarileo.co.tz/tag/kassim-majaliwa/) - [ebola](https://habarileo.co.tz/tag/ebola/) - [uganda](https://habarileo.co.tz/tag/uganda/) - [afrika mashariki](https://habarileo.co.tz/tag/afrika-mashariki/) - [dar es salaam](https://habarileo.co.tz/tag/dar-es-salaam/) - [waziri nape nnauye](https://habarileo.co.tz/tag/waziri-nape-nnauye/) - [itu](https://habarileo.co.tz/tag/itu/) - [jamnii](https://habarileo.co.tz/tag/jamnii/) - [ngono](https://habarileo.co.tz/tag/ngono/) - [lhrc](https://habarileo.co.tz/tag/lhrc/) - [ripoti](https://habarileo.co.tz/tag/ripoti/) - [mirsi](https://habarileo.co.tz/tag/mirsi/) - [b to b](https://habarileo.co.tz/tag/b-to-b/) - [uwekezaji](https://habarileo.co.tz/tag/uwekezaji/) - [jokate mwegelo](https://habarileo.co.tz/tag/jokate-mwegelo/) - [temeke](https://habarileo.co.tz/tag/temeke/) - [azania group](https://habarileo.co.tz/tag/azania-group/) - [kifo](https://habarileo.co.tz/tag/kifo/) - [drc](https://habarileo.co.tz/tag/drc/) - [ummy mwalimu](https://habarileo.co.tz/tag/ummy-mwalimu/) - [daktari](https://habarileo.co.tz/tag/daktari/) - [afya](https://habarileo.co.tz/tag/afya/) - [chama.](https://habarileo.co.tz/tag/chama/) - [daily news](https://habarileo.co.tz/tag/daily-news/) - [habari](https://habarileo.co.tz/tag/habari/) - [Vicky Kimaro](https://habarileo.co.tz/tag/vicky-kimaro/) - [Privire](https://habarileo.co.tz/tag/privire/) - [asupra](https://habarileo.co.tz/tag/asupra/) - [unei](https://habarileo.co.tz/tag/unei/) - [producții](https://habarileo.co.tz/tag/productii/) - [porno](https://habarileo.co.tz/tag/porno/) - [premiate](https://habarileo.co.tz/tag/premiate/) - [internaționale](https://habarileo.co.tz/tag/internationale/) - [Rolul](https://habarileo.co.tz/tag/rolul/) - [filmelor](https://habarileo.co.tz/tag/filmelor/) - [în](https://habarileo.co.tz/tag/in/) - [explorarea](https://habarileo.co.tz/tag/explorarea/) - [noilor](https://habarileo.co.tz/tag/noilor/) - [concepte](https://habarileo.co.tz/tag/concepte/) - [sexuale](https://habarileo.co.tz/tag/sexuale/) - [Yanga](https://habarileo.co.tz/tag/yanga/) - [Vital O](https://habarileo.co.tz/tag/vital-o/) - [Ligi ya Mabingwa Afrika](https://habarileo.co.tz/tag/ligi-ya-mabingwa-afrika/) - [Maonesho ya Petroli](https://habarileo.co.tz/tag/maonesho-ya-petroli/) - [Tanzania Feassa](https://habarileo.co.tz/tag/tanzania-feassa/) - [TPHPA](https://habarileo.co.tz/tag/tphpa/) - [Profesa Joseph Ndunguru](https://habarileo.co.tz/tag/profesa-joseph-ndunguru/) - [Boti](https://habarileo.co.tz/tag/boti/) - [mwendokasi](https://habarileo.co.tz/tag/mwendokasi/) - [TTCL](https://habarileo.co.tz/tag/ttcl/) - [Gawio](https://habarileo.co.tz/tag/gawio/) - [Upasuaji](https://habarileo.co.tz/tag/upasuaji/) - [nyonga](https://habarileo.co.tz/tag/nyonga/) - [magoti](https://habarileo.co.tz/tag/magoti/) - [JKCI](https://habarileo.co.tz/tag/jkci/) - [TARI](https://habarileo.co.tz/tag/tari/) - [Feassa](https://habarileo.co.tz/tag/feassa/) - [Teknolojia](https://habarileo.co.tz/tag/teknolojia/) - [DIT](https://habarileo.co.tz/tag/dit/) - [Wanafunzi](https://habarileo.co.tz/tag/wanafunzi/) - [aTEBA](https://habarileo.co.tz/tag/ateba/) - [Simba](https://habarileo.co.tz/tag/simba/) - [Kiruswa](https://habarileo.co.tz/tag/kiruswa/) - [Barcelona](https://habarileo.co.tz/tag/barcelona/) - [Man