Macklion yatetea ubingwa Chemchem Cup.

TIMU ya Macklion FC imetwaa kwa mara ya tatu mfululizo ubingwa wa mashindano ya Kombe la Chemchem baada ya kuitandika Macedonia FC mabao 2-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa uwanja wa Mdori uliopo wilayani Babati mkoani Manyara.
Jumla ya timu 33 zilishiriki michuano hiyo yenye lengo la kupiga vita ujangili wa twiga katika eneo la vijiji 10 ambavyo vinaunda Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge mkoani Manyara.
Michuano hiyo pia imehusisha timu za vijana ambapo Maweni FC imetangazwa mabingwa kwa walio na umri wa chini ya miaka 18 baada ya kuisambaratisha Mwada mabao 2-0.
Kwa Upande wa timu za Wasichana Mwada Queens ilitwaa Ubingwa kwa mara ya kwanza baada ya kuichapa mabao 4-0 Maweni Queens .
Akifunga mashindano hayo afisa michezo Mkoa wa Manyara, Pastory Samwel kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa Arusha, amewapongeza wandaaji wa mashindano hayo taasisi ya Chemchem kwa kutoa elimu ya uhifadhi kupitia michezo lakini pia kupambana kuhakikisha Soka linaendelea kuchezwa.
Alieleza mashindano hayo chini ya kauli mbiu ya ‘Okoa Twiga’ imekuwa ni daraja kwa vijana kuweza kutimiza ndoto zao kwani wapo ambao wamepita hapo na sasa wanacheza Ligi Kuu akiwemo kiungo wa Ihefu FC,Yusuph Athumani.
“Afcon ya mwaka 2027 itachezwa hapa Tanzania na Mkoa wa Arusha mechi zitachezwa hivyo kwetu itakuwa ni fursa kwa uwanja wetu huu bora wa Mdori kupata nafasi ya timu kufanyia mazoezi.” aliongeza Samwel.
Kwa upande wake mkurugenzi wa taasisi ya Chemchem,Nicolaus Negri alisema wametumia zaidi ya Sh milioni 99 kuendesha mashindano hayo ambapo pia wamefanikiwa kutoa elimu juu ya uhifadhi wa wanyamapori katika eneo la Hifadhi ya Jamii ya Burunge.
“Dhumuni letu ilikuwa ni kuhamasisha utunzaji wa mazingira,kutoa elimu kwa jamii juu ya uhifadhi wa mazingira,kupiga vita ujangili wa wanyamapori,kujenga mahusiano katika jamii pamoja na kuibua vipaji”,amesema Negri.
Kwa upande wa zawadi timu ya Soka kwa wakubwa bingwa amepata Sh milioni 2.5 mshindi wa pili Sh milioni 1.5 ,mshindi wa tatu Sh milioni 1 Wanawake bingwa Sh milioni 1.5 mshindi wa pili Sh milioni 1 mshindi wa tatu Sh 500,000.
Vijana chini ya umri wa miaka 18, bingwa Sh milioni 1 mshindi wa pili Sh 600,000,mshindi wa tatu Sh 400,000 pia kulikuwa na zawadi za medali,kiatu cha dhahabu kwa mfungaji na mchezaji bora lakini pia Gloves za dhahabu kwa kipa bora.
Ofisa Wanyamapori wilaya ya Babati,Laizer alisema Halmashauri ya Wilaya ya Babati inapongeza chemchem kutumia michezo katika kupambana na ujangili.
Viboko 12 wakati unaingia JELA na viboko 12 wakati unatoka ukamsimulie mkeo!
Jamii yaungua kwa ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA 500 na kukimbizwa hospitali na kuruhusiwa na Daktari
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
THE KINGDOM IDEOLOGY WILL BE ESTABLISHED THROUGH A NEW CONSTITUTION… WHAT KIND OF TRIBE DO YOU THINK HE’S GOING TO COME FROM?
Viboko 12 wakati unaingia JELA na viboko 12 wakati unatoka ukamsimulie mkeo!
Jamii yaungua kwa ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA 500 na kukimbizwa hospitali na kuruhusiwa na Daktari..
SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO
Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer.(Qe) Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com