Majaliwa: Acheni kukopakopa wanahabari

LINDI: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi na wizara zote kutenga fungu ili kulipia matangazo yanayopelekwa katika vyombo vya habari na kuyaepuka madeni yanayoathiri vyombo hivyo na maslahi ya wanahabari.
Ameagiza hayo leo akiwa mkoani Lindi katika Mkutano Mkuu wa Saba wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na kukemea vikali taasisi zinazokwamisha uendeshaji wa vyombo vya habari.
Ameitaka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Tenkolojia ya habari kushughulikia kwa haraka changamoto hizo ikiwa ni pamoja na kuboresha njia za utendaji wake.
“Wekeni utaratibu wa kudumu na endelevu wa kutatua changamoto ya kudaidai. Wizara haiwezi kufanya kazi kimya, watanzania lazima wajue nini kinafanyika. Tenga bajeti ya kutosha na tuache kukopakopa wanahabari.” Amesema Waziri Mkuu.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Antoinetteopez
Antoinetteopez
18 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 18 days ago by Antoinetteopez
Angila
Angila
18 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions……
.
.
.
On This Website……………..> > W­w­w.S­m­a­r­t­c­a­r­e­e­r­1.c­o­m

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x