Maabara ya MSA kivutio upimaji madini

GEITA; ZAIDI ya sh bilioni 5 za Kitanzania zimewekezwa katika maabara ya MSA inayopima sampuli za madini kwa kiwango cha kimataifa mkoani Geita.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Maabara ya MSA, Mugisha Lwekoramu, wakati wa ufunguzi wa maabara hiyo iliyoanzishwa mwaka 2020 ikiwa ni kampuni tanzu ya MSALABS yenye makao makuu yake nchini Canada.

Akizungumzia kuhusu teknolojia inayotumika katika maabara hiyo Lwekoramu amesema maabara hii inatumia teknolojia ya kisasa ya upimaji wa sampuli kwa mionzi (PhotoAssay), ambayo ni rafiki kwa utunzaji mazingira kwa sababu haitumii kemikali au moto katika upimaji sampuli.

Akielezea kuhusu ufanisi wa teknolojia hiyo, amesema ni sehemu ya mapinduzi ya teknolojia kwa sababu inamuwezesha mdau kupata majibu ya sampuli ndani ya saa mbili ukilinganisha na teknolojia ya zamani ya kutumia moto na kemikali.

Kwa upande Waziri wa Madini Anthony Mavunde amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa maabara hiyo kwa kufanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya madini , akiwataka kuendelea kufungua matawi mengine nchini.

Mavunde ameahidi kuwa Serikali Awamu ya Sita itaendelea kuwatengenezea mazingira rafiki ya uwekezaji na kutoa ushirikiano kwa jinsi itakavyohitajika katika mnyororo mzima wa sekta ya madini.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MarissaCorcoran
MarissaCorcoran
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by MarissaCorcoran
GloriaGale
GloriaGale
2 months ago

The first check I got was for $13,000. I feel so inspired even though I haven’t really made much progress up till now. I’m looking forward to the episode of the next week with anticipation now that I know I need to work harder.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

money
money
2 months ago

Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?

MJERUMANI

MHINDI

MTANZANIA

MKENYA

MNIGERIA

MHISPANIA

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?

Capture1.JPG
money
money
2 months ago

ULIMWENGU WA NDOTO

One.  DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE

Two.    MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA

Three.             MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU 

Four.  MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA

Five.    MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE

Six.         MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR

Seven.          MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS

Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI

Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI

Ten.      MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS

Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x