Majaliwa alaani uovu unaofanywa kwa Wanahabari

LINDI: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amelaani vitendo viovu vinavyoendelea kuwakumba wanahabari ikiwemo vitisho, kutezwa nguvu na kufanyiwa vurugu katika kutekeleza shughuli zao za kila siku.
Katika kushughulikia hayo Waziri Mkuu ameitaka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (HMTH), kushughulikia changamoto za wanahabari zikiwemo maboresho ya Sera ya Habari, kurefusha ukomo wa vitambulisho vya wanahabari (Press card), kuundwa kwa bodi ya ithibati, kuundwa kwa mfuko wa mafunzo kwa wanahabari na baraza huru la habari.
Akiwa mkoani Lindi katika Mkutano Mkuu wa Saba wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), kiongozi huyo ameitaka wizara ya hmth kuunda kanuni katika maeneo yote yanayotakiwa kushughulikiwa pia iwahusishe wanahabari katika kutoa maoni ikiwemo Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF
“Kamilisheni mchakato wa kuunda bodi ile ya ithibati. Nataka bodi ipatikane mapema ili vyombo vingine kama baraza la wanahabari viweze kuanzishwa mapema iwezekanavyo,” ameagiza Waziri Mkuu.
I’am making over $15k a month working online. I kept seeing how some people are able to earn a lot of money online, so I decided to look into it. I had luck to stumble upon something that totally changed my life. After 2 months of searching, last month I received a paycheck for $15376 for just working on the laptop for a few hours weekly. I was amazed how easy it was after I tried it copy below web…www.work.profitguru7.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions……
.
.
.
On This Website……………..> > Www.Smartcareer1.com