Mahakama Shinyanga kusikiliza kesi sita leo

JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga, Frank Mahimbali ameanza kusikiliza mashauri ya kesi sita za mauaji kwa washtakiwa wanaotuhumiwa kutenda makosa hayo katika maeneo mbalimbali wilayani Kahama mkoani hapa.
Hayo yalisemwa Jana na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kahama, Edmund Kente alipozungumza na waandishi wa habari ambapo alisema jaji Mahimbali atasikiza mashauri hayo ambayo upelelezi wake umekamilika .
Kente alisema mashauri hayo washtakiwa walidaiwa kutenda makosa hayo tangu mwaka 2021 ikiwa shauri moja limeanza kusikilizwa jana likiwa na mashahidi nane.
Kente alisema mashahidi sita jana walisikilizwa na leo mashahidi wawili wanaendelea kusikilizwa na jaji wa Kanda ya Shinyanga hadi hatua ya kuzitolea hukumu.
“Mashauri ya mauaji takwimu zake zimeenda zikipungua Ila ninatoa wito kwa wananchi wakiona Kuna viashiria vyovyote vya vitisho vitakavyopelekea mauaji watoe taarifa kwenye vyombo vya dola ili badaaye kuja kuisaidia mahakama.”alisema Kente.
Kente alisema kesi za mauaji ziko tofauti zenyewe kisheria zina ukomo wa muda wa upelelezi wao mahakama ya wilaya kupitia mahakimu waliopo wamekuwa wakizisikiliza na kuzitolea hukumu.
“Ninawashauri Wananchi wawe tayari kutoa ushahidi wa kweli kwani wapo mashahidi ambao wamekuwa wakipangwa na hawakushuhudia tukio hilo zinaleta usumbufu”alisema Kente.
Kente alisema kesi za mauaji hazina dhamana na upelelezi wake unakwenda taratibu pia mkemia wa serikali ambaye anathibitisha ofisi yake inazidiwa aliwaomba wananchi watii sheria zilizopo
SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here———————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO….
THE KINGDOM IDEOLOGY WILL BE ESTABLISHED THROUGH A NEW CONSTITUTION… WHAT KIND OF TRIBE DO YOU THINK HE’S GOING TO COME FROM?
Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer.(Qb) Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com