Maabara ya MSA kivutio upimaji madini

GEITA; ZAIDI ya sh bilioni 5 za Kitanzania zimewekezwa katika maabara ya MSA inayopima sampuli za madini kwa kiwango cha kimataifa mkoani Geita.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Maabara ya MSA, Mugisha Lwekoramu, wakati wa ufunguzi wa maabara hiyo iliyoanzishwa mwaka 2020 ikiwa ni kampuni tanzu ya MSALABS yenye makao makuu yake nchini Canada.
Akizungumzia kuhusu teknolojia inayotumika katika maabara hiyo Lwekoramu amesema maabara hii inatumia teknolojia ya kisasa ya upimaji wa sampuli kwa mionzi (PhotoAssay), ambayo ni rafiki kwa utunzaji mazingira kwa sababu haitumii kemikali au moto katika upimaji sampuli.
Akielezea kuhusu ufanisi wa teknolojia hiyo, amesema ni sehemu ya mapinduzi ya teknolojia kwa sababu inamuwezesha mdau kupata majibu ya sampuli ndani ya saa mbili ukilinganisha na teknolojia ya zamani ya kutumia moto na kemikali.
Kwa upande Waziri wa Madini Anthony Mavunde amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa maabara hiyo kwa kufanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya madini , akiwataka kuendelea kufungua matawi mengine nchini.
Mavunde ameahidi kuwa Serikali Awamu ya Sita itaendelea kuwatengenezea mazingira rafiki ya uwekezaji na kutoa ushirikiano kwa jinsi itakavyohitajika katika mnyororo mzima wa sekta ya madini.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
The first check I got was for $13,000. I feel so inspired even though I haven’t really made much progress up till now. I’m looking forward to the episode of the next week with anticipation now that I know I need to work harder.
.
.
Detail Here————————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?
MJERUMANI
MHINDI
MTANZANIA
MKENYA
MNIGERIA
MHISPANIA
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana