Lulandala agawa baiskeli kwa mabalozi Jimbo la Chakwa

ZANZIBAR; BAISKELI 180 zimegawanywa kwa mabalozi wa nyumba 10 wa Jimbo la Chakwa, Wilaya ya Kati, Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapunduzi (CCM), Faki Lulandala amegawa baiskeli hizo ambazo zimetolewa na Mwakilishi wa Jimbo la Chakwa, Issa Gavu.

Lengo la kutolewa kwa baiskeli hizo ni kurahisisha utendaji kazi kwa mabalozi hao katika kuwatumikia wanachama wa CCM.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MONENY
MONENY
1 month ago

CCM bila siasa za KUJENGA BARABARA, HOSPITALI, KUMSIFIA RAIS, SHULE, NYUMBA ZA WATUMISHI WA UMMA MTAKUWA NA SIASA GANI!?

KUMBE KUJENGA MILELE

Capture.JPG
Whitney Holland
Whitney Holland
Reply to  MONENY
1 month ago

Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.

By Just Follow………….. http://Www.Smartwork1.Com

MONENY
MONENY
1 month ago

CCM bila siasa za KUJENGA BARABARA, HOSPITALI, KUMSIFIA RAIS, SHULE, NYUMBA ZA WATUMISHI WA UMMA MTAKUWA NA SIASA GANI!?

KUMBE KUJENGA MILELE.

Capture.JPG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x