City](https://habarileo.co.tz/tag/man-city/) - [Gundaogan](https://habarileo.co.tz/tag/gundaogan/) - [ACT Wazalendo](https://habarileo.co.tz/tag/act-wazalendo/) - [Ado Shaibu](https://habarileo.co.tz/tag/ado-shaibu/) - [USAID](https://habarileo.co.tz/tag/usaid/) - [MAREKANI](https://habarileo.co.tz/tag/marekani/) - [MOI. MAUMIVU](https://habarileo.co.tz/tag/moi-maumivu/) - [Mwigulu Nchemba](https://habarileo.co.tz/tag/mwigulu-nchemba/) - [Basata](https://habarileo.co.tz/tag/basata/) - [Bima ya Afya](https://habarileo.co.tz/tag/bima-ya-afya/) - [Zanzibar](https://habarileo.co.tz/tag/zanzibar/) - [Mwani](https://habarileo.co.tz/tag/mwani/) - [Mtu ni Afya](https://habarileo.co.tz/tag/mtu-ni-afya/) - [AFCON 2027](https://habarileo.co.tz/tag/afcon-2027/) - [Dk Mpango](https://habarileo.co.tz/tag/dk-mpango/) - [Madini](https://habarileo.co.tz/tag/madini/) - [Mavunde](https://habarileo.co.tz/tag/mavunde/) - [Korosho](https://habarileo.co.tz/tag/korosho/) - [Mvua za Vuli](https://habarileo.co.tz/tag/mvua-za-vuli/) - [TMA](https://habarileo.co.tz/tag/tma/) - [UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA](https://habarileo.co.tz/tag/uchaguzi-serikali-za-mitaa/) - [Arsenal](https://habarileo.co.tz/tag/arsenal/) - [Merino](https://habarileo.co.tz/tag/merino/) - [Muhas](https://habarileo.co.tz/tag/muhas/) - [Kongamano](https://habarileo.co.tz/tag/kongamano/) - [nhif](https://habarileo.co.tz/tag/nhif/) - [ifakara](https://habarileo.co.tz/tag/ifakara/) - [ihi](https://habarileo.co.tz/tag/ihi/) - [DC](https://habarileo.co.tz/tag/dc/) - [Morogoro](https://habarileo.co.tz/tag/morogoro/) - [Kyobya](https://habarileo.co.tz/tag/kyobya/) - [SUA](https://habarileo.co.tz/tag/sua/) - [VIUMBEHAI](https://habarileo.co.tz/tag/viumbehai/) - [Liverpool](https://habarileo.co.tz/tag/liverpool/) - [Man United](https://habarileo.co.tz/tag/man-united/) - [EPL](https://habarileo.co.tz/tag/epl/) - [Audio & Visual](https://habarileo.co.tz/tag/audio-visual/) - [Essentials](https://habarileo.co.tz/tag/essentials/) - [Latest Gadgets](https://habarileo.co.tz/tag/latest-gadgets/) - [Outdoor Gear](https://habarileo.co.tz/tag/outdoor-gear/) - [Smart Home](https://habarileo.co.tz/tag/smart-home/) - [Tech Tips](https://habarileo.co.tz/tag/tech-tips/) - [Wearable Tech](https://habarileo.co.tz/tag/wearable-tech/) - [mtwara](https://habarileo.co.tz/tag/mtwara/) - [nishati](https://habarileo.co.tz/tag/nishati/) - [wadau](https://habarileo.co.tz/tag/wadau/) - [kusini](https://habarileo.co.tz/tag/kusini/) - [maji](https://habarileo.co.tz/tag/maji/) - [serengeti](https://habarileo.co.tz/tag/serengeti/) - [sbl](https://habarileo.co.tz/tag/sbl/) - [kondoa](https://habarileo.co.tz/tag/kondoa/) - [jamii](https://habarileo.co.tz/tag/jamii/) - [huduma](https://habarileo.co.tz/tag/huduma/) - [jimbo](https://habarileo.co.tz/tag/jimbo/) - [waziri](https://habarileo.co.tz/tag/waziri/) - [csr](https://habarileo.co.tz/tag/csr/) - [ATCL](https://habarileo.co.tz/tag/atcl/) - [UCHUMI](https://habarileo.co.tz/tag/uchumi/)